Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

soma kwenye mstari halafu angalia alichojibu Muhammad Ali...
Oprah: But I understand. If you hadn't become a Muslim, you might not have had the concentrated spiritual power that sustained you. Did your greatness have to do with more than just your ability in the ring?

Kimsingi anachosema Ali ni kuwa wakati ule watu weusi walikuwa hawajiamini. Ilikuwa ni vigumu kusikia mtu mweusi akisema vile lakini mafundisho ya Yule Kiongozi dini ya Kiislam, Elijah Muhammad yalimjengea kujiamni na kujiona yuko bora na hivyo kuperform vizuri kwenye ulingo.
Na mimi nikasema baadhi ya waislam wa watanzania mko kama wale waamerika weusi waliokuwa hawana confidence yeyote, walijiona watu wa chini kama baadhi yenu mnavyojiita second-class citizen. Mkifeli mfumo kristo, ukikosa kazi, mfumo kristo, maisha magumu, mfumo kristu. Mnachotakiwa ni kuchukua mafundisho ya dini yenu ili yawajengee confidence kama Ali alivyofanya. Hata mkifeli mseme nitarudia tena na nitafaulu...hata mkikosa kazi mseme nitaapply mara 100 sehemu nyingine na kujiboresha zaidi kwenye interviews nk
Siyo hali mliyonayo baadhi yenu mnaosingizia kila kitu Mfumo Kristo hali inayowalemaza kabisa kifikra...

Muhammad Ali:

"No, no, no. It was just me. You're not forced to believe or to be a follower. You just have to do what's in your heart."
 
Yangetimia haya, kitabu cha Sheikh Mohamed kisingekuwepo. Kama kingekuwepo angempamba kuliko wazee wake hawa. Mungu hakutaka. Imetusaidia kukutana na Mohamed humu.

Hehee kibaya zaidi bwana Mohamed Said ameviacha visa vingi sana vyakweli vyenye kumtukuza Mwalimu aambavyo vimetukia akiwa katikati ya kiwango cha juu kabisa cha siasa za ndani akielekea kulikomboa taifa,

Sijajua kaviacha kwa makusudi tu au havijui visa hivyo?

Namsifu sana Mohamed Said kwa usanifu wake uliotukuka, namuweka kundi moja na akina Musiba, Shaban Robert na wengine!
 
In early 1960s I was working with the BBC Swahili Service and was producing a program called “Sports Wiki Hii” which means “Sports This Week.” Ali came to fight Henry Cooper in London. At that time he was known as Cassius Clay. I requested permission from the BBC to interview Cassius Clay. BBC made the necessary arrangements and an appointment was secured. Ali was staying at the Regency Hotel in Piccadilly. I went to see him with my tape recorder and when I knocked the door of his suite Drew Bundini came to open the door. Bundini was a personal aid to Muhammad Ali. There is lot one can talk on Bundini and Ali. Bundini and Ali were inseparable. Bundini was all things to Ali during Ali’s carrier in the ring and was just as famous. Bundini was Ali’s handler, bodyguard, court jester, you name it. He was like a shadow to the champion. Ali brought into boxing things which had never been there before. He revolutionalised and made the game to be more interesting and intelligent instead of it being sheer muscle and stamina. That is the reason people came to love Ali and the game during his reign.

I remember Bundini telling me, “Kid who do you want to see” I told him I wanted to see Cassius. Bundini called into the room, “Champ there is a kid here who wants to see you.” At that time Ali was not world heavy weight champion but Bundini used to refer to him as “champion.” I introduced myself as Salim Abdallah. I was not yet Sal Davis at that time. Ali asked me, “are you a Muslim?’ I told him I was a Muslim. Ali asked me to tell him about Islam. “I am interested in this religion,” Ali told me. “Do you know Elijah Muhammad?” He asked me. “I belong to that sect.” At that time Ali had not yet converted to Islam. I interviewed him and he asked me to come back to the hotel in the evening so that we can go out together for dinner.
(From ''Makini'' Sal Davis with Mohamed Said forthcoming).

Sikujuwa kama Sal Davis ametowa Kitabu or was it an interview? Kuna wakati nilikuwa kwenye mambo ya music tulikuwa karibu sana, akinipa ideas na ushauri mwingi sana.
 
zomba, Mohamed Said, sweke34,

..lakini huu Uislamu wa kina Mohamed Ali, Elijah Mohamed, na the whole Nation of Islam, nadhani una mushkel kidogo.

..kiongozi wa Nation of Islam alikuwa akiitwa "Prophet" Elijah Mohamed, sasa sijui nyinyi wenzangu mnalichukuliaje suala hilo.

