Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Yericko,

Kleist Sykes na wanae katika historia ya ukombozi kwenye kitabu
wamefungua dimba.

Baada ya kulifungua kitabu kikaanza kueleza yote yaliyojiri katika
kipindi kile.

Sikweli, umepotosha umma, anza na Sir Cameron kisha Mwalimu Cesil Matola ndipo uje kwa hao akina Sykes,

Na zaidi akina Sykes hawakumaliza wao katika historia ya kweli.[/QUOTE]

Nakuwekea hapa yale niliyoandika:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="width: 601"] [h=1]Table of Contents[/h] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] 1. Dedication [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] 2. Acknowledgements [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] 3. Table of Contents [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] 4. Introduction [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [h=1] [/h] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [h=1]Part One[/h] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [h=2]Abdulwahid Sykes 1924-1968[/h] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 1. The Sykes: Origins 1894-1929 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Old Town of Dar es Salaam and its Elites [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Kleist Sykes, Pioneer and Man of Ideas: 1894-1949 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · World War One 1914-1918 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Founding of the African Association and Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Muslim Association of Tanganyika), 1929-1933 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [h=1]Chapter 2.The Second World War and Tanganyika’s Political Foundation, 1938-1945[/h] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Burma Infantry, 1942 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 3. Dar es SalaamDockworkers Movement 1947-1950 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Dar es Salaam Port, 1947 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Erika Fiah [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Dockworkers’ Union, 1948 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 4. The Genesis of Open Politics in Tanganyika 1950 -1954 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Tanganyika African Association, 1950 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · TAA Political Subcommittee, 1951 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Tanganyika as a Mandate Territory [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Kenyan Nationalists in the Struggle of Tanganyika,1950 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · TAA and KAU: Attempts at Linkage and Solidarity, 1950 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Meru Land Evictions, 1950 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 5. Julius Kambarage Nyerere [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Story of Julius Nyerere, 1952 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Tanganyika African National Union (TANU)-The Party of Independence, 1954 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 6. The Pan African Congress of Northern Rhodesia, 1953 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Ally Kleist Sykes [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [h=1]Part Two[/h] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [h=2]Mass Mobilisation and Independence 1954-1961[/h] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 7. Mass Mobilisation 1954 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Elders’ Council and Nyerere’s Visit to the United Nations, New York, 1954 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Idd Faiz Mafongo [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The African Press-Ramadhani Mashado Plantan, 1950 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Ahmed Rashad Ali-Radio Free Africa (Radio ya Afrika Huru), 1952 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Propagandists-The Bantu Group,1955 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Incorporation of Swahili Women’s Societies into the Struggle, 1955 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Football As a Political Weapon [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 8. The Formation of the Party in the Provinces [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Central Province, 1955 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Southern Province, 1955 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Western Province, 1955 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Tanga Province, 1956 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · TANU in Mombasa, Kenya, 1957 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 9. The Tabora Conference-The Road to Independence, 1958 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Tanga Strategy, 1958 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Debate for Tripartite Voting [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Pan-African Movement of East and Central Africa (PAFMECA), 1958 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Independence, 1961 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [h=2]Part Three[/h] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [h=2]Conspiracy Against Islam 1961-1970[/h] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 10. The Muslim Factor in Post-Independence Tanzania 1961-1970 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Islam: The Ideology of Colonial Resistance [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The First Muslim Congress, 1962 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Resistance to Change [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Second Muslim Congress, 1963 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Proposal for an Islamic University, 1964 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Politics of Islam, Church, State and the African Christian [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 11. The East African Muslim Welfare Society (EAMWS) ‘Crisis’ [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Fomentation of the BAKWATA ‘Crisis’ [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Nyerere, Tewa, Bibi Titi Encounter, 1968 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Islamic National Conference, 1968 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Omissions Analysed [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Betrayal of Ideals [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Conspiracy Theory [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Epilogue [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Bibliography [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [/TD]
[/TR]
[/QUOTE]


Haya kwangu na kwa mwerevu yoyote sio uthibitisho wa ukisemacho.
 
Padre John Sivalon, M.M, hakuwa MDINI. Kitabu chake hakitetei UKATOLIKI wake. Namfahamu kidogo Padre huyu tangu anaingia Tanzania, akaja pale Maryknoll Language School, Makoko. Tukamfundisha kuongea Kiswahili.
Nimekisoma kitabu chote cha Sivalon na sijaona mahali alipoandika kuwa kanisa katoliki liliuona uislamu kama adui wake. Wildcard, kumbe wewe ni jirani? Mimi nilikuwa Nyasho wakati ukiwa Makoko.
 
