Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mzee Said, kuna wakati ambapo Dossa Aziz na Mtevu walikuwa wanagombea wakiwa pande mbili tofauti? Naomba utusimilie kidogo kisa chao.

Wewe si mjuzi wa historia, kwanini husimulii?

Unanikumbusha kisa cha kuku. (kupekua hapohapo, kula hapohapo na kunya hapohapo).

Hao kina Dossa Aziz na Mtemvu uliwasoma kitabu kipi hata ukawajuwa?
 
Ukishaandika au ukisema kitu kwa kuegemea DINI au KABILA utapata wafuasi wa dini yako au kabila yako! Siamini watu kama Ritz, zomba, hawajaona kasoro, dosari, uongo wowote kwenye historia ya Mzee Mohamed. Watakuwa hawazitendei haki nyoyo na nafsi zao!

Sisi tunaomkosoa Mzee Mohamed hatupingi kila kitu alichokiandika. Tunapinga UDINI wake na udini anaowapakazia wazee wake na Mwalimu. Mchango wa kuanzisha TANU na kudai uhuru wa Tanganyika wa wazee wake hawa ulianzia Kipata na kuishia New Street. Mwalimu ndie aliyekwenda bara. Mwalimu ndie aliyekwenda UNO. Wazee wake hawa walitafuta nauli, wengine wakamhifadhi majumbani mwao. Wengine wakampelekea chakula Magomeni. Wengine wakamfanyia tambiko.

Leo ya ngapi? mmeshindwa kuonesha uchochezi wala kasoro, sasa mwenzako kaanza kukiri ukweli huku nafsi inamsuta, msome vizuri:

quote_icon.png
By Mzee Mwanakijiji
Ni kweli anachotoa ni simulizi ambapo ndani yake kuna utamu na ukweli.. na manjonjo..
 
WC,

Usemalo wewe leo mimi nimeandika miaka mingi.

Tatizo ni kuwa ili uielewe historia ya TANU hapo New Street
watu wa karibu sana wawezo kukupa taarifa na nyaraka ni
akina Sykes.

Hebu soma hapo kutoka ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes...'':

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]Among the TANU founding members, it is only those from the headquarters who could give a correct account of the formation of the Party.

These are: John Rupia, Dossa Aziz, Tewa Said Tewa, Julius Nyerere, Dome Budohi, Abdulwahid and Ally Sykes.

The two Sykes brothers, Abdulwahid and Ally, have a family connection in the African Association, their father Kleist Sykes having been founder Secretary of the Association in 1929.

The Sykes files make very interesting reading for any researcher in the political history of colonial Tanganyika. These records contain information on Nyerere's early political career and it is surprising that when Party historians were researching, these records, which have so much information about Nyerere, and the party itself, were not consulted.

No member of the family, including Ally and Abbas Sykes, the two surviving members of the three Sykes brothers, were interviewed.

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"]In the late 1960s, when John Iliffe from Cambridge University, then at the Department of History, University of Dar es Salaam, began his research on Tanzania's history he obtained a lot of information on the African Association from one of his students, Aisha Daisy Sykes, Abdulwahid's daughter.

Although Daisy informed Iliffe that it was her father who provided her with additional primary information articulated in her history seminar papers on Tanzania, it is very strange that Iliffe, interested as he was in the modern history of Tanzania, did not bother to meet Abdulwahid.

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"]Iliffe, however, realising the potential in the Sykes' records encouraged Daisy to write a biography of her grandfather, Kleist Sykes[1] which she did.

When Abdulwahid died in 1968, Daisy, encouraged by the success of her previous work, wanted to work on the biography of her late father.

Daisy was fired by the passion to write after realising that history had been unfair to her father and it was time she put the record straight.

Daisy had in her possession Abdulwahid's files and diaries. Iliffe, for reasons probably unknown to Daisy at that time, discouraged her from writing on the grounds that the timing was inappropriate, and that the subject should be given time.