..Malcolm X alianza kuonyesha uelekeo wa kuachana na Nation of Islam na inasemekana ndicho kilichopelekea akauawa.
 
Last edited by a moderator:
Katika baadhi ya ngano za kale zinasema, kulikuwa na majaribio kadhaa ya kumfanya mwalimu aslimu, moja likiwa ni kupewa mwanamke waliyemuona wao ni binti swafi rohoni mpaka mwilini,

Lakini yote hayo Mtakatifu Julius Nyerere aliyashinda, na akazidi kuwaunganisha tu kuwa kitu kimoja chenye lengo moja!

Qur'an 17:15
17_15.png

Sahih International

Whoever is guided is only guided for [the benefit of] his soul. And whoever errs only errs against it. And no bearer of burdens will bear the burden of another. And never would We punish until We sent a messenger.

Swahili
Anaye ongoka basi anaongoka kwa ajili ya nafsi yake. Na anaye potea basi anapotea kwa khasara yake mwenyewe. Wala habebi mbebaji mzigo wa mwengine. Wala Sisi hatuadhibu mpaka tumpeleke Mtume.
 
zomba, Mohamed Said, sweke34,

..lakini huu Uislamu wa kina Mohamed Ali, Elijah Mohamed, na the whole Nation of Islam, nadhani una mushkel kidogo.

..kiongozi wa Nation of Islam alikuwa akiitwa "Prophet" Elijah Mohamed, sasa sijui nyinyi wenzangu mnalichukuliaje suala hilo.

..Malcolm X alianza kuonyesha uelekeo wa kuachana na Nation of Islam na inasemekana ndicho kilichopelekea akauawa.
Kama umekisoma 'The Autobiography of MALCOLM X' utajua kuwa Uislam wake ulikuwa wa 'kimagumashi' na hata hao akina Muhammad Ali waliingia mkenge tu.
 
zomba, Mohamed Said, sweke34,

..lakini huu Uislamu wa kina Mohamed Ali, Elijah Mohamed, na the whole Nation of Islam, nadhani una mushkel kidogo.

..kiongozi wa Nation of Islam alikuwa akiitwa "Prophet" Elijah Mohamed, sasa sijui nyinyi wenzangu mnalichukuliaje suala hilo.

..Malcolm X alianza kuonyesha uelekeo wa kuachana na Nation of Islam na inasemekana ndicho kilichopelekea akauawa.

So what?
 
Matunda ya MoU baina ya kanisa na serekali ni kuboresha elimu, afya na mas-ala mengine ya kijamii.

Waislam wa Tanzania tunaomba kujiunga OIC ili na sisi tuboreshe elimu, ayfa na asasi zengine za kijamii.

Hapo kaka yangu ndo tulipokwama. Je unaweza kutusaidia?
OIC haina nia ya kusaidia waislamu, huo ni usanii tu, ingekuwa na nia kweli na waislamu ingeruhusu taasisi za kiislamu zijiunge, ila haitaki, inataka nchi ndio ijiunge, Kwanini itake nchi ambayo ina wasio waislamu kama kweli lengo lake ni kusaidia waislamu?, Lengo la OIC ni kupata nchi kwa mgongo wa waislamu, waislamu shtukeni.
 
Sikujuwa kama Sal Davis ametowa Kitabu or was it an interview? Kuna wakati nilikuwa kwenye mambo ya music tulikuwa karibu sana, akinipa ideas na ushauri mwingi sana.

Hiki ni kitabu tunakiandika.
Sal ana very interesting story.

Kuna wakati tukiishi milango yetu ya nyumba
ikiangaliana.

Hapo ndipo tulipojuana vizuri.
Kila nilipopata wasaa nilimdadisi kuhusu maisha yake.

Yeye katoka ukoo wa Kisharifu.

Kwa mara ya kwanza alikutana na Ali London kama
alivyoeleza.

Hii ni 1963.

Kisha akakutananae tena Frunkfurt Ujerumani na
walijenga urafiki mkubwa.

Nilipenda ku share hii na wana ukumbi.
 
zomba,

..kwa mtizamo wangu hili kundi la Nation of Islam lilikuwa kama CULT fulani, huku wakiwa wameweka msisitizo mkubwa ktk kumtukuza "Prophet" Elijah Mohamed. inabidi muwe waangalifu na makini kidogo kuihusisha Nation of Islam na Uislam.

sweke34,

..lakini Malcolm X alikuja kuwashtukia kina Elijah Mohamed.

..sasa kilichomtokea baada ya kuchukua muelekeo huo sote tunakijua.

