Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

sasa hil jina la Yericko Nyerere linahusiana vipi na mada? kwanini msijibu hoja zakemanajadili jina lake? utajuaje huenda Yericko Nyerere ndo endrew Nyerere
 
Last edited by a moderator:

Huko unaturudisha nyuma.
 
Mzee Mohamed,
Tusaidie hayo maswali ili nasi tupate mwanga zaidi juu ya mfumokristo. Maandishi yako mengi umeyanukuu mara kadhaa humu. Tupatie hayo maswali mliopeleka serikalini kwa Jakaya na Mohamed mwenzio.
 
 

Assalamu alaykum.

Al Akhiy Mohamed Said mimi nafikiri tuuweke uzi mahsusi kabisa kuanza kuuchambua Uislam wa Tanganyika na kuijua BAKWATA ni nini na kwanini haina anachama bali viongozi tu wa Serikali.

Hiyo mada itatupa mengi sana kwani hata mimi nilipokuwa Tanzania kama kiongozi tulikuwa tunalazimishwa kuswali swala za EID ile inayoendeshwa na BAKWATA na sio taasisi nyingine.

Kwa ihsani yako tunakuomba utuwekee uzi maalum kutusasasambulia hayo.

Maa salaam.
Nduguyo Dr Hamza
 
Mohamed said hebu zitendee haki hoja za mwanakijiji hapo juu.

Wewe umeadhiri kimataifa bwana nashindwa kuamini hata ukiwa huko oxford ndio unajibu hoja namna hyo
 
Nadhani ujumbe wangu umeuelewa,
Ukae nje ya mjadala huu kama mtazamaji tuh na kusoma maarifa kuliko kijfannya wewe ni wewe,hali ya kuwa ni MTU MWENYE PISHI LA KILO NYINGI ZA UJINGA,SAWA?
Wewe mjinga uliyekubuhu, nikufahamishe kuwa huna mamlaka ya kuniambia chochote. Baki na ujinga wako uliouegesha kwenye imani ya kijinga kwenye dini ambayo hata misingi yake huijui. Utabaki ukilalamika na wajinga wenzako kwamba munadhulmiwa wakati wenzenu wanaendelea kwa kasi.
 
sasa hil jina la Yericko Nyerere linahusiana vipi na mada? kwanini msijibu hoja zakemanajadili jina lake? utajuaje huenda Yericko Nyerere ndo endrew Nyerere

Napata wasiwasi na ufahamu wako pamoja kuwa na elimu ya chuo kikuu.

Hunajua ili uwe Verified Users unatakiwa vigezo gani.

Yericko Nyerere na Andrew Nyerere wote ni Verified Users.

Tatizo lingine huu uzi umekupita post nyingi ujazisoma ungemuona Yericko anavyojinasibisha na Julius Kambarage Nyerere kama baba yake.

Amefanya mpaka THE BIG SHOW kapigwa ban.
 
Last edited by a moderator:
Sweke,

Hayo si ya uwanja huu.


Mzee Said hapa ndio tunaita kuwachezea watu akili; kama mmeyapeleka serikalini na mnasubiri mwaka wa pili sasa mbona bado unaleta tuhuma hizo hizo kwenye viwanja hivi? Kama tayari yapo serikalini na mnasubiri majibu kwanini unaendelea kutoa tuhuma? Si ukae nyumbani usubiri majibu hadi serikali iwapeni?

Lakini kama jambo hili mnawatuhumu Wakristu na Makanisa yao, je wao hawana haki ya kujua kiini cha tuhuma hizo? Kama mmpeeleka serikalini kwani serikali ni ya nani? si yetu sote? Miye naomba useme mliyapeleka kwa nani au taasisi gani na miye nitafuatilia kwa njia zangu ili walete majibu wasije wakageuka kama Spika Makinda... rufaa zimekatwa tangu 2011 hadi leo hazijajibiwa.

Mmepeleka hoja serikalini kwa nani maana serikali ni dubwasha kubwa ati?

Upande mmoja unataka Wakristu na Watanzania wengine watambue dhulma dhidi ya Uislamu na Waislamu lakini upande mwingine hutaki wajue dhulma hizo na nani mnayemtuhumu. TUshirkiane kupata majibu.
 
BAKWATA ni chombo kizito kwelikweli. Kama unadhani ni rahisi kukisukuma pembeni jaribu. BAKWATA ni ya WAISLAM, inaongozwa na WAISLAM. BAKWATA ina umri wa zaidi ya miaka arobaini sasa. Mzee Mohamed angefanikiwa sana kuwaunganisha Waislam kwa malengo yake kama asingekibeza na kukidharau chombo hiki na viongozi wake.

