Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Jenga heshima basi kwenye maandiko yako dhidi ya Mohamed Said hebu jisome ulivyojiandika kisha muombe radhi Mohamed Said. Hata kama mnapingana mitazamo siyo kigezo cha kumvunjia heshima kijana.

Unajua kwamba mbali ya kupingana mitazamo Mohamed Said ana great sense of humour!!!!!! Wewe kalagabhao some things are just above your medulla oblongata
 
Last edited by a moderator:
Nguruvi,
Nami nakuletea zawadi kutoka Kipata.

Huku Nyamwezi na huku Swahili No. 32.
Karibu na nyumba ya Mama Nambaya na Shabaka.

Kule Swahili kwa Mama Kilindi mbele kwa Mashaka
Lumelezi pembeni kwa Hassan Machakaomo (Mzulu).

Mbele kabisa kwa Mzee Mtamila na mbele kabisa kabisa
New Street kwa Mzee Kleist Sykes:


[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]In Dar es Salaam at the Kitumbini Mosque a hawli (prayer of remembrance for a departed Muslim) is held each year in the month of October to remember Abdulwahid Kleist Sykes. It is more or less a family affair with only relatives in attendance. Apart from the obligatory duty of praying for the departed as is the custom in Islam, Abdulwahid is accorded this respect for other reasons. In his short lifetime he used to pray regularly at the mosque and it was from this mosque that Abdulwahid made his last journey to meet his Creator. Abdulwahid was an important personality in the Muslim community. He had for many years been active in Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (The Muslim Association). He had also been Secretary of the Tanganyika African Association (TAA) and later its President. Although historians so far have not acknowledged his political achievements, Abdulwahid was the brains behind the formation of the Tanganyika African National Union (TANU), the political party which united the people of Tanganyika for their independence struggle against the British.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Many of Abdulwahids contemporaries are still living and pray at the same mosque. They cherish this yearly occasion. Most of these are TANU veterans of the 1950s. They are now old and for bitter reasons they have lost interest in the Party. Apart from a small circle of relatives (now comprising of his grandchildren), close friends and former TANU members , nobody in the Party which he founded in 1954 seems to remember him. Abdulwahid has been completely forgotten. His name is hardly associated with the Party or with the political history of Tanzania. Yet this person was the main driving force in Tanganyikas independence movement.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]A team of party historians, commissioned by the Party-Chama Cha Mapinduzi (CCM) to research and write an official history of TANU, did not even mention Abdulwahids name in the entire book.[1] The dominant school of thought in the book is the assertion that before the emergence of Julius Nyerere in April 1953, when he was elected TAA President, the African Association leadership did not articulate any concrete political thought. This premise has denied many patriots a place of honour in the political history of Tanzania and also eroded the status of the Association as a political movement. Local historians and post-independence party bureaucrats do not want to credit the African Association with a political identity. Kambona referred to the African Association as a debating society:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]It is just a little over one year since the inception of the Tanganyika African National Union and during this period it has grown from strength to strength, sometimes in the teeth of great opposition. As you are well aware it superseded the former Tanganyika African Association which was little more than a debating society.[2]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Ulotu has referred to the organisation as a welfare association.[3] Others have referred to the Association as a social organisation: Nyerere (1966),[4] Japhet and Seaton (1966),[5] John Hatch (1976).[6] In other places it is referred to as a semi-protest movement: Kaniki (1974),[7] as a semi-political movement: Nyerere (1953).[8] Julius Nyerere appearing in an oral hearing at the Trusteeship Council at the United Nations, New York, on 7 th March, 1955, shifted his position and referred to the Association as a semi-political movement:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]The Tanganyika African National Union is, in one sense, a new organisation, but in another it is an old organisation. It was taken over from what was formerly called the Tanganyika African Association, which was founded in 1929, largely as a social organisation. The Tanganyika African National Union, which took over from the African Association about ten months ago, is a new organisation in the sense that it is a political organisation, where as the former was semi-political.