Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Mzee Mwanakijiji,
Hakuna anayekulazimisha kuamiani chochote kwenye kitabu cha Mohamed Said mbona wewe unaamini masimulizi mengi tu ya Nyerere hakuna aliyekumpinga.
Unaamini bila kuona wala kusikia kuwa Nyerere ndiyo kaleta uhuru Tanganyika.
Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo muasisi wa TANU.
Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo kaleta amani Tanganyika.
Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo baba yenu wa Taifa.
Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo kaleta kiswahili Tanzania.
Unaamini bila kuona wala kusikia wazee wa Dar es salaam wote walikuwa wasaidizi wa Nyerere.
Unakubali bila kuona wala kusikia wale wote waliokorofisha na Nyerere walikuwa na makosa.
Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo kawafundisha ustarabu watu Pwani.
Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere aliunda TANU hakiwa TABORA.
Unakubali Nyerere kwako ni MTAKATIFU.
Hakuna anayekulazimisha kuamiani chochote kwenye kitabu cha Mohamed Said mbona wewe unaamini masimulizi mengi tu ya Nyerere hakuna aliyekumpinga.
Unaamini bila kuona wala kusikia kuwa Nyerere ndiyo kaleta uhuru Tanganyika.
Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo muasisi wa TANU.
Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo kaleta amani Tanganyika.
Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo baba yenu wa Taifa.
Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo kaleta kiswahili Tanzania.
Unaamini bila kuona wala kusikia wazee wa Dar es salaam wote walikuwa wasaidizi wa Nyerere.
Unakubali bila kuona wala kusikia wale wote waliokorofisha na Nyerere walikuwa na makosa.
Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere ndiyo kawafundisha ustarabu watu Pwani.
Unaamini bila kuona wala kusikia Nyerere aliunda TANU hakiwa TABORA.
Unakubali Nyerere kwako ni MTAKATIFU.
Last edited by a moderator: