Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,357
Nijibu basi swali langu. Uislam unalo tatizo la ELIMU? Mwalimu hata ukristo kaletewa ukubwani. Mfumo kristu uliletwa na Wajerumani wakisaidiwa na walowezi akina Sykes. Ukakuzwa na Waingereza. Mwalimu alijitahidi sana kuuvunja. Na katika kufanya vile baadhi ya Masheikh wakajaribu bila mafanikio kuu-replace na mfumoIslam. Mzanaki akawashughulikia kikamilifu. Chuki na historia ya mzee wetu Mohamed inaanzia hapo.
Mkuu WildCard
umeeleza vizuri sana nadhani Hapa kuna Tatizo la uelewa au ni Makusudi tu.,
Nyerere alishalizungumza mara nyingi hilo la Waislamu kuachwa Nyuma kielimu na ndio kisa cha kuzitaifiahsa shule na mahospital ya kanisa ili viwe vya umma
Watu wanashindwaje kujua Mzee Mwinyi ndiye aliyerudisha "MfumoKristu" Tanzania, yeye ndiye aliyerudisha shule na Mahospital kwa makanisa,
na ndipo Nyerere alipokuwa anasema baada ya kuchagua mabaya yake na Kuyarekebisha basi wanayachukua yale mema na kuyafanyia marekebisho