Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Huyo kaburu wa Afrika kusini na Nyerere ni Africa Greatest!
 




Shekh MS,
Picha ya juu Mzee alievaa kofia kushotoni mwa Nyerere ni nani?

Na picha ya pili kuna yoyote unaweza kututajia! naona faraja sana kwa Wazee hawa mashahidi!
Halafu kifimbo cha Mwalimu kilikuwa na siri yoyote?
 
Huyo kaburu wa Afrika kusini na Nyerere ni Africa Greatest!
Hebu endelea kuumia...na kwa uongozi, umaarufu na heshima Afrika, vinara (top five) ni hawa;

  1. Nelson Mandela
  2. Julius Nyerere
  3. Kwame Nkrumah
  4. Haile Selassie
  5. Patrice Lumumba
Hapa alikuwa bado hajajua kuvaa! nadhani ni hatua kidogo baada ya kuzuiwa kuvaa kaptura na Waungwana wa Dar!
Haya, sawa, wazee wa Mohamed Said ndio walimfundisha ustaarabu na kuvaa Baba wa Taifa...halafu nikimwita mtu mpuuzi naambiwa natukana!
 
Last edited by a moderator:
Unamuangalia Mohamed Said tu wakati wenzako hawataki hata hawa wazee watajwe kwao wakitajwa ni tusi.

Nani kasema wasitajwe au kaona anatukanwa? Wote ambacho hawataki na kukubali ni jaribio dhaifu la kumdunisha Nyerere na kuwekweza hawa wengine kwa sababu ya dini yao.
 

Na huyu Nyerere aliyekuwa na chuki na Waislamu na aliyekuwa akiwadhulumu Waislamu, alikubali kwenda kuombewa na Waislamu hawa na kukaa nao wakisoma Qurani kwa Mkatoliki mwenye kuweka mbele kanisa lake? Yaani alienda Mnyanjani (na napajua) kama alivyofanya kwa kwenda Bagamoyo na Shehe Ramia? Huyu huyu Mkatoliki aliyekuwa anaweka mbele maslahi ya Kanisa na Ukristu wake na akakubali kuwa karibu na Waislamu kiasi hicho?

Kadizooo!!!
 


kesi ya nyani hyo....tushakuzoea mwanakijiji...! Huna jipya... Unakachuki flani na waislam wewe huwa unajaribu kukaficha...lakini huwa unashindwa kujicontrol ktk mazingira flani flani....!
 
Hivi, kule Scotland na baridi yote ile Nyerere alikuwa akivaa kaptura tu mpaka alipofika Dar?
 
Unamwita Miriam Makeba mpuuzi? Bob Marley mpuuzi? Kumbe Ritz wewe bure kabisa!
 
kesi ya nyani hyo....tushakuzoea mwanakijiji...! Huna jipya... Unakachuki flani na waislam wewe huwa unajaribu kukaficha...lakini huwa unashindwa kujicontrol ktk mazingira flani flani....!

Sina sababu ya kuwa na chuki na Waislamu; wanangu wengine ni Waislamu... nichukie damu yangu mwenyewe kisa dini?
 
kesi ya nyani hyo....tushakuzoea mwanakijiji...! Huna jipya... Unakachuki flani na waislam wewe huwa unajaribu kukaficha...lakini huwa unashindwa kujicontrol ktk mazingira flani flani....!

Kazi kwelikweli
 
Unamwita Miriam Makeba mpuuzi? Bob Marley mpuuzi? Kumbe Ritz wewe bure kabisa!

Wewe ndiyo bure kabisa.

Mtu anayetumia madawa ya kulevya kwangu ni mpuuzi tu.

Miriam Makeba anatofauti gani Ray C.
 
Wewe ndiyo bure kabisa.

Mtu anayetumia madawa ya kulevya kwangu ni mpuuzi tu.

Miriam Makeba anatofauti gani Ray C.

Miriam Makeba hakutumia madawa ya kulevya. Alikuwa mpigania uhuru wa Afrika kusini. Unajua alisafiri kwa pasipoti ya Kitanzania baada ya makaburu kumnyima pasipoti? Unajua alisaidia kutangaza dhulma ya ubaguzi wa rangi duniani kote dhidi ya utawala wa makaburu? Unaweza kweli kumwita huyu mtu mpuuzi? Na umesikia ujumbe katika nyimbo za Bob Marley? Huyu kama Marcus Garvey. Kama bado unao muda wa kujielimisha.
 

