zomba,
Huyo saizi ni mwalimu wa matusi kwenye huu uzi cha kuchekesha naye anataka kuandika kitabu.
Nyinyi watu wa mfumo hamna jema wala kheri katika jamii.Ikiwa ni matangazo ya redio mtangaze nyinyi peke yenu wakitangaza waislamu ni uchochezi.Ikiwa ni kuandika magazeti na kutukana uislamu muandike nyinyi.Waislamu wakiandika kujitetea mnalalamika kuwa ni uchochezi.Iwapo ya kwenu hayasikilizwi na kusomwa si muache au mrekebishe mambo!.Mkuu, hili swali Mohamed amelikwepa sana. Alichokifanya ni kuaminisha umma kuwa Nyerere alikuwa mwendawazimu siku moja akaamka na kuanza kushambulia masheikh kwa vile alitumwa na kanisa.
Ukweli ni huo hapo juu na Mohamed anaujua. Katika kitabu chake ameandika wazi ''radical muslims''.
Sheikh Amir alitaka kung'oa Nyerere kwasbabu tu ni Mkristo mara mbili. Jaribio liliposhindwa wakajificha chini ya kivuli cha EAMWS ambayo nina kuhakikishia haikuwa ya waswahili! Historia yake inaanzia Pakistan,mwaka 1945 na Mombasa.
Nyerere alipogundua hilo na baada ya kunusurika majaribio kabla ya uhuru akautumia uungwana na busara kumuondoa sheikh Amir! vinginevyo angeweza kumdhuru kwasababu uwezo alikuwa nao! hakufanya hivyo.
Mabaki ya Sheikh ndiyo yalimalizwa kabisa 1968 kwa kuua kichaka cha uhalifu EAMWS. Mohamed, tofautisha EAMWS na Uislam, UAMSHO na Uislam, CUF na Uislam.
Kitu kimoja watu wakumbuke, haya tunayoyaona leo ya akina Ilunga na Mohamed kutaka maaskofu wauawe(na wameua Geita) ni zao la Mpakistani mmoja aliyekuwa Mwalimu anaitwa Malik.
Mohamed ni mmoja wa wale watu wa Warsha waliofundishwa utafiti wa elimu ya Tanzania na huyu Mpakistani.
Mpakistan huyu hakujulikana mara ya kwanza na aliishi kama ''zezeta'' lakini alikuwa na ushawishi mkubwa sana hasa katika mambo ya vurugu za kidini. Serikali iliposhtuka tayari alishatoa wahitimu akina Mohamed, it's too little too late.
Kwahiyo unganishe dots za EAMWS, Maliki, Uamsho na Shura za Maimamu.
Fanyeni uchunguzi kidogo, masheikh wote radicals wamesomea Pakistan na kule mwenyeji wao alikuwa Malik.
Nimegunduwa kumb Yericko Nyerere alipewa za uso na Andrew Nyerere kwenye nyuzi nyingine huko, hasira zake kaja kuzimalizia huku.
Jumapili ni siku ya kwenda kanisani ndiyo maana ikawa mapumziko.
Itabidi serikali ifanye mabadiliko kuna wakirsto walikuwa wanalalamika siku yao ya kwenda kanisani kwa nini iwe siku ya kupiga kura.
Ntaweka link ngoja niitafute hiyo post.
Ipo thread ya Pasco humu. Hebu itafute kidogo. Haipendezi mwanaHistoria mahiri kupitwa na matukio kama haya. Board hii ikifanya kazi vizuri itakuja na majibu mazuri tu juu ya tuhuma na shutuma zako kwa Mwalimu.
Nimegunduwa kumbe Yericko Nyerere alipewa za uso na Andrew Nyerere kwenye nyuzi nyingine huko, hasira zake kaja kuzimalizia huku.
Usiwasemehe Waislam hakuna Muislam anayefurahi kupimzika Jumapili siku ya kwenda Kanisani.
Waislam watafurahi kama siku ya mapumziko yatakuwa Ijumaa.