There was no doubt in Iliffe's mind that Abdulwahid was a reliable source of information on TANU and its history; and any work on his life history would have been a great contribution to the political history of Tanzania. Following Iliffe's negative response Abdulwahid's biography was never to be written by her daughter.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1] Daisy Sykes Buruku, ‘The Townsman: Kleist Sykes', in Iliffe (ed) Modern Tanzanians, Nairobi, 1973, pp.
95-114.

Ni kama nilivyokushangaa pale uliposhindwa ku-consult katiba za AA, TAA na mbaya zaidi ile ya TANU ya kwanza kabisa. Halafu unatutajia watu na vyeo vyao bila kujua walivipataje! Ni "simulizi za wazee wangu" kwa kwenda mbele!
 
"Although Daisy informed Iliffe that it was her father who provided her with additional primary information articulated in her history seminar papers on Tanzania, it is very strange that Iliffe, interested as he was in the modern history of Tanzania, did not bother to meet Abdulwahid"

Mzee Mohamed,
Did you bother to meet Mwalimu?
 
zubeda
Adam Nassib amefariki muda mrefu
Moja ya nyumba zake ipo magomeni mtaa wa ifunda

Dada yangu Bi Zubeda.
Umeniuliza maswali mengi na yote Alhamdulilah nayajua.

Ili tusichanganye mambo hebu Insha Allah tuanze na Sheikh Kassim
na nitakupa kwa uchache ( excerpts) kutoka kwenye mada niliyowasilisha
Chuo Kikuu Cha Kenyatta, Nairobu 2006 ''Al Maruhum Sheikh
Kassim bin Juma (1940 - 1994).''

At this juncture Sheikh Kassims khutbas were melancholy and sad at times mentioning the names of Muslim patriots who had supported Nyerere during the struggle for independence but their roles have not been requited.

He also mentioned Muslims who have betrayed fellow Muslims selling themselves to the government. In one of his memorable and most popular Jumaa khutba which his supporters have labelled as Leo Nitataja Majina (Today I Will Mention Names) Sheikh Kassim bin Juma talked about the patriotism of the late Abdulwahid Sykes and his support to Nyerere and TANU.

He told his audience how upon the death of Abdulwahid he was asked by the family to prepare his body for burial which he did together with Maalim Matar.

Maalim Matar was a victim of the Detention Act detained.

Maalim Matar was in no way involved in politics.

He was known in Dar es Salaam and Zanzibar for his piety and love of the Prophet SAW and for teaching Qur'an. In any Maulid he attended Maalim Matar would be given the honour recite the fatha signalling the beginning of Maulid.

Maalim Matar was a sufi and a very likeable character. He always carried a tasbih for dhikr.

He never indulged himself in politics but was nevertheless detained by Nyerere seemingly for no apparent reason.


The mention of Maalim Matar was therefore not without meaning.

Sheikh Kassim was in the game for too long not to have known that his khutbas were being monitored and Nyerere was listening in. Sheikh Kassim wanted purposely to embarrass Nyerere.

Nyerere after being in full control of the country he severed his tie with Abdulwahid Sykes and other patriots who founded TANU.

Nyerere did not want to recognise nor honour the contribution of Sykes in the founding of TANU although the party can be traced from his father who was the founding secretary of the African Association the predecessor of TANU.

Sheikh Kassim was in other words defying Nyerere. Sheikh Kassim knew Nyerere's psychology. The mention of Abdulwahid associating his name with Nyerere's rise to power was like a sword piercing through Nyerere's heart.

Nyerere never mentioned the patriots who were in politics before him because he wanted the people to adore him and him alone as the founding father.

It was clear that Sheikh Kassim was exposing him to Muslims as a swindler and an ungrateful guest who after enjoying the hospitality of his host spit on his face.

In the last days of his life Sheikh Kassim was a person tormented and in deep anguish. His mind was reflecting of where he had come from and needed to undo certain memories.

Sheikh Kassim knew he had dented the government and Nyerere's reputation and confidence before the eyes of Muslims. Sheikh Kassim bin Juma had built a very strong case against Nyerere, Church and government.