Wewe si upo Marekani siku ukija Tanzania beba begi la bangi uone airport watakufanyaje. Hapo ndiyo kwenye upuuzi hata kama huna ujumbe gani kama unatumia madawa ya kulevya kazi bure.

Vijana wengi wamepotea kwa sababu ya bangi kwako wewe bangi siyo tatizo.
 
Hivi, kule Scotland na baridi yote ile Nyerere alikuwa akivaa kaptura tu mpaka alipofika Dar?

Jasusi,

Naamini unajua kuwa sijawahi kugusia ustaarabu wa Nyerere katika
mjadala huu.

Huwa sifurahishwi na maneno yanayoweza kumvunjia adabu mtu mzima.
 
Ritz,
Mimi sivuti bangi, lakini nampenda Bob Marley. It is the message in his song and not his lifestyle that moves me. Kilevi changu ni wine, basi. Hata bia ya safari siku hizi sinywi baada ya makaburu kuichakachuwa.
 

Jasusi,

Kuna biography ya Hugh Masekela inaitwa ''Grazing in the Grass'' na
ipo ya Harry Belafonte inaitwa ''My Song.''

Mtafute Makeba mle ndani.
 
Jasusi,

Kuna biography ya Hugh Masekela inaitwa ''Grazing in the Grass'' na
ipo ya Harry Belafonte inaitwa ''My Song.''

Mtafute Makeba mle ndani.

Nitavitafuta hivyo vitabu. Masekela alimwoa Miriam Makeba kwa muda na Belafonte wameimba naye kwenye ile album ya "kauleza." Lakini muhimu kwangu ni kwamba Makeba was a freedom fighter, na alifanya kazi kubwa kuuamsha ulimwengu juu ya dhulma za apartheid.
 
Ritz,
Mimi sivuti bangi, lakini nampenda Bob Marley. It is the message in his song and not his lifestyle that moves me. Kilevi changu ni wine, basi. Hata bia ya safari siku hizi sinywi baada ya makaburu kuichakachuwa.

Jasusi,

Ninaandika kitabu cha maisha ya Sal Davis.
I belive you were into his music as we were growing up in Dar of 1960s.

Kwa kuwa umemtaja Miriam Makeba ngoja nikuonjeshe kidogo na tushushe
hili joto la ''Uchochezi wa Mohamed Said.'':

London, 1963

As 1963 was ending, I was now performing at the Sombrero Night Club in London and I was in the process of signing a very important contract with The Establishment, one of London's most fashionable clubs.

I had to let the contract pass because I had to travel to Kenya for independence celebrations, which were to take place on 12[SUP]th[/SUP] December 1963.

One day Tom Mboya rang me and asked me to go and see him.

Tom Mboya came to England in 1957 to study at Ruskin College, Oxford the same year I came to England. and went Manchester to stay with one of my relatives from Mombasa, Ali Mazrui.

Tom Mboya was staying at Cumberland Hotel opposite Marble Arch near Hyde Park.

I went to see him and he informed me of the government's intention to invite me to uhuru celebrations along with Sidney Poitier, Harry Belafonte and Miriam Makeba.

Mboya was the Chairman of Independence Celebrations Committee.

I had an occasion of seeing Miriam Makeba in London when she appeared in a show with other South Africans called ‘King Kong.'

Usually after a show, we in the show business as is the tradition go backstage to meet fellow stars.

It was here that I met Makeba briefly.
At that time Makeba was not a very big celebrity, which he came out to be later.

Mboya told me that I should write a song for Kenya's independence.
I wrote"Ayayaa Uhuru" and the song was recorded by Philips of Holland.

When Kenyatta and his delegation came to London to Lancaster House for constitution conference, I went to see him and I presented the song to the Kenyan delegation.

Jomo Kenyatta was with Paul Ngei, Charles Njonjo, Njoroge Mungai and others.

I had the cassette with me and I played it to them.

They loved the song...


 




Shekh MS,
Picha ya juu Mzee alievaa kofia kushotoni mwa Nyerere ni nani?

Na picha ya pili kuna yoyote unaweza kututajia! naona faraja sana kwa Wazee hawa mashahidi!
Halafu kifimbo cha Mwalimu kilikuwa na siri yoyote?

TK,

Huyo ni Chief Erasto Mang'enya wa Muheza.
Kifimbo sina taarifa zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…