Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Nisalimie The Big Show naona mnafanana kwelikweli...mwambie baada ya kupigwa Ban yeye, sasa tumepata pacha wake
anaeitwa DULLAH MSAVIVOR

Salam zitafika.,
Naona mmefamfanyia zengwe hadi mkamfanya apigwe ban,najua atarudi tena na anaufuatilia huu uzi as a Guest,akirud kazi mnayo..
 
DULLAH MSAVIVOR , Ritz , zomba , Mohamed Said & CO.
fanyeni hivi mjiridhishe kama unatumia mtandao wa tigo bonyeza *150*01# kisha piga halafu chagua muamala wa kutuma pesa kwa namba 0715865544 jina litatokea Yericko Nyerere, lakini ukiona hujaridhika na hilo unaweza kwenda google na ucheki jina Yericko Nyerere litaleta result kibao, so hili jina halijawa verifyied kwa bahati mbaya,
mods. naomba atakayeendelea kuhoji apigwe ban.
sasa mjadala kuhusu hilo jina ufe badala yake watu wajenge hoja.
 
Last edited by a moderator:
Ritz,

Yericko mie ni rafiki yangu na siwezi kukaa pembeni akishambuliwa.
Huenda Julius Nyerere ni baba yake wa ubatizo.

Hapana haja ya kumzonga sana kwa hilo.
Mradi yeye mwenyewe kasema huyo ni baba yake basi inatosha.
Hauwezi kutumia ubin wa baba wa ubatizo. Baba wa ubatizo anaweza asiwe kabila yako ilimradi ni Mkatoliki safi mwenye maadili. Nyerre sio jina la UKOO. Watu wa Mara wako kama Waislam. Akina Mohamed Said wako wengi sana. Akina Chacha Mwita wako wengi tu.
 
Ndugu Mohamed Said, nasikitika kukuharifu kwamba hali ya afya ya HERO wetu Mohammed Ali inazidi kuzorota - anaweza kuaga dunia muda si mrefu - lets pray 4 HIM please.



[h=1]Muhammad Ali has only a few months left?[/h]
49280.jpeg


According to the brother of legendary boxer Muhammad Ali, the athlete's health has worsened considerably lately. The 71-year-old athlete can no longer recognize Rahman Ali; he does not speak either!!!!


"It is very bad and very sick. Maybe he has a few more months left, maybe - a few days. I do not know whether he lives before summer. It's all in the hands of the Lord. We hope that he will pass away easily," Rahman told reporters. In 1984, the 42-year-old heavyweight boxer was diagnosed with Parkinson's disease. In 2011, Mohammad Ali collapsed and was rushed to hospital, says FOX Sports.


Rahman said that he would prefer his brother to pass away quickly to avoid the sufferings that the whole world could witness during the past two decades. "He will go to heaven, no doubt. If his funeral were held tomorrow, all statesmen of the world would come.

He touched everyone - the rich and the poor alike. I love my brother more than anyone else in the world. He is the best of all the famous people who have ever lived on Earth. Everyone knows Muhammad Ali. He is along with Jesus Christ."

Source: PRAVDA
 
Ndugu Mohamed Said, nasikitika kukuharifu kwamba hali ya afya ya HERO wetu Mohammed Ali inazidi kuzorota - anaweza kuaga dunia muda si mrefu - lets pray 4 HIM please.



Muhammad Ali has only a few months left?

49280.jpeg


According to the brother of legendary boxer Muhammad Ali, the athlete's health has worsened considerably lately. The 71-year-old athlete can no longer recognize Rahman Ali; he does not speak either!!!!


"It is very bad and very sick. Maybe he has a few more months left, maybe - a few days. I do not know whether he lives before summer. It's all in the hands of the Lord. We hope that he will pass away easily," Rahman told reporters. In 1984, the 42-year-old heavyweight boxer was diagnosed with Parkinson's disease. In 2011, Mohammad Ali collapsed and was rushed to hospital, says FOX Sports.


Rahman said that he would prefer his brother to pass away quickly to avoid the sufferings that the whole world could witness during the past two decades. "He will go to heaven, no doubt. If his funeral were held tomorrow, all statesmen of the world would come.

He touched everyone - the rich and the poor alike. I love my brother more than anyone else in the world. He is the best of all the famous people who have ever lived on Earth. Everyone knows Muhammad Ali. He is along with Jesus Christ."

Source: PRAVDA


Ni taarifa za kizushi,na hata mkewe kazikanusha hizo..
ALSO,HE IS A GOOD MUSLIM,HE IS ALONG WITH ALLAH ONLY..
 
Ndugu Mohamed Said, nasikitika kukuharifu kwamba hali ya afya ya HERO wetu Mohammed Ali inazidi kuzorota - anaweza kuaga dunia muda si mrefu - lets pray 4 HIM please.



Muhammad Ali has only a few months left?

