Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Kuwataja waliosahauliwa nikuleta historia mpya?
Bahati nzuri hao wote aliowataja wanaonekana sio kwa maandishi tu bali pia kwenye picha na Nyerere.
Sasa kilicholetwa kipya ni kipi?
Halafu ahadi ni deni!!
Ile audio uliyotuahidi imeishia wapi?
Darwin,
Hiyo clip haitowekwa hapa abadan kwa kuwa
ukweli umedhihiri.
Wameisikiliza na wamepigwa na radi ya saa
saba mchana jua kali.
Mimi nisingeweza kuzua uongo hata kidogo.