Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Nimekuuliza swali linalokuhusu wewe unakuja na stori ndefuuuuu.. wewe unataka mahusiano mema baina ya Wakristu na Waislamu au unapenda uhasama uwepo ? Ni swali jepesi tu... vitabu vyako havijibu swali hili.

MM,

Sikujua kuwa ulitaka jibu la ''hapana'' ''ndiyo.''

Ikiwa hivyo ndivyo utakavyo basi wala usipoteze
nguvu na muda wako kuniuliza swali kama hilo.
 
Nimekuuliza swali linalokuhusu wewe unakuja na stori ndefuuuuu.. wewe unataka mahusiano mema baina ya Wakristu na Waislamu au unapenda uhasama uwepo ? Ni swali jepesi tu... vitabu vyako havijibu swali hili.

Ungekuwa unaijuwa maana ya nasaba usingeendelea na hilo swali. Pole sana kwa kutokuwa na ilm ya nasaba.
 
MM,

Sikujua kuwa ulitaka jibu la ''hapana'' ''ndiyo.''

Ikiwa hivyo ndivyo utakavyo basi wala usipoteze
nguvu na muda wako kuniuliza swali kama hilo.

Si lazima liwe jibu la 'ndio' au 'hapana'; ila liwe jibu linalohusu hisia zako wewe siyo za wazee wako. Tayari najua vya kutosha msimamo wa wazee wetu waliopigania uhuru kwani historia imeunakili vizuri. Napenda kujua msimamo wewe - linaweza kuwa jibu refu kama unapenda.
 

MM,

Mimi naweza kuwa na langu katika jambo kubwa na zito kama hili?
Mimi najua nini mbele ya hawa wazee...

Hebu soma hii kutoka ''Under the Shadow of British Colonialism...''

Labda utaona uzito na uchungu waliokuwanao hawa wazee wengine kabla ya kufa:

''I knew times had changed.
My contribution to the country was no longer important or crucial.

TANU could now proceed ahead without me or my brother; or without Dossa Aziz or John Rupia, Mohamed Tambaza, Mshume Kiyate or Mwinjuma Mwinyi Kambi.

Nyerere had surrounded himself with new faces.
He had people who had come into the party as a result of the 1958 elections.

I had personally recruited some of them.

I remember one of the conditions, which some had put forward to us to join the struggle and stand as candidate for TANU in the 1958 elections - some demanded that they should be given cabinet post.

These were late comers in TANU their allegiance was not with the people.
Their allegiance lied somewhere else.

But most important independence had opened up chances for politicians to enrich themselves at the expense of the people and TANU as well as the government.

Politics became infested with sycophants, opportunists, bootlickers and all sorts of people all out to make what Americans call 'fast buck.'

Gradually Nyerere distanced himself from Muslims, his original power base and from us and was now surrounded by people only interested in their own self.

Jealousy, and intrigues and theft of party funds now became part of the political culture in TANU.

Gone were the days when Said Chamwenyewe would ride his bicycle to Rufiji collecting funds for TANU to deliver them intact to Idd Faiz Mafongo.

This was the time that we began to hear of all sorts of ridicule statements about TAA...''
 
mzee Mohamed Said unataka kusema wazee wako hawakukosea mahali popote? unataka kutuaminisha kuwa mawazo ya wazee wako ndo mawazo sahihi kweli? au sijakuelewa hapa kwenye red?
....Mimi naweza kuwa na langu katika jambo kubwa na zito kama hili?
Mimi najua nini mbele ya hawa wazee...
.....
 
Last edited by a moderator:
mzee Mohamed Said unataka kusema wazee wako hawakukosea mahali popote? unataka kutuaminisha kuwa mawazo ya wazee wako ndo mawazo sahihi kweli? au sijakuelewa hapa kwenye red?

Maswali ya kipuuzi kama haya hakuna muda wa kuyajibu peleka kwa wajinga wenzako.
 
Last edited by a moderator:
mzee Mohamed Said unataka kusema wazee wako hawakukosea mahali popote? unataka kutuaminisha kuwa mawazo ya wazee wako ndo mawazo sahihi kweli? au sijakuelewa hapa kwenye red?