Nimekisoma kitabu chote cha Sivalon na sijaona mahali alipoandika kuwa kanisa katoliki liliuona uislamu kama adui wake. Wildcard, kumbe wewe ni jirani? Mimi nilikuwa Nyasho wakati ukiwa Makoko.

Kuna rafiki yangu yupo maeneo Mkendo karibia na shule ya Karume nimekaa sana hapo.
 
Sikweli, umepotosha umma, anza na Sir Cameron kisha Mwalimu Cesil Matola ndipo uje kwa hao akina Sykes,

Na zaidi akina Sykes hawakumaliza wao katika historia ya kweli.

Nakuwekea hapa yale niliyoandika:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="width: 601"] Table of Contents

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] 1. Dedication [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] 2. Acknowledgements [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] 3. Table of Contents [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] 4. Introduction [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Part One

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Abdulwahid Sykes 1924-1968

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 1. The Sykes: Origins 1894-1929 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Old Town of Dar es Salaam and its Elites [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Kleist Sykes, Pioneer and Man of Ideas: 1894-1949 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · World War One 1914-1918 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Founding of the African Association and Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Muslim Association of Tanganyika), 1929-1933 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 2.The Second World War and Tanganyika's Political Foundation, 1938-1945

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Burma Infantry, 1942 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 3. Dar es SalaamDockworkers Movement 1947-1950 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Dar es Salaam Port, 1947 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Erika Fiah [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Dockworkers' Union, 1948 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 4. The Genesis of Open Politics in Tanganyika 1950 -1954 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Tanganyika African Association, 1950 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · TAA Political Subcommittee, 1951 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Tanganyika as a Mandate Territory [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Kenyan Nationalists in the Struggle of Tanganyika,1950 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · TAA and KAU: Attempts at Linkage and Solidarity, 1950 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Meru Land Evictions, 1950 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 5. Julius Kambarage Nyerere [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Story of Julius Nyerere, 1952 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Tanganyika African National Union (TANU)-The Party of Independence, 1954 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 6. The Pan African Congress of Northern Rhodesia, 1953 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Ally Kleist Sykes [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Part Two

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Mass Mobilisation and Independence 1954-1961

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 7. Mass Mobilisation 1954 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Elders' Council and Nyerere's Visit to the United Nations, New York, 1954 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Idd Faiz Mafongo [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The African Press-Ramadhani Mashado Plantan, 1950 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Ahmed Rashad Ali-Radio Free Africa (Radio ya Afrika Huru), 1952 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Propagandists-The Bantu Group,1955 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Incorporation of Swahili Women's Societies into the Struggle, 1955 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Football As a Political Weapon [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 8. The Formation of the Party in the Provinces [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Central Province, 1955 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Southern Province, 1955 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Western Province, 1955 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Tanga Province, 1956 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · TANU in Mombasa, Kenya, 1957 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 9. The Tabora Conference-The Road to Independence, 1958 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Tanga Strategy, 1958 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Debate for Tripartite Voting [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Pan-African Movement of East and Central Africa (PAFMECA), 1958 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Independence, 1961 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Part Three

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Conspiracy Against Islam 1961-1970

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 10. The Muslim Factor in Post-Independence Tanzania 1961-1970 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Islam: The Ideology of Colonial Resistance [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The First Muslim Congress, 1962 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Resistance to Change [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Second Muslim Congress, 1963 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Proposal for an Islamic University, 1964 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Politics of Islam, Church, State and the African Christian [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] Chapter 11. The East African Muslim Welfare Society (EAMWS) ‘Crisis' [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Fomentation of the BAKWATA ‘Crisis' [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Nyerere, Tewa, Bibi Titi Encounter, 1968 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · The Islamic National Conference, 1968 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Omissions Analysed [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Betrayal of Ideals [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Conspiracy Theory [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Epilogue [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] · Bibliography [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] [/TD]
[/TR]
[/QUOTE]


Haya kwangu na kwa mwerevu yoyote sio uthibitisho wa ukisemacho.[/QUOTE]


Yericko,

Unasema nianze na Cameron.
Tukianza na Cameron tutapunjika.