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Other scholars have reduced the association to the level of club: Mwenegoha(1976) writes: In 1954, after 25 years of inertia, Nyerere remodelled TAA from a social club into a formidable political organisation called the Tanganyika African National Union. [9]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Abdulwahid as one of the main actors in the modern history of political parties in colonial Tanganyika referred to the association as a political party (1951).[10] Among writers and scholars who have analysed the African Association, it is only Nyerere and Hatch who have shifted their positions.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Nyerere, writing to Edward Twining the Governor of Tanganyika on 10 th August, 1953, referred to TAA as a political party.[11] Nyerere has for a very long time maintained this view which has appeared in all his subsequent writings and speeches on the African Association.[12] But recently he qualified his earlier statements on the subject referring to the association as a political party without a political constitution. Hatch (1976) refers to the association in one place as a social organisation [13] and as a serious political party in another. [14]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]John Kabudi has referred to the Association as a private civil organisation of a nationalistic character.[15] It is worth noting that even the pioneers of the organisation are not referred to as politicians. Kaniki, for lack of an appropriate word with which to refer to the pioneers, gave them quotation marks:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Nyerere, hitherto almost unknown to the majority of politicians in Tanganyika, was then schoolmaster at St. Francis Secondary School, Pugu, near Dar es Salaam, and he had been elected Territorial President the previous year. [16]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Iliffe (1968)[17] indicated that the written history of TANU was incomplete and went further in his analysis of the association perceiving its direction and membership as being political.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Kandoro and Japhet, [18] the two TANU founder members who came to prominence while Abdulwahid was TAA president in 1952 were the only pioneers who worked closely with him during the Meru Land Case. Kirilos visit to Dar es Salaam and the engagement of Seaton to represent Meru Citizens Union in the conflict was very much facilitated by the intervention of Abdulwahid and the TAA leadership. It was Abdulwahid who helped Kirilo obtain a passport in Dar es Salaam after he was denied one in Arusha. Kirilo and Seaton, as well as Kandoro, have written their colonial experience, but no where in the two works is Abdulwahid mentioned, even in passing. The two try to link the Meru Land Case with Nyerere although prior to 1954 Nyerere had not yet made any impact on the politics of Tanganyika. In fact when the Meru Land Case went before the Trusteeship Council of the United Nations in New York, Nyerere was at Edinburgh University in Scotland studying for a masters degree.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]An exception to this omission of Abdulwahid is Judith Listowel (1965)[19] who, although only in passing, mentioned Abdulwahid in her book as one of the leading TANU pioneers.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Of late there has been interest in Tanzanias political history and Abdulwahids name has been coming up every now and then in journals,[20] newspapers, [21] international magazines,[22] and books.[23] These publications vary in their perception of Abdulwahid. There are some which shed light on the centrality of Abdulwahid in the founding of the Party and in initiating Julius Nyerere into politics. In these publications Abdulwahid appears as a revolutionary. Tandon called Abdulwahid and other patriots like Chege Kibachia, Makhan Singh, Fred Kubai, James Kivu, I.K. Musazi, Erika Fiah and Gama Pinto as veteran leaders of the struggle of the peoples of East Africa... whom our recent historians have forgotten. [24] There are also those who have dismissed him as being petty bourgeois.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Professor Shivji has accused Abdulwahid of cooptation, classifying him as a petty bourgeois who did not belong to the working class. In his analysis of the relationship between Abdulwahid and the pre-independence dockworkers movement Shivji concluded that:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]...the government intrigued to foist a petty-bourgeois leadership on the union. Around February 1948 Abdul Sykes, son of a well-known African businessman, was asked by the government to become secretary of the dockworkers union. Abdul Sykes did not come from among the dockers nor even from the working class. [25]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]This was in reference to his nomination in 1948 as the first ever General Secretary to lead a trade union in Tanganyika. Probably not knowing who Abdulwahid was and what he stood for throughout his life, or perhaps fired with Marxist zeal, Shivji has allowed himself to use wrong tools of analysis. Engels defines the term bourgeois to mean the class of modern capitalist, owners of the means of social production and employers of wage-labour. [26] However, Sklar has observed that the bourgeois concept has undergone evolution thus transforming its original meaning:
