Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Makosa ya aina hii huwa yanfaywa na kila muandishi na kila msemaji.Lakini kwa watu wa mfumo akifanya Mohammed Said wanakuwa wamepatia sehemu ya kuikandamiza historia halisi ya Tanzania na kutaka ionekane eti ni ngano.
Ami, naona unajaribu kupulizia manukato katika lundo la uvundo.

Tumejaribu kukuonyesha kuwa alichofanya Mohamed si makosa madogo ni makosa makubwa kiuandishi na kiutafiti na kwamba hakufanya hivyo kwa bahati mbaya bali alikusudia.

Tuliacha hilo tukidhani somo limeeleweka, inavyoonekana sisi ndiyo tunakuwa ''victim'' wa kuonyesha ukweli kutoka katika maandishi ya Mohamed. Sasa ngoja tukuonyeshe tena kuwa makosa yale si ya kiuandishi au kitakwimu bali mwangi wake unasambaa na kuipoteza jamii.

Angalia tena jedwali hili ili tumalizie yaliyobaki.

By Mohamed Said
Table 1: Selection of Std. VII Pupils to Form I in Dar es Salaam Region 1978 to 1981
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Year
[/TD]
[TD]Total Selected
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]Muslims
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]% of Muslims Selected
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1978
[/TD]
[TD]956
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]216
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]23%
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1979
[/TD]
[TD]903
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]194
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]22%
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1980
[/TD]
[TD]1071
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]247
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]23%
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Source: Dar es Salaam City Council Department of Education

NB:In 1967 census Muslims in Dar es Salaam Region were 67% therefore the number of Muslim students in Dar es Salaam primary schools is greater than that of Christians. This should have reflected in the selection.

My take:
Mohame ameonyesha katika aya ya mwisho herufi NB. Hili ni neno la kilatin Nota bene kwa maana nota (note) bene(well) yaani inamwelekeza msomaji aliangalie jambo linalokusudiwa kwa umakini.
Kwahiyo Mohamed tayari amesharidhika na anashauri umma unaosoma uangalie aya hiyo kwa makni sana.

Mohamed anasema sensa ya mwaka 1967 idadi ya waislam ilikuwa asilimia 67% na hivyo ilitarajiwa wanafunzi wa kiislam wawe wengi kuliko wakristo na hivyo matokeo yalitakiwa yaakisi idadi ya watu.

Kwanza, Tumeshafanya sensa nyingi na ilikuwa kawaida kila baada ya miaka 10 kuna sensa. Mtafiti alitakiwa atupe sensa za karibu sana (mwaka 1977 kama nipo sahihi) na hizo za mwaka 1967 zisadie kama itabidi.
Mohamed hakueleza kwanini hakuchukua majibu ya sensa baada ya mwaka 1967 na hivyo kuwaacha wasomaji wakiwa na maswali yasiyo na majibu.

Mohamed anatakiwa afahamu kuwa population ni ''variable value'' kwamba si lazima asilimia 67 ya mwaka 1967 ibaki kama ilivyo.
Kuna uwezekano iliongezeka na kufikia 80 au kupungua na kufikia 40 kwahiyo alitakiwa kwanza apate the most recent stats.
Kufanya extrapolation ya mwaka 1967 ni sawa na mtu kupanga mipango ya maendeleo ya nchi kwa kutumia stats za 1967. Huku ni kupotosha vijana kusikoweza kuvumilika hata kidogo. Wrong! Mohamed denounce this ASAP!

Pili, hakuna ukweli kuwa ukiwa na idadi kubwa ya wananchi ni lazima idadi hiyo iakisiwe katika maMbo mengine.
Mfano, wahindi ni jamii ndogo sana katika nchi yetu lakini unapozungumzia mambo ya biashara wao wanaonekana kuwa wengi kuliko sisi wamatumbi na hivyo wingi wetu hauakisi ''matokeo ya kuwa na wafanyabishara wengi na wenye uwezo''

Mohamed alipaswa kujiuliza maswali haya
1. Je, idadi ya watoto wa kiislam iliandikishwa shule kama inavyoakisiwa katika sensa?
2. Je, walioandikishwa walimaliza darasa la saba na kufanya mtihani
3. Je, kulikuwa na ubora wa elimu katika ushindani na makundi mengine

Kwahiyo siyo kweli kuwa Quantity is directly proportional to Quality.
Inaweza kuwa hivyo endapo tu factos 1-3 hapo juu zitakuwa zimetiliwa mkazo na kufanyiwa kazi.

