Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Hapa huwezi kumsikia Mzee Mwanakijiji, Mag3, nguruvi3, WildCard, wanachagia chochote hawa walikuwa wahuni.
Ritz, mbona hayo yakitokea sisi wengine tuliyaona kwa macho! Tena nimeyaona nikiwa naishi mnwembechai kwangu, halafu nikayaona jioni hiyo mahali pengine. Nina bahati '' kwasababu maalum'' sikuwa katika Curfew pale mwembechai.

Halafu tukashudia Himid Jongo akakibidhiwa msikiti tena na serikali jambo lililoleta mtafaruku kuwa amewasaliti watu.
Tuendelee hadi tukutajie kijana Athman au inatosha!
 
Ritz, mbona hayo yakitokea sisi wengine tuliyaona kwa macho! Tena nimeyaona nikiwa naishi mnwembechai kwangu, halafu nikayaona jioni hiyo mahali pengine. Nina bahati '' kwasababu maalum'' sikuwa katika Curfew pale mwembechai.

Halafu tukashudia Himid Jongo akakibidhiwa msikiti tena na serikali jambo lililoleta mtafaruku kuwa amewasaliti watu.
Tuendelee hadi tukutajie kijana Athman au inatosha!

Vipi yule afisa wa polisi aliokuwa anatoa maangizo anamwambia polisi piga risasi ya kichwa huy ulimsikia au ulikuwa mbali na TV.
 
Naona umeshindwa kujibu ya Ramadhan Ali na ya Nyerere kuwepo Burma na kuishi kwa wasajili wa vyama mtaa wa Stanley unaleta yasiohusu.
Nitakujibu kwa kunukuu kitabu cha John Iliffe, ambaye kwa malengo ya ajabu mchochezi Mohamed Said aliamua kupotosha aliyoyaandika kama anavyopotosha kauli za marehemu wengi tu.
John Iliffe said:
The Zaramo provided two prominent leaders: Ali Saidi, a building inspector who was the associations treasurer during the 1930s, and Ramadhani Ali, the first Vice President, who was a trader. Both were later presidents of the Wazaramo Union while Ramadhani was also King of the Marini in Dar es Salaam and one of the most influential Africans in the town.
Kwa nini Mohamed Said anamkana Ramadhani Ali? Nitakujibu kwa fumbo...assets za AA ziliishia kwa nani?
Kama hilo halitoshi hapa chini kuna source nyingine kutoka kitabu cha A History of Africa 1915-1995
Asa Okoth said:
The association later moved to Dar es Salaam, wherein 1928/29 some of its members took part in the formation of Tanganyika African Association. Its first President was Cecil Matola, Vice President Ramadhani Ali of Uzaramo and Secretary, Kleist Sykes Plantan. TAA, like its predecessor was meant to be a social rather than a political organization…
 
Last edited by a moderator:
Huyo ana kila sifa ya ufataani, ni mtu mfupi sana asiyeweza hata kutokeza mbele ya watu, anajificha nyuma ya pazia saa 24 kufitini tu.

wewe zomba acha kumshambulia mtu... Shambulia na pinga hoja zake, usijadili mtu jadili hoja zake... Lakini naona malengo yenu sidhani kama yatatimia.
 
Last edited by a moderator:
Mag3 naona umeshindwa kutuonesha Ramadhan Ali na sasa unatuonesha FaizaFoxy. Muulize your other ID atakukumbusha kisa chake. Ulikaa kimya, fumbo hufumbiwa mjinga.
Masikini zomba...unakumbuka nilivyomwambia mchochezi Mohamed Said toka siku ya kwanza? Okay, I repeat...he can run but he wont find a place to hide. Kuhusu ID usiwe na taabu, kwa umri wangu sina haja ya kuingia humu kwa ID zaidi ya Mag3, hapo rest assured...toka nimejiunga na JF tarehe 31 May, 2008, muziki wangu uko pale pale, simung'unyi neno, kwangu koleo ni koleo tu. Nakurudisha nyuma kwa Mwandishi John Iliffe ambaye mohamed amefanya jitihada kubwa kujificha nyuma ya maandishi yake, kumbe...! zile zile ngano za toka utoto.
John Iliffe said:
The African Associations concern for unity arose from its founders’ experience. Its first President was Mwalimu Cecil Matola, the aristocratic Yao teacher educated at Kiungani who worked in Kenya before becoming a pioneer of TTACSA and senior African teacher at the Dar es Salaam government school, which made him almost ex-officio leader of the capital's educated Africans. The first association’s inaugural meeting took place in his house and he remained its President until he died in March 1931.. Through him the African Association inherited Kiungani's supra-tribal unity and the predominance which its former pupils enjoyed during the 1920s.

