Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Yericko Nyerere

Siku za nyuma nilikuandikia hivi;

Iko wapi hiyo hotuba uliyojidai utaileta? Nnashaka umeisikiliza ikakuumbuwa ukaona noma kuileta.

Mpaka leo limekushinda hilo?

Na bado una ubavu wa kusimama hapa na kuitetea hoja yako uliyoshindwa kuithibitisha?
 
Utacheka mpaka ufe lakini ukweli utabakia palepale, madai yenu hayana maana yoyote - You are fighting with unknown GIANT!

Tatizo lako kubwa ni kufikiri kuwa sisi tuna madai, napenda ufahamu kuwa sisi hatudai wala hatudaiwi. Sisi tunaeleza kilichokuwepo bila kuchakachuwa.

Nini ambacho hufaham mpaka dakika hii?

Upo hapo ulipo?
 

Bingwa wa "spin" Mohamed Said...! Halafu kuna watu eti wanaamini hizi ngano, inasikitisha! Mbona humtaji kwa jina lake kamili Chief David Kidaha Makwaia, Mkatoliki? Mbona hutaji wazee wako walivyokaa mbali naye baada ya kubadili dini na kuacha Uislaam? Mbona hapakuchimbika Mkatoliki mwingine, Julius Kambarage Nyerere alipopambana na "born town" Abdulwahid Sykes?
 

Huna jingine?
 
sisi wapagani tunabaguliwa na mfumo upi? mfumo kristu au mfumo uislamu?

Uislaam si mfumo, Uislaam ni kujisalimisha kwa aliyekuumba, mmoja tu, hajazaa wala hakuzaliwa.

Jiulize, wapagani na Waislaam wepi ni wengi? ukipata jibu, nna-uhakika jibu litakuwa Waislaam ni wengi zaidi ya "wapagani", kama mfumokristo umeweza kuwabagua waliowengi, utashindwa kuwabagua wali kidogo?
 
Historia inatueleza Waislaam ndio waliipa Dar Es Salaam jina. Wajerumani wakaja kutawala, Waingereza wakakabidhiwa Tanganyika na Umoja wa Mataifa.

Jee, ni nani kati ya hawa, aliyeweka sheria na kanuni za kuwabagua wengine? "divide and rule".
 
No religion or race could ever describe us
I see guys do dirt, move dirt, but never really talk about it
Forever begins, jus' because we thought about,,


For now Mohamed Said is writting the world letters to better the young..

HISTORY..
 


Muslims believe that God is one and incomparable and the purpose of existence is to love and serve God.[SUP][1][/SUP][SUP][2][/SUP] Muslims also believe that Islam is the complete and universal version of a primordial faith that was revealed at many times and places before, including through Abraham, Moses and Jesus, whom they consider prophets.[SUP][3][/SUP] They maintain that the previous messages and revelations have been partially misinterpreted or altered over time,[SUP][4][/SUP] but consider the Arabic Qur'an to be both the unaltered and the final revelation of God.[SUP][5][/SUP] Religious concepts and practices include the five pillars of Islam, which are basic concepts and obligatory acts of worship, and following Islamic law, which touches on virtually every aspect of life and society, providing guidance on multifarious topics from banking and welfare, to warfare and the environment.[SUP][6][/SUP][SUP][7][/SUP]
Most Muslims are of two denominations, Sunni (75–90%),[SUP][8][/SUP] or Shia (10–20%).[SUP][9][/SUP] About 13% of Muslims live in Indonesia,[SUP][10][/SUP] the largest Muslim-majority country, 25% in South Asia,[SUP][10][/SUP] 20% in the Middle East,[SUP][11][/SUP] and 15% in Sub-saharan Africa.[SUP][12][/SUP] Sizable minorities are also found in China, Russia, and the Americas. Converts and immigrant communities are found in almost every part of the world (see Islam by country). With about 1.57 billion followers or 23% of earth's population,[SUP][12][/SUP][SUP][13][/SUP][SUP][14][/SUP] Islam is the second-largest religion and one of the fastest-growing religions in the world.[SUP][15][/SUP][SUP][16][/SUP][SUP][[/SUP]


VIPI TUMUONGEZE??
 

Mag3,

Wakati mwingine nashindwa kwa hakika kuelewa kipi
kinachokuhangaisha.

Hivi kosa langu lipo kwa kuweka Kidaha badala ya David.