..Mohamed Ali naye alitaka kuhamia kambi ya Malcolm X lakini sikumbuki ni kitu gani kilimzuia.
 
nimeshangaa tupo page ya 227 na bado hamna hoja inayojibiwa kwa hoja yenye mashiko, watu wanazunguka mlemle tu.

haya yote anasababisha mohamed utakuta mtu kajipinda kaandika hoja za msingi.. Hilo jibu atakalopewa!
 
haya yote anasababisha mohamed utakuta mtu kajipinda kaandika hoja za msingi.. Hilo jibu atakalopewa!
yaani wee acha tu! utasikia mara waulize wao,
mara niliishi naye karibu nmba zetu zikitizamana, yaani majibu na hoja tofauti.
 
Sio kama hatuwaamini mods kwa kumverify,tunachofanya ni kuhoji nyerere huyu ni yupi??

ni kweli yawezekana wapo wengi hao kina nyerere,ila huyu kaja kwa uchungu wa kumpigania JULIUS KAMBARAGE kama yeye ni zao la ukoo ule,ndio kwa maana tunamhoji yeye ni yupi?

unasema jina hili hasa ni "NYERRE na sio NYERERE",,je una uhakika?
na kwa maana hiyo mods je wamekosea?hawaoni umuhimu wa kusasahisha sasa?
umuhimu wa mjadala huu tunaufaham,na tupo katika kuujenga mjadala huu pia..
THE BIG SHOW at work!!!
 
Kwakujikumbusha tu juu ya Tanganyika ilipowekwa chini ya utawala wa mfumo Kristu 100% ni hivi,

Maeneo yaliyoitwa baadaye "Tanganyika" yaliunganishwa mara ya kwanza tangu mwaka 1886 kama koloni ya Ujerumani iliyoitwa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani. Kabla ya kufika kwa ukoloni kulikuwa na madola madogo mbalimbali na maeneo madogo ya kikabila. Kanda la pwani pamoja na njia za misafara kuelekea Ziwa Tanganyika vilikuwa chini ya athira ya Usultani wa Zanzibar.

Tangu 1885 Karl Peters kwa niaba ya Shirika la Ukoloni wa Kijerumani (Gesellschaft für Deutsche Kolonisation) alianza kufanya mikataba na watawala wa kienyeji katika maeneo ya Usagara, Nguru, Useguha na Ukami iliyoweka msingi kwa madai yake ya kuchukua utawala mkuu wa maeneo haya.

Uenezeaji wa Wajerumani uliendelea hasa baada ya kushinda upinzani katika vita ya Abushiri na vita inayoaminika kuwa ndiyo vita kubwa zaidi ya kijadi ilyowahi kupiganwa tangu ulimwengu uumbwe iliyoongozwa na Mkwawa Mnyigumba Mwamuyinga wa Uhehe.

Koloni ile ya kijerumani ilikuwa kubwa zaidi kuliko Tanganyika ya baadaye maana ilijumuisha pia maeneo ya Rwanda na Burundi pamoja na sehemu ndogo ya Msumbiji.

Wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia (1914 - 1918) koloni hii ya Kijerumani ilitekwa na jeshi za Uingereza na Ubelgiji. Mkataba wa Versailles wa 1919 ulikuwa na kanuni za kuchukua koloni zote za Ujerumani na kuzikabidhi kwa mataifa washindi wa vita. Sehemu kubwa ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani iliwekwa chini ya utawala wa Uingereza, kasoro maeneo ya Rwanda na Burundi yaliyokabidhiwa mkononi mwa Ubelgiji.

Hao wote waliendelea kutawala kwa mfumo kristu,

Ni mwaka 1961 tu baada Mwalimu Julus Kambarage Nyerere yakulipatia Uhuru taifa letu takatifu, ndipo akaleta mageuzi ya pekee kwa KUUONDOA mfumo huo na kusimika mfumo wa usawa kwa wote!
 
haya yote anasababisha mohamed utakuta mtu kajipinda kaandika hoja za msingi.. Hilo jibu atakalopewa!
Wanamuangusha wafuasi wake hapa, lakini anajitahidi kujibu hoja zile zenye saizi yake!
 
Last edited by a moderator:
soma kwenye mstari halafu angalia alichojibu Muhammad Ali...
Oprah: But I understand. If you hadn't become a Muslim, you might not have had the concentrated spiritual power that sustained you. Did your greatness have to do with more than just your ability in the ring?

