Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mzee Mwanakijiji,

Hakuna anayekulazimisha kuamiani chochote kwenye kitabu cha Mohamed Said mbona wewe unaamini masimulizi mengi tu ya Nyerere hakuna aliyekumpinga.

Unaamini bila kuona wala kusikia kuwa Nyerere ndiyo kaleta uhuru Tanganyika.

Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo muasisi wa TANU.

Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo kaleta amani Tanganyika.

Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo baba yenu wa Taifa.

Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo kaleta kiswahili Tanzania.

Unaamini bila kuona wala kusikia wazee wa Dar es salaam wote walikuwa wasaidizi wa Nyerere.

Unakubali bila kuona wala kusikia wale wote waliokorofisha na Nyerere walikuwa na makosa.

Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo kawafundisha ustarabu watu Pwani.

Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere aliunda TANU hakiwa TABORA.

Unakubali Nyerere kwako ni MTAKATIFU.
 
Last edited by a moderator:
Ah! Ritz, hiyo post inajitosheleza. Isome tena. Yapo matatizo yanayochangiwa na UISLAM hasa upande wa ELIMU. Kwa kuna Muislam wa kiwango chenu cha elimu halioni hili huyo ni MDINI wa kutupwa. Ni mfiaDINI. Hatufai.
Labda nikuulize swali dogo Ritz: Uliwahi kupata kikwazo chochote cha ELIMU, MATIBABU, AJIRA, HUDUMA,..., kwa ajili ya DINI yako?

Hint; NECTA
 
Mzee Mwanakijiji,

Hakuna anayekulazimisha kuamiani chochote kwenye kitabu cha Mohamed Said mbona wewe unaamini masimulizi mengi tu ya Nyerere hakuna aliyekumpinga.

Unaamini bila kuona wala kusikia kuwa Nyerere ndiyo kaleta uhuru Tanganyika.

Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo muasisi wa TANU.

Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo kaleta amani Tanganyika.

Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo baba yenu wa Taifa.

Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo kaleta kiswahili Tanzania.

Unaamini bila kuona wala kusikia wazee wa Dar es salaam wote walikuwa wasaidizi wa Nyerere.

Unakubali bila kuona wala kusikia wale wote waliokorofisha na Nyerere walikuwa na makosa.

Unakubali bila kuona wala kusikia Nyerere aliunda TANU hakiwa TABORA.

Unakubali Nyerere kwako ni MTAKATIFU.


MWANAKIJIJI..
anaogelea kwenye bahari yenye kina kirefu cha UDINI,sion nani wa kumuokoa katika msiba huo uliomsibu.!
 
Ah! Ritz, hiyo post inajitosheleza. Isome tena. Yapo matatizo yanayochangiwa na UISLAM hasa upande wa ELIMU. Kwa kuna Muislam wa kiwango chenu cha elimu halioni hili huyo ni MDINI wa kutupwa. Ni mfiaDINI. Hatufai.
Labda nikuulize swali dogo Ritz: Uliwahi kupata kikwazo chochote cha ELIMU, MATIBABU, AJIRA, HUDUMA,..., kwa ajili ya DINI yako?

Nyerere alilazwa wapi vile kabla hajaonja umauti?

Kawawa alilazwa wapi vile kabla hajaonja umauti?
 
Ah! Ritz, hiyo post inajitosheleza. Isome tena. Yapo matatizo yanayochangiwa na UISLAM hasa upande wa ELIMU. Kwa kuna Muislam wa kiwango chenu cha elimu halioni hili huyo ni MDINI wa kutupwa. Ni mfiaDINI. Hatufai.
Labda nikuulize swali dogo Ritz: Uliwahi kupata kikwazo chochote cha ELIMU, MATIBABU, AJIRA, HUDUMA,..., kwa ajili ya DINI yako?

Bahati nzuri mimi nafanya kazi zangu binafsi. Ninao wadogo zangu wawili mmoja kamaliza chuo cha ardhi kaangaika sana kupata kazi UDINI. saizi yupo Japan anafanya kazi.

Mwingine kamaliza chuo mwaka jana kakosa kazi serikalini saizi yupo ubalozi mmoja hapa Dar anafanya kazi.

Wewe huwezi kuona udini sababu aukumbani nao sababu nyie ndiyo mmejazana karibia wizara zote za serikali mnakata majina yetu.
 
Bw Said miye sina sababu ya kukushambulia kwani huko si kujenga hoja. Ninachojaribu kuonesha ni jinsi hoja zako zilivyodhaifu, na jinsi maandishi yako yanavutia wenye hisia wasio tayari kutumia akili zao kufikiri. Kwa muda mrefu umepata uwanja huru wa kuuza histohisia yako na kwa vile hujawahi kukutana na maswali ya kimantiki na yenye msingi wa historia umeweza kuendelea kueneza hizi simulizi.

Hata hicho ulichoweka hapo juu kuhusu wewe na Kiwanuka nakubaliana zaidi na Kiwanuka kwani assessment yake ni ya kweli. Maandishi yako hayana historia yoyote zaidi ya kurusha majina ya watu mbalimbali ambayo hata tukikuuliza uzame kidogo huwezi zaidi ya kutuambia ulikunywa chai wapi, uliingia nyumba ya nani na ulifahamiana na nani. Yote hayo hayafanyi hoja zako kuwa kweli zinapomulikwa.

