Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Well mzee akawa ananiambia kuwa moja ya sababu ya some of waasisi wa TANU kupoteza nafasi au kushika nafasi za juu na active role katika chama ni hizo. Mfano wa Ally sykes baada kuchukua uhamisho na ndo influence yake ikaanza kuishia kwenye chama. Waliobakia wakachukua nafasi.
 

The Tanganyika African Union (TANU) which
struggled to earn Tanzania's political
independence had a branch in London.
Some of the pioneers of the branch in the
1950s are still common faces in major
Tanzanian towns like Arusha, Moshi,
Dar es Salaam and Mwanza as this photo
taken on May 9, 1959 shows: We can only
identify a few of them. From right front row,
standing are: Mark Bomani (Former Attorney
General and now chairman of the probe committee
into Mining Contracts); Jesse Kiritta (Former
State Attorney, now involved in private practice );
The late Emmanuel Bomani of the Victoria Cooperative
Union); Juma Mawalla ( Moshi-based advocate in private
practice); and Oscar Kambona (Law student, then Foreign
Affairs Minister and Secretary General of TANU).

 
Mohamed Said,

Hii ndiyo picha walioichakachuwa.

 

M,

Hapana si hivyo.
Wakati wa kudai uhuru hapakuwa na fikra ya vyeo kabisa.

Ally Sykes yeye hakuwa na haja ya cheo katika serikali.

Unajua yeye katika umri mdogo sana tayari alikuwa na fedha
za kutosha na haja yake kubwa ilikuwa ni kufanya biashara.

Tayari mwaka 1958 alikuwa na biashara kubwa na rafiki yake
Peter Colmore na walikuwa na ofisi Dar na Nairobi.

Mambo yaliyomfanya awe nje ya TANU ni mengine kabisa.

Soma post yangu iliyopita mstari wa mwisho na fanya tafakari
kidogo.
 
Mohamed Said,

Hii ndiyo picha walioichakachuwa.


Baba yangu aliwahi kunambia kuna sura za watu zilifutwa/kuchakachiliwa hapo, sikumbuki vizuri ni akina nani labda Mkuu Moh anaweza kutujuza!
 


Ritz,

We ni kiboko.
Picha hii mimi sijapata kuiona hata siku moja.

Ahsante sana.
 
Baba yangu aliwahi kunambia kuna sura za watu zilifutwa/kuchakachiliwa hapo, sikumbuki vizuri ni akina nani labda Mkuu Moh anaweza kutujuza!

Buk,

Mstari wa mwisho waliosimama.

Aliyevaa suti n miwani ya jua ni Abdu Sykes.

Anaefatia kwenda kulia ni picha iliyochomekwa mwaka 1974.
Hiyo ni sura ya Joseph Kasella Bantu.
 
Buk,

Mstari wa mwisho waliosimama.

Aliyevaa suti n miwani ya jua ni Abdu Sykes.

Anaefatia kwenda kulia ni picha iliyochomekwa mwaka 1974.
Hiyo ni sura ya Joseph Kasella Bantu.

Nisikia waliochakachuwa ni wasomi wetu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
 
Kuna haja gani kuniita mshenzi?

Maelezo yako katika kitabu chako yanamfifisha dhahiri Mwalimu Nyerere na kuwatanguliza mbele akina Sykes huku ukijenga dhana ya uasisi wa TAA na kupindisha uhalisia wa uasisi wa AA

Nazaidi huitaji AA kwa undani yaani umedonoa juu juu tu, lakini ni ukweli kuwa umekwepa kuwazika rasmi wahamiaji wenzio akina Sykes ikiwa ungezama kwa AA. Yote hiyo ni kumkwepa Sir Cameron na Cesil Matola ambao ndio hasa asili ya AA.
 
Nisikia waliochakachuwa ni wasomi wetu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Hakuna kilichochakachuliw ndugu, usilushwe ngano hizo,

Picha imepigwa kama ilivyo hapo ilipo,

Teknolojia ya udahiri na usanifu wa picha kwa njia ya kompyuta imeingia nchini miaka ya 2000, sasa tungeshuhudia hiyo picha ama ni yakuchorwa na wanafunzi wa chuo cha ardhi hapo Udsm ama vinginevyo,

Msiishi kama kuku wa kienyeji nyie viumbe wa Mungu.
 

Yericko Nyerere,

The evil spirit of man is a man.

Wewe umemuita Mohamed Said ana laana kwako ili sio tatizo.

Wewe kupewa sifa yako unalia lia.
 

Nilishwe ngano na nani tena wakati mie ndiyo nimeileta humu jamvini hiyo picha.
 
Peleka ushirikina wako kwa wajinga wenzako! karne hii bado unashindwa kuelezea mambo kisayansi, bado umeng'ang'a na ushirikiana! aibu.
 
Nilishwe ngano na nani tena wakati mie ndiyo nimeileta humu jamvini hiyo picha.