Hili neno inasemekana alilotumia Mohamed Said umelifanya kichaka cha kukosa kwako eneo la kuteteaa uozo wa uongozi wa Nyerere na uchoyo wake na kuwa kwake kibaraka.Pamoja na hivyo hili neno linatumika sana katika heshima ya uandishi ambayo bila shaka kwako imekuwa nongwa kwa vile hunayo.Hata katika mazungumzo mzee akiponwa hatumwambii kwa uwazi kilichomtokea lakini huwa ni kweli tunajua ameponwa.Ushasikia mtu analeta mashtaka na kusema "inasemekana huyu aliiba" au "inaaminiwa kuwa huyu aliua albino". Kuna mahakama inaweza kumkutana mtuhumiwa na hatia kwa mashtaka yenye kudai "inaaminika" uhalifu umetendeka? Mahakama gani imewahi kukuta hatia kwa namna hii? mfano mmoja tu utatosha kunikata ngebe.
Andrew,Yericko alisema Mwalimu Nyerere ni baba yake mzazi,mimi nimesema tu,that is news to me,sina taarifa. Mama yake mzazi ni nani?
Yericko alisema Mwalimu Nyerere ni baba yake mzazi,mimi nimesema tu,that is news to me,sina taarifa. Mama yake mzazi ni nani?
Andrew,
Zungumzia kidogo UDINI wa Mwalimu. Unamfahamu Mzee Mohamed Said?
Andrew Nyerere- input yako ni muhimu katika hii thread-please do the needfull
Andrew,Hii posting ya Yericko Nyerere bado sijaisoma,naona imepata hits nyingi sana. Kuhusu udini wa Mwalimu,Mwalimu alikuwa anaamini sana katika dini, na mtu akiamini katika didi ina maana kwamba anaamini dini yoyote,kwamba dini ndio inaweza mumuongoza mtu katika maisha yake.
Kwa mfano Yesu Kristu, Kristu siyo jina lake. Hali ya ukristu ni hali ya utakaso,hali ya mtu kuishi kufuata maadili ya Mungu,hali ambayo kila Mkristu anatakiwa kuwa nayo,kuifikia..Katika dini ya Budha pia. Ingawa Budha anaitwa Budha,lakini Budha,kama Kristu,maana yake ni mtu aliyetukuka,na kila muumini anatakiwa kuwa Budha. Lakini ndio hivyo,Kristu anaitwa Kristu na Budha anaitwa Budha.
Dini ya kweli inafundisha tu ntu aishi kufuata maadili ya Mwenyezi Mungu,pia awe na jicho la kumtambua mtu anayeishi kufuatana na maadili mema,amtambue kwamba yule ni ndugu yake katika roho,Brotherhood of Light. Yaani kwenda across religious beliefs,kwenda beyond any beliefs, na kumtambua mtu mstaarabu unapomuona.
Vinginevyo utakuwa tu unasema Waislamu ni adui zako,wakati wakristu ndio wamekupiga kabali wamekunyang'anya fedha.
By Ritz
Yericko Nyerere,
1} Mzee wako alipokuwa hai alikuelezea chochote kuhusu wazee wa kariakoo katika harakati za kutafuta uhuru.
2} Tupe ushahidi kuwa Chifu Maliale ndiyo aliyetoa pesa za kumpeleka Mwalimu Nyerere UN.
3} Kabla Mwalimu Nyerere ajafariki ameishawahi kuuwambia ni nani aliyekuwa rafiki yake kipenzi wakati yupo TANU. /QUOTE]
MAJIBU
1) Swali hilo linajibiwa na nukuu ya mwalimu Nyerere niliyoiweka kwe uzi maalumu pale juu.
2) Kama ulifuatilia vema mjadala wangu na Mohamed Said juu ya kisa hicho nilisema mwezi kesho nitakwenda Butiama nitajitahidi walau kupata picha ya msaada huo wa Chifu Marealle
3) Sikumuuliza na hakuwahi kuniambia, lakini mimi ninajua kuwa alikuwa Mzee Mshume
Simfahamu mkuu.Mkeshaji,
Unamfahamu Dr Michael Lugazia.
WEWE unachonganisha ilmurad hii thread ipoteze muelekeo,hii yote unaogopa nondo mpya yote haya katika kuumpa breathing space Mohamed SaidSi yupo Yericko Nyerere, anajua zaidi habari za Mzee na jana katutajia muhimu kwenye maisha ya Nyerere kuliko Mama Maria Nyerere katutajia na jina anaitwa Omar Sisco.