Mbona unajidanganya hivyo.Unadhani waliosoma walikuelewa.Natoa changamoto huyo aliyekuelewa aje anifahamishe na mie.
Mimi najua mtambo wa socratic method uliosema utautumia kutoa historia za dini ipi imeitangulia mwenzake kati ya uislamu na ukristo haukufanya kazia kabisa.
Wakati mtambo wako unaiona dunia kama imeanza miaka 2013 iliyopita. Wahyi kwenye Qur'an ina historia kabla hata binadamu yoyote hajaumbwa.Binadamu wa mwanzo ni Adam (A.S) ambaye ni baba yetu sote pamoja na Yesu (A.S).Yeye alikuwa ni muislamu sasa utawezaje kukanusha kwa kutumia historia yako ya kimishionari?.Kama unaweza usikumbushe kwamba wasomaji walikuelewa bali rudia maelezo kama mimi hapa nilivyofafanua suali langu kwako?.
AMI,
Hawa ndio wale waliojazwa Hisohistoria ya asili ya binaadamu ni NYANI!!!!