Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mohamed Saidi kala chocho...kawaacha wafia dini wenzake (wanafunzi wake) wanadanki danki kwa hoja mfu na nyepesi.

Atarudi tu yupo mapumzikoni leo, kumbuka tangu uzi huu niuanzishe hayawahi kubanduka kwenye net,

Kutetea uongo ni kazi kubwa, inahitaji ustahimilivu na pesa juu yake.
 

Hayo ya kumhoji Amir Jamali ni yako wewe ila Nyerere alihojiwa na waandishi baada ya shutuma za Kambona kusikika nchi nzima! siku hiyo mimi nilihudhuria mkutano wa Kambona Jangwani mwaka 1992 na alipomtaja Nyerere, Kawawa na Amir Jamal kuwa wameweka mamilioni ya dola Uswissi, kulikuwa na mtafaruku na hasira toka kwa Wananchi kusikia kashfa hiyo hasa kumhusu Mwalimu!

wananchi waliwalaani hao viongozi waliotajwa kwa ufisadi na niliona kwa macho yangu na baadae Nyerere alipohojiwa na waandishi kuhusu ufisadi huo, alicheka na kusema kama ni yeye hajali kuhusishwa na utajiri huo, ila anasikitika kutajwa Rashidi ambae umasikini wake anaujua ndani nje!

Jasusi,
Wewe ulikuwa nje ya nchi ukitumikia shirika la kimataifa! mimi nilikuwa nchini na kuhudhuria mkutano huo wa Kambona ambapo ktk mkutano huo Kambona aliambatana na mkewe Flora na kabla ya kuanza hotuba yake Kambona aliwataja na kuwaenzi wapigania uhuru wote waliotajwa na Mohamed Saidi!
Nashindwa kuelewa kwanini mnapinga kila kitu! ukitaka kuthibitisha haya nenda ofisi za Mwananchi, Majira, Uhuru, Daily News na Annur utapata kumbukumbu hizi!
Kumbuka Nyerere akijibu shutuma hiyo alikuwa hana wadhifa wowote ndani ya chama wala Serikali sasa dai lako la kuwa alikuwa bussy na asingeweza kujibu kila hoja halina msingi!
 


wewe upeo wako finyu sana

wala hunishughulishi,hata ulichokiandika kinakuhukumu mwenywe
 
Ulitaka kila shutuma ajibu?
 


Nakushukuru Sana Ikhuani..
 
Ajabu iko wapi akijibu Amiri Jamal.Kwani mara ngapi maraisi wanapeleka wawakilishi wao kufanya mambo kwa majina yao.

No, Amir was speaking for himself. I should know because I am the one who interviewed him. He did not speak for Nyerere or Kawawa.
 
Kwa sababu wewe uko hapo nyumbani basi naomba uende kwenye ofisi za Majira, Uhuru, Daily News ututafutie hiyo stori ya kumbukumbu zako. Mimi nimesema ninachokifahamu. Prove me wrong.
 
Kwa sababu wewe uko hapo nyumbani basi naomba uende kwenye ofisi za Majira, Uhuru, Daily News ututafutie hiyo stori ya kumbukumbu zako. Mimi nimesema ninachokifahamu. Prove me wrong.

Mtoto wa Nyerere, Yericko alienda TBC kuomba hotuba ya baba ake akanyimwa mimi mswahili wa Tandamti mla kashata na gahwa nani atanipa? watu kama nyinyi waandishi wa kimataifa mna influence kubwa tu! piga simu kwa waandishi wenzako wa Dar na mtume Yericko wampe ile hotuba ya diomond jubilee na nakala ya hotuba ya Kambona!
 
Umesema magazeti ya Uhuru, Daily News na Majira. Huko unaweza kwenda maktaba yao na kunakili chochote unachotaka. Nilijua Yericko asingeipata ile tape pale TBC kwa sababu wamebana utoaji wa hotuba za Mwalimu. Anyway, all in all, ni kwamba I worked on this story na kama Mwalimu angesema kitu wakati huo ningesikia. Hakuna kitu kama hotuba ya Kambona, believe me, ila ile ya Diamond Jubilee nimeahidi kuwa nitaitafuta nitakapokuwa Bongo.
 

We umesema wakati Kambona akihutubia ulikuwa nje ya nchi mimi nilihudhuria mkutano wa Jangwani na Mwalimu alijibu hotuba ya Kambona na zaidi alimtetea Kawawa kwa shutuma hizo sasa ukiletewa ushahidi utaamini? mwaka 1999 Mkapa alitaka ushahidi wa kisayansi wa dhulma dhidi ya Waislamu na alipopewa hakuamini! hata mkipewa ushahidi hamtaamini kwani Mwenye enzi Mungu ktk kitabu chake kitukufu sura ya 2 mwanzoni kabisa mwa sura anasema Wasioamini hata ukiwathibitishia hawataamini!
Kama Bwana Mkubwa kasema hayo tutegemee haya toka kwenu!
 

Mkuu kwa uelewa wangu nadhan unatakiwa kuangalia na kuthibitisha kilichoandikwa na Mushi ni sahihi au la. Mazingira anayotoka Mushi Au Mo Said hayathibitishi kile walichokiandika ni sahihi au la! Bali ni utafiti ndio unaothibitisha, Mtu anaweza akatoka mwambao akaenda kufanya utafiti machame na akathibitisha kilo alichofanyia kazi na vivyo hivyo wa Kaskazin anaweza enda kusini. Kwahiyo kitu cha msingi ni kuangalia hoja ina mashiko na si mazingira ambayo mtu ametokea.
 
P. Fm,
Mpuuze tu, yeye anakubali zaid tafiti za kina sivalon, van bargan, njozi, na mod said.
Hawezi kumkuli mushi na ivi anatokea kasikazini ndo balaa.
Hawa watu wanachuki kubwa na ukatoriki na wanachukia sana watu wa kasikazini bila sababu za msingi.
Achana nae.
 
Ritz
Sivalon na Van Bergen wakiandika habari za pwani ndio unaamini?
Mushi akiandika, inakuwa si kweli, sasa kwanini tuamini ngano za Mmanyema Moh Said kuhusu Tabora, Bukoba, Musoma, Mbeya??????
Tafakari! Jichukulie hatua!
 
Last edited by a moderator:
Kadogoo

Moh Said ametoa kitabu chake mwaka 1998. Kambona according to you aliwaenzi wapigania uhuru wanaotajwa na Mohamed Said mwaka 1992.Sasa lawama za kusema hawa watu wamefutwa kwenye historia zinakujaje? Mbona kwenye thread hii na zilizotangulia, wafuasi wa Moh Said wanadai kuwa mashujaa hao wametajwa kwa mara ya kwanza na Moh Said? Au kwa sababu Oscar Kambona alikuwa Mgalatia, kwa hiyo hamtaki sifa ziende kwa mgala, sifa ni za Moh Said tu?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…