Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mohamed Saidi kala chocho...kawaacha wafia dini wenzake (wanafunzi wake) wanadanki danki kwa hoja mfu na nyepesi.

Atarudi tu yupo mapumzikoni leo, kumbuka tangu uzi huu niuanzishe hayawahi kubanduka kwenye net,

Kutetea uongo ni kazi kubwa, inahitaji ustahimilivu na pesa juu yake.
 
Kuna vitu vingi sana ambavyo Nyerere hakukanusha. Yaani mlitaka wakati wote kunapotokea kitabu Nyerere akanushe hadharani? Angefanya kazi yake saa ngapi? Unakumbuka alivyowajibu waandishi habari wa Kenya wakati mmoja kuhusu kuzaa na mama zao? Alitaka watumie akili zao. Nyerere hakujibu madai ya Kambona kuhusu kuwa na fedha katika benki ya Uswiss. Aliyejibu ni Amir Jamal katika interview niliyofanya naye wakati huo natumikia shirika moja la redio ya kimataifa.

Hayo ya kumhoji Amir Jamali ni yako wewe ila Nyerere alihojiwa na waandishi baada ya shutuma za Kambona kusikika nchi nzima! siku hiyo mimi nilihudhuria mkutano wa Kambona Jangwani mwaka 1992 na alipomtaja Nyerere, Kawawa na Amir Jamal kuwa wameweka mamilioni ya dola Uswissi, kulikuwa na mtafaruku na hasira toka kwa Wananchi kusikia kashfa hiyo hasa kumhusu Mwalimu!

wananchi waliwalaani hao viongozi waliotajwa kwa ufisadi na niliona kwa macho yangu na baadae Nyerere alipohojiwa na waandishi kuhusu ufisadi huo, alicheka na kusema kama ni yeye hajali kuhusishwa na utajiri huo, ila anasikitika kutajwa Rashidi ambae umasikini wake anaujua ndani nje!

Jasusi,
Wewe ulikuwa nje ya nchi ukitumikia shirika la kimataifa! mimi nilikuwa nchini na kuhudhuria mkutano huo wa Kambona ambapo ktk mkutano huo Kambona aliambatana na mkewe Flora na kabla ya kuanza hotuba yake Kambona aliwataja na kuwaenzi wapigania uhuru wote waliotajwa na Mohamed Saidi!
Nashindwa kuelewa kwanini mnapinga kila kitu! ukitaka kuthibitisha haya nenda ofisi za Mwananchi, Majira, Uhuru, Daily News na Annur utapata kumbukumbu hizi!
Kumbuka Nyerere akijibu shutuma hiyo alikuwa hana wadhifa wowote ndani ya chama wala Serikali sasa dai lako la kuwa alikuwa bussy na asingeweza kujibu kila hoja halina msingi!
 
nyie people mnatia aibu sana,
swala la % kwenye population mbona mnalichukulia kimasiala masiala sana aisee? kumbe ndo maana mnafeli shuleni..
nawapa mfano hapa...
''ufaulu wa wanafunzi wa kidato cha nne mwaka 1999 kwa kiwango cha division one ulikuwa juu kulinganisha na wa mwaka 2012, lakini idadi ya waliomaliza mwaka 1999 ni ndogo sana kulinganisha na mwaka 2012''
hapo mmeelewa calculation za % au bado?
halafu hiyo sensa ya mwaka 1967 kuhusu idadi ya waislam ina walakini maana ilijumlisha na wapagani ambao wakati huo walikuwa wengi kuliko waislam na wakristo, sasa kama wakristo waliwazidi waislam ujanja kuwabadili wapagani kuingia kwenye dini zao ulitegemea muujiza gani?


wewe upeo wako finyu sana

wala hunishughulishi,hata ulichokiandika kinakuhukumu mwenywe
 
Hayo ya kumhoji Amir Jamali ni yako wewe ila Nyerere alihojiwa na waandishi baada ya shutuma za Kambona kusikika nchi nzima! siku hiyo mimi nilihudhuria mkutano wa Kambona Jangwani mwaka 1992 na alipomtaja Nyerere, Kawawa na Amir Jamal kuwa wameweka mamilioni ya dola Uswissi, kulikuwa na mtafaruku na hasira toka kwa Wananchi kusikia kashfa hiyo hasa kumhusu Mwalimu!

wananchi waliwalaani hao viongozi waliotajwa kwa ufisadi na niliona kwa macho yangu na baadae Nyerere alipohojiwa na waandishi kuhusu ufisadi huo, alicheka na kusema kama ni yeye hajali kuhusishwa na utajiri huo, ila anasikitika kutajwa Rashidi ambae umasikini wake anaujua ndani nje!

