Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

zomba,

..kwa mtizamo wangu hili kundi la Nation of Islam lilikuwa kama CULT fulani, huku wakiwa wameweka msisitizo mkubwa ktk kumtukuza "Prophet" Elijah Mohamed. inabidi muwe waangalifu na makini kidogo kuihusisha Nation of Islam na Uislam.

sweke34,

..lakini Malcolm X alikuja kuwashtukia kina Elijah Mohamed.

..sasa kilichomtokea baada ya kuchukua muelekeo huo sote tunakijua.

..Mohamed Ali naye alitaka kuhamia kambi ya Malcolm X lakini sikumbuki ni kitu gani kilimzuia.
Hapana. Kwenye chapter moja kabla ya mwisho p474 , Malcom x anasema hivi alipokuwa Ghana,
The next morning , a Saturday , I heard that Cassius Clay and his entourage had arrived. There was a huge reception for him at the airport. I thought that if Cassius and I happened to meet, it would likely prove embarrassing for Cassius, since he had elected to remain with Elijah Muhammad's version of Islam. I would not have been embarassed, but I knew that Cassius would have been forbidden to associate with me. I knew that Cassius knew I had been with him, and for him, and believed in him, when those who later embraced him felt that he had no chance. I decided to avoid Cassius so as not to put him on the spot.
 
Mojamed,hujamuelewa Zumbemkuu. Yeye anasema page 200+ lakini hujaweza kujibu hoja kwa mashiko na pengine matarajio ya wengi. Hajasema serikali haijibu.

Pili, hivi kwanini unasema serikali haina majibu? Huko nyuma tatizo lilikuwa ''muovu, mhalifu Nyerere'' aliyeua EAMWS na kuwakawandamiza waislam. Haikuwa serikali alikuwa Nyerere.

Hata pale tangazo la kuua EAMWS lilipotolewa na Maswanya na Kawawa akiwa waziri mkuu na makamu wa rais bado tuhuma zinamwendea Mwalimu huko alipo mbele ya haki. Sasa hizi double standard zinakujaje? kwamba kuna Nyerere na kuna serikali!

Kwanini sasa hivi isiwe Kikwete, Mkapa au Mwinyi?

Hapa hatupo kujibu kwa niaba ya serikali kama unavyosema. Kikubwa ni kuusadia umma kuona kile kilicho nyuma ya fikra zako. Hakuna chembe ya nia ya historia bali nia ya mashambulizi dhidi ya Nyerere na Wakristo.

Ni kwa mamshambulizi hayo ndipo kinatokea kitu hicho rise of religious tension.
Ni ukweli usio na kificho kuwa tension inayojengeka ni matokeo ya kazi yako kwahiyo hiyo ni faraja kwako na wala si hatari.

Watanzania wameishi kama taifa moja kwa kupendana na kuheshimiana kwa miaka mingi sana. Leo kuna mzozo wa kuchinja ng'ombe. Hilo halikuwepo kwasababu katika mitaa siku za sikukuu watu waimani nyingine kwa kuelewa imani nyingine walifanya the right thing in right way. Kuku alipelekwa kwa mwislam kuchinjwa ili wageni wote wajisikie amani na furaha.

Kupitia kazi yako ''nzuri'' ya kupandikiza chuki ambayo ni kinyume na mafundisho ya Uisla na Uislam sasa chuki imetamalaki. Haionekani kama umejifunza kuwa tatizo likitokea si wewe, mimi au awaye atakayekuwa na amani.
Hutauza DVD kwa watu wanaotafuta ukimbizi kusalimisha roho zao na wala hutakuwa na hadhira ukakaa kinarani.

Tumeyaona Somalia, Rwanda na Nigeria, Bosnia na Crotia n.k na inashangaza, kusikitisha na kutisha kuona kuwa kuna watu hawaoni yote hayo bado wakijinasibu ni wasomi, waadilifu na waumini.
Tena wanayafanya hayo wakiwa wamebeba ''label'' ya kufanya kazi ya mwenyezi mungu. Hakuna woga hata mbele ya Allah!