Nimeanza hivi soma hapa chini unifuatilie mwalimu wako hatua kwa hatua:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] Kleist Sykes, Pioneer and Man of Ideas: 1894-1949 [1]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] The history of the Sykes family goes back more than a hundred years. In those years the family has been able to it through narration by Kleist Sykes who learned most of the history of the tribe from his guardian, Effendi Plantan. Plantan raised Kleist in his own household after the death of his father Sykes Mbuwane.

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] The Mbuwane clan has its origin in South Africa. The clan was under the rule of Chaka the famous King of the Zulu people. The tribe had trekked north from South Africa to Mozambique running away from tribal wars. In Mozambique the Zulu chiefdom of Inhambane did not find lasting peace and was engaged in a war with the Portuguese which lasted many years. Eventually the Zulu were defeated because of an agreement which one of the chief's sons signed with the Portuguese.

It is believed there were treachery in the agreement and because the Portuguese did not keep their part of the bargain, the Zulu were therefore disadvantaged. This caused their downfall and eventual defeat. It has not been possible to get information as to what kind of a bargain was struck between the two warring nations, but it is sufficient to note that the Zulu defeat was not as a result of military strength of the Portuguese over the Zulu...
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1] This chapter was written with the help of a paper by Aisha Daisy Sykes presented as
seminar paper at the University of Dar es Salaam in 1968. Daisy wrote this paper with
the assistance of her father Abdulwahid Sykes, from an original manuscript written by Kleist
Sykes. Other information on Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika is from Tewa Said Tewa's
unpublished manuscript, ‘A Probe In the History of Islam in Tanganyika'. Other information
is from Ali Mwinyi Tambwe, secretary Al Jamiatul Islamiyya in the early 1940s.


Hapo juu niko Mozambique kijiji cha Kwa Likunyi miaka ya mwisho 1890s.

Yericko sahib wangu.

Piga hesabu toka 1890s hadi 1924 wakati Kleist anaasisi African Association na angalia
ikiwa nitaanza na Cameron ni mambo mangapi ya kihistoria nitayaacha kwa kuyaruka.

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] The Founding of the African Association and Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika, 1929-1933
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"] One person who inspired Kleist into politics was Dr James Kwegyir, a Ghanaian. Dr Aggrey came to Tanganyika in 1924. Dr Aggrey served on the Phelps-Stokes Commissions which were appointed to enquire into African education. It was while serving in this Commission that he visited Tanganyika.

Dr Aggrey was refused accommodation at the New Africa Hotel, Dar es Salaam, for being black. An alternative accommodation was found for him by Governor Donald Cameron in the Government House. It was while he was in Dar es Salaam that Dr Aggrey came into contact with Kleist. Dr Aggrey presented Kleist with one of his own published books which he autographed. None of his sons can remember the title of the book. Kleist cherished this book and it decorated Kleist's bookshelf for many years. Dr Aggrey inspired Kleist with what he was able to accomplish as a blackman.[1]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1] Dr James Kwegyir Aggrey was born in 1875 and was educated in Cape Coastal Methodist
School. He became a teacher and headmaster and was an interpreter for the 1896 Ashanti
Expedition. He went to America and graduated from Livingstone College and Hood Theological
Seminary where he was ordained. He later gained his doctorate from Columbia University.
Dr Aggrey served on Phelps -Stokes Commissions of 1920 and 1924, which were appointed
to inquire into African education. It was while serving in this Commission that he visited Tanganyika.
He was appointed Vice-Principal of Achimota College in 1924 and died three years later in 1927.



Yericko,

Hii hapo chini ndiyo historia ambayo ingebidi niiruke ikiwa namkimbilia Cameron.

Ikiwa sasa nitaanza na Cameron kuna Kleist Sykes World War I Diaries wasomaji watakosa kuzisoma
na hivi ni muhimu kwa kuwa zinaeleza vita vilikuwaje kati ya 1914 - 1918.

Nakuonjesha hapa chini kidogo upate ladha ya diary za Kleist za Vita vya Kwanza Vya Dunia:

Arabs in Tanganyika seized the opportunity to have their own back against the Germans. They still
remembered what the Germans did to their hero Abushiri whom they hanged in 1889. In 1915 they
joined forces with the British to drive the Germans from Tanganyika. History repeated itself; Kleist
and Schneider took part in a battle against theirs father's and the Germans' old enemies, the Arabs,
at Mwele Ndogo.

