Na wala nilikuwa simjui Sheikh Ilunga na mihadhara ya shari.
Nimekueleza wasoma riwaya na ngano this is top notch, kwa sisi tunaotumia medulla Oblangata this is another Puzo, fictitious novel base on true story over time.
Mohamed, kama una maoni ni yako si waislam.
Hakuna, narudia hakuna mahali kikao au ushauri uliowahi kutolewa kuwa maneno yako na Ilunga ndiyo maneno ya waislam.
Hayo umejivika maana hata waislam naamini wapo wengi jamvini wakisoma maneno na baadhi ya tungo na ngano zako wanakereka sana.
Mathalani tuhuma za namba za mitihani, umewafundisha watu huko vijiweni kumbe wewe mwenyewe umesikia kijiweni. Matokeo yake kila mtu anaimba namba za mitihani wakati huo huo mtoto amelaa ndani shule zimefungwa.
Watu wanaimba Ponda na mfumo kristo halafu wanakwenda chumba cha mitihani!!!
Mohamed, maneno yako si ya waislam, please narudia ngano kutoka kwa malenga na wahenga wako wa Tandamti na kipatwa ni zako wewe si za waislam.
Hakuna mahali upoteuliwa kusemea waislam na hivyo maoni yako yabaki kuwa yako na yaheshimiwe kama yako.
Ninyi ndio mumefanya dini kama chama cha mpira kwamba mumehodhi hata mafundisho, mumehodhi hadithi na sunna hata kuzifanyia dhihaka huku mkijinasibu ni waislam. Dini ya Uislam haifundishi uongo, unafiki na uzushi.
Narudia, Mohamed kama unaongea kwa niaba ya watu wa Narung'ombe(siyo waislam) well and good na tutaheshimu maoni yako. Lakini usiongee kwa niaba ya waislam, who are you Mohamed katika imani za watu.
Ilunga naye aseme anaongea kwa niaba ya waislam, Ponda, akina Halifa achili wachumia tumbo wengine.
Dini ya mwenyezi mungu ibaki kuwa dini na wala Wewe na kundi lako hamna umiliki wa kumwita mtu haram , kafir, BWAKTA n.k. Wewe ni nani mbele ya mwenyezi mungu Mohamed hadi kuhumu wenzako!