49280.jpeg


According to the brother of legendary boxer Muhammad Ali, the athlete's health has worsened considerably lately. The 71-year-old athlete can no longer recognize Rahman Ali; he does not speak either!!!!


"It is very bad and very sick. Maybe he has a few more months left, maybe - a few days. I do not know whether he lives before summer. It's all in the hands of the Lord. We hope that he will pass away easily," Rahman told reporters. In 1984, the 42-year-old heavyweight boxer was diagnosed with Parkinson's disease. In 2011, Mohammad Ali collapsed and was rushed to hospital, says FOX Sports.


Rahman said that he would prefer his brother to pass away quickly to avoid the sufferings that the whole world could witness during the past two decades. "He will go to heaven, no doubt. If his funeral were held tomorrow, all statesmen of the world would come.

He touched everyone - the rich and the poor alike. I love my brother more than anyone else in the world. He is the best of all the famous people who have ever lived on Earth. Everyone knows Muhammad Ali. He is along with Jesus Christ."

Source: PRAVDA
Mfano mzuri wa watu MAARUFU na MASHUHURI ambao DINI hazikuwasumbua. Kutoka Cassius hadi Mohamed akabaki mtu yuleyule. Hapa kwetu, ooh Waislam wameachwaa, ooh Waislam wanaonewaa, si ubadili dini tu!
 
Ndugu Mohamed Said, nasikitika kukuharifu kwamba hali ya afya ya HERO wetu Mohammed Ali inazidi kuzorota - anaweza kuaga dunia muda si mrefu - lets pray 4 HIM please.



Muhammad Ali has only a few months left?

49280.jpeg


According to the brother of legendary boxer Muhammad Ali, the athlete's health has worsened considerably lately. The 71-year-old athlete can no longer recognize Rahman Ali; he does not speak either!!!!


"It is very bad and very sick. Maybe he has a few more months left, maybe - a few days. I do not know whether he lives before summer. It's all in the hands of the Lord. We hope that he will pass away easily," Rahman told reporters. In 1984, the 42-year-old heavyweight boxer was diagnosed with Parkinson's disease. In 2011, Mohammad Ali collapsed and was rushed to hospital, says FOX Sports.


Rahman said that he would prefer his brother to pass away quickly to avoid the sufferings that the whole world could witness during the past two decades. "He will go to heaven, no doubt. If his funeral were held tomorrow, all statesmen of the world would come.

He touched everyone - the rich and the poor alike. I love my brother more than anyone else in the world. He is the best of all the famous people who have ever lived on Earth. Everyone knows Muhammad Ali. He is along with Jesus Christ."

Source: PRAVDA

B,
Ahsante kwa taarifa.

Allah ampe afya.
 
DULLAH MSAVIVOR , Ritz , zomba , Mohamed Said & CO.
fanyeni hivi mjiridhishe kama unatumia mtandao wa tigo bonyeza *150*01# kisha piga halafu chagua muamala wa kutuma pesa kwa namba 0715865544 jina litatokea Yericko Nyerere, lakini ukiona hujaridhika na hilo unaweza kwenda google na ucheki jina Yericko Nyerere litaleta result kibao, so hili jina halijawa verifyied kwa bahati mbaya,
mods. naomba atakayeendelea kuhoji apigwe ban.
sasa mjadala kuhusu hilo jina ufe badala yake watu wajenge hoja.
Asante sana mkuu
 
Last edited by a moderator:
DULLAH MSAVIVOR , Ritz , zomba , Mohamed Said & CO.
fanyeni hivi mjiridhishe kama unatumia mtandao wa tigo bonyeza *150*01# kisha piga halafu chagua muamala wa kutuma pesa kwa namba 0715865544 jina litatokea Yericko Nyerere, lakini ukiona hujaridhika na hilo unaweza kwenda google na ucheki jina Yericko Nyerere litaleta result kibao, so hili jina halijawa verifyied kwa bahati mbaya,
mods. naomba atakayeendelea kuhoji apigwe ban.
sasa mjadala kuhusu hilo jina ufe badala yake watu wajenge hoja.

Msome mtoto wa kwanza wa Juliasi anasemaje:

quote_icon.png
By Andrew Nyerere

Amefika sasa hivi ndugu yangu Steven Wanzagi,nimemuuliza,'Huyu Yeriko Nyerere ni nani?'' Akasema,''Sijui,hawa vijana wapo wengi,labda yupi mmoja anaitwa Yeriko.'
 
Mfano mzuri wa watu MAARUFU na MASHUHURI ambao DINI hazikuwasumbua. Kutoka Cassius hadi Mohamed akabaki mtu yuleyule. Hapa kwetu, ooh Waislam wameachwaa, ooh Waislam wanaonewaa, si ubadili dini tu!

Msome mwenyewe anasemaje:

Oprah: You are known as the most famous person on the planet. Do you feel like the most famous?

