Alhamdulilah mzee wangu Mohamed Said ni kwanini unapandikiza sumu ya udini kwenye taifa letu tukufu?
Alhamdulilah mzee wangu Mohamed Said ni kwanini unapandikiza sumu ya udini kwenye taifa letu tukufu?[/QUOTE
Z,
Sithubutu kufanya hivyo ni kinyume cha Uislam.
Jitahidi ujue kilio chetu Waislam.
Soma kitabu changu ujue tulikotoka.
Majibu yote yamo humo.
hizo dhulma zilifanywa na nani?Hivi kueleza dhulma walizofanyiwa Waislam ni kupandika sumu.
hizo dhulma zilifanywa na nani?
hahahahahaha! acha mambo yako Ritz , niambie nani alifanya au anafanya hizo dhulma dhidi ya waislam na uislam?
Tuliowakumbatia vifuani mwetu kuwafanya rafiki zetu na ndugu zetu tukawaweka makwetu tukala nao chakula chetu tukalala nao majumbani mwetu tukawapa siri zetu wakavaa nguzo zetu tukawajulisha kwa watu wetu tukiamini kuwa ni wenzetu.
Wanahangaika, wanahaha, kuzitafuta kasoro, mwisho wake wanaishia patupu. Jamani msioupenda ukweli, hebu kuleni hili darsa dogo:
Qur'an 17:81
Sahih International
And say, "Truth has come, and falsehood has departed. Indeed is falsehood, [by nature], ever bound to depart."
Swahili
Na sema: Kweli imefika, na uwongo umetoweka. Hakika uwongo lazima utoweke!
Wewe ni Futuhi wa JF endelea kutupa burudani wakati tunafanya munakasha wewe ni wakukusoma na kukupuuza kukujibu wewe ni kujidhalilisha nimejishusha sana kukujibu kauzu kama wewe.
hizo dhulma zilifanywa na nani?
mkuu taifa letu lina miaka 50 sasa hizo habari za dhulma zimeanza kabla au baada ya uhuru?Z,
Hili jambo usilifanyie mashkara.
Jichukulie kuwa hukuwa unajua kama tunalo tatizo hili.
Anzia hapo na anza kutafiti mwenyewe.
Bila shaka utagundua tatizo.
Na kama kweli ulikuwa hujui.
Ukweli huu utakushtua sana.
Watu hawatanii katika mambo
mazito kama haya.
Nchi huangamia.
mkuu taifa letu lina miaka 50 sasa hizo habari za dhulma zimeanza kabla au baada ya uhuru?
sorry nimezaliwa katikati ya kundi la waislam na wakristo, sijawahi kuona tofauti zozote za dhulma.
sawa mkuu!Z,
Mimi siko hapa kufanya ubishi.
Umeuliza swali na mie nikakuchukulia kuwa hujui.
Kwa kuwa hujui nimekuelekeza ili upate maarifa.
Ikiwa huamini hili kwangu si tatizo.
mkuu taifa letu lina miaka 50 sasa hizo habari za dhulma zimeanza kabla au baada ya uhuru?
sorry nimezaliwa katikati ya kundi la waislam na wakristo, sijawahi kuona tofauti zozote za dhulma.
sawa mkuu!
na mimi sipo kwa ajili ya kubishana, tupo kwa ajili ya kuelimishana.
maadam mimi na jamii yangu tunaishi kwa amani (wakristo kwa waislam) ngoja nikae kimya.
sawa mkuu, nakutakia kheri katika hiyo dhima yako,Z,
Mimi siko hapa kufanya ubishi.
Umeuliza swali na mie nikakuchukulia kuwa hujui.
Kwa kuwa hujui nimekuelekeza ili upate maarifa.
Ikiwa huamini hili kwangu si tatizo.
Mimi niko humu kufahamisha kile wengi hawakuwa
wanakijua kabla.
Nikishatimiza hilo ninakuwa sina dhima.