Mbadala wa BAKWATA ni taasisi ipi? Muulize Mzee Mohamed, maswali yao kwenda serikalini wametumia chombo gani kuyapeleka? Kama hayana baraka za BAKWATA yeye aendelee kusubiri tu kwa miaka mingine 20 ijayo!
 
Sweke,

Hayo si ya uwanja huu.
Si ndiyo wewe uliyesema mliyapeleka madai yenu kwa Mkapa na Mkapa akasema mpeleke ushahidi wa kisayansi? Kama sikosei baada ya hapo mkampelekea kitabu cha Njozi(Mwembechai Killings) na kingine kimenitoka kidogo!
Kwanini wakati huu wa Kikwete unashindwa kusema mmeyapeleka madai yenu wapi/kwa nani?
 
Bw. Said, katika mazungumzo yako na wazee wako toka ujana hadi leo hii na wakati unafanya utafiti wako kuna mzee au mtu yeyote ambaye alikuambia aliwahi kumsikia Nyerere akisema neno baya juu ya Uislamu au Waislamu?

Kutenda ni zaidi ya kusema:

Kudhihirishwa kuwa mwaka 1967 udini ndio ulikuwa unaanza kushamiri Tanzania sio tu katika sensa na kuvunjwa kwa EAMWS na kuundwa kwa BAKWATA, mwaka 1967 ndio mwaka wa Azimio la Arusha na mwaka wa kesi ya uhaini iliyojumuisha Waislamu na wengi wakawekwa rumande kwa tuhuma hizo akiwemo wanasiasa maarufu ambao waliiunga mkono EAMWS akina marehemu Bibi Titi Muhammed na Tewa Said Tewa.

Source: Kwanini waislamu hawana imani na vitengo vinavyohusika na takwimu?
 
Mkuu BashaDido hivi ulikuwa hujui Mohamed Said ni mbabaishaji,mzushi na mfarakanishaji mkubwa nashangaa anajitapa waislam wanamsikiliza na wanamwamini anachowaambia!.Ikiwa umma wa waIslam Tanzania unashabikia ngano za Mo basi lipo tatizo kubwa kuliko tunavyofikiri.Yapo maswali mengi kaulizwa kashindwa kujibu,ujanja anaotumia akiona swali limemzidi kimo analikwepa kijanja kwa kutumbukiza hadith za kitabu chake.

Sasa hapa ndiyo umemjibu nini Nguruvi3? Yaani ulichoandika hapa ni tofauti na alichokuuliza Nguruvi3.
Umeleta majibu mepesi kwenye maswali magumu. Aibu tupu!
 
Last edited by a moderator:

WC,

Katika Uislam subira imekokotezwa sana.

Sisi hatuna hofu na kusubiri kwani kila
mwenye kusubiri yuko na Allah.

Tulianza haya kwa kunon'gona leo tuna
radio inarusha madhila ya mfumokristo
kila Muislam yuko na mkewe, wanae na
watoto wao wanasikikiliza.

BAKWATA ilikuwa na nguvu.
Hii leo viongozi wake wanaogopa kuja kuswali
na Waislam wenziwao.

BAKWATA imebaki wao na jengo lao bovu pale
Kinondoni.

Wewe ulikuwa unanijua mimi?

Leo Waislam wakitangaziwa kuwa Mohamed Said
atakuwa hewani hatoki mtu...

Mufti wa BAKWATA hathubutu hata kutia pua yake
kwenye vyombo vya habari vya Kiislam.

Huyu ndiye Allah Hakimu Muadilifu.

Na hii ndiyo subra aliyotufunza katika kitabu chake.
 

Masahihisho kidogo.

Nyerere anataka kutawadhwa kuwa MWENYEHERI na sio MTAKATIFU>
 
 

Sweke,

Ndiyo nikakupa jibu kuwa mbona huko tushapita siku nyingi?

Kitabu cha Prof. Njozi kimeeleza mengi ikiwa hujakisoma kisome.
Kimo katika mtandao.
 
Sweke,

Ndiyo nikakupa jibu kuwa mbona huko tushapita siku nyingi?

Kitabu cha Prof. Njozi kimeeleza mengi ikiwa hujakisoma kisome.
Kimo katika mtandao.
Sasa tupo kwenye madai mliyoyapeleka miaka miwili iliyopita. Mbona unasahau haraka? Ya Mkapa nimekukumbushia tu ili tuwekane sawa kwenye haya madai ya sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…