The battle took place on Christmas Eve of 1915 in the same area where Sykes Mbuwane and Affendi
Plantan, the Zulu mercenaries, landed at the turn of the century to support Germans against the Arabs
and locals. For ten hours from sunrise to just before sunset German forces were engaged by Arabs in a
fierce battle.

Kleist was promoted to Lance-Corporal for his part in that battle. Two days after the battle with Arabs
Kleist's company was ordered to proceed to Kahe. He remained in Kahe for a month and then they recieved
order to march towards Voi, a border town in Kenya. On the way to Voi Kleist fell sick and had to be returned
to Mombo, a mosquito-infested area because of the river which passed the town.

Kleist remained Mombo recuperating in a hospital for two months. From Mombo he was sent to Handeni. In April,
1916 news reached him while he was still on the battlefield that his mother had passed away.


Yericko sahib wangu,
Mambo ndiyo hayo.

Nimechota historia ya wazee wangu nyingi sana pamoja na dua zao.
 

WC,

Mimi nasaidia ili watu wajue kuwa nchi yetu ilikuwa na mashujaa na wamefanya mengi.
Wala nia yangu si nyingine kabisa.

Ni bahati mbaya kuwa historia hii ambayo hamkuwa mkiijua inapoletwa inasababisha mshtuko
kwenu.

Angalia nini niliandika nilipoziona file za akina Sykes:

Going through the files I was amazed by Ally Sykes' obsession with record keeping. Every piece
of paper with information was kept, however trifling it may have seemed during the struggle - a
1954 pencil note from Zuberi Mtemvu to Ally Sykes, informing him of a discussion he had with
Nyerere about him and TANU; a 1953 money order receipt from Ally Sykes to Japhet Kirilo during
the Meru Land Case; an undated copy of the letter from the TAA to Queen Elizabeth signed by
the entire executive (the President, Julius Nyerere, Vice-President Abdulwahid Sykes, General
Secretary Dome Okochi, Assistant Secretary Dossa Aziz, Treasurer John Rupia, Assistant Treasurer
Ally Sykes) congratulating Her Majesty on her coronation; a 1952 letter from Rashid Mfaume Kawawa
from Bukoba to Ally Sykes informing him of the political situation in the Lake Region; a 1963 letter from
Lady Judith Listowel; letters from Kenneth Kaunda, Julius Nyerere, Kasella Bantu ... the list is endless.
 
nafikiri kuna haja ya kuweka polls kujua ukweli

Z,

Hilo la kunukuu maandishi yangu mbona nshalieleza.
Ni hivi.

Mimi nina taarifa ambazo hazijulikani na wengi.
Hii ndiyo sababu naziweka hapa na ni utafiti wangu.

Hao wasikizaji sijasema wako upande wangu wala kuungwa
mkono siyo azma yangu.

Azma yangu ni wao kusoma historia hii yangu ambayo hawakuwa
wanaijua kabla.
 

CR,

Hili nimelieleza mara nyingi sana huenda wewe limekupita.

Mimi siko hapa JF kutaka kumshinda mtu au kuleta ushahidi
wa hiki na kile.

Mimi niko hapa kueleza ile historia ya uhuru wa Tanganyika
kama nilivyopokea kutoka kwa wazee wangu na kama utaafiti
wangu ulivyoonyesha.

Si sula kuwa mimi ninajinukuu mwenyewe.
Hapana.

Mimi naeleza yale niyajuayo.

Ushahidi utakuwa na maana tu ikiwa mimi nashikilia kuwa haya
yangu ndiyo pekee ukweli.

La hasha mara kadhaa nimesema ikiwa kuna watu wanazo taarifa
katika historia hii ya nchi yetu na wao waandike ili tusome.
 
Baadhi yetu tumechoka na huku ku-copy na ku-paste kitabu chako hiki ambacho baadhi wanacho au wamepata kukisoma. Unaposema Ally waliandikiana na Kaunda tuwekee hizo nyaraka humu. Au unaposema Abdu alikutana na kufanya mazungumzo na Kenyatta, tuwekee picha angalau hata ya kubumba! Usichukue nafasi na nafsi zao ukazifanya zako. Hauwatendei haki.
 
Nikweli yote uliyonena, lakini nikujuze kuwa umelinganisha usiku na mchana,

Hivi kweli unaweza kuwianisha teknolojia ya mwaka 1974 ya Tanzania na ile ya hata 1888 ya Uingereza, uchina, na Marekani?