Muhammad: It's surprising, but I never realized why I was so famous. The name Muhammad is the most common name in the world. In all the countries around the world-Pakistan, Saudi Arabia, Morocco, Turkey, Syria, Lebanon-there are more Muhammads than anything else. When I joined the Nation of Islam and became a Muslim, they gave me the most famous name because I was the champ.

Oprah: Do you believe that had you not become a Muslim, your fame would not have been as great?

Muhammad: It would not have been worldwide.


Oprah: Would you be the greatest in the world if you hadn't become a Muslim?

Muhammad: I don't know. Before I became a Muslim, I ate pork and chased women-but all that stuff stopped.

Oprah: So you never chased women after you became a Muslim?

Muhammad: Well...yes.

Oprah: But I understand. If you hadn't become a Muslim, you might not have had the concentrated spiritual power that sustained you. Did your greatness have to do with more than just your ability in the ring?

Muhammad: Yes. The teachings of [Muslim leader] Elijah Muhammad made me say, "I am the greatest." And back then, black people didn't talk or boast like that.

Oprah: Nobody had ever heard of anyone like you.

Muhammad: I would say things like "I am the greatest! I'm pretty! If you talk jive, you'll drop in five! I float like a butterfly, sting like a bee! I'm pretty!" When white people heard me talking like this, some said, "That black man talks too much. He's bragging."

Oprah: When were you first introduced to Elijah Muhammad?

Muhammad: Around 1961. He said, "Why are we called Negroes? Chinese are from China, Russians are from Russia, Germans are from Germany, and Indians are from India. What country is called Negro?" And I realized that Cassius Clay is a slave name-a European name that was given to me. Many of the blacks in this country have slave names.

Oprah: Had you been listening to the teachings of Elijah Muhammad long before you announced to the world that you had become a Muslim?

Muhammad: Yes.

Oprah: Were you encouraged by Elijah Muhammad to announce that you were Muslim?

Muhammad: No, no, no. It was just me. You're not forced to believe or to be a follower. You just have to do what's in your heart.
 
Mfano mzuri wa watu MAARUFU na MASHUHURI ambao DINI hazikuwasumbua. Kutoka Cassius hadi Mohamed akabaki mtu yuleyule. Hapa kwetu, ooh Waislam wameachwaa, ooh Waislam wanaonewaa, si ubadili dini tu!

Young Muslim: What do you think your greatest achievement is?

Muhammad Ali: Joining Islam.

Source:
http://www.soundvision.com/info/ali/interview.asp
 
zomba,
Hapo alishaanza kuugua. Akili ilishaanza kuvurugika. Kubadili DINI ni rahisi sana. Mbona NDOA zenu mnavunja kirahisi tu?
 
Last edited by a moderator:
zomba,
Hapo alishaanza kuugua. Akili ilishaanza kuvurugika. Kubadili DINI ni rahisi sana. Mbona NDOA zenu mnavunja kirahisi tu?
 
Last edited by a moderator:
Young Muslim: What do you think your greatest achievement is?

Muhammad Ali: Joining Islam.

Source:
http://www.soundvision.com/info/ali/interview.asp
It is also the easiest, cheapest religion to join.
 
zomba,
Hapo alishaanza kuugua. Akili ilishaanza kuvurugika. Kubadili DINI ni rahisi sana. Mbona NDOA zenu mnavunja kirahisi tu?
Now you are exagurating..!

imekuuma kwake yeye kuingia kwenye uislam eeh?hiyo mnayoichamba kila siku humu jukwaani kuwa ni dini ya mapepo mabaya,magaidi,n.k?

vumilia tuh,kila mtu yuko huru kuufuata ukweli unaomridhisha,kama vile wewe unavopata faraja kwa kwenda kwa mzee wa upako kutolewa mapepo..!

HAYA RUDI KWENYE MADA SASA..
 
zomba, hii kitu mnatakiwa mjifunze na wenzako
Oprah: But I understand. If you hadn't become a Muslim, you might not have had the concentrated spiritual power that sustained you. Did your greatness have to do with more than just your ability in the ring?

Muhammad: Yes. The teachings of [Muslim leader] Elijah Muhammad made me say, "I am the greatest." And back then, black people didn't talk or boast like that.
Hapo kwenye blue unaweza ku-substitute na neno Muslims kwa case yetu ya Tanzania. Mko wanyonge sana. Mmekaa kushindwashindwa tu. Ooh tunaonewa,tunadhulumiwa nk ...Kumbe mna mafundisho mazuri namna hiyo. Mpaka mkiweza kubadili mindset zenu na za watoto wenu na kupandikiza mitazamo kama hiyo "I am the greatest," "yes we can " ndiyo mtaweza kuondokana na jinamizi hili la kujitakia la Mfumo Kristo.
 
Back
Top Bottom