Nakushangaa sana mzee Mohamed kwa kuamini kwamba Zomba na Ritz wanauelewa wa mambo kiasi cha kuelimisha mtu! Hawa jamaa zako hawana lolote zaidi ya kushabikia mawazo yako tu na kufunga fahamu na akili zao juu ya maarifa mengine. Kwa taarifa yako wao ndio wanao tuharibia mnakasha huu.
Nakushangaa sana mzee Mohamed kwa kuamini kwamba Zomba na Ritz wanauelewa wa mambo kiasi cha kuelimisha mtu! Hawa jamaa zako hawana lolote zaidi ya kushabikia mawazo yako tu na kufunga fahamu na akili zao juu ya maarifa mengine. Kwa taarifa yako wao ndio wanao tuharibia mnakasha huu.
Sidhani kama kuna Muislam aliyelazimishwa kula nguruwe alafu ni kwanini mtu aingilie uhuru wa mwingine kumbuka tunaishi watu wa imani tofauti tofauti Dar hawaishi Waislam peke yao
Ni uadui gani uliopo katika taaluma?zomba,
Ukiona adui yako analisifia jambo lako basi achana nalo.
Ukiona adui yako analiponda jambo lako basi shikamana nalo sawa sawa.
Ni uadui gani uliopo katika taaluma?
Umeeleza hivyo kwa sababu kuu mbili tatu...kwanza Ramadhani Ali hakuwa uzao wa Wazulu, pili hakuwa Manyema na tatu alikuwa Mtanganyika. Wazulu na Manyema ni makabila mawili ambayo yalitumika sana kama vikaragosi vya Wajerumani katika kuwakandamiza na kuwapiga vita Watanganyika. Tukiacha uhusiano wao kupitia Wajerumani waliowaleta kutoka Congo na Msumbiji, huo uhusiano ulijengeka zaidi kupitia kuoleana...sharti la kwanza kwa mkristo Mzulu kumwoa Manyema Muislaam ilikuwa ni kukubali kubadili dini.
Ramadhani Ali alikuwa ni Mtanganyika, mzaramo na hila zimefanyika kutolihusisha jina lake kama ilivyofanyika kulificha jina la Mtanganyika mwingine Cecil Matola, Myao ambaye ndiye alikuwa Raisi Muasisi wa AA katibu wake akiwa mzulu Kleist Sykes Plantan mwaka 1929.
Hapa chini nanukuu tu sehemu ya kitabu A Modern History of Tanganyika kilichoandikwa na John Iliffe anayependa sana kumwekea mdomoni mambo ya kughushi anayoweza kuyatunga tu mchochezi wa aina yake. Nimemuuliza maswali mengi sana Mohamed Said humu ndani lakini kwa kujua ataumbuka ameshindwa kuyajibu...hiyo ndio ikawa salama yake, alijua akiyajibu amejitia kitanzi shingoni.
Kabla sijaendelea na upuuzi mwingine unaoitwa eti historia ya Tanganyika kama anavyodai Mohamed Said, nitawaomba wasomaji mtafakari tu kidogo imekuwaje huyu mzulu Kleist Sykes akatawala historia ya Dar es Salaam katika miaka ile hadi 1949 alipofariki eti kwa sababu ya mambo mengi kubwa likuwa elimu yake na uwezo wake wa fedha.(sic!)
Je Dar es Salaamwakati huo haikuwa na Watanganyika, wasomi, wenye uwezo wa kifedha hadi aje ex-askari wa Kijerumani kutoka Msumbiji? Kwa nini Sykes?...AA alianzisha Sykes na si Cecil Matola, TAA alianzisha Sykes na si Dr. Kyaruzi na hata TANU alianzisha Sykes na si Mwalimu Nyerere? Leo Mohamed Said anamkana makamu Raisi wa AA Ramadhani Ali, sababu? Alikuwa mzaramo. Yaani Sykes wanapokezana kama vile hakuna Watanganyika, duh!
Karibuni Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, Ngongo, Ritz, zomba, sweke na Watanzania wote wanaolitakia mema taifa letu. Tutaendelea...
Wacha hofu zisizo na maana wewe mrembo!Wewe ulisha mhukumu MS na kumuita Mchochezi na kila mahali umemuandika! sasa maswali ya nini tena? au ndio mtindo mpya wa kazi zenu za maafisa usalama! we ni mmoja wao bila shaka maana hata Katibu wako wa chama alishatangaza anapata ripoti toka kwa baadhi yenu!
Akili yako haina akili, Pengo atazuiaje mtuhumiwa wa mauaji asipelekwe The Hague?Mkapa atapelekwaje The Hague wakati ni kipenzi cha unaemwamini K. Pengo
Kwani hapa kinajadiliwa nini?Taaluma ipi?
kwani hapa kinajadiliwa nini?
Qurani haimilikiwi na mtu mmoja wala kikundi fulani tu.Duh, hakika RITZ nimekuvulia kofia! yaani wewe ni komesha JF! huyu MM mtu wa ajabu sana! mara anatafsiri Qurani tukufu na sijui alisomea wapi elimu ya tafsiri! mara yuko na Pengo na kumuomba atoe tamko! mara yuko na CHadema anataka nchi isitawalike! duh! hatari mtu huyu kwa usalama wa taifa! na sijui kwa nini mpaka sasa hivi yuko uraiani!
muda si mrefu ataanza kuokota makopo barabarani
Nakushangaa sana mzee Mohamed kwa kuamini kwamba Zomba na Ritz wanauelewa wa mambo kiasi cha kuelimisha mtu! Hawa jamaa zako hawana lolote zaidi ya kushabikia mawazo yako tu na kufunga fahamu na akili zao juu ya maarifa mengine. Kwa taarifa yako wao ndio wanao tuharibia mnakasha huu.
Mkuu Mag3 ha ha ha ha we kweli hatari mgonjwa anaugua kikohozi kwasababu ya vumbi we unambamiza misindano ya TB.hii dozi ni kubwa sana tafadhali zingatia umri na kilo za mgonjwa kabla ya kuanzisha matibabu unaweza kua ukadhani unatibu.
Wazazi nyumbani nitokeapo wanasikitishwa sana na uchochezi wenu unaolisambaratisha taifa hili, wanawalaani watu wenye mitazamo finyu ya sisi waislam na wao wakristo! wanashangaa kwanini hamjawahi kuwatetea wahazabe ambao mpaka leo wanaishi maporini kama wanyama bila huduma za afya wala malazi.Habari za asubuhi? Wawaonaje wazazi nyumbani utokeapo?
Wazazi nyumbani nitokeapo wanasikitishwa sana na uchochezi wenu unaolisambaratisha taifa hili, wanawalaani watu wenye mitazamo finyu ya sisi waislam na wao wakristo! wanashangaa kwanini hamjawahi kuwatetea wahazabe ambao mpaka leo wanaishi maporini kama wanyama bila huduma za afya wala malazi.
Mohamed Said,
Kama unafahamu habari za hawa watu Listowel Judith na John Iliffe naomba utafahamishe kwa faida ya JF.