Nijibu basi swali langu. Uislam unalo tatizo la ELIMU? Mwalimu hata ukristo kaletewa ukubwani. Mfumo kristu uliletwa na Wajerumani wakisaidiwa na walowezi akina Sykes. Ukakuzwa na Waingereza. Mwalimu alijitahidi sana kuuvunja. Na katika kufanya vile baadhi ya Masheikh wakajaribu bila mafanikio kuu-replace na mfumoIslam. Mzanaki akawashughulikia kikamilifu. Chuki na historia ya mzee wetu Mohamed inaanzia hapo.WildCard,
Utazunguka kila kona mwisho utarudi pale pale mfumo kirstu umeletwa na Nyerere.
WildCard,
Utazunguka kila kona mwisho utarudi pale pale mfumo kirstu umeletwa na Nyerere.
Uislam hauna tatizo la elimu, aya ya kwanza ya Quran inatuhamlisha Waislam kusoma "Iqra"Nijibu basi swali langu. Uislam unalo tatizo la ELIMU? Mwalimu hata ukristo kaletewa ukubwani. Mfumo kristu uliletwa na Wajerumani wakisaidiwa na walowezi akina Sykes. Ukakuzwa na Waingereza. Mwalimu alijitahidi sana kuuvunja. Na katika kufanya vile baadhi ya Masheikh wakajaribu bila mafanikio kuu-replace na mfumoIslam. Mzanaki akawashughulikia kikamilifu. Chuki na historia ya mzee wetu Mohamed inaanzia hapo.
Tatizo jingine la Uislam ni kuficha kwa saana mapungufu ya DINI hii na yale ya Mtume Mohamad( S.A.W). Hamtatoka mlipo. Endeleeni kuyahamishia matatizo haya kungine au kuyafutika kwenye busati. Hayatatulika!Uislam hauna tatizo la elimu, aya ya kwanza ya Quran inatuhamlisha Waislam kusoma "Iqra"
Oscar Kambona,Chifu Makwaia, nao kawashughulikia kwa mfumoIslam.
Nyerere hakuleta mfumo kristu ndugu, stuks kidogo basi usigande hapo hapo.
Mfumo kristu uliletwa na mjerumani kabla hijafikiriwa kuwa kuna mtu aitwae Julius Nyetere atazaliwa
Mwalimu kazi kuu aliyoifanya baada ya kushika hatamu za uongozi ni kuutoa/kuufutilia mbali mfumo huo.
Ifamikie Mwalimu hakuzaliwa kwenye ukristu wala uislamu. Yeye kazaliwa kwenye dini za asili.
Tatizo jingine la Uislam ni kuficha kwa saana mapungufu ya DINI hii na yale ya Mtume Mohamad( S.A.W). Hamtatoka mlipo. Endeleeni kuyahamishia matatizo haya kungine au kuyafutika kwenye busati. Hayatatulika!
Mfumo kristo utakutawala wewe na vizazi vyako vyote hadi mnaingia kaburini. Kama mimi muongo kamuulize mzee wa magogoni. Wafia dini mtakoma mwaka huu.Hayo yote yalikuwa yanafanyika kutokana na uvumilivu wa Waislam hakuna kingine.
Tembo akikanyanga mkia wa Panya ukaulizwa nani ana makosa huwezi kusema hauna upande.
Yaani mashuleni mmechaguliwa nyie kuendelea na elimu vyuo vikuu mmejaa nyie ajira serikalini mmejaa nyie hiyo ndiyo Tanzania tuliyoachiwa na Nyerere.
Tatizo nyie Wakiristo mnaona kama mnatufanyia hisani sisi Waislam.
sidhani kama umechanganya na za kwako; unazitumia za Mohammed Said na unaamini anasema kweli na hivyo hutaki kuhoji msingi wa ukweli huo ni nini. Miye nimekusaidia tu kukufungua mawazo kuwa mtu akidai kitu haijalishi ni nani, haijalishi dai lake limekaa bila kuulizwa kwa miaka mingapi na haijlishi hata kama amepata tuzo kama siyo ukweli bado siyo ukweli.
