Mundungus Fletcher
JF-Expert Member
- Jun 7, 2009
- 327
- 79
Mundungus,
Ahsante sana soma hii hapa chini:
TANU, New Street 1954
''My transfer saddened Nyerere.
But by a strange turn of fate it was not the colonial government, which, succeeded in haunting and ousting me and my brother Abdulwahid and other TANU founding members out of politics and out of history...''
Well mzee akawa ananiambia kuwa moja ya sababu ya some of waasisi wa TANU kupoteza nafasi au kushika nafasi za juu na active role katika chama ni hizo. Mfano wa Ally sykes baada kuchukua uhamisho na ndo influence yake ikaanza kuishia kwenye chama. Waliobakia wakachukua nafasi.