Wanajamvi lazima Mohamed aelewe kuwa katika matokeo ya mwaka huu kuna shule ina watoto 7 na wamefaulu 7.
Ipo shule ina watoto 28 na wamefaulu 6. Sasa kama wingi ni kigezo na wala si ubora namba hizo zinatueleza nini?

Tatu, Mohame amesema hapo juu kuwa idadi ya waislam ni kubwa kuliko watoto wa kikristo. Anachotaka kusema hapa ni kuuaminisha umma kuwa mtihani huo ulifanywa na waislam na wakristo tu. Kwamba watu wenye imani nyingine hawakushiriki. Factually wrong and serious mispresentation of scientific data.

Ndugu Ami hadi hapo nadhani unaona wazi kuwa Mohamed hakufanya utafiti wa kutafuta bali alikuwa na conclusion yake kichwani akatafuta mahali pa kuchomeka namba na matokeo yake ndiyo hayo ya kutoa vitu visivyoweza kutafsiriwa kama hivyo.

Lakini hakufanya hivyo kwa bahati mbya alifanya hivyo makusudi kwa kuweka ''sensational research'' na amefanikiwa kuwafanya watu wasome kuhusu Waialsm vs wakristo na namba zake bila kutafakari mistari yake na yaliyomo ikiwa ni pamoja na kutafuta ukweli.

Sasa upotshaji huu uliodumu kw miaka 15 unaweza kusema ni sawa na typo error. Leo wapo vijana wanahubiti data hizi bila kujua ni za kupika na wala Mohamed haonekani ku-denounce. Sasa hili ni kosa la kufumbiwa macho kweli! Hebu nishauri ndugu yangu Ami.


 
Mzee Mwanakijiji,

Tupo post ya [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=492]#492 [/URL] unauliza Waislam wanafanyiwa dhulma na nani.

Takuambia maneno machache tu.

The bearevead begins the wailing latter others join.

Precicely! Tumefika post #492 hakuna mahali imethibitishwa kuwa waislamu wanafanyiwa dhuluma. Hivi leo Dau pale NSSF hakubali kuchukua wakristo hata kama wamequalify kiasi gani kwa sababu anasahihisha "dhuluma" wanazofanyiwa waislamu. Hivi ndivyo mnavyotaka Tanzania iwe?
 
Ami, naona unajaribu kupulizia manukato katika lundo la uvundo.

Tumejaribu kukuonyesha kuwa alichofanya Mohamed si makosa madogo ni makosa makubwa kiuandishi na kiutafiti na kwamba hakufanya hivyo kwa bahati mbaya bali alikusudia.

Tuliacha hilo tukidhani somo limeeleweka, inavyoonekana sisi ndiyo tunakuwa ''victim'' wa kuonyesha ukweli kutoka katika maandishi ya Mohamed. Sasa ngoja tukuonyeshe tena kuwa makosa yale si ya kiuandishi au kitakwimu bali mwangi wake unasambaa na kuipoteza jamii.

Angalia tena jedwali hili ili tumalizie yaliyobaki.

By Mohamed Said
Table 1: Selection of Std. VII Pupils to Form I in Dar es Salaam Region 1978 to 1981
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Year
[/TD]
[TD]Total Selected
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]Muslims
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]% of Muslims Selected
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1978
[/TD]
[TD]956
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]216
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]23%
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1979
[/TD]
[TD]903
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]194
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]22%
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1980
[/TD]
[TD]1071
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]247
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]23%
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Source: Dar es Salaam City Council Department of Education

NB:In 1967 census Muslims in Dar es Salaam Region were 67% therefore the number of Muslim students in Dar es Salaam primary schools is greater than that of Christians. This should have reflected in the selection.

My take:
Mohame ameonyesha katika aya ya mwisho herufi NB. Hili ni neno la kilatin Nota bene kwa maana nota (note) bene(well) yaani inamwelekeza msomaji aliangalie jambo linalokusudiwa kwa umakini.
Kwahiyo Mohamed tayari amesharidhika na anashauri umma unaosoma uangalie aya hiyo kwa makni sana.

Mohamed anasema sensa ya mwaka 1967 idadi ya waislam ilikuwa asilimia 67% na hivyo ilitarajiwa wanafunzi wa kiislam wawe wengi kuliko wakristo na hivyo matokeo yalitakiwa yaakisi idadi ya watu.

