Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mohamed,
How would you have reacted if you were in power? These were hooligans and what they did was criminal. It was not frustration that led to the vandalizing of christian butcheries because no one has forced muslims to eat pork. If that was the first shot we are witnessing the second one and third ones in the killing of christian leaders. It is anarchy and deserves condemnation.

Nashangaa mtu anaweza kusimama na kutetea wale 'wahuni'
 
Nashangaa mtu anaweza kusimama na kutetea wale 'wahuni'

R,

Hapa mimi kazi yangu moja tu.
Kukuhabarisheni Waislam wanaona vipi hali ya nchi.

Hii ilikuwa hali ilivyokuwa 1993.
Ila moja sijalisema labda.

Kabla ya kuvunjwa mabucha ya nguruwe maimamu
walikwenda kwa DC Bwana Wilson Mukama kumtahadharisha
kuhusu mabucha ya nguruwe na Mukama akawatusi.
 
Mohamed anasema hakuna kitu kama hicho--watu wasio na dini au wapagani nchini Tanganyika.

Jasusi,

Hoja ya Wapagani huletwa kama counter weight dhidi ya Waislam.
Sisi hupuuza.

Tunajua hali ya mambo itakapotakata itakuwa ni hoja zetu na serikali
na labda na kanisa.
 
Duuh!!!!!! hizi nondo si mchezo,by the way hali ya nchi si nzuri Mohamed Said isijekuwa maneno yako humu,yakaja stand against you in a court of law,cause it seems its just a matter of time

Son...

Labda unifafanulie vyema kuhusu mie kuwa mahakamani.
Nitakuwa mahakamani katika nafasi ipi.

Nashtakiwa, shahidi au mlalamikaji?

Hiyo mosi.

Pili kwa kesi ya namna gani ya madai au jinai?
 
Channel Ten na ITV walionyesha video hiyo kwa wale waliokuwa Dar es Salaam waliona hiyo video ITV kabla ya kurusha hewani waliomba msamaha kwa hizo picha ilikuwa kama tukio la kulenga shabaha. Baadae walikatazwa na serikali kuonyesha hilo tukio.

Alfu lela ulela
 
Mohamed Said;

  • hamuenzi ex-officio leader wa Waafrika wasomi Dar es Salaam, Mtanganyika Mwalimu Cecil Matola
  • hamuenzi mfanya biashara maarufu mjini aliyepewa jina King of Marini, Mtanganyika Ramadhani Ali
  • hamuenzi Msomi wa kwanza mwafrika kufuzu udaktari, Mtanganyika Dr. Vedasto Kyaruzi
  • hamuenzi msomi Mwafrika wa kwanza mwenye masters ya Uchumi, Mtanganyika Mwalimu Julius Nyerere
lakini na badala yake anawaenzi former askari wa Kijerumani, wazulu na manyema...halafu zomba na Ritz wanaitikia, hewala bwana. Utumwa pia ni ulemavu.

Bingwa wa kuchakachua JF endelea kuwandaganya kina Mwanakijiji na Nguruvi3 ambao hawahoji wanameza mazima. Kajipange upya uje tena.
 
Last edited by a moderator:
Mohamed,
How would you have reacted if you were in power? These were hooligans and what they did was criminal. It was not frustration that led to the vandalizing of christian butcheries because no one has forced muslims to eat pork. If that was the first shot we are witnessing the second one and third ones in the killing of christian leaders. It is anarchy and deserves condemnation.

Jasusi,

Nyie mlikuwa mkisikilizwa ya upande mmoja.
Hapa kazi yangu ni kukupeni kile msichokijua.

Uamuzi si wetu huko tumepita miaka mingi.
 
Tooba yarabi, Mzee Said mbona umenitia manza kwa vijana wangu! Nilikuwa nawaelezea kuhusu chimbuko la AA nikakunukuu. Mwanzo nikasema Cecil Matola alifairiki 1939 kama nilivyonukuu post yako moja, jana nikawaambia samahani ni 1933, hamadi! leo John Illife anaandika 1931. Jamani nitaweka wapi uso wangu miye!

Anyway, eti Mohamed, Cecil Matola alikuwa Mwalimu na Rais wa AA kabla ya Sykes? Maana Mag3 amenukuu Illife unayependa sana kumnukuu sasa hapo inakuwaje.
N,

Tunaweza tukajadili lakini si kwa namna hii.
Mimi hupenda adabu na utulivu.

Mwambie Mag ajitulize aandike vyema Insha Allah
mie nipo.
 
Jasusi,

Hoja ya Wapagani huletwa kama counter weight dhidi ya Waislam.
Sisi hupuuza.

Tunajua hali ya mambo itakapotakata itakuwa ni hoja zetu na serikali
na labda na kanisa.
Jasusi nadhani Mohamed anachukulia neno upagani kama watu wasio na majina ya kuagiza(imported names). Hili tu kwa kuanzia ni kosa kwasababu hakuna mahali katika vitabu vyote vitakatifu imeelezwa kuwa mtu hakamiliki katika imani ila kwa jina lake. Big confusion across the isle.

In other words ukiitwa Nyachai kamruge wewe hata uwe mcha mungu kiasi gani ufalme na utukufu wa mwenyezi hutauona!
colonial mentality across the board.

Kwakweli huwa natofautiana sana na ahli wangu Baru baru kwa mitazamo lakini kuna jambo moja muhimu sana ameliongea na naomba watu walielewe.

'Baru baru kasema hivi ''kila mtu anaweza kuwa mwislam lakini si kila mwislam ni muumini'' akendelea kusema kuwa muumini wa kiislam ni lazima awe mwislam na si kinyume chake.