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Recently, the term has been used by Marxists and others to identify dominant class in societies that maintain market economies and allow capitalist accumulation as a consequence of private property in the means of production. [27]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Had Shivji been exposed to Abdulwahids life history chances are that he would have used a different yardstick to gauge and judge him. But since a wrong premise was applied, a wrong conclusion was the result. No African enterprise under colonialism could qualify to be put under this category, let alone have the capability to employ wage-labour in the sense of labour-capital relationship as defined by classical or neo-Marxists. This is the kind of confusion surrounding the personality of Abdulwahid and indeed the whole history of nationalism.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Among the TANU founding members, it is only those from the headquarters who could give a correct account of the formation of the Party. These are: John Rupia, Dossa Aziz, Tewa Said Tewa, Julius Nyerere, Dome Budohi, Abdulwahid and Ally Sykes. The two Sykes brothers, Abdulwahid and Ally, have a family connection in the African Association, their father Kleist Sykes having been founder Secretary of the Association in 1929. The Sykes files make very interesting reading for any researcher in the political history of colonial Tanganyika. These records contain information on Nyereres early political career and it is surprising that when Party historians were researching, these records, which have so much information about Nyerere, and the party itself, were not consulted. No member of the family, including Ally and Abbas Sykes, the two surviving members of the three Sykes brothers, were interviewed.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]In the late 1960s, when John Iliffe from Cambridge University, then at the Department of History, University of Dar es Salaam, began his research on Tanzanias history he obtained a lot of information on the African Association from one of his students, Aisha Daisy Sykes, Abdulwahids daughter. Although Daisy informed Iliffe that it was her father who provided her with additional primary information articulated in her history seminar papers on Tanzania, it is very strange that Iliffe, interested as he was in the modern history of Tanzania, did not bother to meet Abdulwahid.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 752, bgcolor: transparent"]Iliffe, however, realising the potential in the Sykes records encouraged Daisy to write a biography of her grandfather, Kleist Sykes[28] which she did. When Abdulwahid died in 1968, Daisy, encouraged by the success of her previous work, wanted to work on the biography of her late father. Daisy was fired by the passion to write after realising that history had been unfair to her father and it was time she put the record straight. Daisy had in her possession Abdulwahids files and diaries. Iliffe, for reasons probably unknown to Daisy at that time, discouraged her from writing on the grounds that the timing was inappropriate, and that the subject should be given time. There was no doubt in Iliffes mind that Abdulwahid was a reliable source of information on TANU and its history; and any work on his life history would have been a great contribution to the political history of Tanzania. Following Iliffes negative response Abdulwahids biography was never to be written by her daughter.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[1] Kivukoni IdeologicalCollege, Historia ya Chama Cha TANU 1954-1977,Dar es Salaam, 1981.
[2] Oscar Kambona to Baldwin Rogers, 18 th October, 1955 Party Archives, Fabian Colonial Bureau File No.202.
[3] Ulotu A. Ulotu, Historia ya TANU, (1971) p. 11.
[4] Julius Nyerere, Freedom and Unity, Dar es Salaam, 1966, p. 38.
[5] Kirilo Japhet and Earle Seaton, The Meru Land Case, Nairobi, 1966, p.16.
[6] John Hatch, Two African Statesmen, London 1976, p.17.
[7] M.H.Y. Kaniki, TANU, The Party of Independence and National Consolidation in G. Ruhumbika (ed) Towards Ujamaa, Twenty Years of
TANU Leadership,
Nairobi, 1974, pp.1-2.