After his arrests Sheikh Kassim was detained at a military camp in Monduli, a few miles from Arusha town and was later flown back to Dar es Salaam under heavy escort.

Sheikh Kassim was to reveal to his close confidants that his captors were under instructions to torture him.

At the military camp in Monduli he was to witness many horrifying scenes.

While in remand he was put under solitary confinement and denied medical attention.

When he was brought back to Dar es Salaam from Monduli Sheikh Kassim was received by the Field Force Unit like a dangerous criminal and escorted to his house in Upanga where his house was searched.

While the police were conducting the search and going through his library they took that opportunity to ridicule him by uttering degrading words.

The police found nothing but took away his Jumaa Khutbas which they claimed were subversive.[1] Sheikh Kassim was brought before the court and charged for 'inciting religious animosity between Muslims and Christians."[2]


[1] Bahari, 11 Februari, 1993.


[2] Criminal Case No. 994 of 1993 Republic v/s 1. Sheikh Kassim bin Jumaa bin Khamis 2. Khalifa Khamisi 3. Alhaj Abubakar Mwaipopo.
 
zubeda
Adam Nassib amefariki muda mrefu
Moja ya nyumba zake ipo magomeni mtaa wa ifunda

Dada yangu Bi Zubeda.
Umeniuliza maswali mengi na yote Alhamdulilah nayajua.

Ili tusichanganye mambo hebu Insha Allah tuanze na Sheikh Kassim
na nitakupa kwa uchache ( excerpts) kutoka kwenye mada niliyowasilisha
Chuo Kikuu Cha Kenyatta, Nairobu 2006 ''Al Maruhum SheikhKassim bin Juma
(1940 - 1994).''

''...at this juncture Sheikh Kassims khutbas were melancholy and sad at times
mentioning the names of Muslim patriots who had supported Nyerere during
the struggle for independence but their roles have not been requited.

He also mentioned Muslims who have betrayed fellow Muslims selling themselves
to the government.

In one of his memorable and most popular Jumaa khutba which his supporters
have labelled as Leo Nitataja Majina (Today I Will Mention Names) Sheikh Kassim
bin Juma talked about the patriotism of the late Abdulwahid Sykes and his support
to Nyerere and TANU.

He told his audience how upon the death of Abdulwahid he was asked by the family
to prepare his body for burial which he did together with Maalim Matar.

Maalim Matar was a victim of the Detention Act of 1962.

Maalim Matar was in no way involved in politics.

He was known in Dar es Salaam and Zanzibar for his piety and love of the Prophet
SAW and for teaching Qur'an. In any Maulid he attended Maalim Matar would be given
the honour recite the fatha signalling the beginning of Maulid.

Maalim Matar was a sufi and a very likeable character. He always carried a tasbih for dhikr.

He never indulged himself in politics but was nevertheless detained by Nyerere seemingly
for no apparent reason.


The mention of Maalim Matar was therefore not without meaning.

Sheikh Kassim was in the game for too long not to have known that his khutbas were being
monitored and Nyerere was listening in. Sheikh Kassim wanted purposely to embarrass Nyerere.

Nyerere after being in full control of the country he severed his tie with Abdulwahid Sykes and
other patriots who founded TANU.

Nyerere did not want to recognise nor honour the contribution of Sykes in the founding of TANU
although the party can be traced from his father who was the founding secretary of the African
Association the predecessor of TANU.

Sheikh Kassim was in other words defying Nyerere. Sheikh Kassim knew Nyerere's psychology.
The mention of Abdulwahid associating his name with Nyerere's rise to power was like a sword
piercing through Nyerere's heart.

Nyerere never mentioned the patriots who were in politics before him because he wanted the
people to adore him and him alone as the founding father.

It was clear that Sheikh Kassim was exposing him to Muslims as an ungrateful guest
who after enjoying the hospitality of his host spit on his face.

