Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hivi unaweza kunifafanulia ni kwa nini Waislamu ambao wapo CCM Nyerere hawampendi na ni kwa nini JK aliyeinadi ilani ya CCM mwaka 2005 ikiwaahidi Waislamu Mahakama ya kadhi na yeye akiwa ni Muislamu na amewaruka kimanga, je kuna ajenda gani dhidi ya wasio Waislamu.Mkuu Ngongo,
Tatizo siyo Mohamed Said hebu soma kichwa cha habari cha huu uzi watu ndiyo watatakiwa wathibitishe uchochezi wa Mohamed Said.
Zomba,
Pako pa kuanzia.
Anaweza kuanza Nyerere alipokikuta chama cha TAA kiko hoi hakina
mwelekeo wa siasa...
Hii ni ''cue'' maarufu akina Mzee Ngombale wako atawahoji wao wao
wana mengi.
Ataingia katika nyaraka za mzee wake na atazungumza na mama.
Sifanyi maskhara kweli Yericko anawezakuja na kitu cha maana sana.
Zomba,
Wewe ulitaka kumkatisha tamaa si unaona tayari keshaanza ''literature review.''
Tayari atakipitia kitabu cha Kivukoni na kuangalia yalosahaulika.
Huu ni mwanzo mzuri sana.
Tusiharibu hii mada, nilikuonea huruma mwezi wa Ramadhani maana safari za msikitini zilikuwa haziishi. wacha tuendelee na mjadala huu kwanza. Bado sielewi ni kwa nini Waislamu hasa wa CCM hawampendi Nyerere lakini wanamkenulia meno JK ambaye ndiye adui wa Uislamu.Na ndio ukasingizia mama mgonjwa kalazwa, simu mbovu haina chaji. Umesahau?
Hizi ndizo porojo za mitaani..alitoa amri hiyo lini na wapi?
Matendo ya Nyerere yanaonesha alikuwa akipiga vita uislamu na hata wakristo wenye hekima wameliona hilo lakini bado wako wengi wanasubiri mpaka itokee pahala Nyerere aseme Leo naupiga vita uislamu ndipo watu hao waone ni ushahidi kuwa Nyerere kweli alikuwa adui wa uislamu.Ile kuifunga EAMWS na kuwatimua masheikh kwenye TANU haitoshi kwao.
Asingeweza kusema hivyo wakati akijua watu wenye akili kuliko zake akina Abdulwahid Sykes wapo.
Mkuu Ngongo,
Tatizo siyo Mohamed Said hebu soma kichwa cha habari cha huu uzi watu ndiyo watatakiwa wathibitishe uchochezi wa Mohamed Said.
Una maana kuliuwa na Waislamu wenye udini dhidi ya Wakristu tangu 1953 na wakarudi tena 1955 na tena hawahawa na udini wao wakarudi tena 1958 ?
Tusiharibu hii mada, nilikuonea huruma mwezi wa Ramadhani maana safari za msikitini zilikuwa haziishi. wacha tuendelee na mjadala huu kwanza. Bado sielewi ni kwa nini Waislamu hasa wa CCM hawampendi Nyerere lakini wanamkenulia meno JK ambaye ndiye adui wa Uislamu.
Hakuna mtu aliyesema kuwa Kambona muasisi wa TANU. Nimekuuliza Kambona hakuwa na cheo chochote ndani ya TANU alikuwa mwanachama wa kawaida.Nisome kwaumakini katika maandiko yangu mkuu,
Nimesema alikuwa mwanachama wakawaida nikipinga dhana ya nyinyi utaka awe sehemu ya waasisi wa TANU.
Ikiwa mnataka mchango wake uthaminiwe siwaelewi mnataka uthaminiweje?
Je kila mwanatanu aandikwe kwenye historia ya UHURU?
Porojo zipi kesi ya uhaini waliokamatwa ni Bibi Titi Mohamed, Gray Mattaka, Eliya Chipaka,Prisca Chiombolo,Michael Kamaliza, viongozi hawa walihukimiwa pamoja na Oscar Kambona ambaye alikimbilia Uingereza.
Walikata rufaa na wakaachiwa huru. Wakakamatwa tena na serikali na kufungwa upya.