The Zaramo provided two prominent leaders: Ali Saidi, a building inspector who was the associations treasurer during the 1930s, and Ramadhani Ali, the first Vice President, who was a trader. Both were later presidents of the Wazaramo Union while Ramadhani was also King of the Marini in Dar es Salaam and one of the most influential Africans in the town
Je sasa unakiri kudanganyika na porojo za Mohamed Said au bado? Nakukumbusha;

Viongozi wa juu wa AA ilipoasisiwa mwaka 1929 ni hawa:

  1. Cecil Matola - President
  2. Ramadhani Ali - Vice President
  3. Kleist Sykes Plantan - Secretary
bado unabisha?
 
Last edited by a moderator:
  1. Ramadhani Ali - Vice President
Unajua nilivyomsoma FaizaFoxy katika ukosoaji wake wa Mohammed Said alisema kitu ambacho labda hatujakipata vizuri na ninaamini kina ukweli: Mohammed Said anaamini ni kina Sykes ndio waliowaleta pamoja wazee wa Dar na ndio walikuwa viongozi wao - ni hisia ya ukuu (superiority) ya Wamanyema na Wazulu dhidi ya Wazaramo.

Haiwezekani Mohammed Said katika kusimulia habari za wazee wake asimjue Ramadhani Alii au hatima yake ilikuwaje.
 
[/LIST]
Unajua nilivyomsoma FaizaFoxy katika ukosoaji wake wa Mohammed Said alisema kitu ambacho labda hatujakipata vizuri na ninaamini kina ukweli: Mohammed Said anaamini ni kina Sykes ndio waliowaleta pamoja wazee wa Dar na ndio walikuwa viongozi wao - ni hisia ya ukuu (superiority) ya Wamanyema na Wazulu dhidi ya Wazaramo.

Haiwezekani Mohammed Said katika kusimulia habari za wazee wake asimjue Ramadhani Alii au hatima yake ilikuwaje.
Mohamed Said;

  • hamuenzi ex-officio leader wa Waafrika wasomi Dar es Salaam, Mtanganyika Mwalimu Cecil Matola
  • hamuenzi mfanya biashara maarufu mjini aliyepewa jina King of Marini, Mtanganyika Ramadhani Ali
  • hamuenzi Msomi wa kwanza mwafrika kufuzu udaktari, Mtanganyika Dr. Vedasto Kyaruzi
  • hamuenzi msomi Mwafrika wa kwanza mwenye masters ya Uchumi, Mtanganyika Mwalimu Julius Nyerere
lakini na badala yake anawaenzi former askari wa Kijerumani, wazulu na manyema...halafu zomba na Ritz wanaitikia, hewala bwana. Utumwa pia ni ulemavu.
 
Last edited by a moderator:
Masikini zomba...unakumbuka nilivyomwambia mchochezi Mohamed Said toka siku ya kwanza? Okay, I repeat...he can run but he wont find a place to hide. Kuhusu ID usiwe na taabu, kwa umri wangu sina haja ya kuingia humu kwa ID zaidi ya Mag3, hapo rest assured...toka nimejiunga na JF tarehe 31 May, 2008, muziki wangu uko pale pale, simung'unyi neno, kwangu koleo ni koleo tu. Nakurudisha nyuma kwa Mwandishi John Iliffe ambaye mohamed amefanya jitihada kubwa kujificha nyuma ya maandishi yake, kumbe...! zile zile ngano za toka utoto.

Je sasa unakiri kudanganyika na porojo za Mohamed Said au bado? Nakukumbusha;

Viongozi wa juu wa AA ilipoasisiwa mwaka 1929 ni hawa:

  1. Cecil Matola - President
  2. Ramadhani Ali - Vice President
  3. Kleist Sykes Plantan - Secretary
bado unabisha?

Nabisha sana tena, kasome tena historia yako.