In the last days of his life Sheikh Kassim was a person tormented and in deep anguish.
His mind was reflecting of where he had come from and needed to undo certain memories.

Sheikh Kassim knew he had dented the government and Nyerere's reputation and confidence
before the eyes of Muslims. Sheikh Kassim bin Juma had built a very strong case against Nyerere,
Church and government.


After his arrests Sheikh Kassim was detained at a military camp in Monduli, a few miles from Arusha
town and was later flown back to Dar es Salaam under heavy escort.

Sheikh Kassim was to reveal to his close confidants that his captors were under instructions to
torture him.

At the military camp in Monduli he was to witness many horrifying scenes.

While in remand he was put under solitary confinement and denied medical attention.

When he was brought back to Dar es Salaam from Monduli Sheikh Kassim was received by the Field
Force Unit like a dangerous criminal and escorted to his house in Upanga where his house was searched.

While the police were conducting the search and going through his library they took that opportunity to
ridicule him by uttering degrading words.

The police found nothing but took away his Jumaa Khutbas which they claimed were subversive.[1] Sheikh
Kassim was brought before the court and charged for 'inciting religious animosity between Muslims and
Christians."[2]


[1] Bahari, 11 Februari, 1993.

[2] Criminal Case No. 994 of 1993 Republic v/s 1. Sheikh Kassim bin Jumaa bin Khamis 2. Khalifa Khamisi
3. Alhaj Abubakar Mwaipopo.
 
Dada yangu Bi Zubeda.
Umeniuliza maswali mengi na yote Alhamdulilah nayajua.

Ili tusichanganye mambo hebu Insha Allah tuanze na Sheikh Kassim
na nitakupa kwa uchache ( excerpts) kutoka kwenye mada niliyowasilisha
Chuo Kikuu Cha Kenyatta, Nairobu 2006 ''Al Maruhum Sheikh
Kassim bin Juma (1940 - 1994).''

At this juncture Sheikh Kassims khutbas were melancholy and sad at times mentioning the names of Muslim patriots who had supported Nyerere during the struggle for independence but their roles have not been requited.

He also mentioned Muslims who have betrayed fellow Muslims selling themselves to the government. In one of his memorable and most popular Jumaa khutba which his supporters have labelled as Leo Nitataja Majina (Today I Will Mention Names) Sheikh Kassim bin Juma talked about the patriotism of the late Abdulwahid Sykes and his support to Nyerere and TANU.

He told his audience how upon the death of Abdulwahid he was asked by the family to prepare his body for burial which he did together with Maalim Matar.

Maalim Matar was a victim of the Detention Act detained.

Maalim Matar was in no way involved in politics.

He was known in Dar es Salaam and Zanzibar for his piety and love of the Prophet SAW and for teaching Qur’an. In any Maulid he attended Maalim Matar would be given the honour recite the fatha signalling the beginning of Maulid.

Maalim Matar was a sufi and a very likeable character. He always carried a tasbih for dhikr.

He never indulged himself in politics but was nevertheless detained by Nyerere seemingly for no apparent reason.

The mention of Maalim Matar was therefore not without meaning.

Sheikh Kassim was in the game for too long not to have known that his khutbas were being monitored and Nyerere was listening in. Sheikh Kassim wanted purposely to embarrass Nyerere.

Nyerere after being in full control of the country he severed his tie with Abdulwahid Sykes and other patriots who founded TANU.

Nyerere did not want to recognise nor honour the contribution of Sykes in the founding of TANU although the party can be traced from his father who was the founding secretary of the African Association the predecessor of TANU.

Sheikh Kassim was in other words defying Nyerere. Sheikh Kassim knew Nyerere’s psychology. The mention of Abdulwahid associating his name with Nyerere’s rise to power was like a sword piercing through Nyerere’s heart.

Nyerere never mentioned the patriots who were in politics before him because he wanted the people to adore him and him alone as the founding father.

It was clear that Sheikh Kassim was exposing him to Muslims as a swindler and an ungrateful guest who after enjoying the hospitality of his host spit on his face.