Mzee Said utawala wako wa simulizi zisizokoma na zenye kurudia yale yale na ambazo hazina msingi katika historia mbona umefikia kikomo. Utaweza kuwavutia wale ambao hawana uwezo wa kufikiria au kuhoji; wale ambao hawajui fallacies zilizojazana katika maandishi yako. In Shaa Allah watu watazidi kufahamu udhaifu wa hoja zako, na jinsi gani zimejengwa kutoka katika chuki, kisasi, wivu na zaidi ya yote hisia fulani ya uduni wa aina fulani. Inatokana na uchungu wa utotoni ambao ulisimuliwa na wazee wako kiasi kwamba ulishindwa kabisa kupima kipi ni cha kweli, kipi na wenyewe wanakisema kutoka katika machungu na kipi ni masimulizi tu ya kukutia moyo.

Kwa kweli katika uandishi wa kitabu chako cha Sykes ulichokifanya ni kumuonesha Nyerere kama kipenzi cha Waislamu na wasio Waislamu na hakuna lolote mle ndani ambapo umemuonesha Nyerere kama adui wa Waislamu. Unajaribu kulilazimisha hili baadaye lakini linashindwa kwa sababu kile tukitumia vipimo vingine utaona kuwa hoja zako hazisimami.

Kama unaona sina jipya si jiachie kunisoma?
 
Hivi wewe unataka picha ya machifu umoene Kiyate
Mshume?

Ndiyo maana nakupuuza.
Wewe umezoea nipe nikupe.

Mimi si katika hao.
Hii ni mara ya pili nakutahadharisha.
 
mkandara,

nitakudarsisha kidogo hapo kwani naona hu mchache wa kujua kitabu hicho.

Kwalugha yangu ya kiarabu baqara ni ng'ombe na ukitaka kujua kwanini sura hiyoimeitwa sura ya ng'ombe basi ukiisomautakiona kisahicho kimeelezwakinaga ubaga.

Nimekubainishia kuwa walitakiwawafunge sio waislam bali ni waumin. Naukitakakujua swifa za waumin zimebainishwa katika surat baqara ambayo ni sura ya pili katika aya ya 3mpaka 7 (quran 2:3-7). Soma hapo utaziona.

Lakin swifa za uislam ni pamoja na zile ulizobainisha ikiwemo tarbia,mavazi, chakulachao,adabu zaona mengine mengi.

Kama utahitaji zaidi nitakusaidia kwa kina kama utafungua uzi maalum kule kwenye jukwaa la dini.

Allahu yaalam


naam,swadakta kabisa..!

Umemjibu vema sana..

"akiwa mchoyo,asiwe mroho"
 
Wewe, Barubaru na Jakaya mlisomaje hadi Chuo KIkuu ndani ya mfumo huu? Mlibadili majina kwa muda? NECTA, NECTA, huko Lindi na Mtwara madarasa hayana wanafunzi!


ndio maanaunabainishiwa kuwa waislam walikuwa wanabaniwa sana na huko Maskuli tulikuwa wachache na Chuo kikuu ndio kabisaa. Sasa watu wanatakaukombozi wapelekwe watu kwaswifa zao sioDini zao.

Lazima kitaeleweka tu na dalili zote zimeshajibainisha.
 
Barubaru,

Hiyo orodha imetaja wajumbe wa kanda cha kuchekesha hata Oscar Kambona, Nsilo Swai, Kanyama Chiume, Hassan Suleiman, Ali Ponda, hawajulikani.


Ritz,

Hakika ashukuriwe sana Al Akhiy Mohamed Said kwa kutujuza mengisana ambayo tulikuwa hatuyajui na mengi yaliyofichwakwamakusudi maalum ya kumpaisha Juu Nyerere katikaHistoria ya Tanganyika.

Molaamzidishia Maalim Mohamed Said kwa ilmu yake na kuyujuza mengi mengine aliyofanyia utafiti.
 
naam,swadakta kabisa..!

Umemjibu vema sana..

"akiwa mchoyo,asiwe mroho"


Ni vizuri kumdarasisha mapema kwani alikuwa anapotoka na kutaka kuipotosha Qur'an ya Allah.Ni wajibu wetu kumsaidia kwakileasoujuzi nacho.

Shukran kwakulionahilo.

Tupopamoja sana
 
Nyerere alilazwa wapi vile kabla hajaonja umauti?

Kawawa alilazwa wapi vile kabla hajaonja umauti?
Mh! zomba, hata pa kulazwa Kawawa tena enzi hizi za Jakaya? Unashusha kiwango chako cha ufikiri kwa sababu ya UDINI? Rashid hakuwa mdini. Huyu ndie WaziriMkuu wa PILI TANGANYIKA huru. Mzee wetu Mohamed hataki hata kulisikia jina hili. Usitake kumuudhi.
 
Ngruvi mimi niliwakomesha waandishi wa Chuo Cha Kivukoni kwa kuandika
kwanza katika Africa Events nikaweka league na Dr Kiwanuka.

Nimekushushia rejea nadhani umeziona.

Baada ya hapo ndiyo nikawabamiza na buku.
Wamenywea mpaka leo.

Sasa nyie mmekalia jamvi tu mnabadilisha mikao.
Kwa humu tutakesha hamtaweza kunishinda.

Andikeni kitabu.
Hicho ndicho labda kitakunusuruni na shari yangu.

Jamaa wapo kazini hivi sasa wanaandika lakini jua
lishakuchwa.

Maghribi inaaingia.
 
Back
Top Bottom