Mohamed Said alikuandika hivi:

quote_icon.png
By Mohamed Said

Nimeeleza huko nyuma kuwa hakuna jina la Ramadhani Ali katika waasisi wa AA 1929. Huenda wamechanganya majina.Wanaweza kupitia vitabu na paper za John Iliffe kuhusu AA kujiridhisha ikiwa watapenda. Cecil Matola kuwa ni muasisi mkuu wa AA hapana. Kleist Sykes alitawala historia ya Dar es Salaam katika miaka ile hadi 1949 alipofariki kwa sababu ya mambo mengi kubwa likuwa elimu yake na uwezo wake wa fedha.

Wewe ukaanza kwa kutamba kuwa unanukuu "A Modern History of Tanganyika kilichoandikwa na John Iliffe"

Hapa chini nanukuu tu sehemu ya kitabu A Modern History of Tanganyika kilichoandikwa na John Iliffe anayependa sana kumwekea mdomoni mambo ya kughushi anayoweza kuyatunga tu mchochezi wa aina yake. Nimemuuliza maswali mengi sana Mohamed Said humu ndani lakini kwa kujua ataumbuka ameshindwa kuyajibu...hiyo ndio ikawa salama yake, alijua akiyajibu amejitia kitanzi shingoni.

Cha kushangaza! Nukuu yako ni hii hapa, haina alipotajwa Ramadhani Ali:
quote_icon.png
By John Iliffe
The African Associations concern for unity arose from its founders' experience. Its first President was Mwalimu Cecil Matola, the aristocratic Yao teacher educated at Kiungani who worked in Kenya before becoming a pioneer of TTACSA and senior African teacher at the Dar es Salaam government school, which made him almost ex-officio leader of the capital's educated Africans. The first association's inaugural meeting took place in his house and he remained its President until he died in March 1931.. Through him the African Association inherited Kiungani's supra-tribal unity and the predominance which its former pupils enjoyed during the 1920s.

Nikakuuliza hivi:

Huyo Ramadhan Ali katajwa wapi?

oohh, na Nyerere ali kuwepo Burma kama Askari wa kukodiwa.

Aaah, na Matola, Kyaruzi na Nyerere sijui kwanini walikuwa wanawatafuta kina Sykes kila wanapoanzisha vyama? Au kina Sykes ndio walikuwa wasajili pekee wa vyama wakati huo? Mpaka Nyerere ikambidi akaishi kwa msajili wa vyama mtaa wa Stanley kabla hajaanzisha chama chake, au sio?

Ukaona huna jibu, ukaja na kukumbusha kuwa Cecil Matola alikuwa muasisi wa AA lakini Ramadhani Ali hukumgusia kabisa ila ukaendelea na habari za FaizaFoxy, yote katika kutafuta pakutokea.:

zomba, huyo mchochezi angekuwa anajibu maswali, huu mjadala ungeisha zamani...kumbuka njia ya muongo ni fupi. Je unakiri kuwa Cecil Matola ndiye alikuwa Raisi muasisi wa AA mwaka 1929 na si Sykes ili tuweze kuendelea?

Namba nikukumbushe aliyowahi kuyasema ndugu yako FaizaFoxy;
zomba, hayo si maneno yangu, ni ya ndugu yako unayemsaliti leo kwa kumtetea huyu mzushi.

Nikakukumbusha tena:
Mag3 naona umeshindwa kutuonesha Ramadhan Ali na sasa unatuonesha FaizaFoxy. Muulize your other ID atakukumbusha kisa chake. Ulikaa kimya, fumbo hufumbiwa mjinga.

Hapa sasa ndio patamu, ukaja huu uzushi, kwanza ukamnukuu John Iliffe bila kutaja ni chama kipi anakiongelea, jikumbushe nukuu yako:

quote_icon.png
By John Iliffe

The Zaramo provided two prominent leaders: Ali Saidi, a building inspector who was the associations treasurer during the 1930s, and Ramadhani Ali, the first Vice President, who was a trader. Both were later presidents of the Wazaramo Union while Ramadhani was also King of the Marini in Dar es Salaam and one of the most influential Africans in the town.

Kwenye post hiyohiyo, hapo hapo chini ukasema:
Kwa nini Mohamed Said anamkana Ramadhani Ali? Nitakujibu kwa fumbo...assets za AA ziliishia kwa nani?
Kama hilo halitoshi hapa chini kuna source nyingine kutoka kitabu cha A History of Africa 1915-1995

Ukanukuu hivi:
quote_icon.png
By Asa Okoth
The association later moved to Dar es Salaam, wherein 1928/29 some of its members took part in the formation of Tanganyika African Association. Its first President was Cecil Matola, Vice President Ramadhani Ali of Uzaramo and Secretary, Kleist Sykes Plantan. TAA, like its predecessor was meant to be a social rather than a political organization…

Sasa, kwanza tazama jina umelikosea huyo ni Assa Okoth na si "Asa" Okoth. Pili Tazama nilipokuwekea rangi nyekundu.