Wadogo zake Oscar Kambona wawili waliwekwa kizuizini bila kufikishwa mahakamani zaidi ya miaka kumi sasa ili linaitaji kujua nani aliwaweka kizuizini hawa ndugu zake Kambona.
Imeshathibitishwa kwa hotuba hiyo juu ya rangi ya bluu na maelezo mengine meeeeeeeeeenggi,
Sijui ulitaka ushahidi gani uletwa zaidi ya Mohamed kuja kutetea ngano zake?
MM,
Mazingira ya Dar es Salaam wakati ule yalikuwa magumu kwa Mkristo yoyote yule.
Kanyama Chiume kwenye kitabu chake ''Vituko vya Uhuru'' kaeleza hali ilivyokuwa.
Kitabu hiki unaweza kukipata Maktaba ya Chuo Kikuu.
Nyerere bila ya Abdu, Dossa, Idd Tosiri, Idd Faiz, Sheikh Hassan bin Amir na Baraza
la Wazee wa TANU chini ya Mwenyekiti wake Sheikh Suleiman Takadir uongozi wake
ungekumbwa na madhila makubwa.
Hisia dhidi ya Nyerere zilikuwapo toka 1953 kama nilivyoeleza na upeo ni pale sasa
walipotoka TANU kuunda AMNUT.
Nimeeleza haya kwa kirefu katika kitabu ikiwa unacho bora utalii.
Umeonae? Mwalimu hakuwa na utani kwa wavunja KATIBA na SHERIA za NCHI. Mwalimu na Oscar Kambona( zamani tukimwita OK) walikuwa watu wa karibu sana hata wakasimamiana NDOA.Porojo zipi kesi ya uhaini waliokamatwa ni Bibi Titi Mohamed, Gray Mattaka, Eliya Chipaka,Prisca Chiombolo,Michael Kamaliza, viongozi hawa walihukimiwa pamoja na Oscar Kambona ambaye alikimbilia Uingereza.
Walikata rufaa na wakaachiwa huru. Wakakamatwa tena na serikali na kufungwa upya.
Wadogo zake Oscar Kambona wawili waliwekwa kizuizini bila kufikishwa mahakamani zaidi ya miaka kumi sasa ili linaitaji kujua nani aliwaweka kizuizini hawa ndugu zake Kambona.
Kwamba baadhi ya wazee wako walikuwa wadini na wabaguzi dhidi ya Wakristu....?
Hakuna mtu aliyesema kuwa Kambona muasisi wa TANU. Nimekuuliza Kambona hakuwa na cheo chochote ndani ya TANU alikuwa mwanachama wa kawaida.
Umeonae? Mwalimu hakuwa na utani kwa wavunja KATIBA na SHERIA za NCHI. Mwalimu na Oscar Kambona( zamani tukimwita OK) walikuwa watu wa karibu sana hata wakasimamiana NDOA.
Sio kweli Mzee Mohamed. Mwaka huo 1953 ndio aliochaguliwa kuiongoza TAA na baada ya miezi kadhaa TANU ikazaliwa na akachaguliwa tena kuwa Rais wake wa KWANZA. Dar Es Salaam haijawahi kuwa ngumu kwa mtu wa DINI au KABILA yoyote labda baadhi ya mitaa. Mwalimu hakuwa mgeni na siasa za TAA.MM,
Mazingira ya Dar es Salaam wakati ule yalikuwa magumu kwa Mkristo yoyote yule.
Kanyama Chiume kwenye kitabu chake ''Vituko vya Uhuru'' kaeleza hali ilivyokuwa.
Kitabu hiki unaweza kukipata Maktaba ya Chuo Kikuu.
Nyerere bila ya Abdu, Dossa, Idd Tosiri, Idd Faiz, Sheikh Hassan bin Amir na Baraza
la Wazee wa TANU chini ya Mwenyekiti wake Sheikh Suleiman Takadir uongozi wake
ungekumbwa na madhila makubwa.
Hisia dhidi ya Nyerere zilikuwapo toka 1953 kama nilivyoeleza na upeo ni pale sasa
walipotoka TANU kuunda AMNUT.
Nimeeleza haya kwa kirefu katika kitabu ikiwa unacho bora utalii.
Kwamba baadhi ya wazee wako walikuwa wadini na wabaguzi dhidi ya Wakristu....?