Hata hivi sasa tunavyozungumza unaonekana umeamini alichosema Mohammed Said lakini nikikukuliza wewe maswali ya hicho ulichosoma hutakuwa na majibu zaidi ya kukimbilia kujihami kwenye maandishi ya Mohammed Said.
Huyu Padre wamekutana ukubwani tu. Mwalimu akijilea mwenyewe tayari. Ukatoliki wa Mwalimu ulikomaa alipomwoa Maria.Habari za Kambarage wewe huzijui. Nyerere kalelewa na Father Richard Walsh. Na ndiyo aliyempatia nafasi ya masomo Scotland.
Unategemea nini hapo Father Richard Walsh alikuwa na ushawishi mkubwa katika maisha na fikra za Nyerere.
Ach kupotosha unataka kumtoa Nyerere kwenye Ukisto wake.
Ndugu usipotoshe juu ya nilichokisema, kasisi Richard na Mwalimu Nyerere wamekutana ukubwani tu,Habari za Kambarage wewe huzijui. Nyerere kalelewa na Father Richard Walsh. Na ndiyo aliyempatia nafasi ya masomo Scotland.
Unategemea nini hapo Father Richard Walsh alikuwa na ushawishi mkubwa katika maisha na fikra za Nyerere.
Acha kupotosha unataka kumtoa Nyerere kwenye Ukisto wake.
Unaweza kulelewa na Father Kanisani halafu usiwe Mkiristu.
Siyo kweli, mfumo kristo uliletwa na wakoloni kwa kuwa walikuwa wajanja na wamesoma. Waarabu walikuwa mabwege na hawajasoma. Unalo hilo babu mfumo kristo utakutawala hadi ukome...na sasa wanaume wanajiandaa kuipiga IraniWildCard,
Utazunguka kila kona mwisho utarudi pale pale mfumo kirstu umeletwa na Nyerere.
OK mwenyewe alinyamaza hadi anakufa kama wazee wake Mohamed. Nisingependa kumsemea. Anayo familia yake. Tuwaulize hao.Umeamia tena kwa Mtume.
Nijibu basi na mimi swali langu la Oscar Kambona.
Huyu Padre wamekutana ukubwani tu. Mwalimu akijilea mwenyewe tayari. Ukatoliki wa Mwalimu ulikomaa alipomwoa Maria.
Mara baada ya kitu kinaitwa SACRAMENTI ya KIPAIMARA. Umewahi kusikia hilo? Ukioa au kuwa mtawa. padre unakomaa zaidi. Kote huko unapitia mafunzo ya kukukomaza.Ili ukatoliki wako ukomae unatakiwa uwe na umri gani?
OK mwenyewe alinyamaza hadi anakufa kama wazee wake Mohamed. Nisingependa kumsemea. Anayo familia yake. Tuwaulize hao.
Mara baada ya kitu kinaitwa SACRAMENTI ya KIPAIMARA. Umewahi kusikia hilo? Ukioa au kuwa mtawa. padre unakomaa zaidi. Kote huko unapitia mafunzo ya kukukomaza.
Sijawahi kumsemea OK, Ritz. Yupo mke na binti yake waongeaji wazuri tu watafute hao. Sitaki kuwa kama mzee wetu Mohamed na simulizi za wazee wake na DINI yao!Kumbe unachagua vitu vya kumsemea mbona maswala ya Waislam unamsemea labda tufahamishe kabla ajakufa alisema nini kuhusu Waislam au hayo maneno unayosema wewe ndiyo maneno yake ya mwisho kabla mauti.
Kumbe! Ukatoliki ni hatua baada ya nyingine ukianza na kubatizwa. Asingeweza kufunga ndoa na Maria kabla ya kupata sacramenti ya Kipaimara. Ukatoliki uko "well organised". Ukisikia MfumoKristo anaolia nao Mzee Mohamed asili yake ni Ukatoliki. Wenyewe wanajivunia sana mfumo huu. Ni imara na unadumu sana kwa sababu umeboreshwa sana na ELIMU.Nyerere kapita huko kote?