Jericko naona kazi yako kupinga tu lakini sasa unasoma au kupata uelewa kutoka kwa wanaoelewa.

Ni wewe uliosema kwamba 1974 kulikua hakuna Computer zinazoweza kuchakachua picha!
Bila yakujijua kwamba unaongea na watu wenye ufahamu zaidi.
Sasa kitu kitu kilichowezekana 1888 sikitakua more upgraded kwenye 1974.
Au huo ufahamu wako unakwenda kinyume?
 

MM,

Mimi kwa kweli si mtu wa nongwa.

Mimi si Shylock nililie kilo yangu moja
ya nyama.

Mimi nimeshaandika katika kitabu kuwa Nyerere
katika hotuba ya muago alisahau Abdu Sykes
alikuwa na cheo gani.

Kitabu kina miaka 15 na watu wanakisoma na
wananiamini.

Kwa nini wananiamini?
Kwa sababu ya historia yangu katika uandishi.

Ili mimi nikamatwe uongo niliosambaza kwa miaka
15 na niaibike ni kwa nyinyi kuja na video clip.

Hakuna njia mbadala.
 
Mohamed Said unapomtaja Nyerere,wataje na akina Nkrumah,Kenyatta etc,etc ambao alikuwa nao on a level playing field na sio unatu force feed akina sykes ambao hawastahili hiyo elevation
 
Last edited by a moderator:

WC,

Unaghadhibika bure ndugu yangu.
Mbona maandiko hayo nishabandika humu?

Huna haja ya kufoka ni jambo la kuniambia kwa
kistaarabu tu kuwa Mzee Mohamed hebu tuwekee.

We kidogo tu umeshachoka inaelekea huna stamina.
Ushaangalia mie nimeweka post ngapi humu?
 
Hiyo ya kusahau cheo cha Abdu unaona suala zito sana! Asingemtaja kabisa kwenye hotuba ile je? Mzee, acha kukuza mambo ambayo hata hayana maana. Hotuba ile kama nyingine zote za Mwalimu ilikuwa nzuri sana. Kumbuka Mwalimu alikuwa anatiririka toka kichwani mojakwamoja.
 

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="width: 601"] The formation of the Political Sub-Committee in TAA, its involvement in the Constitutional Development Committee of Governor Edward Twining and in its submission of proposals to the government and its conduct in the Meru Land Case smacked of behaviour typical of political organisations.

The colonial government was also aware that Mwapachu was in contact with the Fabian Society and was contributing radical articles to The Sentinel and was exchanging correspondence with ultra-leftists of the Labour Party in Britain. In his capacity as the secretary of TAGSA, Ally Sykes had established contact with the Secretary-General of the Pan African Congress of Northern Rhodesia, Kenneth David Kaunda. [1]

Abdulwahid had met the Indian High Commissioner to East Africa in Nairobi in 1950 in his official capacity as secretary of TAA.

The colonial government was probably aware that since 1950 Abdulwahid and Ally were in constant contact with the Asia Socialist Conference and its Anti-Colonial Bureau.

This behaviour by the Association and its leadership had transformed it into a de facto political party.

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1] K.D. Kaunda to A.K. Sykes, 28 th December, 1953. Sykes’Papers.
 
Mohamed Said yaani Nyerere akwaruzane na vichwa hivi alaafu unategemea akumbuke sijui somebody Sykes alikuwa na cheo gani? let alone mention him

 
Last edited by a moderator:
Sijaghadhabika wala kuchoka. Wewe na mimi ni wakongwe kwenye thread hii. Wenzako wanaweka picha za maRais Kenyatta, Kaunda na mwenzao Mwalimu, wewe unasema Kenyatta alikutana na Abdu, kama nani? Kaunda aliandikiana na Ally, kwa lipi, kama nani?

Unataka kutueleza nini? Tuwekee hiyo barua ya Ally kwenda kwa Kaunda mwaka 1953 wakati wote wawili hata miaka 30 walikuwa hawajafika.
 
Mohamed Said yaani Nyerere akwaruzane na vichwa hivi alaafu unategemea akumbuke sijui somebody Sykes alikuwa na cheo gani? let alone mention him

Abdu alishakuwa "spent force" wakati huo. Labda Mzee Mohamed atueleze kwa nini Abdu na akili zake nyingi, uongozi wake mzuri,..., hakuingia kwenye serikali ya Mwalimu badala yake Ally akaja kuwemo kama Balozi wetu Ulaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…