Labda kuthibitisha chuki za muungwana bin Samtungo, ameulizwa swali na Mwankijiji kama walivyouliza wengine na hajaweza kulijibu. Swali ni kuwa wapi na kwa ushahidi gani wa Nyerere kuwatukana, kashifu Waislam hadharani au kwa siri.
Hakuna mahali popote ambapo Nyerere amekaririwa akiushaumbilia uislam na waislam ( labda kwa ''inasemekana'')

Hii maana yake ni kuwa dhana nzima ni ya kupanda na kuchomeka na haina mahali inaposimama yenyewe.

Nguruvi,

Nia yangu haijapata kuwa nikae humu kujibu maswali.
La hasha.

Nimeingia humu kwa nia ya kukuelezeni upande wa Waislam.
Nia si kuwa mkubali kuwa lipo tatizo hapana.

Nia ilikuwa kukufahamisheni la kwanza kuwa ipo historia nyingine
nje ya ile mliyofundishwa shule kwa zaidi ya miaka 50.

Hili naamini mshalijua.

Pili ilikuwa kueleza mfumokristo.
Hili mshalijua.

Kwetu nyie kuamini kuwa lipo tatizo si muhimu sana kwa sasa.

Tunaweza tukafanga mjadala ikiwa mtapenda.

Wasikizaji 45,000 plus...
Si haba.
 
Sweke,

Unanisikitisha jambo moja.
Lugha yako.

Hapa kuna mada nzuri ambayo sote tungeweza kunufaika.
Hebu acha hizo lugha za "mkenge."

Kuna kitabu kipya cha Malcom X kaandika Manning Marable.
Hiki kitabu kimechapwa 2011.

Kinaitwa "Reinventing Malcom X.

Ni tofauti na kile cha Alex Hailey.

Kile cha Hailey kilitoka baada ya Malcom kuuawa na Hailey
akatumia mwanya ule kubadilisha mambo mengi.

Hiki kitabu kipya kina mengi kuhusu Malcom na ugomvi wake
na Elija Muhammad.

Lakini Malcom alibadilika sana baada ya kwenda Hijja huko ndiko
alipouona Uislam wa kweli na hata siasa zake zikachukua mwelekeo
mwingine.
Mkuu, 'mkenge' mbona ni lugha safi tu huku mitaani?
Nitakitafuta hicho kitabu. Vipi ile paternity suit dhidi Elijah Muhammad wameielezea ilivyokwenda?
 
Nguruvi,

Nia yangu haijapata kuwa nikae humu kujibu maswali.
La hasha.

Nimeingia humu kwa nia ya kukuelezeni upande wa Waislam.
Nia si kuwa mkubali kuwa lipo tatizo hapana.

Nia ilikuwa kukufahamisheni la kwanza kuwa ipo historia nyingine
nje ya ile mliyofundishwa shule kwa zaidi ya miaka 50.

Hili naamini mshalijua.

Pili ilikuwa kueleza mfumokristo.
Hili mshalijua.

Kwetu nyie kuamini kuwa lipo tatizo si muhimu sana kwa sasa.

Tunaweza tukafanga mjadala ikiwa mtapenda.

Wasikizaji 45,000 plus...
Si haba.
Unapoitwa nchi za nje huwa unakwenda kuwaelezea upande wa waislam tu au huwa unapokea na maswali kidogo pia?
 
Mkuu Nguruvi3

Jambo linaloshangaza ni kuwa madai mengi ya sijui mfumo kristu, dhulma nk bado hawana ushahidi wakututhibitishia hapa au kokote kule!

Ngano zao kila leo zimejaa maneno ya "inasemekana, tulisikia, inajulikana tu, tunadhani nk"

Wakishasema hayo sasa sentensi hiyo wanaiita ni jibu halisi la wanaemtuhumu!

Leo wanasema tatizo lipo NECTA, lakini mtuhumiwa ni Nyerere huku wanaomba kukutana na serikali,

Kumbuka hapo kati hawatamki neno Mwinyi ama Kikwete, wakijisahau kidogo watamtaja Mkapa kwaajili ya maumivi ya Mwembe chai na Zanzibar basi!

