Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Unaamini kweli ilikuwa ni 'historia rasmi ya wapigania uhuru'. Nani kakuambia kuwa historia ni lazima iwe rasmi ili iwe history?
😛layball:..................:frusty:

:rockon:....................

:high5: :high5::high5:......................


:nono: :nono: :nono::nono::nono::nono::nono:
 
Unaamini kweli ilikuwa ni 'historia rasmi ya wapigania uhuru'. Nani kakuambia kuwa historia ni lazima iwe rasmi ili iwe history?

Mzee MM nikwamba haya yaliyoandikwa huku na mzee MS huyaoni au ni kwamba unamakengeza si dhumuni langu kukueleza hivyo ila unachosha, ngoja nikupe kisa kimoja cha huyu jamaa ndio utapata akili ya kuelewa , huyu jamaa alikuwa ana makengeza na kasuku wake ana makengeza sasa jamaa akawa anamuweka kasaku wake kwenye banda kutokana na yale makengeza akajua kamuweka ndani kumbe kamuweka nje na kasuku na makengeza yake akakimbilia ndani.CCNGURUVI3,MAG3,JASUSI
 
Reactions: Ami
Unaamini kweli ilikuwa ni 'historia rasmi ya wapigania uhuru'. Nani kakuambia kuwa historia ni lazima iwe rasmi ili iwe history?


😛layball:..................:frusty:

:rockon:....................

:high5: :high5::high5:......................


:nono: :nono: :nono::nono::nono::nono::nono::nono:

:A S angel::A S angel:
 
Mijadala mingi niliyoishuhudia ambayo inaendeshwa kwa hisia za kidini ni ngumu watu kufikia muafaka na hii ni kwasababu kila upande huvutia kwake na kujiona kuwa ni bora zaidi kuliko upande mwingine. So naendelea kufuatili inawezekana huu ndo ukawa mjadala wa kwanza kwangu mimi kuushuhudia wadau wakifikia Muafaka.
 

Nimeyasoma maandishi ya MS sana na kama nilivyoonesha sehemu nyingine; ni maandisi yasiyo na msingi katika ukweli. Yanatumia historia kutengeneza hisia zake. Yote yalianza baada ya kufeki utafiti wa WARSHA ambao ulitengeneza kwa mara ya kwanza "dhulma" dhidi ya Waislamu. Bahati mbaya sana kama ilivyokuwepo mwaka 1981 leo hii lipo kundi la watu ambao wanaamini masimulizi hhaya ya MS na wenzake bila kujiuliza kama yana ukweli. Watu huwa wanachojali ni kuwa masimulizi yanasikika kama ni kweli. Hawaulizi ushahidi wa kisayansi na badala yake wamekuwa wakiburuzwa kwa porojo na masimulizi matamu matamu.

Mzee Said mchango wake mkubwa ni kutukumbusha kuwa yatupasa tuwakumbuke mashujaa wetu mbalimbali. HIli tunaweza kulifanya bila kulazimika kumkandia, kumtusi au kumdunisa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
 


:violin::violin:

:kev:

:kev:
 
Kwa hiyo wewe ulitaka Waislamu wasome ktk shule hizo ili wale vyakula haramu! na kama unakubali vyakula vilikuwa haramu kwanini Shule inaruhusu kupikwa chakula haramu? halali imekuwa bidhaa adimu?


Mimi kwa mtazamo wangu naona sio vyema kupika chakula ambacho kitaathiri imani ya mwengine kwa namna moja ama nyingine, lakini katika kufanya maamuzi juu ya hili suala, huwezi kumzuia mwanao asiende kupata elimu kisa tu umuepushe na vyakula haramu.

Fanya ulinganishi wa hili suala, ELIMU VS NGURUWE. Kwa upande wangu ningeenda kusoma hata kama kuna hatari ya kula haramu, kwa maana ya kawaida kabisa naweza kusema, sina lengo na nia ya huo uharamu, bali nina nia na lengo la kuelimika na kupata maarifa, lakini kwenye kufanikisha hili, ndio kuna hizo changamoto za kula haramu.

Hayati Mwl. Nyerere hakuwa na imani juu ya mambo ya KUTAMBIKA, lakini wote tumeona kwenye histora alikubali kufanya hivyo alivyokuwa Bagamoyo, kwa lengo na nia ya kuwa na MSHIKAMANO na wazee wale, na alifanikiwa.
 

Sijawahi kuona Mzazi alie very flexible kama wewe! uko tayari kumruhusu mwanao apate elimu hata kama atadhurika kiafya!

