Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,764
- 896
kama ni mchochezi katika jamii kama alivyo huyu mzee wenu MS hastahili hata kupewa mda wa kuvaa nguo za ndani achilia mbali kanzu, uchochezi haukubaliki.
.......
Mag3,
Leo nimeweka vitu vingi vya kutosha.
Angalia wasikizaji wanavyofurika.
90,000 plus...
Hakuna nafasi hata ya kuweka baiskeli.
.....
Mzee Mohamed Saidi, maneno yako haya yananikumbusha kisa cha zamani; Mtu mmoja alikuwa na tabia ya kutamba kwamba yeye ni mbabe aliyeshindikana, ikaja siku kakumbana na mbabe kumzidi yeye, wakaanza pambano, watu wakajaa kushuhudia pambano, kila mbabe mwenye majivuno alivyozidiwa ndivyo watazamaji waliongezeka kushuhudia pambano. Ongezeko la watazamaji lilimfanya mbabe mwenyemajivuno kuongeza makelele ya kujisifu badala ya kupambana, alizidiwa kabisa na baadae kuwaamru watazamaji wamshike na kumuondoa uliongoni mpinzani wake amasivyo angemtoa roho! watazamaji waliduwaa kwani wakutolewa roho alikuwa yeye anayepiga makelele!
Huu ubaba amepewa na nani?.Ubaba wa kutoka kanisani hautuhusu sisi wengine.
Halafu baba anayebagua wanawe basi si ajabu kuvunjiwa heshima na wanawe hata ikiwa kawazaa kanisani.
Hii ni adabu gani ya kumkamata kiongozi mkuu wa waislamu akiwa amelala na akashindwa hata kumwachia avae kanzu yake?.
Hata wewe umeleta mipasho mingi humu kwenye hii thread tumekunyamazia,huyu Mwanakijiji anachuki sana na uislamu wewe fuatilia post zake nyingi ambazo ametuma huku jf.
Utaona alivyokuwa mnafiki na mpaka ukiona mzee anamtahadharisha ujue huyu jamaa amefika pabaya, mzee Mohamed Said si wakuzungumza maneno makali kiasi hicho amekasirika MK kuwa mstaarabu na uwe na adabu kwa wakubwa zako na ufiche upumbavu wako na uoneshe ustaarabu wako sawa mkuu.
Mzee Mohamed Saidi, maneno yako haya yananikumbusha kisa cha zamani;
Mtu mmoja alikuwa na tabia ya kutamba kwamba yeye ni mbabe aliyeshindikana, ikaja siku kakumbana na mbabe kumzidi yeye, wakaanza pambano, watu wakajaa kushuhudia pambano, kila mbabe mwenye majivuno alivyozidiwa ndivyo watazamaji waliongezeka kushuhudia pambano.
Ongezeko la watazamaji lilimfanya mbabe mwenyemajivuno kuongeza makelele ya kujisifu badala ya kupambana, alizidiwa kabisa na baadae kuwaamru watazamaji wamshike na kumuondoa uliongoni mpinzani wake amasivyo angemtoa roho! watazamaji waliduwaa kwani wakutolewa roho alikuwa yeye anayepiga makelele!
.......
hivi unajua kuna mashehe wangapi wako ndani leo nchini? na unajua nani anaagiza kukamatwa kwao - Jakaya Kikwete - MUislamu!
......
Huu upumbavu wangu si nimeupata kwa mamako; kichwa kama fenesi lililokauka.
......
Sheikh tulia! tulia mkubwa. Kabiliana na hoja. Hoja ndizo zinakuandama si watu. Punguza jazba jibu hoja Ibn Said.
Kuna nyakati maji yanazidi unga. Tulia baba tunafuata hoja hatukufuati wewe!usiwe paranoia ukaogopa kivuli chako, ngoma bado pevu eh mzee wetu! dawa chungu lakini ndiyo dawa sasa.
Tulia na umeze, wanasema ni ngumu kumesa.
Nipo jamaa yangu.Ha ha haaa Gwalihenzi na wewe umenikumbusha kuna jamaa mmoja alipiga kichwa ukuta halafu akawa anasikitikia ukuta badala ya kusikitikia kichwa chake he he hee upo hapo mkuu!
Ha ha ha mkuu mbona povu linakutoka hivyo mama yangu kaingiaje huku anyway endelea kutukana wala hutapigwa ban CHEZEA MFUMO K.Huu upumbavu wangu si nimeupata kwa mamako; kichwa kama fenesi lililokauka.
"USINIFUATEFUATE" hapa hatuko kwenye mipasho-hapa ni issues kunte-lugha ya magazeti ya shigongo hapa si mahali pake,hii ni JF- huu mjadala unafuatiliwa worldwide,tunaomba lugha iwe ki academic zaidi
Nipo jamaa yangu.
kama ni mchochezi katika jamii kama alivyo huyu mzee wenu MS hastahili hata kupewa mda wa kuvaa nguo za ndani achilia mbali kanzu, uchochezi haukubaliki.
Mzee wangu aliwahi kuniadithia kuwa katika harakati za uhuru TANU ilifika mpaka Kenya na kufungua matawi huko Nairobi na Mombasa na kuwasiliana na kina Tom Mboya hili kufunguliwa Kenyatta kutoka gerezani.
hahahahaha!
naona mzee kapandishwa mashetani na Mzee Mwanakijiji
Mohamed, tuliza akili, rudisha uvumilivu, huo ndio uislam..MM,
Mwisho tutatukanana.
Nilipata kukuambia usinifuatefuate.
Je hapa tulipofikishana hapatoshi?
Huu upumbavu wangu si nimeupata kwa mamako; kichwa kama fenesi lililokauka.
Ndio na liliongozwa na Banyumi mchaga wa Moshi, nguvu za Mwalimu Nyerere za ushawishi wake zilizaa matunda kwakuishinikiza serikali ya Muingereza imuachie Kenyatta,Mzee wangu aliwahi kuniadithia kuwa katika harakati za uhuru TANU ilifika mpaka Kenya na kufungua matawi huko Nairobi na Mombasa na kuwasiliana na kina Tom Mboya hili kufunguliwa Kenyatta kutoka gerezani.