Kwanza, Tumeshafanya sensa nyingi na ilikuwa kawaida kila baada ya miaka 10 kuna sensa. Mtafiti alitakiwa atupe sensa za karibu sana (mwaka 1977 kama nipo sahihi) na hizo za mwaka 1967 zisadie kama itabidi.
Mohamed hakueleza kwanini hakuchukua majibu ya sensa baada ya mwaka 1967 na hivyo kuwaacha wasomaji wakiwa na maswali yasiyo na majibu.

Mohamed anatakiwa afahamu kuwa population ni ''variable value'' kwamba si lazima asilimia 67 ya mwaka 1967 ibaki kama ilivyo.
Kuna uwezekano iliongezeka na kufikia 80 au kupungua na kufikia 40 kwahiyo alitakiwa kwanza apate the most recent stats.
Kufanya extrapolation ya mwaka 1967 ni sawa na mtu kupanga mipango ya maendeleo ya nchi kwa kutumia stats za 1967. Huku ni kupotosha vijana kusikoweza kuvumilika hata kidogo. Wrong! Mohamed denounce this ASAP!

Pili, hakuna ukweli kuwa ukiwa na idadi kubwa ya wananchi ni lazima idadi hiyo iakisiwe katika maMbo mengine.
Mfano, wahindi ni jamii ndogo sana katika nchi yetu lakini unapozungumzia mambo ya biashara wao wanaonekana kuwa wengi kuliko sisi wamatumbi na hivyo wingi wetu hauakisi ''matokeo ya kuwa na wafanyabishara wengi na wenye uwezo''

Mohamed alipaswa kujiuliza maswali haya
1. Je, idadi ya watoto wa kiislam iliandikishwa shule kama inavyoakisiwa katika sensa?
2. Je, walioandikishwa walimaliza darasa la saba na kufanya mtihani
3. Je, kulikuwa na ubora wa elimu katika ushindani na makundi mengine

Kwahiyo siyo kweli kuwa Quantity is directly proportional to Quality.
Inaweza kuwa hivyo endapo tu factos 1-3 hapo juu zitakuwa zimetiliwa mkazo na kufanyiwa kazi.

Wanajamvi lazima Mohamed aelewe kuwa katika matokeo ya mwaka huu kuna shule ina watoto 7 na wamefaulu 7.
Ipo shule ina watoto 28 na wamefaulu 6. Sasa kama wingi ni kigezo na wala si ubora namba hizo zinatueleza nini?

Tatu, Mohame amesema hapo juu kuwa idadi ya waislam ni kubwa kuliko watoto wa kikristo. Anachotaka kusema hapa ni kuuaminisha umma kuwa mtihani huo ulifanywa na waislam na wakristo tu. Kwamba watu wenye imani nyingine hawakushiriki. Factually wrong and serious mispresentation of scientific data.

Ndugu Ami hadi hapo nadhani unaona wazi kuwa Mohamed hakufanya utafiti wa kutafuta bali alikuwa na conclusion yake kichwani akatafuta mahali pa kuchomeka namba na matokeo yake ndiyo hayo ya kutoa vitu visivyoweza kutafsiriwa kama hivyo.

Lakini hakufanya hivyo kwa bahati mbya alifanya hivyo makusudi kwa kuweka ''sensational research'' na amefanikiwa kuwafanya watu wasome kuhusu Waialsm vs wakristo na namba zake bila kutafakari mistari yake na yaliyomo ikiwa ni pamoja na kutafuta ukweli.

Sasa upotshaji huu uliodumu kw miaka 15 unaweza kusema ni sawa na typo error. Leo wapo vijana wanahubiti data hizi bila kujua ni za kupika na wala Mohamed haonekani ku-denounce. Sasa hili ni kosa la kufumbiwa macho kweli! Hebu nishauri ndugu yangu Ami.


Mkuu hakika nikushukuru sana kwa uchambuzi waki murua na wakiweledi sanifu,

Unanifanya nijivunie uwepo wako ndani ya uzi huu,


Asante sana mkuu.
 
Precicely! Tumefika post #492 hakuna mahali imethibitishwa kuwa waislamu wanafanyiwa dhuluma. Hivi leo Dau pale NSSF hakubali kuchukua wakristo hata kama wamequalify kiasi gani kwa sababu anasahihisha "dhuluma" wanazofanyiwa waislamu. Hivi ndivyo mnavyotaka Tanzania iwe?