Mohamed Said kaongelea AA msome vizuri post yake niliokubandikia hapo juu, wewe ukajibu AA. Unam quote Assa Okoth anaongela TAA.

Tena kwa kukujuza ingawa wewe hujaweka, hiyo ni Chapter 3 "Decolonisation in East Africa" page # 47 na kinachoongelewa hapo na Assa Okoth ni TAA siyo AA. Usitake kuchakachuwa.

Kama alivyokueleza Maalim Mohamed Said juu huko kuwa "huenda wamechanganyikiwa" mimi nakwambia wewe huenda umechanganyikiwa. Karudi tena usome vizuri.

Sikwambii umedanganya au umeleta porojo kama ulivyosema wewe huko juu, mimi nakwambia karudie tena kusoma.
 
""During the struggle for independence,
he worked very closely with Muslim colleagues, both at
the grassroots and national levels. For example, of the four
delegates from Mara Region who were selected to attend
the inaugural meeting of TANU in 1954, he was the only
Christian. The other three were all Muslims.
Furthermore, during the pre-independence period,
all schools were owned and operated by Christian or
other non-Muslim Institutions. Mwalimu Nyerere
realised the dangers which lay ahead because of the
segregation imposed by this Christian-based structure
of education. Hence, as soon as he obtained the power
to do so, as head of the independent government
of Tanganyika, he promptly nationalised all nongovernment
schools to give equal opportunities to
all Tanganyikans, Christians, and Muslims alike"

Ukimuuliza Mohamed kuhusu hili anakutajia NECTA. Wakati huo yeye elimu yake kaipata St Joseph, Forodhani.
 
[/LIST]
Unajua nilivyomsoma FaizaFoxy katika ukosoaji wake wa Mohammed Said alisema kitu ambacho labda hatujakipata vizuri na ninaamini kina ukweli: Mohammed Said anaamini ni kina Sykes ndio waliowaleta pamoja wazee wa Dar na ndio walikuwa viongozi wao - ni hisia ya ukuu (superiority) ya Wamanyema na Wazulu dhidi ya Wazaramo.

Haiwezekani Mohammed Said katika kusimulia habari za wazee wake asimjue Ramadhani Alii au hatima yake ilikuwaje.

Na nilivyomsoma mimi alikuwa anataka "attention" yao wakuone ulivyoichakachuwa Qur'an na wakukemee, na nnakumbuka vizuri akaipata hiyo "attention" na wakakuonya baada ya hapo mpaka nawe ukakiri makosa. Halafu mkashirikiana kuchakuwa nyuzi na kuyafuta yaliyowasuta.

katazame ID yako mwingine kastukiwa kuchakuwa kwenu huko juu. Kwi kwi kwi teh teh teh.
 
Duuh!!!!!! hizi nondo si mchezo,by the way hali ya nchi si nzuri Mohamed Said isijekuwa maneno yako humu,yakaja stand against you in a court of law,cause it seems its just a matter of time
 
Last edited by a moderator:
Nabisha sana tena, kasome tena historia yako.
Mohamed Said kaongelea AA msome vizuri post yake niliokubandikia hapo juu, wewe ukajibu AA. Unam quote Assa Okoth anaongela TAA.
Naona kuna mtu kaanza kuchanganyikiwa hapa...kaazi kweli kweli!
 
Isalia,

Nakuongezea na hii kutoka sakata la mabucha ya nguruwe.
Ni excerpts kutoka paper niliyotoa Kenyatta University 2006
''Sheikh Kassim Juma and the Pork Riots of 1993.'':

''The District Commissioner was contemptuous at the imams and he impressed upon them that the butcheries were legally licensed and the government was duty bound to protect them from being molested by few ‘Muslim fundamentalists.’

It was this government reaction which broke the camel’s back.

On Easter Friday while Christians were observing the crucifixion of Christ a group of Muslims in Magomeni, Tandale and Manzese in Kinondoni District went on rampage and demolished pork butcheries owned by Christian traders.

In an operation on that Easter Friday afternoon a group of Muslims youngsters like well trained commando squad moved swiftly through Kinondoni District demolishing pig butcheries amidst chants of Allahu Akbar.