Wananishangaza sana hawa ndugu sijui wanaathiriwa na nini???????


Anaestahili kuangaliwa kwa mshangao naona ni wewe,

kumbe unajua umuhimu wa kuleta uthibitisho?vipi kuhusu wewe mwenyewe?
unashangaza sana.
 
Ritz,mbona katika famous muslims huyo umemsahau
600full-salman-rushdie.jpg


Tumehamia kwenye malumbano ya dini??

tuanzishe uzi mwingine...
 
Mojamed,hujamuelewa Zumbemkuu. Yeye anasema page 200+ lakini hujaweza kujibu hoja kwa mashiko na pengine matarajio ya wengi. Hajasema serikali haijibu.

Pili, hivi kwanini unasema serikali haina majibu? Huko nyuma tatizo lilikuwa ''muovu, mhalifu Nyerere'' aliyeua EAMWS na kuwakawandamiza waislam. Haikuwa serikali alikuwa Nyerere.

Hata pale tangazo la kuua EAMWS lilipotolewa na Maswanya na Kawawa akiwa waziri mkuu na makamu wa rais bado tuhuma zinamwendea Mwalimu huko alipo mbele ya haki. Sasa hizi double standard zinakujaje? kwamba kuna Nyerere na kuna serikali!

Kwanini sasa hivi isiwe Kikwete, Mkapa au Mwinyi?

Hapa hatupo kujibu kwa niaba ya serikali kama unavyosema. Kikubwa ni kuusadia umma kuona kile kilicho nyuma ya fikra zako. Hakuna chembe ya nia ya historia bali nia ya mashambulizi dhidi ya Nyerere na Wakristo.

Ni kwa mamshambulizi hayo ndipo kinatokea kitu hicho rise of religious tension.
Ni ukweli usio na kificho kuwa tension inayojengeka ni matokeo ya kazi yako kwahiyo hiyo ni faraja kwako na wala si hatari.

Watanzania wameishi kama taifa moja kwa kupendana na kuheshimiana kwa miaka mingi sana. Leo kuna mzozo wa kuchinja ng'ombe. Hilo halikuwepo kwasababu katika mitaa siku za sikukuu watu waimani nyingine kwa kuelewa imani nyingine walifanya the right thing in right way. Kuku alipelekwa kwa mwislam kuchinjwa ili wageni wote wajisikie amani na furaha.

Kupitia kazi yako ''nzuri'' ya kupandikiza chuki ambayo ni kinyume na mafundisho ya Uisla na Uislam sasa chuki imetamalaki. Haionekani kama umejifunza kuwa tatizo likitokea si wewe, mimi au awaye atakayekuwa na amani.
Hutauza DVD kwa watu wanaotafuta ukimbizi kusalimisha roho zao na wala hutakuwa na hadhira ukakaa kinarani.

Tumeyaona Somalia, Rwanda na Nigeria, Bosnia na Crotia n.k na inashangaza, kusikitisha na kutisha kuona kuwa kuna watu hawaoni yote hayo bado wakijinasibu ni wasomi, waadilifu na waumini.
Tena wanayafanya hayo wakiwa wamebeba ''label'' ya kufanya kazi ya mwenyezi mungu. Hakuna woga hata mbele ya Allah!

Labda kuthibitisha chuki za muungwana bin Samtungo, ameulizwa swali na Mwankijiji kama walivyouliza wengine na hajaweza kulijibu. Swali ni kuwa wapi na kwa ushahidi gani wa Nyerere kuwatukana, kashifu Waislam hadharani au kwa siri.
Hakuna mahali popote ambapo Nyerere amekaririwa akiushaumbilia uislam na waislam ( labda kwa ''inasemekana'')

Hii maana yake ni kuwa dhana nzima ni ya kupanda na kuchomeka na haina mahali inaposimama yenyewe.
Nguruvi3, ni kwamba inapofikia hapa ndio mimi humwita huyu mchochezi Mohamed Said mpuuzi na yeye kuhamaki kwa kudai eti katukanwa. Hicho kipande alichokinukuu hapo ukikisoma kwa umakini utadhani ni kama vile wakati wa hicho kinachoitwa Mwembechai killings serikali haikuwa na Kiongozi! Baadaye na bila hata aibu wala soni tunashuhudia jina la Mkapa, aliyekuja kukamata Uongozi miaka mingi tu baada ya tukio hilo, likitajwa! Sasa hapa lengo hasa ni nini? Halafu mtu mwenyewe anadai kafanya utafiti muda mrefu! ... na wenye uelewa finyu wanampigia makofi, what the heck!