Jasusi,

Na mie nikutajie majina ya Wakurugenzi Wakirsto kutoka mashirika ya Umma wewe umeona Dau tu kutokana na Uislam wake.
 
Jasusi,

Na mie nikutajie majina ya Wakurugenzi Wakirsto kutoka mashirika ya Umma wewe umeona Dau tu kutokana na Uislam wake.
Sawa. Wataje. Mimi nimetaja mfano hai ninaoufahamu na ni NSSF.
 
Precicely! Tumefika post #492 hakuna mahali imethibitishwa kuwa waislamu wanafanyiwa dhuluma. Hivi leo Dau pale NSSF hakubali kuchukua wakristo hata kama wamequalify kiasi gani kwa sababu anasahihisha "dhuluma" wanazofanyiwa waislamu. Hivi ndivyo mnavyotaka Tanzania iwe?
Nilieleza jinsi Hawa Ghasia alichokifanya pale utumishi nakupageuza mahali pa kibra.

Mkristu hakuwa na nafasi mbele ya Mjahidina mama Hawa Ghasia.
 
Ami, naona unajaribu kupulizia manukato katika lundo la uvundo.

Tumejaribu kukuonyesha kuwa alichofanya Mohamed si makosa madogo ni makosa makubwa kiuandishi na kiutafiti na kwamba hakufanya hivyo kwa bahati mbaya bali alikusudia.

Tuliacha hilo tukidhani somo limeeleweka, inavyoonekana sisi ndiyo tunakuwa ''victim'' wa kuonyesha ukweli kutoka katika maandishi ya Mohamed. Sasa ngoja tukuonyeshe tena kuwa makosa yale si ya kiuandishi au kitakwimu bali mwangi wake unasambaa na kuipoteza jamii.

Angalia tena jedwali hili ili tumalizie yaliyobaki.

By Mohamed Said
Table 1: Selection of Std. VII Pupils to Form I in Dar es Salaam Region 1978 to 1981
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]Year
[/TD]
[TD]Total Selected
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]Muslims
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]% of Muslims Selected
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1978
[/TD]
[TD]956
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]216
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]23%
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1979
[/TD]
[TD]903
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]194
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]22%
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: transparent"]1980
[/TD]
[TD]1071
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]247
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent"]23%
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Source: Dar es Salaam City Council Department of Education

NB:In 1967 census Muslims in Dar es Salaam Region were 67% therefore the number of Muslim students in Dar es Salaam primary schools is greater than that of Christians. This should have reflected in the selection.

My take:
Mohame ameonyesha katika aya ya mwisho herufi NB. Hili ni neno la kilatin Nota bene kwa maana nota (note) bene(well) yaani inamwelekeza msomaji aliangalie jambo linalokusudiwa kwa umakini.
Kwahiyo Mohamed tayari amesharidhika na anashauri umma unaosoma uangalie aya hiyo kwa makni sana.

Mohamed anasema sensa ya mwaka 1967 idadi ya waislam ilikuwa asilimia 67% na hivyo ilitarajiwa wanafunzi wa kiislam wawe wengi kuliko wakristo na hivyo matokeo yalitakiwa yaakisi idadi ya watu.

Kwanza, Tumeshafanya sensa nyingi na ilikuwa kawaida kila baada ya miaka 10 kuna sensa. Mtafiti alitakiwa atupe sensa za karibu sana (mwaka 1977 kama nipo sahihi) na hizo za mwaka 1967 zisadie kama itabidi.
Mohamed hakueleza kwanini hakuchukua majibu ya sensa baada ya mwaka 1967 na hivyo kuwaacha wasomaji wakiwa na maswali yasiyo na majibu.

Mohamed anatakiwa afahamu kuwa population ni ''variable value'' kwamba si lazima asilimia 67 ya mwaka 1967 ibaki kama ilivyo.
Kuna uwezekano iliongezeka na kufikia 80 au kupungua na kufikia 40 kwahiyo alitakiwa kwanza apate the most recent stats.
Kufanya extrapolation ya mwaka 1967 ni sawa na mtu kupanga mipango ya maendeleo ya nchi kwa kutumia stats za 1967. Huku ni kupotosha vijana kusikoweza kuvumilika hata kidogo. Wrong! Mohamed denounce this ASAP!