[8] Julius K. Nyerere, TanganyikaAfrican Association, to Governor Edward Twining, 10 th August, 1953. Sykes' Papers.
[9] H.A.K. Mwenegoha,Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Nairobi, 1976, p. 5.
[10] Secretary Tanganyika African Association to Chairman and members of the African Association 7 th January, 1951. Sykes' Papers.
[11] Julius K. Nyerere President Tanganyika African Association to Governor Edward Twining, 10 th August, 1953. Sykes' Papers.
[12] Nyerere, op. cit. p. 38.
[13] Hatch, op. cit. p.17.
[14] Ibid. p. 91
[15] John Kabudi, The Party System and Socialism in Tanzania(1986 Seminar Paper).
[16] Kaniki, op. cit. Also see Uamuzi wa Busara, Idara ya Habari ya Chama, p. 2.
[17] John Iliffe, The Role of the African Association in the Formation and Realization of Territorial Consciousness in Tanzania.Mimeo.
University of East Africa Social Sciences Conference, 1968, p. 24.

[18] S.A. Kandoro, Mwito wa Uhuru, Dar es Salaam, 1981.
[19] Judith Listowel, The Making of Tanganyika,London, 1965.
[20] Yash Tandon, In Defence of Democracy Inaugural Lecture Series No. 14, Dar es Salaam, 1979, pp. 47-48.
[21] Daily Nation, 16 th April, 1986.
[22] New African, London, June, 1985; Africa Events,London, March/April, 1988, September, 1988.
[23] John Cartwright, Political Leadership in Africa,New York, 1983, p. 164. Also I.G. Shivji, Law State and The Working Class in Tanzania,
London and Dar es Salaam, 1986, p.174.

[24] Yash Tandon, op. cit. pp. 47-48.
[25] I.G. Shivji, Law, State and the Working Class in Tanzania,London and Dar es Salaam1986, pp. 174.
[26] F. Engels, Manifesto of the Communist Party,1848.
[27] Richard L. Sklar The Nature of Class Domination in Africa in JMAS Vol. 17 No.4, 1979, p. 544.
[28] Daisy Sykes Buruku, The Townsman: Kleist Sykes, in Iliffe (ed) Modern Tanzanians, Nairobi, 1973, pp. 95-114.



Mohamed Said,

Kumekucha hii "mipini" ya maana kwa nini unaitoa kiduchu kiduchu kweli Ilm bahari.

Cc.. to The Great Thinker gombesugu,
 
Last edited by a moderator:
Mkuu SoA,
Hivi huo mchango wa John Rupia Mwl aliukumbuka kweli kwenye kitabu?
Huyu alikuwa mfadhili big time,na wala humsikii popote-huyu ufadhili wake sio kibaba cha mchele bali ni megabucks-wewe ushangai nimekuja na hiyo 33% na MS aja doubt
 
Huu mnakasha kama ni pini!mzee mohamed said na nguruvi ndo wakali wenye wimbo halafu ritz mtoa kibwagizo!yericko nyerere ndo aliyetoa jina la wimbo ila kufika studio kachachawa hana mistari kashindwa kuingiza sauti kawaachia wakali kina mzee Mohamed na Nguruvi!halafu mzee mwanakijiji yeye msanii wa zamani ambaye hana jipya washabiki wamechoka na mashairi yake yasiyokuwa na ujumbe anachofanya ni jina tu ndo linamlinda!
 
Lakini hujajiuliza mbona serikali imedaiwa mengi sana; umesoma maandishi yake kuhusu kile alichokiita "Christian Hegemony and the Rise of Islamic Militancy"? Umeona Serikali imemjibu? Amedai mengi kuhusu BAKWATA umeona BAKWATA wamemjibu? Amedai mengi sana kuhusu Kanisa umeona Kanisa limemjibu? Hata Prof. Njozi alidai mengi sana kwenye kitabu cha Mwembe chai madai ambayo ni more substantial kuliko ya Mohammed Said, CCM walisimama kumjibu? Kwanini hawa wote hawajibu? Hujajiuliza kwanini?
Mzee M,
Kupigwa marufuku kitabu cha Profesa Hamza Njozi na utawala wa Mkapa kama sio kujibu kiujeuri na kuonyesha mabavu ni nini?
 
Unajua kwamba mbali ya kupingana mitazamo Mohamed Said ana great sense of humour!!!!!! Wewe kalagabhao some things are just above your medulla oblongata

Kauzu son,

Leave well alone you wont improve matters by going on tinkering...
 
Last edited by a moderator:
Huyu alikuwa mfadhili big time,na wala humsikii popote-huyu ufadhili wake sio kibaba cha mchele bali ni megabucks-wewe ushangai nimekuja na hiyo 33% na MS aja doubt

Son...
Hebu ingia katika faharasha (index) ya kitabu changu angalia Rupia.

Utaona katajwa mara ngapi.
Mara 42.
 
sidhani kama unaitende vyema tafsiri ya RELIGIOUS TOLERANCE kwa mifano yako.

Wewe kusema Yesu si Mungu tayari umesha wahusisha Wakristo na umekaribisha malumbano na wakristo, Kwasababu ni wao tu wanao amini katika Yesu ni Mungu. vivyo hivyo Wakristo wakisema Mtume Mohammed (S.W.A) si mtume wa mwisho na ni fraud, tayari amewahusisha waislamu kwasababu ni wao tu ndo wanamuamini Mtu Mohammed (S.W.A) na anakua amekaribisha malumbano na Waislamu.

sidhani kama watu wanafungwa kwa kuwa wanaamini Yesu si Mungu. Wanao fungwa au kukamatwa ni kwa ajili ya Uchochezi period.. na kwenye hilo hakuna anaye salimika si Mkristo wala Muislam.