Jasusi,
Wewe ulikuwa nje ya nchi ukitumikia shirika la kimataifa! mimi nilikuwa nchini na kuhudhuria mkutano huo wa Kambona ambapo ktk mkutano huo Kambona aliambatana na mkewe Flora na kabla ya kuanza hotuba yake Kambona aliwataja na kuwaenzi wapigania uhuru wote waliotajwa na Mohamed Saidi!
Nashindwa kuelewa kwanini mnapinga kila kitu! ukitaka kuthibitisha haya nenda ofisi za Mwananchi, Majira, Uhuru, Daily News na Annur utapata kumbukumbu hizi!
Kumbuka Nyerere akijibu shutuma hiyo alikuwa hana wadhifa wowote ndani ya chama wala Serikali sasa dai lako la kuwa alikuwa bussy na asingeweza kujibu kila hoja halina msingi!
Ulitaka kila shutuma ajibu?
 
Mohammed kaa upumzike kazi imeisha.Kila nikiingia hata usiku wa manane nakuta upo.
Hakuna haja tena kujibizana na watu walioshindwa mjadala.Sisi wanafunzi wako tumetosha kuwanyamazisha watu wa mfumo wa kidhalimu.Ukiona tumekosea sahihisha.
Najua unacheka unapoona Mwanakijiji anapokuja na udugunization baada ya miezi yote hiyo kushindwa kutoa hoja ya kuonesha uchochezi.
NASAHA KWAKO Mwl. MOHAMMED SAID.

Hapa tulipofika na mafanikio yaliyopatikana kutokana na kazi yako omba dua ya nabii Suleiman ya kumshukuru ALLAH s.w.

images
Swali sana usiku na mchana na mswalie Mtume Muhammad S.A.W.


Nakushukuru Sana Ikhuani..
 
Ajabu iko wapi akijibu Amiri Jamal.Kwani mara ngapi maraisi wanapeleka wawakilishi wao kufanya mambo kwa majina yao.

No, Amir was speaking for himself. I should know because I am the one who interviewed him. He did not speak for Nyerere or Kawawa.
 
Hayo ya kumhoji Amir Jamali ni yako wewe ila Nyerere alihojiwa na waandishi baada ya shutuma za Kambona kusikika nchi nzima! siku hiyo mimi nilihudhuria mkutano wa Kambona Jangwani mwaka 1992 na alipomtaja Nyerere, Kawawa na Amir Jamal kuwa wameweka mamilioni ya dola Uswissi, kulikuwa na mtafaruku na hasira toka kwa Wananchi kusikia kashfa hiyo hasa kumhusu Mwalimu!

wananchi waliwalaani hao viongozi waliotajwa kwa ufisadi na niliona kwa macho yangu na baadae Nyerere alipohojiwa na waandishi kuhusu ufisadi huo, alicheka na kusema kama ni yeye hajali kuhusishwa na utajiri huo, ila anasikitika kutajwa Rashidi ambae umasikini wake anaujua ndani nje!

Jasusi,
Wewe ulikuwa nje ya nchi ukitumikia shirika la kimataifa! mimi nilikuwa nchini na kuhudhuria mkutano huo wa Kambona ambapo ktk mkutano huo Kambona aliambatana na mkewe Flora na kabla ya kuanza hotuba yake Kambona aliwataja na kuwaenzi wapigania uhuru wote waliotajwa na Mohamed Saidi!
Nashindwa kuelewa kwanini mnapinga kila kitu! ukitaka kuthibitisha haya nenda ofisi za Mwananchi, Majira, Uhuru, Daily News na Annur utapata kumbukumbu hizi!
Kumbuka Nyerere akijibu shutuma hiyo alikuwa hana wadhifa wowote ndani ya chama wala Serikali sasa dai lako la kuwa alikuwa bussy na asingeweza kujibu kila hoja halina msingi!
Kwa sababu wewe uko hapo nyumbani basi naomba uende kwenye ofisi za Majira, Uhuru, Daily News ututafutie hiyo stori ya kumbukumbu zako. Mimi nimesema ninachokifahamu. Prove me wrong.
 