Kimsingi anachosema Ali ni kuwa wakati ule watu weusi walikuwa hawajiamini. Ilikuwa ni vigumu kusikia mtu mweusi akisema vile lakini mafundisho ya Yule Kiongozi dini ya Kiislam, Elijah Muhammad yalimjengea kujiamni na kujiona yuko bora na hivyo kuperform vizuri kwenye ulingo.
Na mimi nikasema baadhi ya waislam wa watanzania mko kama wale waamerika weusi waliokuwa hawana confidence yeyote, walijiona watu wa chini kama baadhi yenu mnavyojiita second-class citizen. Mkifeli mfumo kristo, ukikosa kazi, mfumo kristo, maisha magumu, mfumo kristu. Mnachotakiwa ni kuchukua mafundisho ya dini yenu ili yawajengee confidence kama Ali alivyofanya. Hata mkifeli mseme nitarudia tena na nitafaulu...hata mkikosa kazi mseme nitaapply mara 100 sehemu nyingine na kujiboresha zaidi kwenye interviews nk
Siyo hali mliyonayo baadhi yenu mnaosingizia kila kitu Mfumo Kristo hali inayowalemaza kabisa kifikra...

imamsha_t.jpg
famousm.gif
yusuf.jpg


A short list of notable or famous, Anglo-Saxon and/or Caucasian Muslims throughout Islamic history and the world today. Please Note: Photographs are of the individual named directly ABOVE them.
Imam Shamil (Legendary Daghestani Resistance Leader)
imamsha_t.jpg


Muhammad Ali, Pasha of Egypt (Ottoman Ruler of Egypt from Albania)
muhali.jpg


Nerkesi Muhammed of Sarajevo (Bosnian Scholar)

Colonel Donald S. Rockwell (Poet and Author)
rockwell.jpg


Shaykh Mansur (Chechen Muslim Mystic and Warrior)

Lord Headley al-Farooq (British Statesman, Lt. Colonel, Ed. of Salisbury Journal)
headley2.jpg


Gen. Charles William Buchanan Hamilton (Royal Navy, nephew of former US President James Buchanan)
cwb-h.jpg


Safvet beg Basagic Redzepasic (19th century Poet and Scholar)
SafvetBasagic1.jpg


Haji Zeynalabedin Taghiyev (philanthropist, oil magnate)
Read about his life Here
haji.gif


Muhammad Asad Leopold Weiss (Austrian journalist, statesman, and one of the leading Muslim scholars of the 20th century)
asad.jpg


Marmaduke Pickthall (Bristish Muslim and Translator of Qur'an into English)
Buy his translation of the Qur'an HERE
pickthall85.jpg


Muhammad Alexander Russell Webb (19th century Journalist/former US Diplomat to the Philippines)
Brother Webb is said to be the first white American convert to Islam
webb.gif


Dr. Murad Wilfred Hofmann (Former German Ambassador, Director of Information NATO)
hofmann.gif


Knud Holmboe (Early 20th Century Danish Journalist)
holmboe.gif


Yusuf Islam (formerly known as Cat Stevens)
yusuf.jpg


Aminah Assilmi (Former radical feminist, American convert/lecturer)
aminah.gif


Imam Hamza Yusuf (American Muslim Scholar, co-founder of the Zaytuna Institute)
hamza2.gif


Sheikh Yusuf Estes (National Muslim Chaplain of America, former Christian missionary)
estes.jpg


Ibrahim Hooper (former Director of CAIR)

Dr. Gary Miller (former Christian missionary, mathematician, theologian, and writer)

Ruqayyah Waris Maqsood (Formerly known as Rosalyn Kendrick)
ruq.gif


Nuh Ha Mim Keller (American writer, translator, and scholar)

Nancy Ali (Former Roman Catholic Nun)

Joe Ahmed Dobson (son of British Secretary of State for Health, chairman of the Muslim Council of Britain's Regeneration Committee)

Abdal Hakim Murad (Muslim Scholar)
murad.gif


Khalid Blankinship (Chairman of Religion Dept. at Temple University)
khalid.gif


Mario Scialoja (former Italian ambassador to Saudi Arabia [1994-95], head of Italy's Muslim League)
scialoja.jpg


Torquato Cardeilli (Italy's current ambassador to Saudi Arabia)

Micheal Wolfe (Author, Film maker)
Buy Micheal's book "The Hajj" (about his pilgrimmage to Mecca)

Abdul Lateef Whiteman (Musician)
whiteman.jpg


Viacheslav Polosin (former archpriest of the Russian Orthodox Church)
polosin.jpg


Khadijah 'Sue' Watson (Former fundamentalist Protestant pastor)

Sahib Mustaqim Bleher (Co-founder Islamic Party of Britain, Ed. "Common Sense")
sahib.jpg


David Musa Pidcock (Co-founder Islamic Party of Britian, Institute of Rational Economics)
david.jpg