In the last days of his life Sheikh Kassim was a person tormented and in deep anguish. His mind was reflecting of where he had come from and needed to undo certain memories.

Sheikh Kassim knew he had dented the government and Nyerere's reputation and confidence before the eyes of Muslims. Sheikh Kassim bin Juma had built a very strong case against Nyerere, Church and government.

After his arrests Sheikh Kassim was detained at a military camp in Monduli, a few miles from Arusha town and was later flown back to Dar es Salaam under heavy escort.

Sheikh Kassim was to reveal to his close confidants that his captors were under instructions to torture him.

At the military camp in Monduli he was to witness many horrifying scenes.

While in remand he was put under solitary confinement and denied medical attention.

When he was brought back to Dar es Salaam from Monduli Sheikh Kassim was received by the Field Force Unit like a dangerous criminal and escorted to his house in Upanga where his house was searched.

While the police were conducting the search and going through his library they took that opportunity to ridicule him by uttering degrading words.

The police found nothing but took away his Jumaa Khutbas which they claimed were subversive.[1] Sheikh Kassim was brought before the court and charged for 'inciting religious animosity between Muslims and Christians.”[2]

[1] Bahari, 11 Februari, 1993.


[2] Criminal Case No. 994 of 1993 Republic v/s 1. Sheikh Kassim bin Jumaa bin Khamis 2. Khalifa Khamisi 3. Alhaj Abubakar Mwaipopo.

Mzanaki hakuwa na mchezo kwa WADINI. Sio hawa akina Jakaya wanaovizia zawadi ya Mo Ibrahim.
 
"Although Daisy informed Iliffe that it was her father who provided her with additional primary information articulated in her history seminar papers on Tanzania, it is very strange that Iliffe, interested as he was in the modern history of Tanzania, did not bother to meet Abdulwahid"

Mzee Mohamed,
Did you bother to meet Mwalimu?

WC,

Why should I bother?
 
Mzanaki hakuwa na mchezo kwa WADINI. Sio hawa akina Jakaya wanaovizia zawadi ya Mo Ibrahim.

WC,

Hakika hakuwa na mchezo na WADINI.
Aliupenda sana Ukatoliki wake na Uislam ulimtia sana hofu.

Msome hapa chini Sivalon:

The second book is by Dr John C. Sivalon, who in his expose, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, [1] unmasks a conspiracy in the government to subvert Islam. Sivalon revealed that the Catholic Church as far back as 1961 was worried by two prospects.

First, was the unity between the Muslim madhheb (sect) of Sunni, Bohora, Ismailia and Ithnasheri in Tanganyika; and the second, was the transfer of the headquarters of the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) from Mombasa to Dar es Salaam.

The Church was worried that the resources in the hands of rich Asian Muslim community in East Africa, coupled with the political power of African Muslims, particularly in Tanganyika, would endanger Christian interests in East Africa. The Church therefore declared Islam as its enemy in the country and plotted to thwart its progress.[2]


[1] John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, (Ndanda, 1992).

[2]Ibid. p 37.
 
Ni kama nilivyokushangaa pale uliposhindwa ku-consult katiba za AA, TAA na mbaya zaidi ile ya TANU ya kwanza kabisa. Halafu unatutajia watu na vyeo vyao bila kujua walivipataje! Ni "simulizi za wazee wangu" kwa kwenda mbele!


WC,

Twende mbele ndugu yangu haya ni madogo
nina mengi hutaki kuyasikia?
 
WC,

Hakika hakuwa na mchezo na WADINI.
Aliupenda sana Ukatoliki wake na Uislam ulimtia sana hofu.

Msome hapa chini Sivalon:

The second book is by Dr John C. Sivalon, who in his expose, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, [1] unmasks a conspiracy in the government to subvert Islam. Sivalon revealed that the Catholic Church as far back as 1961 was worried by two prospects.