Kwa sababu wewe uko hapo nyumbani basi naomba uende kwenye ofisi za Majira, Uhuru, Daily News ututafutie hiyo stori ya kumbukumbu zako. Mimi nimesema ninachokifahamu. Prove me wrong.

Mtoto wa Nyerere, Yericko alienda TBC kuomba hotuba ya baba ake akanyimwa mimi mswahili wa Tandamti mla kashata na gahwa nani atanipa? watu kama nyinyi waandishi wa kimataifa mna influence kubwa tu! piga simu kwa waandishi wenzako wa Dar na mtume Yericko wampe ile hotuba ya diomond jubilee na nakala ya hotuba ya Kambona!
 
Mtoto wa Nyerere, Yericko alienda TBC kuomba hotuba ya baba ake akanyimwa mimi mswahili wa Tandamti mla kashata na gahwa nani atanipa? watu kama nyinyi waandishi wa kimataifa mna influence kubwa tu! piga simu kwa waandishi wenzako wa Dar na mtume Yericko wampe ile hotuba ya diomond jubilee na nakala ya hotuba ya Kambona!
Umesema magazeti ya Uhuru, Daily News na Majira. Huko unaweza kwenda maktaba yao na kunakili chochote unachotaka. Nilijua Yericko asingeipata ile tape pale TBC kwa sababu wamebana utoaji wa hotuba za Mwalimu. Anyway, all in all, ni kwamba I worked on this story na kama Mwalimu angesema kitu wakati huo ningesikia. Hakuna kitu kama hotuba ya Kambona, believe me, ila ile ya Diamond Jubilee nimeahidi kuwa nitaitafuta nitakapokuwa Bongo.
 
Umesema magazeti ya Uhuru, Daily News na Majira. Huko unaweza kwenda maktaba yao na kunakili chochote unachotaka. Nilijua Yericko asingeipata ile tape pale TBC kwa sababu wamebana utoaji wa hotuba za Mwalimu. Anyway, all in all, ni kwamba I worked on this story na kama Mwalimu angesema kitu wakati huo ningesikia. Hakuna kitu kama hotuba ya Kambona, believe me, ila ile ya Diamond Jubilee nimeahidi kuwa nitaitafuta nitakapokuwa Bongo.

We umesema wakati Kambona akihutubia ulikuwa nje ya nchi mimi nilihudhuria mkutano wa Jangwani na Mwalimu alijibu hotuba ya Kambona na zaidi alimtetea Kawawa kwa shutuma hizo sasa ukiletewa ushahidi utaamini? mwaka 1999 Mkapa alitaka ushahidi wa kisayansi wa dhulma dhidi ya Waislamu na alipopewa hakuamini! hata mkipewa ushahidi hamtaamini kwani Mwenye enzi Mungu ktk kitabu chake kitukufu sura ya 2 mwanzoni kabisa mwa sura anasema Wasioamini hata ukiwathibitishia hawataamini!
Kama Bwana Mkubwa kasema hayo tutegemee haya toka kwenu!
 
Hiki ni kituko cha mwaka hivi Mohamed Said na Philemon Andrew K Mushi nani anajua habari za Mwambao.

Hizi ngano walishe wenzako Mushi na Pwani wapi na wapi.

Chukuwa maneno ya hotuba ya Nyerere hapo kuhusu Wazee wa Dar es Salaam kisha mpelekee Mushi, muulize Mushi kuwa Nyerere naye alipata upinzani wakati anakwenda Mwambao.

Mwambie Mushi ajikite kuelezea habari za Machame, Kibosho, Rombo, Kishumundu, lakini siyo Mwambao.

Endelea kumeza ngano za nazi kutoka kwa Mushi.

Mkuu kwa uelewa wangu nadhan unatakiwa kuangalia na kuthibitisha kilichoandikwa na Mushi ni sahihi au la. Mazingira anayotoka Mushi Au Mo Said hayathibitishi kile walichokiandika ni sahihi au la! Bali ni utafiti ndio unaothibitisha, Mtu anaweza akatoka mwambao akaenda kufanya utafiti machame na akathibitisha kilo alichofanyia kazi na vivyo hivyo wa Kaskazin anaweza enda kusini. Kwahiyo kitu cha msingi ni kuangalia hoja ina mashiko na si mazingira ambayo mtu ametokea.
 
