Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 3,506
- 2,606
Wa kupelekwa mirembe ni wale wote wanaosema wanatawaliwa na Mfumo Kristo. Kwenye hicho kitabu unachokisema, Mohamed Said aliweza kuzungumza na Nyerere kama alivyozungumza na wazee wake kabla ya kukichapisha?wewe sweke 34 itabidi tukutafute upelekwe mirembe kwasababu you are so ignorant mzee Mohamed said amesha sema aliandika kitabu kinachoitwa AFRICA EVENTS na Nyerere alikuwepo kwani kulikuwa na ulazima gani mzee akamuhoji Nyerere? wakati hicho kitabu kikitoka Nyerere alikuwepo
Mkuu wangu Mag3, naomba ulekebishe hapo kwenye rangi nyekundu.Mwanakijiji, mimi nimemwambia Mohamed Said kuwa wakati tunapata uhuru Desemba 9, 1961 ndio nilikuwa namalizia Form One (darasa la kumi na mbili). Pamoja na kufuatilia sana siasa za wakati huo (hata mdahalo wa Kennedy na Nixon tuliufuatilia kama vijana wa sasa walivyofuatilia mpambano kati ya Obama na Romney) na kuwa mashabiki wa siasa si za Afrika tu bali hata Asia na Ulaya, lakini hakuna hata siku moja kwenye miaka hiyo kabla ya uhuru, niliyasikia majina ya wazee wa Gerezani anaowataja Mohamed Said. Je wakati huo ni nani huyo alizima habari zao zisienee Tanganyika?
Miongoni mwa wanasiasa tuliowasikia ni kama Zuberi Mtemvu, Oscar Kambona, Bibi Titi Mohamed, Kasanga Tumbo, Paul Bomani na wengine wengi tu...lakini si Abdulwahid Sykes wa Gerezani, Sheikh Amir wa Unguja wala wazee wengine wa Gerezani anaowakomalia na kuwalilia. Nimekuja kuyasikia hayo majina miaka mingi tu baada ya uhuru, je ni nani huyo kabla ya uhuru alizuia habari zao na harakati zao zisiwafikie Watanganyika nje ya Dar es Salaam? Nyerere? Wakoloni? TANU? Huyu Mohamed Said ni mchochezi tu na muongo mkubwa sijapata kuona...ukweli utabaki pale pale kwamba wakati wa kupigania uhuru Watanganyika kwa umoja wao walishirikiana bila kujali kabila zao, dini zao wala sehemu wanakotoka.
Hao wazee wa Mohamed Said yawezekana walijulikana sana kwenye mitaa ya Dar es Salaam lakini Dar es Salaam ilikuwa na watu laki moja tu (110,000) wakati Tanganyika ilikuwa na watu milioni nane (8,000,000)
Mkuu wangu Mag3, naomba ulekebishe hapo kwenye rangi nyekundu.
Ahsante Zomba,
Wenzetu hawa hawajui utukufu wa ihsani.
Hebu tuwekee hapa "Jazaau ihsani..." huenda
wakawaidhika.
Muungwana haibi fadhila.
Mkuu wangu Mag3, naomba ulekebishe hapo kwenye rangi nyekundu.
Wa kupelekwa mirembe ni wale wote wanaosema wanatawaliwa na Mfumo Kristo. Kwenye hicho kitabu unachokisema, Mohamed Said aliweza kuzungumza na Nyerere kama alivyozungumza na wazee wake kabla ya kukichapisha?
Yap!!!! Professor wa Madrassa aliyebobea kwenye Juzuu na Pilau naona unamwaga nondo za uhakika. Vipi leo utakuwa na nafasi tuende kwenye hitma hapa jirani? au utakuwa busy kwenye Hitma nyingine prof ?
Zomba, huna hoja hapa, unapiga makelele kama mtoto tu, ona aibu, mtu mzima wa umri wako hata kama elimu ilikupita kando bado unanafasi ya kutumia uzoefu kujadiri hoja na sio ushabiki huu wa kipumbavu.Na wewe rekebisha, unaharibu lugha yetu tamu na adhim.
Huyo Mag3 baada ya kulambwa knockout ile ya jana ya Lwambano, kachanganyikiwa. Kwi kwi kwi teh teh teh! Amuulize, Yericko Nyerere, alikuwa anajificha humu baada ya kichapo kitakatifu, anakikumbuka na wala hakigusii tena!
Matokeo ya kidato cha nne nadhan yanatoka leo,sintoshangaa ukipata Div four ya point 33,kwa sababu upeo wako tuh unaasharia ni mtu wa daraja hiloo.Zomba, huna hoja hapa, unapiga makelele kama mtoto tu, ona aibu, mtu mzima wa umri wako hata kama elimu ilikupita kando bado unanafasi ya kutumia uzoefu kujadiri hoja na sio ushabiki huu wa kipumbavu.
G,
Ndugu yangu umehamaki sana.
Basi bora tuusimamishe mnakasha.
Hapana haja ya kutukanana.
Kama kuelimishana hilo tushalifanya.
Bora tuagane tukiwa na heshima zetu.
Naona Uislam unazungumzwa sana humu.
'
Sijui kwa nini, Ritz , zomba , Boko haram na wengine,hebu kutaneni na huyu jamaa, We are Against Hate, Not Faith | Faithfreedom.org !
'
Naona mnataka kwenda kweny mjadala wa kutaka kupaka matope imani zingine zionekane zinatetea uhalifu.
'
Kwanini msizungumzie historia bila kupaka matope imani zingine?
HAPO ANASEMA"i came,i saw,i conquered"Hebu yericko kama unaifaham vyema historia ya baba yako tuambie kitu kuhusu picha hii,ufaham wako ukoje??
View attachment 82453
Asante sana Ritz, si unajua mimi sie mtoto wa Kipata na Narung'ombe! lakini vipi ujumbe na somo umelielewa?Siyo kuwadharirisha ni kuwadhalilisha.
Wapumbavu mko wengi! yaani kwa upumbavu wako unadhani kila ambaye hakubaliani na mzee wako Mohamedi basi ni mkristo! Mwenyewe Mohamed Saidi anafahamu fika kwamba mie sio mkristo - kwa taarifa yako mie ni "adent ATHEIST". Ulivyo lijinga unajisikia sifa kujiita Boko haram bila kujua hata maana yake.Wewe kweli ndio ignorant yaani waislamu kudai haki yao juu ya OIC ndio umewaona omba omba mbona nyie muna misaada mingi kutoka makanisa ya ujerumani bado mumetiliana kati ya kanisa na serikali [MOU] kwahiyo unaniaminisha niamini kwamba wakiristo nao ni ombaomba mpumbavu ni wewe njoo huku Arusha ulipe deni mnalodaiwa na benki, au nikuulize swali unajua kilicho msibu Askofu Laizer chunguza kwanza hiyo issue kabla kuvamia uislamu "UBONDIA UNAUTAKA LAKINI UNAOGOPA MANUNDU"
ALAA!!!!! kumbe Mohamed Said una kitabu kinaitwa AFRICA EVENTS,sasa tutakipata vipi tupate nondo,tunakushukuru Boko haram kwa kutujuzawewe sweke 34 itabidi tukutafute upelekwe mirembe kwasababu you are so ignorant mzee Mohamed said amesha sema aliandika kitabu kinachoitwa AFRICA EVENTS na Nyerere alikuwepo kwani kulikuwa na ulazima gani mzee akamuhoji Nyerere? wakati hicho kitabu kikitoka Nyerere alikuwepo