Hapa ndipo Mohamed anapochanganya kama si kukanganyikiwa. Ni ukweli usiohitaji kificho kuwa katika miaka hiyo na hata sasa hivi statistic zinaonyesha kuwa watu wengi wa imani zote ni washirikina licha ya majina yao.Shiriki inamuondoa mja katika uumini.

Kwa maneno mengine wote katika dini wanaweza kuwa wakristo au waislam lakini si kila mtu ni muumini wa dini hizo.
Kwanini Bagamoyo iwe maarufu kama wote ni waumini?

Ninachotaka kusema hapa ni kuwa tukiangalia kwa undani na weledi Mohamed hana ground ya kuorodhesha majina na kusema hawa ni waislam au wale ni wakristo. Kwa mtazamo huo Wapagani ''pagans'' na wasioamini ''atheist'' wapo katika jamii yetu significantly.

Anachojaribu kukifanya ni kuleta simba na Yanga kama mliovyoona sakata la Mwembechai ambapo amejitahidi hadi neno kanisa likaingia hata kama vurugu zile zilizoanzia kwa maandamano kutoka msikiti wa kichangani kupitia Morogoro road hadi Kagera hazikugusa kanisa hata moja.

Anachosahau Mohamed ni kuwa Malecela na Mrema aliowachomeka katika nukuu ya ngano yake inamshtaki leo na sasa hivi.
Vipi vurugu za mbagala na Chang'ombe! Kikwete anahusika! Said Mwema anahusika!Kova nae! Othman Chande je.

Ndio maana siku zote nasema hii strategy ya shoot any moving object eventually it ends up with friendly fire.
Not only friendly fire but adulterate and waterdown every single line and phrase of the infamous ngano.
 
Jasusi nadhani Mohamed anachukulia neno upagani kama watu wasio na majina ya kuagiza(imported names). Hili tu kwa kuanzia ni kosa kwasababu hakuna mahali katika vitabu vyote vitakatifu imeelezwa kuwa mtu hakamiliki katika imani ila kwa jina lake. Big confusion across the isle.

In other words ukiitwa Nyachai kamruge wewe hata uwe macha mungu kiasi gani ufalme na utukufu wa mwenyezi hutauona! colonial mentality across the board.

Kwakweli huwa natofautiana sana na ahli wangu Baru baru kwa mitazamo lakini kuna jambo moja muhimu sana ameliongea na naomba watu walielewe.

'Baru baru kasema hivi ''kila mtu anaweza kuwa mwislam lakini si kila mwislam ni muumini'' akendelea kusema kuwa muumini wa kiislam ni lazima awe mwislam na si kinyume chake.

Hapa ndipo Mohamed anapochanganya kama si kukangyikiwa. Ni ukweli usiohitaji kificho kuwa katika miaka hiyo na hata sasa hivi statistic zinaonyesha kuwa watu wengi wa imani zote ni washirikina licha ya majina yao.

Kwa maneno mengine wote katika dini wanaweza kuwa wakristo au waislam lakini si kila mtu ni muumini.
Kwanini Bagamoyo iwe maarufu kama wote ni waumini?

Ninachotaka kusema hapa ni kuwa tukiangalia kwa undani na weledi Mohamed hana ground ya kuorodhesha majina na kusema hawa ni waislam au wale ni wakristo. Kwa mtazamo huo Wapagani ''pagans'' na wasioamini ''atheist'' wapo katika jamii yetu sihgnificantly.

Anachojaribu kukifanya ni kuleta simba na Yanga kama mliovyoona sakata la Mwembechai ambapo amejitahidi hadi neno kanisa likaingia hata kama vurugu zile zilizoanzia kwa maandamano kutoka msikiti wa kichangani kupitia Morogoro road hadi Kagera hazikugusa kanisa hata moja.

Anachosahau Mohamed ni kuwa Malecela na Mrema aliowachomeka katika nukuu ya ngano yake inamshtaki leo na sasa hivi. Vipi vurugu za mbagala na Chang'ombe! Kikwete anahusika! Said Mwema anahusika! Othman Chande na dhamana je.

Ndio maana siku zote nasema hii strategy ya shoot any moving object eventually ends up with friendly fire.
Not only friendly fire but adulterate and waterdown every single line and phrase of the infamous ngano.

N,

Nimekusoma.
 
Naona kuna mtu kaanza kuchanganyikiwa hapa...kaazi kweli kweli!

Mag3,
Pole kaka naona umechutama tatizo lako unapochakachuwa unajisahau unadhani wote bongo lala.. zomba, mbaya.
 
Last edited by a moderator:
R,

Hapa mimi kazi yangu moja tu.
Kukuhabarisheni Waislam wanaona vipi hali ya nchi.

Hii ilikuwa hali ilivyokuwa 1993.
Ila moja sijalisema labda.

Kabla ya kuvunjwa mabucha ya nguruwe maimamu
walikwenda kwa DC Bwana Wilson Mukama kumtahadharisha
kuhusu mabucha ya nguruwe na Mukama akawatusi.

Sidhani kama kuna Muislam aliyelazimishwa kula nguruwe alafu ni kwanini mtu aingilie uhuru wa mwingine kumbuka tunaishi watu wa imani tofauti tofauti Dar hawaishi Waislam peke yao
 
Wewe Yericko,

Mimi wewe nimekuwia radhi.
Ikiwa maana hii hujaifahamu muombe Zomba atakufahamisha.
Nakushangaa sana mzee Mohamed kwa kuamini kwamba Zomba na Ritz wanauelewa wa mambo kiasi cha kuelimisha mtu! Hawa jamaa zako hawana lolote zaidi ya kushabikia mawazo yako tu na kufunga fahamu na akili zao juu ya maarifa mengine. Kwa taarifa yako wao ndio wanao tuharibia mnakasha huu.
 
Back
Top Bottom