After the Mwembechai killings the government did not want to be reminded of Padre Lwambano's fabrications which were broadcast over the Catholic radio, nor of its solemn promise to take severe measures against Muslim preachers. It was clear to the Muslims that the government refused to appoint a probe team because it did not want to be confronted with the unpleasant truth. The government knew the truth. Muslims were innocent but had to be killed to satisfy the demands of church leaders.
Mohamed Said, bila ajizi, ananukuu hayo maandishi ya Prof. Ngozi eti kama kielelezo cha kuzipa nguvu ngano anazozimwaga bila kupumzika hapa JF! Jamani hata kwa kutumia akili kidogo mtu angejiuliza, hiyo inayotajwa kama The government ilikuwa chini ya nani? Kanisa? Ni lini kanisa lilichukua fomu kugombea Uraisi wa nchi hii, likachaguliwa na likaunda serikali? Halafu hao hao kama vile hawana akili nzuri bado mpaka leo wanadai ni kura za Waislaam ndizo ziliikosesha Kanisa Uraisi mwaka 2010! Lakini pamoja na Kanisa kushindwa, mfumoKristo bado ukaweza kuendelea hadi leo.

Wanajamvi, wanaoamini haya hadi kufikia kuandika kitabu, sitasita kuwaita wapuuzi na wachochezi...kwamba vitabu walivyoviandika kuna watu wanavinunua, wanavisoma na wanaviamini ni ishara tosha kuwa tuna tatizo kama jamii, tatizo kubwa. Hivi sasa Sheikh Ponda yuko ndani, viongozi wa UAMSHO wako ndani lakini hakuna anayemnyooshea kidole Kikwete...sana sana anazidi kumwagiwa sifa na watu wale wale waliochoshwa na MfumoKristo na kwa humu JF ndio watetezi wake wakubwa. Pamoja na yooote viongozi wote wakuu wa Taifa katika mfumo huu ni Waislaam.
 
Nguruvi3, ni kwamba inapofikia hapa ndio mimi humwita huyu mchochezi Mohamed Said mpuuzi na yeye kuhamaki kwa kudai eti katukanwa. Hicho kipande alichokinukuu hapo ukikisoma kwa umakini utadhani ni kama vile wakati wa hicho kinachoitwa Mwembechai killings serikali haikuwa na Kiongozi! Baadaye na bila hata aibu wala soni tunashuhudia jina la Mkapa, aliyekuja kukamata Uongozi miaka mingi tu baada ya tukio hilo, likitajwa! Sasa hapa lengo hasa ni nini? Halafu mtu mwenyewe anadai kafanya utafiti muda mrefu! ... na wenye uelewa finyu wanampigia makofi, what the heck!


Mohamed Said, bila ajizi, ananukuu hayo maandishi ya Prof. Ngozi eti kama kielelezo cha kuzipa nguvu ngano anazozimwaga bila kupumzika hapa JF! Jamani hata kwa kutumia akili kidogo mtu angejiuliza, hiyo inayotajwa kama The government ilikuwa chini ya nani? Kanisa? Ni lini kanisa lilichukua fomu kugombea Uraisi wa nchi hii, likachaguliwa na likaunda serikali? Halafu hao hao kama vile hawana akili nzuri bado mpaka leo wanadai ni kura za Waislaam ndizo ziliikosesha Kanisa Uraisi mwaka 2010! Lakini pamoja na Kanisa kushindwa, mfumoKristo bado ukaweza kuendelea hadi leo.