Unasema niloeleza ni uongo.
Ntakueleza mengine kukujulisha kuwa naijua historia hii.

Abdu akimpenda sana Chief Kidaha na kila alipokuja Dar
es Salaam kutoka Shinyanga kuhudhuria Legico Abdu
akimfanyia dhifa nyumbani kwake.

Ama hilo la "kuchimbika" maana yangu ilikuwa ni stiff
election.

Nakijua kisa chote cha Chief Kidaha kuritadi na pia kuritadi
kwa mdogo wake.

Lakini sikuona kama katika hayo niloandika ilikuwapo haja
ya kueleza kisa kile cha kutoka Uislam.
 


Labda kwa kuwa anaona hujaliweka jina la Kikristo la DAVID basi utakuwa umekwepa kuutukuza ukristo na kuzid kuupa nafasi uislam na waislam katika unandishi wa historia hii..

Kumbuka hawa madai yao kwa kias kikubwa yameegemea kule wanakosema ya kwamba historia hii inawabeba sana waislam kwa kisa tuh ya kwamba wametajwa tajwa sana kwa wingi kupita kiasi..

Wana lao jambo,na limeshafeli na kufa kifo kibaya sana..
 
Utaeleza vipi kuwa Cecil Matola alikuwa msomi zaidi ya Sykes na ndiye Rais wa kwanza wa TAA?

Utaeleza vipi kuwa assest za TAA ziliishia mikononi mwa familia ya Sykes kwa ufisadi?
Utaeleza vipi kuwa Nyerere alikuwa katibu wa tawi AA Tabora?
Utaeleza vipi kuwa alifika Dar kabla ya kutambyulishwa kwa Sykes
Utaeleza vipi kuwa Dr Kyaruzi alikuwa Rais wa TAA kwa nyakati fulani?
Utaeleza vipi kuwa Nyerere alimbwaga Sykes katika kugombea uongozi?
Utaeleza vipi kuwa Ali Mnjale na Salum Mpunga walimfuata Nyerere na siyo Sykes kwenda kusini kuzima maasi.
Utaeleza vipi kuwa Maryknoll walitoa ticket ya ndege na wala si wazee wake peke yake?
 


Hayo yameelezwa kwa kina na kirefu kwa usahihi wake,sema wewe umeamua kuja na style yako ya ushereheshaji wa HISIA ZAKO..

NGURUVI'S HISTOHISIA..
 
Mohamed Said;5760198]Jasusi,
Hii Kanisa kuwatisha waumini wake kujiunga na TANU ilikuwa 1954
chama kilipoanzishwa
Siyo mwaka 1948 kama ulivyoandika katika post moja. Kwahiyo tumekubaliana kimsingi kabisa kuwa TANU ilianzishwa mwaka 1954. Thank you Mohamed
Kama kanisa lilikuja badilika hii itakuwa baada ya Nyerere kujrejea UNO Machi 1955 na ukweli kudhihiri kuwa TANU ilikuwa ina nguvu
Mohamed ukitumia neno kanisa na kusahau kuwa waliokuja na dini ni wazungu na katika miaka ya 1950 wao walikuwa wawakilishi wa malikia, basi atazuka mtu na kusema biashara ya utumwa ilipokuwa inakomeshwa waarab walikataa kwa mantiki kuwa Waislam walikataa kukomeshwa kwa biashara hiyo! kuna ukweli hapo au uongo?
Ikiwa wewe una ushahidi kuwa Kanisa liliunga mkono TANU toka
1954 sina ugomvi na hilo
Kwanini unadhani ushahidi ni muhimu ili hali tukikuuliza wewe kuhusu ushahidi huruka kimanga na kuleta hadithi. Yeye kasema kanisa halikuzuia wakristo kama wewe unaposema kanisa lilishiriki kuua EAMWS bila ushahidi hata wa kufikirika.

Na kama lilichangia safari ya UNO hii itakuwa ni ile safari ya pili ya
Nyerere mwaka 1956.
Kwani hii ya pili wazee wako hawakuchangia? kwanini udhani ni ya pili
Lakini Salum Mpunga na Yusuf Chembera niliwafanya mahojiano
Lindi wakanieleza kuwa Kanisa Katoliki lilipinga TANU
Ushahidi uliomuomba Jasusi uko wapi wakwako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…