Mohamed Said keshakuaminisha kuwa picha hiyo huyo wakushoto Kaselela Bantu alichomekwa mwaka 1974, kwa lugha nyingine nikuwa yeye hakuwepo siku picha hiyo ikipigwa.
Huu ni uongo wa Mohamed Said uliotukuka
 
kwa ninavyo kujua mkuu hii utakuwa umeicopy na kupaste from somewhere,
na imeshanikaa kichwani, haitoki tena, ila kisambaa si copy.
............................................
 
Nilijua wewe hutakosa kumtetea huyu nabii wenu wa maangamizi, pole sana bwana mdogo wa Mzumbe!Sikushangai sana kwani haya ndio matunda ya kuipeleka akili yako kwa mtu akushikie!
 
Nilijua wewe hutakosa kumtetea huyu nabii wenu wa maangamizi, pole sana bwana mdogo wa Mzumbe!Sikushangai sana kwani haya ndio matunda ya kuipeleka akili yako kwa mtu akushikie!


It seems like every time you come up something happens to bring you back down,,

Ridiculous Boy..
 

Yericko,

Huna unachojua.
Angalia nyaraka hapo zinasemaje:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] The Founding of the African Association and Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika, 1929-1933
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] One person who inspired Kleist into politics was Dr James Kwegyir, a Ghanaian.

Dr Aggrey came to Tanganyika in 1924. Dr Aggrey served on the Phelps-Stokes Commissions which were appointed to enquire into African education.

It was while serving in this Commission that he visited Tanganyika. Dr Aggrey was refused accommodation at the New Africa Hotel, Dar es Salaam, for being black. An alternative accommodation was found for him by Governor Donald Cameron in the Government House.

It was while he was in Dar es Salaam that Dr Aggrey came into contact with Kleist. Dr Aggrey presented Kleist with one of his own published books which he autographed.

None of his sons can remember the title of the book. Kleist cherished this book and it decorated Kleist's bookshelf for many years. Dr Aggrey inspired Kleist with what he was able to accomplish as a blackman.[1]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] In 1929 Kleist and some close friends, namely, Mzee bin Sudi, a Manyema Ibrahim Hamis, a Nubi, Zibe Kidasi, Ali Said Mpima, Suleiman Majisu, Raikes Kusi, Rawson Watts and Cecil Matola founded the African Association. Kleist was the founding secretary.

At that time the Governor of Tanganyika was Sir Donald Cameron who was the administrator of the territory from 1925-1929.

Cameron was a liberal governor. Kleist was known to Cameron.

Cameron established the first Legislative Council and Indirect Rule in Tanganyika.

This liberal attitude of his greatly helped in the formation of the African Association.

But despite of this, the Association was warned not to indulge in politics. When the African Association was formed, already there were in existence European and Asian Associations. In the Legislative Council Africans were presented by a Catholic priest, Father Gibbons, who did not even live among Africans but at Minaki Mission outside Dar es Salaam.

Abdulwahid remembered his father telling him the reasons for forming the Association:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] ''At that time there were two Associations existing. There was the European Association and the Indian Association. Both these were concerned with their own nationalities. But the Africans had no such Association to defend them. In the Legislative Council the Africans were represented by a white missionary named Father Gibbons, who worked at Minaki Mission several miles outside Dar es Salaam. But in reality this European did not establish any connections with the Africans whom he represented. For that reason the Africans, feeling unrepresented and having no Association similar to that of the Europeans and Asians for securing their rights, met and decided to form their own Association''.[2]

The initiative to form an association of Africans free from organised religious and tribal affiliations was a move against the established norms. Although the Association had the support of Governor Donald Cameron and was registered as a welfare association, missionaries cautioned Christians not to involve themselves with the organisation as it would eventually lead to politics against the state:

‘Christians were often warned by the missionaries not to get themselves involved in any movements that were challenging the government'.[3]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1] Dr James Kwegyir Aggrey was born in 1875 and was educated in Cape Coastal Methodist
School. He became a teacher and headmasterand was an interpreter for the 1896 Ashanti
Expedition. He went to America and graduated from Livingstone College and Hood Theological
Seminary where he was ordained. He later gained his doctorate from Columbia University. Dr Aggrey
served on Phelps -Stokes Commissions of 1920 and 1924, which were appointed to inquire into African
education. It was while serving in this Commission that he visited Tanganyika. He was appointed Vice-
Principal of Achimota College in 1924 and died three years later in 1927.

[2] Buruku, op. cit. p.101.
[3]Buruku, p. 101. For a similar argument see Jan P van Bergen, Development and Religion, (Madras, 1981)
pp.171-2. Bergen's book contains very incriminating information and evidence on Nyerere and the Catholic
Church's conspiracy to marginalise Muslims. When this was realised the book was quietly removed from
circulation.
 
Wewe jamaa bana eti Prof. Njozi tatizo lake ni CCM umemuhoji.

Vitu vingine inabidi mtu ucheke tu humjui Prof. Njozi wewe ulimuhoji sisi tumeishi naye. Ulimuuliza kuhusu Nyerere anamchukuliaje?
Kweli Ritz akili yako wakati mwingine inachekesha! unataka kumumiliki Njozi? Na sisi tulie mfundisha Njozi darasani tusemeje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…