Wanajamvi, wanaoamini haya hadi kufikia kuandika kitabu, sitasita kuwaita wapuuzi na wachochezi...kwamba vitabu walivyoviandika kuna watu wanavinunua, wanavisoma na wanaviamini ni ishara tosha kuwa tuna tatizo kama jamii, tatizo kubwa. Hivi sasa Sheikh Ponda yuko ndani, viongozi wa UAMSHO wako ndani lakini hakuna anayemnyooshea kidole Kikwete...sana sana anazidi kumwagiwa sifa na watu wale wale waliochoshwa na MfumoKristo na kwa humu JF ndio watetezi wake wakubwa. Pamoja na yooote viongozi wote wakuu wa Taifa katika mfumo huu ni Waislaam.

Umeshikwa patamu, unatokwa povu. Ukweli unauma!
 
Nguruvi3, ni kwamba inapofikia hapa ndio mimi humwita huyu mchochezi Mohamed Said mpuuzi na yeye kuhamaki kwa kudai eti katukanwa. Hicho kipande alichokinukuu hapo ukikisoma kwa umakini utadhani ni kama vile wakati wa hicho kinachoitwa Mwembechai killings serikali haikuwa na Kiongozi! Baadaye na bila hata aibu wala soni tunashuhudia jina la Mkapa, aliyekuja kukamata Uongozi miaka mingi tu baada ya tukio hilo, likitajwa! Sasa hapa lengo hasa ni nini? Halafu mtu mwenyewe anadai kafanya utafiti muda mrefu! ... na wenye uelewa finyu wanampigia makofi, what the heck!


Mohamed Said, bila ajizi, ananukuu hayo maandishi ya Prof. Ngozi eti kama kielelezo cha kuzipa nguvu ngano anazozimwaga bila kupumzika hapa JF! Jamani hata kwa kutumia akili kidogo mtu angejiuliza, hiyo inayotajwa kama The government ilikuwa chini ya nani? Kanisa? Ni lini kanisa lilichukua fomu kugombea Uraisi wa nchi hii, likachaguliwa na likaunda serikali? Halafu hao hao kama vile hawana akili nzuri bado mpaka leo wanadai ni kura za Waislaam ndizo ziliikosesha Kanisa Uraisi mwaka 2010! Lakini pamoja na Kanisa kushindwa, mfumoKristo bado ukaweza kuendelea hadi leo.

Wanajamvi, wanaoamini haya hadi kufikia kuandika kitabu, sitasita kuwaita wapuuzi na wachochezi...kwamba vitabu walivyoviandika kuna watu wanavinunua, wanavisoma na wanaviamini ni ishara tosha kuwa tuna tatizo kama jamii, tatizo kubwa. Hivi sasa Sheikh Ponda yuko ndani, viongozi wa UAMSHO wako ndani lakini hakuna anayemnyooshea kidole Kikwete...sana sana anazidi kumwagiwa sifa na watu wale wale waliochoshwa na MfumoKristo na kwa humu JF ndio watetezi wake wakubwa. Pamoja na yooote viongozi wote wakuu wa Taifa katika mfumo huu ni Waislaam.

"Kauli zenye makosa kibao zinazosemwa kuhusu Uislam zinatokana na ujinga na wakati mwingine ni kupakana matope tu." Maurice Bucaille
 
Nimeingia humu kwa nia ya kukuelezeni upande wa Waislam.
Nia si kuwa mkubali kuwa lipo tatizo hapana.
...uliulizwa hivi, ni nani alikutuma uje kuwasemea waislam?

Nia yangu haijapata kuwa nikae humu kujibu maswali.
La hasha.
kumbe ndo maana ukiulizwa maswali majibu yako ni kama haya, waulizeni wao..., soma kitabu changu,.... etc

Nia ilikuwa kukufahamisheni la kwanza kuwa ipo historia nyingine
nje ya ile mliyofundishwa shule kwa zaidi ya miaka 50.
historia ya wazee wako? na kila mtu akiweka historia ya wazee wake jinsi walivyopigania uhuru wa nchi hii zitakuwa historia ngapi nje ya hiyo tuliyofundishwa miaka 50?