Pili, hakuna ukweli kuwa ukiwa na idadi kubwa ya wananchi ni lazima idadi hiyo iakisiwe katika maMbo mengine.
Mfano, wahindi ni jamii ndogo sana katika nchi yetu lakini unapozungumzia mambo ya biashara wao wanaonekana kuwa wengi kuliko sisi wamatumbi na hivyo wingi wetu hauakisi ''matokeo ya kuwa na wafanyabishara wengi na wenye uwezo''

Mohamed alipaswa kujiuliza maswali haya
1. Je, idadi ya watoto wa kiislam iliandikishwa shule kama inavyoakisiwa katika sensa?
2. Je, walioandikishwa walimaliza darasa la saba na kufanya mtihani
3. Je, kulikuwa na ubora wa elimu katika ushindani na makundi mengine

Kwahiyo siyo kweli kuwa Quantity is directly proportional to Quality.
Inaweza kuwa hivyo endapo tu factos 1-3 hapo juu zitakuwa zimetiliwa mkazo na kufanyiwa kazi.

Wanajamvi lazima Mohamed aelewe kuwa katika matokeo ya mwaka huu kuna shule ina watoto 7 na wamefaulu 7.
Ipo shule ina watoto 28 na wamefaulu 6. Sasa kama wingi ni kigezo na wala si ubora namba hizo zinatueleza nini?

Tatu, Mohame amesema hapo juu kuwa idadi ya waislam ni kubwa kuliko watoto wa kikristo. Anachotaka kusema hapa ni kuuaminisha umma kuwa mtihani huo ulifanywa na waislam na wakristo tu. Kwamba watu wenye imani nyingine hawakushiriki. Factually wrong and serious mispresentation of scientific data.

Ndugu Ami hadi hapo nadhani unaona wazi kuwa Mohamed hakufanya utafiti wa kutafuta bali alikuwa na conclusion yake kichwani akatafuta mahali pa kuchomeka namba na matokeo yake ndiyo hayo ya kutoa vitu visivyoweza kutafsiriwa kama hivyo.

Lakini hakufanya hivyo kwa bahati mbya alifanya hivyo makusudi kwa kuweka ''sensational research'' na amefanikiwa kuwafanya watu wasome kuhusu Waialsm vs wakristo na namba zake bila kutafakari mistari yake na yaliyomo ikiwa ni pamoja na kutafuta ukweli.

Sasa upotshaji huu uliodumu kw miaka 15 unaweza kusema ni sawa na typo error. Leo wapo vijana wanahubiti data hizi bila kujua ni za kupika na wala Mohamed haonekani ku-denounce. Sasa hili ni kosa la kufumbiwa macho kweli! Hebu nishauri ndugu yangu Ami.



Lazima kilo moja yako ya nyama ipatikane...haa haaa haaaa!!
 
Mohamed Said,

Umeeleza kisa cha Ally Kleist Sykes kuhusu mkutano wa Pan African Congress wa Rhodesia ya Kaskazini 1953 wote mmepigwa na butwaa. Ally Skyes alipokea barua toka kwa Kenneth Kaunda akimwalika kuhudhuria mkutano mnamo tarehe 12 Novemba Ally Sykes alimuandikia barua Kaunda akimthibitishia kushiki kwa TAGSA na TAA kwenye mkutano huo.

Denis Phombeah na Bhoke Munanka Katibu wa TAA Jimbo la kanda ya Ziwa walikuwa ndiyo wawakilishi wa TAA.
Tarehe 1 Desemba, Alexander Tobias alimwandikia barua Kamishina wa Kazi Bennet, akimuombea ruhusu Ally Sykes na kaka yake Abdulwahid Sykes ahudhurie mkutano huo wa Lusaka.

Munanka alinyimwa pasi ya kusafiria na serikali hivyo hakuweza kusafiri. Ally na Phombeah walipewa ruhusa na serikali kuhudhuria mkutano huo waliondoka kwa ndege aina ya Dakota ya Central African Airways.

Barua hizo zipo kama kuna mtu anataka anaweza kwenda ofisini kwa Ally Sykes atawaonyesha za kuandikwa kwa mkono Mzee Ally muungwana hata ukitaka kuzipiga copy atakuruhusu.

Mohamed Said, nakuombea kwa Allah akupe neema zake.
Ritz, kwa kweli sijui hao waliopigwa na butwaa ndio akina nani, labda uwataje kama utapata nafasi...ila nina swali moja tu kwako na kwa mwalimu wako Mohamed Said, je hiyo tarehe 12 Novemba 1953, kiongozi Mkuu na Raisi wa TAA alikuwa nani? Mbona hatajwi?
 
