Nashawishika kukwambia kuwa juhudi za kanisa katika harakati za Ukombozi zipo na zimetukuka, japokuwa hazisemwe wala kulalamikiwa!
Ukitaka nikushuishie ushiriki wa kanisa nitakushushia bila chembe, na utashangaa kwakuwa hukuwahi kusikia hayo!
Kweli wewe kichwa chako KIGUMU.
Sasa nakuomba uwe mstaarabu, sawa?
Mohamed Said kitabu chako si ungekiita "Mein Kempf" kingejulikana kimataifa zaidi maana sioni tofauti,wewe unazungumzia christian conspiracy chenyewe kilizungumzia jewish conspiracy-the end result what happened next the world had to face germany,wewe unatakawaislam wawakabili wakristo in the name of kutaka usawa-someday history itakuhukumu as the harbringer of a distabalised tanzania
Mungu atuweke hai .Nina uhakika kukamatwa kwa Ponda and co na jinsi maandamano waislam yalivyodhibitiwa utayaandika kama ulivyoandika wakati wa Mwinyi. Ila kama angekuwa rais Mkristo madarakani ungeandika kama nilivyo highlight hapo chini kwenye paper yako. Kimsingi unasukumwa na chuki ya kidini tu . Hautoki nje ya hapo.Serikali haitavumilia vurugu wala ukabila kwa namna yoyote ile . Mwaka 2012 vurugu zenye sura ya kidini zilianza kujitokeza ila sasa nasema kwamba hatutazivumilia kwa namna yeyote ile, inatosha, alisema Rais Kikwete.
through
Kinondoni District soon after Friday prayers demolishing pig butcheries amidst chants of Allahu Akbar. This was the first ever
physical attack by Muslims on Christian property justified by religious belief for over seventy five years. By taking the law into their
own hands Muslims had fired their first warning shot. When news of the attack became known Christians held their breath. On
Easter Friday while Christians were observing what they believe to be crucifixion of Christ a group of Muslims in Magomeni,
Tandale and Manzese in Kinondoni District went on rampage and demolished pork butcheries owned by Christian traders.
President Mwinyi who was in Zanzibar on official engagement unwisely and driven by the fear that the country was moving
towards the dreaded clash between Muslims and Christians, issued an hurried condemnation of the attack and ordered that all
those responsible for the attack should be made to feel the full weight of state power. By that statement a simple case of few
frustrated young Muslims hotheads driven to action by insensitive of the government to genuine grievances, was blown out of
proportion into a national crisis. The government and party media including the state radio warned of the dangers of "Muslim
fundamentalists in Tanzania." The Christian lobby saw in Mwinyi's statement a blank cheque to crash all Muslims it considered
dangerous to their interests. This was what they have been waiting for. The Prime Minister and Vice-President John Malecela issued a strong statement condemning the attack.
62
In an interview with the BBC Swahili Service, Malecela referred to the imams and
other Muslims who were arrested as a result of the pork conflict as hooligans whose aim is to acquire power through religion.
The Minister of Home Affairs and Deputy Prime Minister Augustine Mrema issued a statement saying that he was convinced the
act was precipitated by an outside Muslim power to destabilise the country. The Secretary General of the CCM Horace Kolimba
63
giving the position of the party said that those who attacked the butcheries were not Muslims but hooligans whose aim was to
overthrow the government.
64
It was not explained how unarmed hooligans could overthrow a government. Sheikh Kassim bin
Juma who was in Arusha enroute to Nairobi for medical treatment was arrested on orders of the Minister of Home Affairs and
Deputy Prime Minister, Augustine Mrema. A total of forty Muslims activists including Bible scholars were arrested. Among those
arrested was Salum Khamis the Chairman of Baraza Kuu, Sheikh Yahya Hussein Chairman of BALUKTA and Sheikh Salum Rajab
leader of the Ansar. Sheikh Salum Rajab was arrested on charges of making bombs. The news of the arrests of Muslims by the state
security agents triggered Muslim anger.
But times had changed drastically. In 1960s when Nyerere was arresting and detaining sheikhs, Muslims were least concerned.
Mohamed Said, wimbi la mbele,
..hivi mnaweza kutuletea vitabu vya van Bergen na John Sivalon ambavyo mara nyingi mmekuwa mkivinukuu?
..nadhani ili mjadala huu uweze kupendeza tunapaswa na kuviona vitabu hivyo ambavyo mnadai vina ushahidi wa uonevu wa Mwalimu Nyerere dhidi ya Waislamu.
..kama kuna tatizo mnaweza kuwasiliana na Maxence Melo au moderator kuona taratibu gani zitumike vitabu hivyo vifike hapa kwa ajili ya mjadala wetu.
cc: Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Companero, Jasusi
jokaKuu,Mohamed Said, wimbi la mbele,
..hivi mnaweza kutuletea vitabu vya van Bergen na John Sivalon ambavyo mara nyingi mmekuwa mkivinukuu?
..nadhani ili mjadala huu uweze kupendeza tunapaswa na kuviona vitabu hivyo ambavyo mnadai vina ushahidi wa uonevu wa Mwalimu Nyerere dhidi ya Waislamu.
..kama kuna tatizo mnaweza kuwasiliana na Maxence Melo au moderator kuona taratibu gani zitumike vitabu hivyo vifike hapa kwa ajili ya mjadala wetu.
cc: Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Companero, Jasusi
Mungu atuweke hai .Nina uhakika kukamatwa kwa Ponda and co na jinsi maandamano waislam yalivyodhibitiwa utayaandika kama ulivyoandika wakati wa Mwinyi. Ila kama angekuwa rais Mkristo madarakani ungeandika kama nilivyo highlight hapo chini kwenye paper yako. Kimsingi unasukumwa na chuki ya kidini tu . Hautoki nje ya hapo.