Thats why UCLAS ulikua unakamatwa SUPP kila semister wewe..!

Umekua Mzito sana wa kufikiri..
 
mzee Mohamed Said unataka kusema wazee wako hawakukosea mahali popote? unataka kutuaminisha kuwa mawazo ya wazee wako ndo mawazo sahihi kweli? au sijakuelewa hapa kwenye red?

Z,

Hakuna binadamu aliyekamilika.
Lazima yatakuwapo makosa.

Lakini kuwa mimi nitakuwa mjuzi katika
historia yao kuwashinda wenyewe huo
ni muhali mkubwa.
 
Thats why UCLAS ulikua unakamatwa SUPP kila semister wewe..!

Umekua Mzito sana wa kufikiri..
lakini nimemaliza, teh teh teh! ungethubutu kwenda pale wewe mburula,
elimu ya madrasa mbaya sana, inaharibu ubongo, ukijumlisha na ngano za huyo shekhe wenu Mohame ndo mnazidi kuchanganikiwa, badala ya kufuata mafundisho ya Dini yenu mnafuata ngano za mtu mmoja mwenye maslahi binafsi ya KIGAIDI.
 
haya ndo majibu niliyohitaji..
Z,

Hakuna binadamu aliyekamilika.
Lazima yatakuwapo makosa.

Lakini kuwa mimi nitakuwa mjuzi katika
historia yao kuwashinda wenyewe huo
ni muhali mkubwa.

angalia vijana wako hapa walivyonijibu...
Maswali ya kipuuzi kama haya hakuna muda wa kuyajibu peleka kwa wajinga wenzako.


Thats why UCLAS ulikua unakamatwa SUPP kila semister wewe..!

Umekua Mzito sana wa kufikiri..
 
sijakuuliza wewe muuza mihadarati.

Sikiliza Zumbukuku, hii forum huru hatuwezi kuangalia upuuzi bila kuukemea kama unataka kumuuliza Mohamed Said binafsi ungemuandikia PM. Mohamed Said kajishusha sana kukujibu kauzu kama wewe.
 


Tatizo ulikua unasoma ili umalize na si kusoma ili uelimike,ndio maana upeo wako baada ya kumaliza pale upo chini kias hiki,sijajua kama ulifanya architecture au land management and valuation,au building economics,ila kwa jins unavoonesha umeondoka pale kichwa kitupu,kichwa box..!
umepoteza muda wako na kuyagharim maisha yako bure tuh..
 
wee chokoraa nimeshakwambia mimi mwafrika, sijafuata mapokeo ya wapumbavu wa Asia na Ulaya, endeleeni kusurubiana...

"Kusurubiana"


Huyu ndiyo msomi wa chuo kikuu mbeleko ya NECTA.

ha haa haaa haaaaa!! Teh! Teh! Teh! Teh! Kwi! Kwi! Kwi!.
 

Zumbemkuu,

Kama sijakosea kuna mahali ulisema ungependa tufahamiane.
Bado ile azma ipo?

Pumzika kidogo naona umepandwa na hamaki kiasi cha kunitukana.

Bado naamini ni hamaki to na itapita na wewe utarudi kwenye muruwa
wako wa kawaida.
 

Nilimweleza hivyo kuwa Matola ndie mwasisi mkuu wa AA akanitusi kuwa siijui historia
 
Last edited by a moderator:
Hebu tumwangalie kiongozi huyu aliyezaliwa kwenye ukristu na aliyehudumu kwa mafanikio ndani ya ardhi ya mfumo islamu,


Matthew Olusegun Aremu Obasanjo 5 Machi 1937) ni jenerali mstaafu wa Jeshi la Nigeria aliyekuwa rais wa Nigeria mara mbili. Awamu yake ya kwanza ilikuwa kama rais wa kijeshi kati ya 1976 hadi 1979 halafu awamu la pili kama rais aliyechaguliwa na wananchi kati ya 1999 hadi 2007.