Hili naamini mshalijua.
kwenye utetezi wako mwingi sana hili neno naona unalitumia mno, kila kitu unasema tushaakijua, hii ni jibu la hoja mufilisi kabisa.

Pili ilikuwa kueleza mfumokristo.
Hili mshalijua.
umeulizwa toa mfano wa mfumo kristo hujibu, hivi kweli kungekuwa na mfumo kristo ungekuwa hai kweli wewe na huu upotoshaji wako unaojenga ufa wa kidini kwenye jamii ya mfumo kristo?

Nguruvi,
Wasikizaji 45,000 plus...
Si haba.
nimeshajua lengo lako, kumbe lengo lako ni maelfu ya watu wasome na kusikia ngano zako ndo raha yako?

Baba katika jina la Yesu lipitalo majina yote naamuru pepo la vita, pepo la uchonganishi litoke kwa mtu huyu amani yako ipate kutawala tena kwa watu wako, aaamen.
 
Huyo hana anachojuwa unajihangaisha bure, ni mpiga parapanda tu.


Basi ajifunze adabu na heshima kwa watu wenye elimu kama MOHAMED SAID..
Asijitie kujua jua sana ili hali anaungua jua tu hapa jijini daresalama..
Nchi imepiganiwa hiii..
 
Basi ajifunze adabu na heshima kwa watu wenye elimu kama MOHAMED SAID..
Asijitie kujua jua sana ili hali anaungua jua tu hapa jijini daresalama..
Nchi imepiganiwa hiii..
na waislam pekee au na wote waislam na wakristo?
 
Umeshikwa patamu, unatokwa povu. Ukweli unauma!
"Kauli zenye makosa kibao zinazosemwa kuhusu Uislam zinatokana na ujinga na wakati mwingine ni kupakana matope tu." Maurice Bucaille
zomba na Ritz, mnazidi tu kumuumbua huyo mchochezi na ngano zake...ningekuwa yeye, ningewafunga LUKU, mnamharibia.
 
Last edited by a moderator:
Sijapata ona wapuuzi wakubwa hapa duniani kama hawa wafia dini wa Gerezani kariakoo.
Kwanza hawajui kujenga hoja bali wanaleta viroja na ubishi usio na mashiko
Pili wanaleta majibu mepesi kwenye maswali magumu kutoka kwa Nguruvi,Mwanakijiji,Mag3,WildCard na Y.nyerere.

Hakika nyinyi ni watega nyoka na ni wapuuzi wakubwa sana hapa duniani...na siku si nyingi huyu Mzee M.S atamfuata Osama bin Ladeni baharini.
 
...uliulizwa hivi, ni nani alikutuma uje kuwasemea waislam?


kumbe ndo maana ukiulizwa maswali majibu yako ni kama haya, waulizeni wao..., soma kitabu changu,.... etc


historia ya wazee wako? na kila mtu akiweka historia ya wazee wake jinsi walivyopigania uhuru wa nchi hii zitakuwa historia ngapi nje ya hiyo tuliyofundishwa miaka 50?


kwenye utetezi wako mwingi sana hili neno naona unalitumia mno, kila kitu unasema tushaakijua, hii ni jibu la hoja mufilisi kabisa.


umeulizwa toa mfano wa mfumo kristo hujibu, hivi kweli kungekuwa na mfumo kristo ungekuwa hai kweli wewe na huu upotoshaji wako unaojenga ufa wa kidini kwenye jamii ya mfumo kristo?


nimeshajua lengo lako, kumbe lengo lako ni maelfu ya watu wasome na kusikia ngano zako ndo raha yako?

Baba katika jina la Yesu lipitalo majina yote naamuru pepo la vita, pepo la uchonganishi litoke kwa mtu huyu amani yako ipate kutawala tena kwa watu wako, aaamen.

Uislam ndiyo dini yenye ubavu wa kusimama dhidi ya mawimbi ya upagani na ukiburi wa kutomuamini Mungu tabia ambazo wengi katika jamii za nchi zizoendelea kiviwanda. Uislam unawavutia wengi kati ya wahitimu wa vyuo hasa hasa wale waliyochoswa na hoja zisizo na mantiki.
 
Back
Top Bottom