Kwanza wakristo wote wanaondaa mihadhara na kuanza kudhihaki dini nyingine (Uislam,Budha,Uyahudi,Hindu) hao wanamatatizo na hawarepesent wakristo hata robo. Kwasababu mafundisho ya Ukrito does not condone violence, hate speech, any sort of disrespect or provocation towards binadamu au watu wengine.


Ushindani wa dini hauna mshindi, thats one thing for sure. Mwisho wake ni uvumilivu uwashinde na mchinjane.

Religious Tolerence inaanza na wewe, je can you tolerate other beliefs?
ikibidi hata mtu akikuprovoke unamuignore tu, na hivyo ndivyo amani inasambazwa.

Mundungus Fletcher;
Mimi kusema Yesu si Mungu ni kwa mujibu wa Kitabu changu kitukufu! kusoma na kutangaza hayo ni haki yangu ya kidini na kikatiba! kama kusema Yesu si Mungu kutawahusisha Wakristo sio hayo tu mbona kuna mengi yaliyoko ktk Quran yanawahusisha Wakristo? sasa unataka nisusie kusoma kitabu changu kwa kuwa kitamhusisha Mkristo kwa namna moja au nyingine?

Wakristo hawawezi kudai Mtume Muhammad sio Mtume wa mwisho kwasababu hakuna ushahidi ndani ya Biblia kuthibitisha hilo bali Biblia inathibitisha kuja kwa Mtume Muhammad! lakini ktk Quran Allah anakanusha Uungu wa Yesu?

Masihi Issa bin Maryam ni Mtume wa Mwenyezi Mungu na ni tamko lake (Quran:4:171) Kumbukeni waliposema Malaika: Ewe Maryam! Mwenyezi Mungu anakupa habari njema za neno litokalo kwake (la kukwambia 'zaa' utazaa). Jina lake ni masihi, Issa, mwana wa Maryam, mwenye heshima katika dunia na akhera, na ni miongoni mwa waliopelekwa mbele na Mwenyezi Mungu. (3:45)

Na (mtaje yule mwanamke) aliyejilinda, (aliyejihifadhi) nafsi yake, na tukampulizia Roho yetu na tukamfanya yeye na mwanaye kuwa miujiza kwa walimwengu (21:91). Naye atazungumza na watu katika utoto wake na katika utu uzima wake na atakuwa katika watu wema (kabisa) (3:46). Issa (Yesu) alifanya miujiza kadhaa. Muujiza mwingine atakaofanya ni kuwa atarudi tena duniani katika siku za mwisho na atazungumza na watu.

Kisha tukawafuatisha nyuma Mitume wetu na tukamfuatisha Issa bin Maryam na tukampa Injili (57:27). Bila shaka wamekufuru wale waliosema, Mwenyezi Mungu ni Masihi (Issa) bin Maryam (5:72). Na makafiri (Mayahudi) walifanya (hila dhidi yake ili kumuua) na Mwenyezi Mungu akazipindua hila zao na Mwenyezi Mungu ndiye mbora wa kupindua hila (3:54).
 
Huyu alikuwa mfadhili big time,na wala humsikii popote-huyu ufadhili wake sio kibaba cha mchele bali ni megabucks-wewe ushangai nimekuja na hiyo 33% na MS aja doubt

Bora ukae kimya Mohamed Said kukujibu wewe ni kujidhalilisha sana.

Ungekuwa umesoma kitabu cha Mohamed Said wala usingeandika hizo pumba zako.

John Rupia katajwa kwingi kwenye kitabu cha Mohamed Said mmoja wa wafadhili wa TANU kutoka kariakoo misheni kota.
 
Huu mnakasha kama ni pini!mzee mohamed said na nguruvi ndo wakali wenye wimbo halafu ritz mtoa kibwagizo!yericko nyerere ndo aliyetoa jina la wimbo ila kufika studio kachachawa hana mistari kashindwa kuingiza sauti kawaachia wakali kina mzee Mohamed na Nguruvi!halafu mzee mwanakijiji yeye msanii wa zamani ambaye hana jipya washabiki wamechoka na mashairi yake yasiyokuwa na ujumbe anachofanya ni jina tu ndo linamlinda!

halafu we ndio muuza sura wa kwenye mnakasha...
 