Obasanjo alizaliwa katika kabila la Wayoruba akalelewa kama Mkristo wa kibaptisti. 1958 akajiunga na jeshi akapanda ngazi haraka. 1967-1970 alishiriki katika vita dhidi ya Biafra. Baada ya uasi wa jeshi chini ya Murtala Mohammed mwaka 1975 alipewa cheo cha makamu wa rais. 1976 Mohammed aliuawa na wapinzani ndani ya jeshi waliokosa kumwua Obasanjo pia. Obansajo aliweza kukandamiza uasi akateuliwa na halmashauri ya kijeshi kuwa raisi mpya. Alitumia nafasi yake kuandaa uchaguzi wa 1979 akakabidhi madaraka kwa rais aliyechaguliwa Shehu Shagari.

Kati ya 1980 hadi 1995 alikuwa na vyeo mbalimbali vya kimataifa akagombea nafasi ya Katibu Mkuu wa UM halafu alikuwa mwenyekiti wa halmashari ya Transparency International (TI). Dikteta wa kijeshi Sani Abacha alimfunga gerezani kati ya 1995 hadi 1998.

Wakati wa uchaguzi baada ya kifo cha Abacha aligombea uraisi kama mgombea wa chama cha People's Democratic Party akashinda akawa rais tena tangu 1999. Mwaka 2003 alirudishwa madarakani.

Obasanjo alijaribu kubadilisha katiba ili aweze kuwa na nafasi ya tatu lakini hakufaulu kupata wabunge wa kutosha kwa kubadilisha katiba.

Katika kura ya 2007 alisimama upande wa mgombea Umaru Yar'Adua aliyechaguliwa. Kukabidhi kwa madaraka kutoka Obasanjo kwenda Yar'Adua kulikuwa mara ya kwanza katika historia ya Nigeria ya kwamba marais wawili waliochaguliwa na wananchi waliweza kufuatana.

Vuta picha kiongozi huyu aliyezaliwa na kulelewa katika mafundisho ya kikristu anachaguliwa kuwa rais wa nchi inayoaminika kuwa ni ya mfumoislam kaskazini magharibi mwa afrika.

Wale waislamu wa Nigeria wanamtazamo gani juu ya utawala wa nchi?
 
Mkuu Zumbemkuu, hivi vijamaa ni vipuuzi kwelikweli, havina hoja yao zaidi ya kushinda hapa jukwaani vikipika majungu na kelele zisizo na maana kama vyura! na kwa ujinga wao vinaamini watu wanakubaliana navyo! kweli kuwa mjinga ni ajali lakini kuwa mpumbavu kama hivi vijamaa ni maafa.
 
Nilimweleza hivyo kuwa Matola ndie mwasisi mkuu wa AA akanitusi kuwa siijui historia

Nimeeleza huko nyuma kuwa hakuna jina la Ramadhani Ali katika waasisi wa AA 1929.
Huenda wamechanganya majina.

Wanaweza kupitia vitabu na paper za John Iliffe kuhusu AA kujiridhisha ikiwa watapenda.

Cecil Matola kuwa ni muasisi mkuu wa AA hapana.

Kleist Sykes alitawala historia ya Dar es Salaam katika miaka ile hadi 1949 alipofariki
kwa sababu ya mambo mengi kubwa likuwa elimu yake na uwezo wake wa fedha.

Unaweza kusoma maisha ya Kleist katika ''Modern Tanzanians'' Iliffe (Ed) ''Kleist Sykes The
Townsman'' na katika kitabu changu ''Kleist Sykes Man of Ideas.''

Kubwa zaidi ni kuwa Iliffe alitumia nyaraka za Kleist Sykes katika kutafiti historia ya AA.
Kabla hajafa Kleist aliandika maisha yake na nyaraka hii imehifadhiwa hadi leo.

Hakuna anaejua habari za Matola ila chache tu na kuwa alifariki 1933 Mzee Bin Sudi akachukua
nafasi ya rais wa AA.

Hakuna mengi ambayo unaweza kuyapata kuhusu mchango wake katika siasa za Dar es Salaam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…