First, was the unity between the Muslim madhheb (sect) of Sunni, Bohora, Ismailia and Ithnasheri in Tanganyika; and the second, was the transfer of the headquarters of the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) from Mombasa to Dar es Salaam.

The Church was worried that the resources in the hands of rich Asian Muslim community in East Africa, coupled with the political power of African Muslims, particularly in Tanganyika, would endanger Christian interests in East Africa. The Church therefore declared Islam as its enemy in the country and plotted to thwart its progress.[2]

[1] John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, (Ndanda, 1992).

[2]Ibid. p 37.
Uislam haukuwahi kumtia hofu hata kidogo. Tangu anakuwa Rais wa Tanganyika na baadae Tanzania, Makamu wake alikuwa Muislam muda wote. Wala asingeunganisha Tanganyika na Zanzibar yenye Waislam 99.9% hata kwa shinikizo la nani.

Au Waislam hawa aliofanya nao kazi ndio wale unaowaita wa BAKWATA?
 
Very very strange. Interested as you were in the history of TANU and Tanganyika did not bother to meet Mwalimu!

My area of interest was from 1929 when AA was founded
to 1954.

Mwalimu came to Dar es Salaam in 1952 and was received
by Abdu Sykes.

I read all about Nyerere in Sykes' files.

But most important I did not want to embarass him.

I knew how sensitive he was to be associated with
his Gerezani past and TANU history.
 
My area of interest was from 1929 when AA was founded
to 1954.

Mwalimu came to Dar es Salaam in 1952 and was received
by Abdu Sykes.

I read all about Nyerere in Sykes' files.

But most important I did not want to embarass him.

I knew how sensitive he was to be associated with
his Gerezani past and TANU history.
Ulichokiandika kuhusu yeye bila kum-consult hakikumu-embarass! Wazee wako ukawapa nafasi ya kuwahoji. Ukasoma mafaili yao. Baadae ukamweka Mwalimu golini. Ukaanza kupiga penati tena kwa kurudia zile unazokosa!
 
Uislam haukuwahi kumtia hofu hata kidogo. Tangu anakuwa Rais wa Tanganyika na baadae Tanzania, Makamu wake alikuwa Muislam muda wote. Wala asingeunganisha Tanganyika na Zanzibar yenye Waislam 99.9% hata kwa shinikizo la nani.

Au Waislam hawa aliofanya nao kazi ndio wale unaowaita wa BAKWATA?

WC,

Kwenye kitabu changu sehemu ya tatu nimeiita ''Njama Dhidi ya Uislam.''

Ukiwa unataka maelezo ya upande wangu jinsi Nyerere alivyokuwa na
hofu na Uislam soma sehemu hiyo.

Uzuri wa mambo hayo ni kuwa kila mtu ana uhuru wa kueleza jambo lile
lile moja kwa mtazamo wake.

Wewe umesema kuwa hakuwa na hofu na Waislam kwa kuwa alikuwa na
makamu Muislam.

Mimi katika kitabu nimeeleza kwanza ile nguvu ya Waislam aliyoishuhudia
wakati wa kupigania uhuru.

Hii ilimtia hofu ikiwa itageuka kupambana na yeye.

Nikaendelea na juhudi za Waislam chini ya EAMWS kutaka kujenga taasisi
za elimu nk.

Hayo ya BAKWATA yote nimeyaeleza kwa kirefu sana na jinsi vyombo vya
dola vilivyotumika kutoa hongo kwa ''masheikh'' mikoani.

Nimetaja mpaka majina ya waliohusika na mambo hayo akina Geofrey Sawaya
Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai aliyekuwa akitembea na mikoba iliyojaa fedha
kuwahonga ''masheikh'' waikubali BAKWATA.

Nk. nk. nk.

Mimi namshukuru Allah kwa leo hii kupata fursa ya kueleza mambo kwa upande
wa Waislam.

Kwa nini Sheikh Hassan bin Amir ilibidi afukuzwe kwa nini Waislam hawaruhisiwi
kujioganaizi nje ya BAKWATA.