This was the first ever physical attack by Muslims on Christian property justified by religious belief since independence.

In taking the law into their own hands Muslims had fired their first warning shot.

When news of the attack became known the government held its breath.


President Mwinyi who was in Zanzibar on official engagement unwisely and driven by the fear that the country was moving towards the dreaded clash between Muslims and Christians, issued a hurried condemnation of the attack and ordered that all those responsible for the attack should be made to feel the full weight of state power.

By that statement a simple case of few frustrated young Muslims hotheads driven to action by insensitivity of the government to genuine grievances, was blown out of proportion into a national crisis.

The government and party media including the state radio warned of the dangers of ‘Muslim fundamentalists in Tanzania.’

The Christian lobby saw in Mwinyi's statement a blank cheque to crash all Muslims it considered dangerous to their interests.

The Prime Minister and Vice-President John Malecela issued a strong statement condemning the attack. [1]

In an interview with the BBC Swahili Service, Malecela referred to the imams and other Muslims who were arrested as a result of the pork conflict as ‘hooligans whose aim is to acquire power through religion.’[2]


The Minister of Home Affairs and Deputy Prime Minister Augustine Mrema, issued a statement saying that he was convinced the act was precipitated by an outside Muslim power to destabilise the country.

The Secretary General of the CCM Horace Kolimba giving the position of the party said that those who attacked the butcheries were not Muslims but hooligans whose aim was to overthrow the government.[3]


And Muslims patiently waited...



[1] Mzalendo, 11 April, 1993.

[2] BBC Swahili Service interview of 12 April 1993.

[3] Uhuru , 15 April, 1993.

Mohamed,
How would you have reacted if you were in power? These were hooligans and what they did was criminal. It was not frustration that led to the vandalizing of christian butcheries because no one has forced muslims to eat pork. If that was the first shot we are witnessing the second one and third ones in the killing of christian leaders. It is anarchy and deserves condemnation.
 
Duuh!!!!!! hizi nondo si mchezo,by the way hali ya nchi si nzuri Mohamed Said isijekuwa maneno yako humu,yakaja stand against you in a court of law,cause it seems its just a matter of time

Mtume Yussuf alifungwa kwa kusingiziwa alivyotoka jela akawa mtu adhim katika jamii.

Hilo halimtishi Muislaam hata chembe, pata darsa dogo hapa:
INSTIGATE LOVE TO ALLAH

All praise is due to Allah alone, who perfectly controls everything. May He send salutations and exalt the mention of the Warner and the Bringer of Glad Tidings - our Prophet Muhammad (peace be upon him), his family and all his companions.

One of the attributes of Allah is that He Loves His believing slaves in a fashion which befits His Majesty and Might; His slaves in turn love Him more than their wealth, children and their own selves.

Allah says what means:

"Allah will bring a people whom He will love and they will love Him." (Al- Ma'idah:54)

It is mutual love between the Lord and His slaves:

"And of mankind are some who take (for worship) others besides Allah as rivals (to Allah). They love them as they love Allah. But those who believe, love Allah more (than anything else)." (Al-Baqarah: 165)

The Ruling on Loving Allah

Loving Allah and His Messenger (peace be upon him) more than we love our family, our possessions and anything else in this world is a part of being a true believer in Islam.

Anas narrated that the Prophet (peace be upon him) said:

"I swear by The One in Whose Hands is my soul, none of you will be a complete believer until I am dearer to him than his father, his son, and all of mankind." (Bukhari)

Loving Allah is a Sign of Strong Belief

Soma zaidi:
IRFI - Islamic Research Foundation International, Inc.
 
Mtume Yussuf alifungwa kwa kusingiziwa alivyotoka jela akawa mtu adhim katika jamii.

Hilo halimtishi Muislaam hata chembe, pata darsa dogo hapa:
WEWE ni "sidekick" wa MS,sisi tunaotoka bara tusiojua kiswahili tunakuita mtu kama wewe "nyumba ndogo"
 
Naona kuna mtu kaanza kuchanganyikiwa hapa...kaazi kweli kweli!

Unajitowa kimasomaso? usichanganyikiwe mchezo? wakati tumestukia chakachuwa yako? kwi kwi kwi teh teh teh.

Umeufyata hata cha kujibu huna, unakuja na viroja badala ya hoja.
 
Back
Top Bottom