Eric Shrody, aka "Everlast" (Musician)
everlast.jpg


Dr. Martin Lings (Author/Scholar)

Dr. Vincent Mansur Cornell (Scholar/Historian)
astrolabe-copy_1627_9689607.jpg


Daniel Abdal-Hayy Moore (American poet)
Visit his poetry site
daniel.jpeg


Christine Huda Dodge (Writer, Educater, Website Host "Islam at About.com")
Read the story of her conversion

Lady Evelyn Zeinab Cobbold (British convert, featured in the book "Islam Our Choice")

Jeffrey Lang (Speaker/Author/Mathematics Professor @ University of Kansas)
lang.gif


Hakim Archulletta (Traditional Islamic healer/Specialist in Homeopathic Medicine)

Dr. Ingrid Mattson (VP of Islamic Society of North America, Prof. at Hartford Seminary)
ingrid.jpg


Peter Sanders (famous photographer)
petersanders.jpg


Alan Godlas (Prof. of Islamic Studies at U of Georgia)

Sofia Godlas (Artist, Consultant for the reconstruction of the Prophet's Masjid in Madina)

Daniel Hill (former Afghan Mujahid, anti-terrorism agent)

Charles Yarborough (the current Earl of Yarborough)
Jonathan Birt (the son of former director of the BBC, John Birt)
Charles Le Gai Eaton (former British diplomat)
eaton.gif

John Nelson (first Englishman to convert to Islam in the 16th century)
Shaykh Abdullah Quilliam (Famous British Muslim activist and religious leader)
READ about more about Shaykh Abdullah

Alex Kronemer (produced PBS documentary "Muhammad: Legacy of the Prophet")
alex_kronemer.gif

Alija Izetbegovic (the former president of Bosnia, led Muslim resistance against Molosivic, and author)
alija.jpeg

Hedley Churchward (painter, set designer, first known British Muslim to make Hajj around 1910)
churchward1.jpg

Amherst Tysson (British writer and poet, lawyer)
Yvonne Ridley (British journalist, formerly held captive by Taliban)
yvonne.jpeg

Sh. Umar Faruq Abdullah (founder of the Nawawi Institute in Chicago and scholar)
umarabdullah.gif

Aisha Bewley (translator, writer and poet; teacher of Islamic law in England)
Kabir and Camille Helminski (translators of Rumi's poetry, writers, artists)
camille.jpg
kabir1.jpg

Shaykh Mustafa Ceric (Chief Alim of Bosnia)
Read About Ceric

Julien Jalaleddin Weiss (Musician, performs with the al Kindi ensemble)
alkindi.jpeg

Shaykh Shahidullah Faridi (British Sufi Shaykh of the Sabriyya Chisti Order)
Ian Dallas, aka Abdulqadir al-Murabit (Scottish convert, actor and author)
Shems Friedlander (scholar, film maker)
S. Abdullah Schleiffer (poet, journalist)
Yahiya Emerick (scholar & author)
Suhayb Webb (scholar)
Dawud Wharnsby Ali (musician)
dwa.jpeg

Dr. Jerald Dirks (scholar & author)

Rene Guenon (French intellectual & co-founder of Traditionalist School)
Frithjof Schuon (intellectual, artist, & co-founder of Traditionalist School)
As noted above, this is a list of famous and NOTABLE Caucasian Muslims, meaning not all of them are necessarily "famous" but have received attention because of their own unique stories or contributions to the Muslim community.
Have someone I should add to the list? e-mail me! whitemuslims_webmanager@yahoo.com
PLEASE NOTE: I started this website back in 2000, and no longer have the time to actively update it. So you can send me your suggestions but I may not respond or update the site. Sorry.
 

Sweke,

Unanisikitisha jambo moja.
Lugha yako.

Hapa kuna mada nzuri ambayo sote tungeweza kunufaika.
Hebu acha hizo lugha za "mkenge."

Kuna kitabu kipya cha Malcom X kaandika Manning Marable.
Hiki kitabu kimechapwa 2011.

Kinaitwa "Reinventing Malcom X.

Ni tofauti na kile cha Alex Hailey.

Kile cha Hailey kilitoka baada ya Malcom kuuawa na Hailey
akatumia mwanya ule kubadilisha mambo mengi.

Hiki kitabu kipya kina mengi kuhusu Malcom na ugomvi wake
na Elija Muhammad.

Lakini Malcom alibadilika sana baada ya kwenda Hijja huko ndiko
alipouona Uislam wa kweli na hata siasa zake zikachukua mwelekeo
mwingine.
 
Back
Top Bottom