Hizi zote ni kheri na fadhila za Allah.
Wapi ningesemea haya tena kwa hadhira ya Wakristo kama nyie.

Siku moja nimekaa msikitini kwa mbali nikawa naimba kasda ya kumsifu
Mtume SAW mara naona mzee mmoja pembeni yangu kaipokea tukawa
tunaimba sote.

Ghafla naona kanyamaza anabubujikwa na machozi.

Ananiambia, ''Ah bwana mdogo umenikumbusha Sheikh Hassan bin Amir
akiipenda sana kasda hii...''
 
Ulichokiandika kuhusu yeye bila kum-consult hakikumu-embarass! Wazee wako ukawapa nafasi ya kuwahoji. Ukasoma mafaili yao. Baadae ukamweka Mwalimu golini. Ukaanza kupiga penati tena kwa kurudia zile unazokosa!

WC,

Kuna mambo huyajui.
Wakati ukifika nitayaeleza Insha Allah.

Oxford Univeristy Press walituma mtu kuhusu kuandika
maisha ya Nyerere...

Ningehusika kwa njia moja au nyingine...
Najua nini kilitokea...
 
WC,

Kwenye kitabu changu sehemu ya tatu nimeiita ''Njama Dhidi ya Uislam.''

Ukiwa unataka maelezo ya upande wangu jinsi Nyerere alivyokuwa na
hofu na Uislam soma sehemu hiyo.

Uzuri wa mambo hayo ni kuwa kila mtu ana uhuru wa kueleza jambo lile
lile moja kwa mtazamo wake.

Wewe umesema kuwa hakuwa na hofu na Waislam kwa kuwa alikuwa na
makamu Muislam.

Mimi katika kitabu nimeeleza kwanza ile nguvu ya Waislam aliyoishuhudia
wakati wa kupigania uhuru.

Hii ilimtia hofu ikiwa itageuka kupambana na yeye.

Nikaendelea na juhudi za Waislam chini ya EAMWS kutaka kujenga taasisi
za elimu nk.

Hayo ya BAKWATA yote nimeyaeleza kwa kirefu sana na jinsi vyombo vya
dola vilivyotumika kutoa hongo kwa ''masheikh'' mikoani.

Nimetaja mpaka majina ya waliohusika na mambo hayo akina Geofrey Sawaya
Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai aliyekuwa akitembea na mikoba iliyojaa fedha
kuwahonga ''masheikh'' waikubali BAKWATA.

Nk. nk. nk.

Mimi namshukuru Allah kwa leo hii kupata fursa ya kueleza mambo kwa upande
wa Waislam.

Kwa nini Sheikh Hassan bin Amir ilibidi afukuzwe kwa nini Waislam hawaruhisiwi
kujioganaizi nje ya BAKWATA.

Hizi zote ni kheri na fadhila za Allah.
Wapi ningesemea haya tena kwa hadhira ya Wakristo kama nyie.

Siku moja nimekaa msikitini kwa mbali nikawa naimba kasda ya kumsifu
Mtume SAW mara naona mzee mmoja pembeni yangu kaipokea tukawa
tunaimba sote.

Ghafla naona kanyamaza anabubujikwa na machozi.

Ananiambia, ''Ah bwana mdogo umenikumbusha Sheikh Hassan bin Amir
akiipenda sana kasda hii...''
Waislam hawaruhusiwi kuji-organise nje ya BAKWATA! Hapana Mzee Mohamed. Uko nje ya ngome yako kuu Kariakoo. Sheikh Hassan bin Amir aliamriwa kurudi kwao. Akayafanye haya aliotaka kuyafanya hapa kwetu. Sikumsikia tena. EAMWS nayo iliamriwa irudi kwao. Ikayafanye haya iliyotaka kuyafanya hapa kwetu. Ikafa kifo cha kawaida hukohuko kwao. Hicho ChuoKikuu walichotaka kujenga pale Chang'ombe walishindwaje kukijenga kungineko kama Mombasa?