Rosemary Alvarez alijikuta akiwa na maumivu ya kichwa na mkono kukosa nguvu. baada ya kufanyiwa scanning ikaoneka kama ni "brain tumor", pindi alipofanyiwa upasuaji alikutwa na "mnyoo (taenia solium)" akiwa hai unakula brain yake. Chanzo hasa cha mnyoo huo ni kula nyama ya nguruwe ambayo kitaalamu anaprotein nyingi kuliko mnyama yoyote na hivyo kuvutia parasite wengi kwa mnyama huyu.
Source : ABC News: It's Not a Tumor, It's a Brain Worm

Angalia hapa Mchina huyu pia akitolewa minyoo mingi usoni ambayo pia ilisababishwa na utamaduni wa kula nyama ya nguruwe:Worm inside your face - YouTube

Elimu hiyo itamsaidia nini mwanangu ikiwa atapata madhara ya kiafya? halafu usidhani Mungu kaharamisha Nguruwe kwa sababu za kiimani! la! kuna sababu za madhara kiafya!
 
Unaamini kweli ilikuwa ni 'historia rasmi ya wapigania uhuru'. Nani kakuambia kuwa historia ni lazima iwe rasmi ili iwe history?

Kitabu cha historia ya wapigania uhuru cha Kivukoni kinachomtaja Nyerere kuwa ndie muasisi wa TAA na TANU na mpigania uhuru wa Tanganyika unakikanusha kuwa sio historia rasmi! sasa historia rasmi iko wapi? uko mbioni kuiandika kama ulivyoombwa na Mohamed Saidi? Kitabu cha MS umekiita HISTOHISIA na cha Kivukoni nacho hukitambui! sikuelewi!
 
 

Ndugu yangu unaonyesha wazi kuwa kitabu cha Historia ya TANU kilichoandikwa na chuo cha Kivukoni hujakisoma kabisa, na zaidi kitabu cha ngano za Mohamed Said nacho hujakisoma,

Hakuna katika Kitabu cha Kivukoni kinapoeleza kuwa Mwalimu Julius Nyerere ni MUASISI wa TAA,


Hata hotuba yake hapo juu inajieleza wazu kuwa TAA aliikuta ikiwa chini ya Katibu mkuu wake Abdul Sykes,


Soma tena vitabu husika ndugu yangu.
 
Hakuna kitu kama historia rasmi. Hakuna mwenye monopoly ya ukweli katika historia. Historia ni uwanja mpana ambako utafiti mara nyingi hugundua vitu ambavyo havikufahamika awali. Kivukoni waliandika chao, Mohamed ameandika chake. Na wewe pia tumia akili zako.
 
Huu utaisha tena kwakushinda vita kati ya wema na ubaya,

Na kwa halihalisi uzi husika tu hapo juu tayari tumeshawashinda hawa wachochezi
 
Huu utaisha tena kwakushinda vita kati ya wema na ubaya,

Na kwa halihalisi uzi husika tu hapo juu tayari tumeshawashinda hawa wachochezi

:A S shade: :A S shade: :A S shade:
 



Mambo Murua sana haya..

Akhsante Sana...
 
Kitabu cha historia ya wapigania uhuru cha Kivukoni kinachomtaja Nyerere kuwa ndie muasisi wa TAA na TANU na mpigania uhuru wa Tanganyika unakikanusha kuwa sio historia rasmi!

Kweli unaamini hicho kitabu kinasema hivyo; au unaamini kwa sababu MS kasema kitabu kinasema hivyo?
 
Kweli unaamini hicho kitabu kinasema hivyo; au unaamini kwa sababu MS kasema kitabu kinasema hivyo?
Unaamini kweli ilikuwa ni 'historia rasmi ya wapigania uhuru'. Nani kakuambia kuwa historia ni lazima iwe rasmi ili iwe history?
Una uhakika alikanusha au unafikiria alikanusha; mtawapata hawa wadogo na watoto zetu na hii historia mpya.
Umejuaje kama Nyerere alisema hicho anachodaiwa kusema kwenye kitabu cha Bergen?
 
Huu utaisha tena kwakushinda vita kati ya wema na ubaya,

Na kwa halihalisi uzi husika tu hapo juu tayari tumeshawashinda hawa wachochezi

Naendelea kufuatilia mkuu kuona mwisho wake na nilikuwa sijajua kama ni vita kati ya wema na ubaya so naendelea kufuatilia ili niweze kutambua upande gani ni wema na upande gani ni ubaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…