Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Ndio maana wanasema "Detention without trial" ni tool muhimu kwa maendeleo ya africa,mtu kama Mohamed Said angefichwa,yes men kama zomba na Ritz wasingelishwa sumu
 
Last edited by a moderator:

Ukiwasikiliza hawa ndugu zetu wanapohubiri na kupandikiza UDINI ni kama vile fumo la imani!
 
Ndio maana wanasema "Detention without trial" ni tool muhimu kwa maendeleo ya africa,mtu kama Mohamed Said angefichwa,yes men kama zomba na Ritz wasingelishwa sumu

Son...

Tujaalie mie nikawekwa kizuizini kwa kuandika kitabu.

Vipi Sivalon.

Au Lwambano aliyezua uongo kuhusu Mwembechai na
kusababisha vifo?

Vipi mawakala wa Kanisa katika serikali wanatekeleza
udini?

Vipi akina Geoffrey Sawaya na wale waliowatuma katika
kupiga vita EAMWS?

Nini hukumu ya hawa?

Na hawa hapa chini nini hukumu yao?

[SIZE=+0]The killings were video taped by several private television stations. At that time the government had not yet set up its own television station. The killings were shown but only once and very briefly. All stations were reportedly ordered not to show the scene of the police shooting. Immediately after the Mwembechai killings the Central Committee, and the National Executive Committee of ruling political party (CCM), at their respective meetings commended the government on its handling of the Mwembechai issue. NEC and CC are the highest organs of CCM and are both chaired by the national party chairman, in this case Mr. Benjamin Mkapa, who is also the President. Although in this political comedy the government was being congratulated by the party which is a different body, the dramatis personae in both organs were nearly the same. Nearly all cabinet ministers are also either members of NEC or CC or both. All policemen who distinguished themselves during the Mwembechai saga were decorated and promoted by the government. Another significant institution which praised government action at Mwembechai was the Catholic church. His Eminence Polycarp Cardinal Pengo expressed his support in a DTV "Hamza Kasongo Hour" programme on 12 April, 1998. When he was asked whether by opening fire to unarmed civilians, the police did not use unnecessarily excessive force, the Cardinal said that the use of live bullets was perfectly justified because Muslims were also armed with stones. And stones could kill. He invoked the biblical story of David and Goliath to demonstrate the lethal power of pebbles. The Cardinal's highly publicised interview provoked Muslims to ask: Who was David and who was Goliath at the Mwembechai crisis?

(Kutoka Mwembechai Killings....)
[/SIZE]
 
Naona Mzee Mohamed anang'ang'ana kuwa AA ndio TAA na TAA ndio TANU na kwa sababu hiyo TANU ndio CCM! Kwamba huyu ni nyoka mmoja ambaye amekua akijivua na kujivika gamba jipya. Ukimwambia lete KATIBA za vyama hivi zinazolithibitisha hilo, anakwambia hakuwahi kuziona wala kuzitafuta katiba hizo!

Dhana yake hii imejikita zaidi kwenye watu na majina yao na hasa familia ya mlowezi Sykes. Kwa kuwa Sykes alikuwepo AA ilipoanza, Kleist Sykes akawepo enzi za TAA na baadae Abdu na wadogo zake wakawepo wakati TANU inaanza basi chama ni kilekile ni majina ya viongozi yanabadilika.

Historia ya vyama haiko hivo Mzee Mohamed pamoja na mapenzi yako makubwa kwa familia hii ya Sykes. Historia ya familia ndio inakuwa hivo. AA, TAA, TANU na CCM ni vyama vinne tofauti. Vilivyoanzishwa na watu tofauti, kwa nyakati, malengo na madhumuni tofauti.
 

Moja ya jambo mhimu katika kuziangazia siasa za Nchi hii kabla ya uhuru na bada ya uhuru ni hilo,

Wengi wanachanganya sana juu yayo bila kuzingatia ideology ya kila kimoja wapo!
 

WildCard,

Ukipinga kitu basi uje na jibu mbadala unapinga halafu jibu huna una maneno matupu tu, tuwekee wewe katiba ya ukweli ya TANU alioacha Nyerere.
 
Last edited by a moderator:

WC,

Hapana sing'ang'anii chochote.
Ikiwa wewe unaona hivyo mimi siwezi kukulazimisha kuona vinginevyo.

Humu tunawasikilizaji sasa 51, 000+.
Hawa ndiyo waamuzi wa mambo haya.

Sie kila mtu ataweka hapa jamvini kile ajuacho.

Wasikilizaji ndiyo waamuzi wetu.
 
WildCard,

Ukipinga kitu basi uje na jibu mbadala unapinga halafu jibu huna una maneno matupu tu, tuwekee wewe katiba ya ukweli ya TANU alioacha Nyerere.
Sina na sijapata kuiona Katiba ya Kwanza ya TANU. Mzee asingefikia hatua ya kuandika historia "nzuri" ya chama hiki bila kuiona katiba hii. Vyeo na madaraka ya wahusika wake alivitoa wapi? Hao walivipataje? Katiba ndio document muhimu inayoandaliwa au kupitishwa na wote kwenye chama chochote kile.