Last edited by a moderator:
Sawa. Wataje. Mimi nimetaja mfano hai ninaoufahamu na ni NSSF.

Jasusi,

Nakutajia haya machache tu ambayo wakurugenzi wake ni Wakirsto.

LAPF, TANESCO, TTCL, TBC, TANAPA, NCAA, TPA, BOT, TCRA,

Nikuongeze yapo mengi mtafanya tuangalie ratio sasa.
 
Ritz, kwa kweli sijui hao waliopigwa na butwaa ndio akina nani, labda uwataje kama utapata nafasi...ila nina swali moja tu kwako na kwa mwalimu wako Mohamed Said, je hiyo tarehe 12 Novemba 1953, kiongozi Mkuu na Raisi wa TAA alikuwa nani? Mbona hatajwi?

Mag3,

hatupo kwenye chumba cha mtihani wewe andika watu wakusome kama unajua kweli historia ya Tanganyika siyo kuja na vimaswali vya kitoto huoni wewe ndiyo unaangaika na maswali hakuna anayaekuuliza sababu tunajua wewe mtupu.
 
Last edited by a moderator:
Jasusi,

Nakutajia haya machache tu ambayo wakurugenzi wake ni Wakirsto.

LAPF, TANESCO, TTCL, TBC, TANAPA, NCAA, TPA, BOT, TCRA,

Nikuongeze yapo mengi mtafanya tuangalie ratio sasa.

Hapana. Dai langu ni kwamba Dau haajiri wakristo. Sasa kama na wewe una ushahidi kuwa katika mashirika hayo waislamu wananyimwa kazi kwa sababu ni waislamu, that is what I want to know.
 
Jasusi,

Nakutajia haya machache tu ambayo wakurugenzi wake ni Wakirsto.

LAPF, TANESCO, TTCL, TBC, TANAPA, NCAA, TPA, BOT, TCRA,

Nikuongeze yapo mengi mtafanya tuangalie ratio sasa.

Ongezea,

Wizarani kuanzia wizara ya fedha, wizara ya Sheria na katiba, wizara ya elimu, tuingie vyuo vikuu Mfano Udsm, IFM , St Augustine na kwengineko.

Jasusi kama Dau anafanya Islamisation NSSF basi mlikuwa , mnafanya Christianisation katika hizi taasisi. Tena msivyokuwa na haya hadi sherehe za kidini mnafanya taasisi za umma kuwa za kidini. Mfano Christmas unakuta miti kila mahali, maua na kwaya zinaimbwa katika ofisi za umma je vp hapo???
 
Mwandishi aliyeandika makala uliyo iweka
ni personal opinion yake. Alichoandika si facts.

Sawa sawa na makala aliyoleta jasusi hapa ya nani kama nyerere iliyoandikwa kwenye same newspaper.

History ya Nyerere ipo, story za nyerere zipo, video zake zipo, audio za hotuba zake zipo, facts kuhusu yeye pia zipo. So ni swala la msomaji na mtu mwenyewe kufanya upembuzi yakinifu, kumchambua na hatimae kujiridhisha yeye mwenyewe Nyerere anamchukiliaje.

Ila kwa kusoma makala moja, na kumsikiliza mtu moja kukuambia kuhusu nyerere na hapo hapo ukafikia tamati na Kumlabel nyerere unavyotaka wewe (kama ni shujaa au mdhulmati) basi utakuwa humtendei haki.

Mimi sio mtaalamu wa Historia, mimi pia sina upande katika mjadala huu, kwasababu sio mtaalamu wa historia, hivyo kuwa na upande itakuwa nasukumwa na hisia zaidi. Kwasababu Mzee Saidi akinipa nondo zake ntajuaje kama hizi ni za ukweli au za uongo.. Sina utalaamu.

Vivyo hivyo Mzee MM, nguruvi3 na mg3 bila ya kumsahau Jasusi wakitoa nondo zao mimi ntajuaje kama hizi ni za ukweli au za uongo.

Ila mimi na tatizo na ukweli wa swala linalo itwa "dhulma" kwa waislamu.

Ingawa si mtaalaamu na sijabobea katika historia, lakini najua kutambua kama sehemu ina makosa. Hasa linapokuwa linahusu vitu vinavyoweza kuwa prove bila ya kutumia historia.

Huu mnakasha ni mrefu sana, vivyo nina uhakika ni watu wachache sana ambao wameufutalia neno kwa neno kuanzia mwanzo mpaka mwisho.