Mkuu kwa uelewa wangu nadhan unatakiwa kuangalia na kuthibitisha kilichoandikwa na Mushi ni sahihi au la. Mazingira anayotoka Mushi Au Mo Said hayathibitishi kile walichokiandika ni sahihi au la! Bali ni utafiti ndio unaothibitisha, Mtu anaweza akatoka mwambao akaenda kufanya utafiti machame na akathibitisha kilo alichofanyia kazi na vivyo hivyo wa Kaskazin anaweza enda kusini. Kwahiyo kitu cha msingi ni kuangalia hoja ina mashiko na si mazingira ambayo mtu ametokea.
P. Fm,
Mpuuze tu, yeye anakubali zaid tafiti za kina sivalon, van bargan, njozi, na mod said.
Hawezi kumkuli mushi na ivi anatokea kasikazini ndo balaa.
Hawa watu wanachuki kubwa na ukatoriki na wanachukia sana watu wa kasikazini bila sababu za msingi.
Achana nae.
 
Hiki ni kituko cha mwaka hivi Mohamed Said na Philemon Andrew K Mushi nani anajua habari za Mwambao.

Hizi ngano walishe wenzako Mushi na Pwani wapi na wapi.

Chukuwa maneno ya hotuba ya Nyerere hapo kuhusu Wazee wa Dar es Salaam kisha mpelekee Mushi, muulize Mushi kuwa Nyerere naye alipata upinzani wakati anakwenda Mwambao.

Mwambie Mushi ajikite kuelezea habari za Machame, Kibosho, Rombo, Kishumundu, lakini siyo Mwambao.

Endelea kumeza ngano za nazi kutoka kwa Mushi.
Ritz
Sivalon na Van Bergen wakiandika habari za pwani ndio unaamini?
Mushi akiandika, inakuwa si kweli, sasa kwanini tuamini ngano za Mmanyema Moh Said kuhusu Tabora, Bukoba, Musoma, Mbeya??????
Tafakari! Jichukulie hatua!
 
Last edited by a moderator:
Hayo ya kumhoji Amir Jamali ni yako wewe ila Nyerere alihojiwa na waandishi baada ya shutuma za Kambona kusikika nchi nzima! siku hiyo mimi nilihudhuria mkutano wa Kambona Jangwani mwaka 1992 na alipomtaja Nyerere, Kawawa na Amir Jamal kuwa wameweka mamilioni ya dola Uswissi, kulikuwa na mtafaruku na hasira toka kwa Wananchi kusikia kashfa hiyo hasa kumhusu Mwalimu! wananchi waliwalaani hao viongozi waliotajwa kwa ufisadi na niliona kwa macho yangu na baadae Nyerere alipohojiwa na waandishi kuhusu ufisadi huo, alicheka na kusema kama ni yeye hajali kuhusishwa na utajiri huo, ila anasikitika kutajwa Rashidi ambae umasikini wake anaujua ndani nje!Jasusi,Wewe ulikuwa nje ya nchi ukitumikia shirika la kimataifa! mimi nilikuwa nchini na kuhudhuria mkutano huo wa Kambona ambapo ktk mkutano huo Kambona aliambatana na mkewe Flora na kabla ya kuanza hotuba yake Kambona aliwataja na kuwaenzi wapigania uhuru wote waliotajwa na Mohamed Saidi!Nashindwa kuelewa kwanini mnapinga kila kitu! ukitaka kuthibitisha haya nenda ofisi za Mwananchi, Majira, Uhuru, Daily News na Annur utapata kumbukumbu hizi!Kumbuka Nyerere akijibu shutuma hiyo alikuwa hana wadhifa wowote ndani ya chama wala Serikali sasa dai lako la kuwa alikuwa bussy na asingeweza kujibu kila hoja halina msingi!
Kadogoo

Moh Said ametoa kitabu chake mwaka 1998. Kambona according to you aliwaenzi wapigania uhuru wanaotajwa na Mohamed Said mwaka 1992.Sasa lawama za kusema hawa watu wamefutwa kwenye historia zinakujaje? Mbona kwenye thread hii na zilizotangulia, wafuasi wa Moh Said wanadai kuwa mashujaa hao wametajwa kwa mara ya kwanza na Moh Said? Au kwa sababu Oscar Kambona alikuwa Mgalatia, kwa hiyo hamtaki sifa ziende kwa mgala, sifa ni za Moh Said tu?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom