Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mzee Ms,

Hapo hakuna unaebishana nae, ila mpo kutupa darsa.
Sasa ili tuelimike zaidi usikwepe maswali na si ubishani.
Ila nachokiona ni ujanja wa kukwepa maswali na kukimbilia ubishani hapa habishiwi mtu ila unahitajika ukweli tu.
Ukisema we unajua hili au umelipotosha fasta wanaibuka wajuvi wenzako wanaweka msitali sawa hakuna kubishana mzee wangu.

Mgashi,
Narudia kukwambia.

Tusameheane.
Sote tuna fikra tofauti.
 
its funny yaani yericko alitaka kumwelewesha m.said about the history lakin hukuhuku mnaingiza maaskofu dah wanawatesaee?ni akili zmelala pale co fujo
 
its funny yaani yericko alitaka kumwelewesha m.said about the history lakin hukuhuku mnaingiza maaskofu dah wanawatesaee?ni akili zmelala pale co fujo

Honest Boy,
Historia ya TANU inawatisha baadhi ya watu.

Ndiyo maana mpaka leo mashujaa wa uhuru
hawajaenziwa.
 
Shukran Mzee Said. Mawazo yako na msimamo wako umeeleweka. Nitacheck kama publishers wako wana PDF ya hiki kitabu ili tuzidi kuzungumza muda ukiruhusu, changu nilikiacha tanga. Vinginevyo, wewe fanya hivi, siku ukisikia Zahrau Day Tanga tutafutane. Kuna mengi ya kuzungumza hata tukiwa na kashata
 
Remote,
Kwanza soma haya yafuatayo kama nilivyoandika katika kitabu changu:

''In early 1930’s Kleist oversaw under a self-help scheme the building of the Association’s headquarters at New Street (now Lumumba Street).

This is the building whichTANU came to be born on 7 th July, 1954.

The building still stands today thoughnot in its original form.

It now forms part of the headquarters of the ruling party, the Chama
cha Mapinduzi (CCM).

The old building was built from lime, mud andstones as was usual in those times.

Lime wasused in place of cement.

As a young boy, Abdulwahid grew up seeing his father with other members building the African Association headquarters at NewStreet (currently known as Lumumba Street) with their own hands on Sundays under a self-help scheme.''

Remote,
Taarifa hizi ukizitaka unaweza kuzipata kwenye kitabu cha John Iliffe (Ed), ''Modern Tanzanians'' ambamo ndani yake Aisha Daisy Sykes mtoto wa Abdu Sykes na mjukuu wa Kleist anaeleza habari hizo.

Vilevile unaweza kuzipata katika Maktaba ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, East Africana kuna seminar paper ya mwaka 1968 imehhifadhiwa pale ya Idara ya Historia, ''The Life of Kleist Sykes''ambayo kaandika Daisy Sykes.

Seminar paper hii Daisy kaiandika chini ya usimamizi wa mwalimu wake wa historia John Iliffe.

Nyumba hii ilikuwa ikijengwa siku za Jumapili kwa kuwa ndiyo siku ya mapumziko ya kazi na wanachama ndiyo walikuwa na nafasi ya kufanya kazi hiyo.

Sina haja ya kusema mengi kuwa mmoja wa wajenzi hao alikuwa babu yangu.

mzee wangu hapo kwenye naelezo ya kitabu naona ni maelezo tu ya jinsi nyumba ilivyojengwa na pia unadhani ufisadi wa umuhusishao kleist ukweli wake naweza kuupata kwa Daisy.

binafsi nilichotaka kutoka kwako sio nyumba hiyo ilijengwa kwa kutumia nini na siku gani bali..... je ni kweli mzee wetu Kleist ALIIFISADI hiyo nyumba???
 
Kadogoo,

Bon Voyage,
Nilikuwa Cairo 1988 na 1991.

Bahati mbaya nilifika Egyptian Museum lakini ile chamber ya Firauni ilikuwa imefungwa na serikali
kwa kuwa watu walikuwa wakimfananisha Anwar Sadat na Firauni kwa hiyo sikubahatika kumuona
Firauni.

Nlikaa Cleopatra Hotel, Taharir Square.
Nimefika Giza na kutazama mapiramidi Alhamdulilah.

Wakati niko Cairo ndiyo wamefungua underground train yao.
Nadhani unajionea mwenyewe wazimu wa barabara za Cairo jinsi magari yalivyojaa na watu walivyo
wengi.

HQ yangu ilikuwa Alexandria nilikuwa nasoma hapo.

Ukifika Alexandria usikose Insha Allah kufika Montaza Palace yaliyokuwa mapumziko ya King Farouk
pana msikiti mzuri sana hapo.

Vilevile fika Greco Roman Museum kuna kasri la Warumi hapo na kila kitu chao kimo kama kimeachwa
jana.

Fika Port Said ni mji umefanana sana na Dar es Salaam.
Nilkaa hapa hotel moja Holiday Inn lakini kichekesho hilo ni jina tu siyo ile ''chain of hotels'' ya Wamerikani.

Nakumbuka jambo moja hapo Port Said.

Wakati huo kijana basi nimefungua radio napata stesheni moja kutoka Malta FM wanapiga muziki wa Motown:
Marvin Gaye, Tempations, Diana Ross...

Wakati umekwenda wapi?
Ala kuli hali nakutakia safari njema.

Ukipita Zamalek Street usisahau kuwarehemu Ahmed Rashad Ali na Abdulwahid Sykes.
Ofisi za Radio Free Africa ndipo zilipokuwa hapo pamoja na ofisi nyingine za wapigania uhuru.

MS,
Hiyo chamber sasa iko wazi ila inabidi ulipie tena baada ya kulipia geti la nje! kumuona Firauni ni paundi 100 Egp. sawa na sh.25,750.00
Hapo Tahrir Squre barabara ya round about mpaka sasa bado imefungwa sababu kuna vijana wa upinzani bado wameweka kambi na mahema ktk eneo hilo! hali ni shwari!

Underground zinafanya kazi ila si umati wa watu! nimepandia hapa Tahriir nikielekea Ataba kupitia Ashuhadaa zamani ikiitwa Mubaraka! hapa ni kumbukumbu ya wale waliopoteza uhai wao wakati wa kumpindua Hosni Mubarak!

MS,
Kilichonovutia hapa Cairo ni Taxi gharama yake ni ndogo! wanatumia computer ndogo inayochaji robo senti kwa kila kilometer.1! nilipanda toka Alzhar University hadi Tahrir Squre nililipa paundi 7tu! unaingia kwa Baba ntilie(huku hakuna Mama ntilie)unajichana shawarma au robo kuku na mkate kwa paundi 5tu! sawa na sh.1000!

Zamelek str. iko upande gani? ningependa sana kwenda huko ili inshallah nikawaombee dua Ahmed Rashad Ali na Abdulwahid Sykes wapigania uhuru wa Tanganyika.
 
Geeky,
Ni tofauti ya utamaduni tu.

Ndiyo maana nilimtetea Yericko alipomtakidi Nyerere kama mzazi wake.

Pale Kipata nilipozaliwa nilikuwa na baba, mama, shangazi nk. lukuki.

Halikadhalika nilikuwa na bibi ndiyo usiseme, wake zangu chungu mzima
tena wenyewe wakijifaharisha kwa kuniita "bwana," "mume wangu," "laaziz."

Huu ndiyo utamaduni niliokulia mimi.

Najua maalim vitu vingine trivial ila BIG SHOW is making a big show out of everything. wote vijijini kwetu tunaitwa wachumba na nyanya zetu ni suala dogo.
 
MS,
Hiyo chamber sasa iko wazi ila inabidi ulipie tena baada ya kulipia geti la nje! kumuona Firauni ni paundi 100 Egp. sawa na sh.25,750.00
Hapo Tahrir Squre barabara ya round about mpaka sasa bado imefungwa sababu kuna vijana wa upinzani bado wameweka kambi na mahema ktk eneo hilo! hali ni shwari!

Underground zinafanya kazi ila si umati wa watu! nimepandia hapa Tahriir nikielekea Ataba kupitia Ashuhadaa zamani ikiitwa Mubaraka! hapa ni kumbukumbu ya wale waliopoteza uhai wao wakati wa kumpindua Hosni Mubarak!

MS,
Kilichonovutia hapa Cairo ni Taxi gharama yake ni ndogo! wanatumia computer ndogo inayochaji robo senti kwa kila kilometer.1! nilipanda toka Alzhar University hadi Tahrir Squre nililipa paundi 7tu! unaingia kwa Baba ntilie(huku hakuna Mama ntilie)unajichana shawarma au robo kuku na mkate kwa paundi 5tu! sawa na sh.1000!

Zamelek str. iko upande gani? ningependa sana kwenda huko ili inshallah nikawaombee dua Ahmed Rashad Ali na Abdulwahid Sykes wapigania uhuru wa Tanganyika.
Hii nayo ni historia ya Tanganyika? Halafu mkiitwa wapuuzi manakasirika, sijui tuwaiteje watu wa naman yenu!
 
MS,
Hiyo chamber sasa iko wazi ila inabidi ulipie tena baada ya kulipia geti la nje! kumuona Firauni ni paundi 100 Egp. sawa na sh.25,750.00
Hapo Tahrir Squre barabara ya round about mpaka sasa bado imefungwa sababu kuna vijana wa upinzani bado wameweka kambi na mahema ktk eneo hilo! hali ni shwari!

Underground zinafanya kazi ila si umati wa watu! nimepandia hapa Tahriir nikielekea Ataba kupitia Ashuhadaa zamani ikiitwa Mubaraka! hapa ni kumbukumbu ya wale waliopoteza uhai wao wakati wa kumpindua Hosni Mubarak!

MS,
Kilichonovutia hapa Cairo ni Taxi gharama yake ni ndogo! wanatumia computer ndogo inayochaji robo senti kwa kila kilometer.1! nilipanda toka Alzhar University hadi Tahrir Squre nililipa paundi 7tu! unaingia kwa Baba ntilie(huku hakuna Mama ntilie)unajichana shawarma au robo kuku na mkate kwa paundi 5tu! sawa na sh.1000!

Zamelek str. iko upande gani? ningependa sana kwenda huko ili inshallah nikawaombee dua Ahmed Rashad Ali na Abdulwahid Sykes wapigania uhuru wa Tanganyika.

Kadogoo,

Umenikumbusha mbali ndugu yangu Shawrama ya ngamia au kondoo mara ya mwisho nimekula Istambul mwaka 2007.
 
Last edited by a moderator:
Hello Mr. Kadogoo, Aslaam aleykum, Sheikh wangu napata shida kidogo na wewe kushindwa kumuona huyo pharaoh aliyezamishwa huko Cairo. Shida yangu ni kuwa serikali ya Misri inategemea sana pesa za watalii wanaoenda kwenye yale Ma-pyramid pale Giza na sehemu zingine. Sasa kuzuia watu kama nyie kutembelea alipolazwa pharaoh wa Musa kwa misingi eti wanaoenda wanamfananisha huyu pharaoh na Sadat, si mtihani Ustadh? Au huyo "guide" wenu alikuwa amechoka siku hiyo? Sababu za serikali kuzuia watu wasiende kwa wingi alipolazwa Pharaoh wa Musa utazikuta: Rational Islam? - Letters to a Muslim: Ramses II and/or Merneptah and the Islamic miracle of the preserved Pharaoh. Kifupi ni kuwa watalii kujazana kwenye chumba alipo huyu Pharaoh kuligundulika kusababisha maambukizi ya fungus kwenye huyu Mummy na kuleta hofu ya yeye kuoza kwa kuzingatia hali ya joto la Cairo. Awali alishawahi kutibiwa matatizo haya. Ndio maana serikali inapunguza wanaoruhusiwa kufika chumba alicholazwa. Kama "guide alikwambia hadithi ya Sadat, Ustadh kadai hela zako.

WIKAMA,
Bila shaka umedandia mazungumzo yangu na MS!
MIMI nimemuona FARAO wala hakuna mtu anaezuiwa kumuona kwa sasa! ila MS kasema yeye alikuwa MISRI miaka ya 80 hadi 90 kipindi hicho ndio walifunga chamber ya Farao sababu za kumfananisha na Sadat! sasa hayo mwambie MS mimi sidhani kama nahusika hapa!
 
Kadogoo, Shukran sana, nimeshawasiliana na Mzee MS na pia kukutaka wewe radhi kwa confusion iliyojitokeza
 
mzee wangu hapo kwenye naelezo ya kitabu naona ni maelezo tu ya jinsi nyumba ilivyojengwa na pia unadhani ufisadi wa umuhusishao kleist ukweli wake naweza kuupata kwa Daisy.

binafsi nilichotaka kutoka kwako sio nyumba hiyo ilijengwa kwa kutumia nini na siku gani bali..... je ni kweli mzee wetu Kleist ALIIFISADI hiyo nyumba???

Remote,
Mimi sina taarifa ya ufisadi wa nyumba ya African Association.

Ama hilo la Daisy na ufisadi wa babu yake ni swali jingine nje yangu.
 
Shukran Mzee Said. Mawazo yako na msimamo wako umeeleweka. Nitacheck kama publishers wako wana PDF ya hiki kitabu ili tuzidi kuzungumza muda ukiruhusu, changu nilikiacha tanga. Vinginevyo, wewe fanya hivi, siku ukisikia Zahrau Day Tanga tutafutane. Kuna mengi ya kuzungumza hata tukiwa na kashata

Wickama,
Insha Allah.
 
Hii nayo ni historia ya Tanganyika? Halafu mkiitwa wapuuzi manakasirika, sijui tuwaiteje watu wa naman yenu!

Gwalihenzi,
Hapa watu hawakuja kusoma kashfa na matusi yako angalia muendelezo wako na watu zaidi ya 100000 wanakusoma!

1) Majitu mengine kwa kujifariji hamjambo! Nguruvi3 ahangaike na huu upumbavu wenu? ama kweli maajabu hayataisha! wewe umeona kunalolote la maana hapo? kama ni hivyo basi tunajadili na mazuzu humu!

2)
Wewe huwa hutumii akili na huwa huna kumbukumbu. Kwa taarifa yako, ni Mwanakijiji huyo huyo aliyewashauri wapuuzi wenzako akina kadogoo, Boko na Ami wayapeleke maoni yao kuhusu Yesu kwenye jukwaa la...
Wewe kwa kuwa unamhara sana Mzee Mwanakijiji

3)
Hivi Boko unaakili timamu kweli? sasa huyo mungu wako ananihusu nini mimi? na huo upumbavu wa Mohamed mnaouita ilm unamanufaa gani kwangu? Boko, ninaishi bila hayo matakataka yako naninaraha zangu..Taabu mnataka kuileta nyie wapuuzi na hilo zee lenu chochezi!..

4)
Huna mpya mpuuzi wewe, hilo zee lako halifai kwa chochote katika nchi yetu. Kwa visa vya kipuuzi kama hivi wewe kwa ujinga wako unadhani ndio historia ya Tanzania! mpumbavu, hizo ni stori za wavuta unga mitaani tu.

5)
Kwanini uchukue likizo? ondoka kabisa fatani mkubwa!

6)
Wacha vilio vya kitoto hivyo, mtu mzima hovyooo!

7)
Huna lolote mzee mchimvi wewe, baada ya kushindwa hoja unataka kujitoa kijanja! muoga mkubwa! dalili za kushindwa na kutaka kukimbia zilianza na makele yako ya kila siku... mara oh.. anzisheni uzi wa utumwa muone... oh mimi ndie mbabe hapa... mara oh... wenzetu wamehamaki.... matusi yameanza. Mohamedi wewe umeshindwa kabisa hoja, huna hata tafsiri sahihi ya "Concept" mfumo kristo uliyoiasisi katika kuendeleza chuki na fitna zako kwa watanzania. You are doomed embicile old man.

8)
Ulivyo mpumbavu, unadhani watu wote ni wafuasi wa imani yako!

9)
Mtauonaje na nyie mmeshalogwa akili? kwenu kila asemacho mzee wenu Mohamed Said mnaona ni sahihi kabisa, hata anapodanganya waziwazi kuwa Marmo alikuwa mbunge wa Monduli nyie mnashangilia kama mazuzu! poleni sana walevi wa falsafa za uwongo wa Mohamed.

10) Wewe mpumbavu ni kwambie mara ngapi kuwa mimi ni "adent atheist"? ebu niondolee hayo makonokono yako, kwangu mimi hayana nafasi na wala hayana umhimu wowote.


Huu utafiti wa kutukana watu ulisomea wapi? any way turudi ktk mada:

MOHAMED SAID,
Umeelezea kuhusu safari za Abdu Sykes akienda Nairobi kuonana na Kenyatta miaka ya 40, hivi mpakani kipindi hicho kilikuwaje? Kulikuwa na border kati ya Kenya na TZ? au kwa kuwa Muingereza anatawala EA hivyo watu walikuwa wakisafiri bila pasi?
Naomba utujuze kisa cha Kigoma Malima kuhama CCM kama ulivyotuahidi au kama umeshakielezea basi nitajaribu kukitafuta.
 
Kadogoo, Shukran sana, nimeshawasiliana na Mzee MS na pia kukutaka wewe radhi kwa confusion iliyojitokeza

Hii ndio hulka yetu binaadamu hukosea na alienaakili hujirudi! bila kuomba radhi, wickama tuko pamoja.
 
Gwalihenzi,
Hapa watu hawakuja kusoma kashfa na matusi yako angalia muendelezo wako na watu zaidi ya 100000 wanakusoma!

1) Majitu mengine kwa kujifariji hamjambo! Nguruvi3 ahangaike na huu upumbavu wenu? ama kweli maajabu hayataisha! wewe umeona kunalolote la maana hapo? kama ni hivyo basi tunajadili na mazuzu humu!

2)
Wewe huwa hutumii akili na huwa huna kumbukumbu. Kwa taarifa yako, ni Mwanakijiji huyo huyo aliyewashauri wapuuzi wenzako akina kadogoo, Boko na Ami wayapeleke maoni yao kuhusu Yesu kwenye jukwaa la...
Wewe kwa kuwa unamhara sana Mzee Mwanakijiji

3)
Hivi Boko unaakili timamu kweli? sasa huyo mungu wako ananihusu nini mimi? na huo upumbavu wa Mohamed mnaouita ilm unamanufaa gani kwangu? Boko, ninaishi bila hayo matakataka yako naninaraha zangu..Taabu mnataka kuileta nyie wapuuzi na hilo zee lenu chochezi!..

4)
Huna mpya mpuuzi wewe, hilo zee lako halifai kwa chochote katika nchi yetu. Kwa visa vya kipuuzi kama hivi wewe kwa ujinga wako unadhani ndio historia ya Tanzania! mpumbavu, hizo ni stori za wavuta unga mitaani tu.

5)
Kwanini uchukue likizo? ondoka kabisa fatani mkubwa!

6)
Wacha vilio vya kitoto hivyo, mtu mzima hovyooo!

7)
Huna lolote mzee mchimvi wewe, baada ya kushindwa hoja unataka kujitoa kijanja! muoga mkubwa! dalili za kushindwa na kutaka kukimbia zilianza na makele yako ya kila siku... mara oh.. anzisheni uzi wa utumwa muone... oh mimi ndie mbabe hapa... mara oh... wenzetu wamehamaki.... matusi yameanza. Mohamedi wewe umeshindwa kabisa hoja, huna hata tafsiri sahihi ya "Concept" mfumo kristo uliyoiasisi katika kuendeleza chuki na fitna zako kwa watanzania. You are doomed embicile old man.

8)
Ulivyo mpumbavu, unadhani watu wote ni wafuasi wa imani yako!

9)
Mtauonaje na nyie mmeshalogwa akili? kwenu kila asemacho mzee wenu Mohamed Said mnaona ni sahihi kabisa, hata anapodanganya waziwazi kuwa Marmo alikuwa mbunge wa Monduli nyie mnashangilia kama mazuzu! poleni sana walevi wa falsafa za uwongo wa Mohamed.

10) Wewe mpumbavu ni kwambie mara ngapi kuwa mimi ni "adent atheist"? ebu niondolee hayo makonokono yako, kwangu mimi hayana nafasi na wala hayana umhimu wowote.


Huu utafiti wa kutukana watu ulisomea wapi? any way turudi ktk mada:

MOHAMED SAID,
Umeelezea kuhusu safari za Abdu Sykes akienda Nairobi kuonana na Kenyatta miaka ya 40, hivi mpakani kipindi hicho kilikuwaje? Kulikuwa na border kati ya Kenya na TZ? au kwa kuwa Muingereza anatawala EA hivyo watu walikuwa wakisafiri bila pasi?
Naomba utujuze kisa cha Kigoma Malima kuhama CCM kama ulivyotuahidi au kama umeshakielezea basi nitajaribu kukitafuta.

Kadogoo,
Ngoja Insha Allah nimalize darsa la Abdu na mgomo wa bandarini 1948.

Tukitoka hapo Insha Allah tutaingia kwa Prof. Malima.
 
Gwalihenzi,
Hapa watu hawakuja kusoma kashfa na matusi yako angalia muendelezo wako na watu zaidi ya 100000 wanakusoma!


MOHAMED SAID,
Umeelezea kuhusu safari za Abdu Sykes akienda Nairobi kuonana na Kenyatta miaka ya 40, hivi mpakani kipindi hicho kilikuwaje? Kulikuwa na border kati ya Kenya na TZ? au kwa kuwa Muingereza anatawala EA hivyo watu walikuwa wakisafiri bila pasi?
Naomba utujuze kisa cha Kigoma Malima kuhama CCM kama ulivyotuahidi au kama umeshakielezea basi nitajaribu kukitafuta.
Kadogoo! mbona hujibu maswali unayoulizwa? umeulizwa hivi, maelezo ya ziara yako huko Misri ni sehemu ya historia ya Tanganyika? au unataka kututambia kama ilivyo kawaida yako wewe na hilo zee lako?
 
Nimepitia kidogo tu kuangalia kama Nguruvi ana majibu ya sensa au Mwanakijiji kama socratic method yake imetengenezeka tena baada ya kukwama njiani.Pia nilikuwa naangalia iwapo Jasusi anawajua kweli waliofanya biashara ya utumwa.
Hakuna kitu! na Uchochezi haukuwa uchochezi bali ni ukweli tu.
Nawaachieni Gwalihenzi na mkokoteni wake kule mji mkongwe wanaita Rikwama ili abebe majeruhi atoke nao ukumbini.
Nikirudi nitakuja na kanzu size 62 ya Ritz.
Naondoka nitarudi baadae InshaAllah
 
Nimepitia kidogo tu kuangalia kama Nguruvi ana majibu ya sensa au Mwanakijiji kama socratic method yake imetengenezeka tena baada ya kukwama njiani.Pia nilikuwa naangalia iwapo Jasusi anawajua kweli waliofanya biashara ya utumwa.
Hakuna kitu! na Uchochezi haukuwa uchochezi bali ni ukweli tu.
Nawaachieni Gwalihenzi na mkokoteni wake kule mji mkongwe wanaita Rikwama ili abebe majeruhi atoke nao ukumbini.
Nikirudi nitakuja na kanzu size 62 ya Ritz.
Naondoka nitarudi baadae InshaAllah


Ha ha ha..
Umenichekesha sana,yule jamaa wa mkokoteni na matusi yake kama akili zimemruka vile.
Ngoja aje na mkokoteni wake aje kuchukua majeruhi wake hawa,Mufilisi kabisa..
 
  • Thanks
Reactions: Ami
Back
Top Bottom