Ila katika fuatilia yangu mimi, mwanzoni Mzee Said, alionekana kuwakimbiza sana wanao mpinga, na hasa walionekana wanampinga tu kutokana na hisia zao binafsi na walikuwa hawana facts na hawaijui historia vizuri.

Kama umefuatilia vizuri hata wale Pro Mzee Said arguments,(zomba,Ritz, etc) walikuwa wapo kasi sana mwanzoni lakini sasa hivi wamepunguza spidi hata wao wenywe wamepungua (inawezekana pia majuku yamewashika)..

Vivyo hivyo kwa Anti-mzee Said au Pro -Yericko arguments, walikuwa hawana nguvu kabisa mwanzoni lakini sasa naona wameshika kwenye makali, na wako full force.

Kwanini

Na kuna sehemu moja ambayo pamekuwa moto ambapo Anti-Mzee Said, wamepashikilia.

WARSHA's Research

Hizi data zilitumiwa sana humu kwenye mnakasha, na hata kwenye mijadala mengine humu JF na kwenye mitandao mengine, data zilitumiwa kama scientific proof au Tangible truth dhidi ya "dhulma" kwa waislamu. Hizi data zilishika makali na zikakata kata.

Wakaja watu humu Anti-Mzee Said argument wakaleta na wao tangible proof kuonesha highly inaccuracy ya ile Research, the whole methodology wameonesha ina uwalakin, wameelezea kwa kirefu sihiitaji kuingia kiundani.

Hapo is where i come in. Mimi nikaja kumuuliza Mzee Said apinge na adispute (KITAALAMU) claims za kambi pinzani na kudhibitisha ile Research haiko inaccurate na haiwezi kutumiwa kama ushahidi wa kitaalamu wa dhulma dhidi ya waislamu.

Hakuna aliyekuja mpaka sasa hivi, sio Mzee Said wala Ritz, wala wewe Ami wala mtu yoyote.

Sasa wewe ukaja na kuanza kutoa sababu zakitoto kwnye maswala ya kitaalamu. Ukaanza kusema makosa ni ubinadamu, Mzee Said ni binadamu. Inawezekana this, inawezekana that.... Maelezo mengi ya kuexcuse kitu kilichofanyika hapa.

Watu wengi wakaja wakaeleza ni vipi tofauti ya makosa ya kiuandishi na factual errors. Na kwanini wanasema hii ni factual error na hivyo hii Research iko null and void, haiwezi kutumika tena kama kigezo na kielezo cha dhulma dhidi ya waislamu.

Nakama mtu anajua ukweli huu na bado anataka kuitumia Research hii kuaminisha watu wengi ambao anajua kabisa hawajui au hawezi kujua kama i
Zile data sio sawa huyo ni MCHOCHEZI period.

Na mimi naongeze kusema, Mzee Said, ni msomi tena msomi sana, wasifu wake wenyewe mmeuona hapa.

Yeye na watu waliofanya hii Research inaonekana ni watu waliokuwa wanajua kabisa kitu walichokuwa wanafanya. Inawezekana kweli wana VALID madai, au Madai Halal, lakini kutumia njia zisizo halal kudhibitisha madai yako si uungwana. Huku hakuna tofauti na uchakachuaji.

Ni sawa wakristu nao wachukue data za chuo Huko Zanzibar na kuzitumia kama kielezo cha kusema kuwa kweli waislamu hawadhulumiwi Tanzania.

Na hapo ndo lile swala la credibility nililolisema linapokuja...

Kama Research tu ina uwalakin? Kitu ambacho can be proven wrong... Vipi kuhusu reference nyingine ambazo haziwezi kudhibitishwa????

So nadhani hapo mimi ndo naposimamia. Sitaki kusema tuache kuzungumzuia Dai kuu, ila lipo na tunataka kulidhibitisha tulete ushahidi wa kihalali ma hata vijana wadogo wakislamu wajiridhishe kweli tunaonewa na kudhulumiwa au kuna tatizo somewhere...

Hatujapunguza speed, ni majukumu tuliyonayo. Utatuona tu.

Isitoshe, ushasema wewe si mwana historia, na Mohamed Said kaandika historia, kwa hilo inakubidi ukae usome na kuijuwa historia ya kweli.

Nyerere ni dikteta na mdini wa ukweli nani asiyelijuwa hilo?