In an operation on Easter Friday afternoon a group of young Muslims like well trained commando squad moved swiftly
Mkuu Mohamed Said, usione kimya, nipo nje ya ofisi natumia simu, nikitulia kwenye kompyuta nitakupa ushiriki wa kanisia kwenye uhuru wa nchi hii hadi uhuru kamili!
Mohamed Said, Jasusi,Kitabu cha Bergen hakipatikani madukani kwa sasa.
Lakini John Sivalon kitabu chake kinapatikana Msikiti
wa Mtambani Kinondoni.
Bei yake ni shs: 2,000.00.
Yoyote akitakae akanunue pale.
Ila muhimu Waislam wamefikisha kila kitu serikalini.
Hakuna ambacho hakijulikani.
Serikali imekuwa kimya.
Walichofanya ni kukifungia kitabu cha Dr. Njozi ''Mwembechai
Killings.''
Lakini wakakiruhusu cha Dr. Mbogoni ''The Crescent and the Cross.''
Ambalo kimechukuliwa kama jibu kwa Dr. Njozi.
Haya ndiyo mambo ya serikali yetu.
jokaKuu,
Kitabu cha John Sivalon ninacho. Hakuna mahali popote pale alipoandika kuwa Nyerere alipendelea wakristo. Aliandika kitabu kuelezea mchango wa kanisa lake katika political transformation ya Tanzania. Sasa wenzetu wamekitumia na kupotosha makusudi kuwa ni ushahidi wa jinsi kanisa Katoliki lilivyoshirikiana na Nyerere kuwabagua Waislamu. Ukitaka siku moja pitia hapa nikuazime ukakisome mwenyewe. cha Van Bergen nimewahi kukisoma lakini kwa sasa sinacho. Nimekitafuta Amazon wakasema kiko out of print. Lakini Mohamed anatafsiri kuwa kilipigwa marufuku Tanzania. Si kweli.
Mohamed,Soma Sivalon uk. 49 (Ndanda, 1992) anazungumzia kuhusu mgawano wa viti katika Bunge.
Anasema Wakatoliki wanahodhi 75% ya viti vyote. Vilivyobaki wamegawana Wakristo
wa madhehebu nyingine na Waislam.
Sivalon uk 37 anazungumzia kuhusu njama za Kanisa Katoliki dhidi ya Uislam na kuuita Uislam
ni adui wake...
Kuhusu kupigwa marufuki Bergen.
Wahusika wako kimya.
Hawajajibu sasa takriban miaka 20.
Wao huwa kimya wanakuachieni nyie muwajibie ingawa nyinyi siyo mliotuhumiwa kwa dhulma.
HOJA YA UBUNGE HUGOMBEWA HUJAITIZAMA KWA MLINGANYO SAHIHI...!Mohamed,
Ubunge unagombewa. Haugawanywi. Kwa hiyo kama kuna makosa hapa tuwalaumu raia wote wa Tanzania wakiwemo
Waislamu, kwa kuwachagua 75% ya wabunge wa Kikatoliki. Hilo moja. Kitabu cha Bergen hakijawahi kupigwa marufuku. Hiyo nitairudia mpaka unithibitishie vinginevyo. Na kama kilipigwa marufuku miaka 20 iliyopita, kama unavyodai, basi kilipigwa marufuku na serikali iliyoongozwa na Muislamu, Ali Hassan Mwinyi, jambo ambalo haliingii akilini. Nimesema kitabu cha Njozi kilipopigwa marufuku ilitangazwa. Tutafutie Gazette ambamo serikali ilitangaza kupiga marufuku kitabu cha Bergen. Najua ni suala dogo, lakini hivi viuongo vidogo vidogo vikiunganishwa pamoja huleta picha tofauti kabisa. Pia kitabu cha Sivalon mimi nina nakala ya 2001. Naomba uninukulie Sura, kwa sababu ukiniambia ukurasa, kwangu ukurasa 49 ina "Mafundisho ya Maaskofu wa Tanzania," yakielezea barua ya maaskofu inayozungumzia "amani na maelewano."
Mohamed,
Ubunge unagombewa. Haugawanywi. Kwa hiyo kama kuna makosa hapa tuwalaumu raia wote wa Tanzania wakiwemo
Waislamu, kwa kuwachagua 75% ya wabunge wa Kikatoliki. Hilo moja. Kitabu cha Bergen hakijawahi kupigwa marufuku. Hiyo nitairudia mpaka unithibitishie vinginevyo. Na kama kilipigwa marufuku miaka 20 iliyopita, kama unavyodai, basi kilipigwa marufuku na serikali iliyoongozwa na Muislamu, Ali Hassan Mwinyi, jambo ambalo haliingii akilini. Nimesema kitabu cha Njozi kilipopigwa marufuku ilitangazwa. Tutafutie Gazette ambamo serikali ilitangaza kupiga marufuku kitabu cha Bergen. Najua ni suala dogo, lakini hivi viuongo vidogo vidogo vikiunganishwa pamoja huleta picha tofauti kabisa. Pia kitabu cha Sivalon mimi nina nakala ya 2001. Naomba uninukulie Sura, kwa sababu ukiniambia ukurasa, kwangu ukurasa 49 ina "Mafundisho ya Maaskofu wa Tanzania," yakielezea barua ya maaskofu inayozungumzia "amani na maelewano."