out of the point,,
sasa unataka kikwete alipe kisasi??
Hoja hujibiwa kwa hoja,usitafute visingizio ndugu.
Umeelewa nilichozungumza? Hivi umekisoma kitabu chake Mohamed Said au kuangalia papers zake?
Maudhui ya vyote hivyo ni kudhulumiwa kwa waislam...kuanzia kwenye kutengwa kuwekwa kwenye kumbukumbu ya historia, kudhulumiwa kwa waislam baada ya uhuru(hapa kanisa katoliki linachukua nafasi ya mkoloni likiongozwa na Rais mkatoliki Nyerere). Na ukimsoma vizuri utaona kuna jitihada kubwa sana la kuliunganisha kanisa katoliki na dhulma dhidi ya waislam...mathalan hata majina tu ... Augustine Mrema a catholic, Mkapa a catholic, Edward Moringe Sokoine a catholic, Nyerere a cotholic zealot nk...
Tukija kwenye tawala zilizoongoza na wakristu watajwa moja kwa moja wenyewe kama wahusika wakuu katika dhulma dhidi ya waislam. Tukija kwenye tawala za akina Mwinyi na Kikwete inatajwa serikali kama ndiyo inahusika na dhulma hizo. Hauhitaji kuna akili ya ziada kuona Mohamed Said anajaribu kufanya kitu gani.
Hapo kwenye kisasi kwa kweli haukunielewa. Issue ni kwanini wasitajwe wenyewe kama wahusika moja kwa moja kwenye dhulma hizo zinazofanyiwa waislam badala yake linatajwa kanisa na serikali tu?