Sijaona hata moja lilioneshwa mpaka sasa la kuonesha "uchochezi wa Mohamed Said kwa wapigania uhuru wa Tanganyika na Zanzibar" kama mada ilivyodai. Jee, wewe umeliona?

Hata mmoja mpaka sasa hajaja na hoja yenye hizo shutuma, naona watu wanakuja na maswali yasiyo na kichwa wala miguu.

Hizo video za Nyerere unazosema zipo, Yericko Nyerere mpaka sasa kashindwa kutuwekea aliyoahidi atatuwekea kama ushahidi. Au hukupitia hayo?
 
Last edited by a moderator:
Hapana. Dai langu ni kwamba Dau haajiri wakristo. Sasa kama na wewe una ushahidi kuwa katika mashirika hayo waislamu wananyimwa kazi kwa sababu ni waislamu, that is what I want to know.

Leo unajifanya hujui kinachoendelea katika taasisi za serikali za umma? Please msimsakame Dau anzeni kwanza ndio mnyooshe kidole Dau
 
Leo unajifanya hujui kinachoendelea katika taasisi za serikali za umma? Please msimsakame Dau anzeni kwanza ndio mnyooshe kidole Dau

Sio kujifanya. Kama kuna maovu mnayafahamu kwenye taasisi za serikali na za umma yaanikeni hapa. Mimi nimeanika ya Dau kwa sababu kuna mtu namfahamu alinyimwa kazi pale kwa Dau kuwaambia maafisa wake wa chini kuwa hatuajiri watu hawa.
 
Hatujapunguza speed, ni majukumu tuliyonayo. Utatuona tu.

Isitoshe, ushasema wewe si mwana historia, na Mohamed Said kaandika historia, kwa hilo inakubidi ukae usome na kuijuwa historiaa ya kweli.

Nyerere ni dikteta na mdini wa ukweli nani asiyelijuwa hilo?
Sio kutojua tu. Hatuamini shutuma zenu. Nyerere was a nationalist. Aliweka level play field kwa Watanzania wote bila kujali kabila, rangi au dini. Shutuma zenu bado hazina mashiko. Try again.
 
Ongezea,

Wizarani kuanzia wizara ya fedha, wizara ya Sheria na katiba, wizara ya elimu, tuingie vyuo vikuu Mfano Udsm, IFM , St Augustine na kwengineko.

Jasusi kama Dau anafanya Islamisation NSSF basi mlikuwa , mnafanya Christianisation katika hizi taasisi. Tena msivyokuwa na haya hadi sherehe za kidini mnafanya taasisi za umma kuwa za kidini. Mfano Christmas unakuta miti kila mahali, maua na kwaya zinaimbwa katika ofisi za umma je vp hapo???

Subiri utakavyoshambuliwa na kuitwa mdini.

Nilishangaa kukuta mapambo ya Christmas na kwaya Makao Makuu ya Polisi mwaka huu nilikuwepo pale.
 
Sio kujifanya. Kama kuna maovu mnayafahamu kwenye taasisi za serikali na za umma yaanikeni hapa. Mimi nimeanika ya Dau kwa sababu kuna mtu namfahamu alinyimwa kazi pale kwa Dau kuwaambia maafisa wake wa chini kuwa hatuajiri watu hawa.
Jasusi,

Huyo mtu wako alikuwa na vigezo stahiki? Alikuwa amepitia mchakato wa uchaguzi? Kama alionewa kwasababu ya dini yake then you have a point. Umetaka mfano wa mahali mie kuna kijana aliitwa usaili wa kazi wizara ya fedha ana honours degree lakini waliochaguliwa yeye hakuwamo . IFM kuna wakuu wa faculty wote wakristo, wakurugenzi wote wakristo , wasaidizi wake wakristo je hakuna waislamu wanaofaa kuongoza?? Twende PPF mazingira ni hayo pia je is this a coincidence?
 
Subiri utakavyoshambuliwa na kuitwa mdini.

Nilishangaa kukuta mapambo ya Christmas na kwaya Makao Makuu ya Polisi mwaka huu nilikuwepo pale.

Ritz,

Kuna msemo unasema Nyani haoni .........
 
Sio kutojua tu. Hatuamini shutuma zenu. Nyerere was a nationalist. Aliweka level play field kwa Watanzania wote bila kujali kabila, rangi au dini. Shutuma zenu bado hazina mashiko. Try again.

Soma kicha cha mada halafu uje na hizo shutuma.

Nyerere was a wrong number.
 
Back
Top Bottom