Katiba ya TAA ilitakiwa iwe ndio shahidi mkuu kuwa AA inabadilika kuwa TAA na katiba ya kwanza ya TANU ndio ingeshuhudia kuwa TAA ndio inabadilika kuwa TANU kama katiba ya CCM inavyoshuhudia uvunjwaji wa TANU na ASP kuunda CCM. Sio kutumia mafaili ya wazee kama msahafu!
 
Ndio maana wanasema "Detention without trial" ni tool muhimu kwa maendeleo ya africa,mtu kama Mohamed Said angefichwa,yes men kama zomba na Ritz wasingelishwa sumu

Adhabu yako mtu kama wewe ni kukupuuza tu kukujibu wewe ni kujidhalilisha, Mohamed Said kajishusha sana kukujibu.
 
Last edited by a moderator:
Misikitini unakohubiri wanapata nafasi ya kukuhoji? Au unasikilizwa tu! Unawaambia upande mwingine wa wazee wako hawa?
 
Nenda maktaba yoyote Tanzania waambie wakupe vitabu vya historia ya uhuri,

Kama kile cha kivukoni na vingine vingi sana lakini ukibahatika kusoma cha Mohamed Said kuwa makini kwa kila andishi rudia mara tatu!

kwanini usimshauri asome kitabu cha kivukoni mara tatu tatu pia?

je ipo haki ya kusema kitabu cha kivukoni ni ngano pia?

Ninawasilisha
 

Naona unatumia akili yako kuchambua mambo ya katibu AA, TAA, TANU, mie nilidhani unayo ndiyo maana unatoa mchanganuo.
 
kwanini usimshauri asome kitabu cha kivukoni mara tatu tatu pia?

je ipo haki ya kusema kitabu cha kivukoni ni ngano pia?

Ninawasilisha

Kwasababu kitabu cha kivukoni ni cha historia halisi sio yakufikirika ndiomaana huwezi kuiita ni ngano.

Mapungufu yaliyomo si yakuhatarisha amani kama alivyofanya shekhe Mohamed Said katika ngano zake
 
kwanini usimshauri asome kitabu cha kivukoni mara tatu tatu pia?

je ipo haki ya kusema kitabu cha kivukoni ni ngano pia?

Ninawasilisha
Kile cha Kivukoni hakikutokana na simulizi za jamii moja na kisha mtu akajifungia chumbani kwa mkewe kukiandika!
 
Kile cha Kivukoni hakikutokana na simulizi za jamii moja na kisha mtu akajifungia chumbani kwa mkewe kukiandika!

Kwa hiyo kitabu cha Kivukoni ndiyo historia sahihi ya TANU na wapigania uhuru.
 
Kwa hiyo kitabu cha Kivukoni ndiyo historia sahihi ya TANU na wapigania uhuru.
Angalau. Ni utafiti na akili za wengi. Hakina UDINI. Hakikukamilika kama Biblia na Quran ingawa vyote vimeandika na WANA-DAMU!
 
Kwa hiyo kitabu cha Kivukoni ndiyo historia sahihi ya TANU na wapigania uhuru.
Unajua Ritz,
Utafiti wa mtu mmoja unaokubalika bila ubishi ni ule wa kisayansi kwa sababu unathibitishwa kimaabara na kujaribiwa kunakohusika.

Utafiti wa HISTORIA ni mgumu sana kuuthibitisha hasa ukiwa umefanywa na mtu mmoja na mashahidi wake wote ni MAREHEMU!

Utafiti wa mzee wetu Mohamed uliozaa kitabu chake kile utabaki kuwa simulizi tu na ndio maana kila anachoulizwa anakirudia kitabu chake hichohicho na mistari michache ya akina Padre Sivalon.
 
Kwasababu kitabu cha kivukoni ni cha historia halisi sio yakufikirika ndiomaana huwezi kuiita ni ngano.

Mapungufu yaliyomo si yakuhatarisha amani kama alivyofanya shekhe Mohamed Said katika ngano zake

Nani alosema kuwa ni historia halisi? Huyo alosema, anahaki gani kusema hivyo?

Tatizo mnataka kuyumbisha nia na madhumuni ya mzee Mohamed Said na kitabu chake. Alishasema nia ni kuandika wazee wake waliosahauliwa. Hakusema kuwa wazee hao ndo wapekee katika kupigania uhuru.

Sasa kuna kosa gani amelifanya hapo?

"Ngano" zake zimethibitika through rejea zake alizotoa. Kama ni "ngano", rejea zake zote pia muziite ni "ngano"

Sasa semeni kuwa rejea zako mzee Mohamed Said ni "ngano" kama uthubutu huo mnao!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…