Mzee Mohamed, Mwalimu kwa kweli aliupenda Ukatoliki wake yeye binafsi. Hakumchukia mtu wa DINI wala dhehebu jingine. Aliweza sana kutenganisha Ukatoliki wake na UONGOZI wake wa nchi na chama. Mafaili ya wazee wako yalikudanganya sana.
 
Waislam hawaruhusiwi kuji-organise nje ya BAKWATA! Hapana Mzee Mohamed. Uko nje ya ngome yako kuu Kariakoo. Sheikh Hassan bin Amir aliamriwa kurudi kwao. Akayafanye haya aliotaka kuyafanya hapa kwetu. Sikumsikia tena. EAMWS nayo iliamriwa irudi kwao. Ikayafanye haya iliyotaka kuyafanya hapa kwetu. Ikafa kifo cha kawaida hukohuko kwao. Hicho ChuoKikuu walichotaka kujenga pale Chang'ombe walishindwaje kukijenga kungineko kama Mombasa?

Mzee Mohamed, Mwalimu kwa kweli aliupenda Ukatoliki wake yeye binafsi. Hakumchukia mtu wa DINI wala dhehebu jingine. Aliweza sana kutenganisha Ukatoliki wake na UONGOZI wake wa nchi na chama. Mafaili ya wazee wako yalikudanganya sana.

WC,

Sawa.

Huo ni upande wenu na umedumu kwa miaka mingi mkisema pweke na msema pweke
hushinda.

Sasa nimeandika kitabu nimeeleza mambo kama yalivyokuwa kwa upande wa Waislam.
Leo Waislam wamesikia nini kilitokea na wameelewa.

Nina mengi ya kusema hutaki kuyasikia?
 
hakika una ngano tamu.
WC,

Kwenye kitabu changu sehemu ya tatu nimeiita ''Njama Dhidi ya Uislam.''

Ukiwa unataka maelezo ya upande wangu jinsi Nyerere alivyokuwa na
hofu na Uislam soma sehemu hiyo.

Uzuri wa mambo hayo ni kuwa kila mtu ana uhuru wa kueleza jambo lile
lile moja kwa mtazamo wake.

Wewe umesema kuwa hakuwa na hofu na Waislam kwa kuwa alikuwa na
makamu Muislam.

Mimi katika kitabu nimeeleza kwanza ile nguvu ya Waislam aliyoishuhudia
wakati wa kupigania uhuru.

Hii ilimtia hofu ikiwa itageuka kupambana na yeye.

Nikaendelea na juhudi za Waislam chini ya EAMWS kutaka kujenga taasisi
za elimu nk.

Hayo ya BAKWATA yote nimeyaeleza kwa kirefu sana na jinsi vyombo vya
dola vilivyotumika kutoa hongo kwa ''masheikh'' mikoani.

Nimetaja mpaka majina ya waliohusika na mambo hayo akina Geofrey Sawaya
Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai aliyekuwa akitembea na mikoba iliyojaa fedha
kuwahonga ''masheikh'' waikubali BAKWATA.

Nk. nk. nk.

Mimi namshukuru Allah kwa leo hii kupata fursa ya kueleza mambo kwa upande
wa Waislam.

Kwa nini Sheikh Hassan bin Amir ilibidi afukuzwe kwa nini Waislam hawaruhisiwi
kujioganaizi nje ya BAKWATA.

Hizi zote ni kheri na fadhila za Allah.
Wapi ningesemea haya tena kwa hadhira ya Wakristo kama nyie.

Siku moja nimekaa msikitini kwa mbali nikawa naimba kasda ya kumsifu
Mtume SAW mara naona mzee mmoja pembeni yangu kaipokea tukawa
tunaimba sote.

Ghafla naona kanyamaza anabubujikwa na machozi.

Ananiambia, ''Ah bwana mdogo umenikumbusha Sheikh Hassan bin Amir
akiipenda sana kasda hii...''
 
Back
Top Bottom