Last edited by a moderator:
Muheshimiwa Mwanakijiji,
Salaam na nashukuru kwa yale majibu. Pia nakushukuru kwa kuthibitisha maneno yangu kuwa wewe ni "kizazi cha Mchungaji wa Kanisa" na ulikuwa muhudhuriaji mkubwa na kinara katika vile vikao vya malumbano ya kidini na kina Mwaipopo pale viwanja vya Jangwani!
Your words sound great and they read well, but I can see that still there's distinct differences between us on some issues and technicalities. We are treading on a very fine balance here, and I'm concerned for that intellectual excitement to be curtailed though!?

Inanikumbusha Maulana Ayatollah Al Khomein na S. Rushdie,na hapa naona wewe upo upande wa kina Ayatollah!?

Hayo majibu na maelekezo yenu mlonipa ndo yamenizidisha nianze kujiuliza masuala mengine kadha wa kadhaa! Lakini haina neno.

Yale majibu yako ulonipa kuhusu waTanga wenzio nimekufahamu. Lakini nina hakika kama Waalimu wako Sheikh Pera Bin Ridhwan wa Gombe na Sheikh Khamis Akida Bin Said wangelikua hai basi wangalipata simanzi kidogo. Ama kweli; "mwana wa mwenzio mlee kalala,akaamka amlilia *****"!ahaha!!

Nashukuru pia kina Nguruvi3 na Mag3 kwa majibu yenu, japo nahisi mnacharukwa pita kiasi akitajwa Nyerere hata kwa nia njema tu!? It's about time now, we grow up and stop that kind of North Korea'sKim Il Sung cult worship mentality.

Nyerere alikuwa ni Rais wetu soote, na kumbukeni mema na machafu alofanza kama Stateman/public figure yalitusibu na labda yanaendelea kutusibu soote. Kwa hiyo kutajwa,kulinganishwa na kuendelea kujadiliwa bila ya kashfa wala si jambo baya asilani, na ndo ustaarabu wa kidunia. Tuacheni kuwa too sensitive about Nyerere's legacy,la sivyo siku zoote tutakhitilafiana na kushindwa kutatua majambo yeetu kwa ustaarabu na maelewano ya kikweli.
Si tunaona mifano kadhaa ya wengine kama kina Marshall Tito, Augustino Neto,Samora Machel,Castro,Ho Chi Minh,JFK,Che Guevara,Obama jinsi wanavyojadiliwa kiundani na kwa kina tangia wako hai na mpaka hawapo duniani!?
Hata Nyerere mwenyewe kwa ustaarabu wake alishawahi ku-admit mara kadhaa baadhi ya makosa alohisi yeye binafsi ni "madogo madogo".

Kuna vitu kama 70's Social Experiments,supporting of Milton Obote and his gangs,handling of Zanzibary's affairs and/or Muungano,Nyerere involvement in Nigeria's Biafra Conflict,freedom of expression and speech,Civil Liberty,handling of our economy na mengineyo kadhaa ambayo nahisi Nyerere alifanya/alishauriwa kimakosa!?
However,I equally admire him for his courage,stance and statemanship when it came to International affairs or platforms. Hasa misimamo yake mahiri ilotuwekea sifa kadhaa nje ya nchi kama vile masuala ya Polisario,Palestina,Ukombozi wa nchi za kusini ya Afrika,Non Allignment Movement na mengineyo.

Kwahiyo isionekane kama kila anapotajwa Nyerere ati ni ubaya,Udini au khitilafu fulani na wengine kujiona kama vile huyo Nyerere ni wenu peke yenu! Kwa ufupi tujitahidi kubaki kwenye hii mada ilotuleta hapa,na hayo mengine mengi penye majaaliwa tutafungua thread nyingine ili tuendelee kujuzana kwa taratibu,ustaarabu na amani kama tulivyorithi toka kwa mababu zetu!

Ahsanta.


CC: JokaKuu,Jasusi,Ami,Ritz,Kadogoo,Boko Haramu,The Big Show,Barubaru,Nyambala,Nguruvi3,Mag3,Sheikh Mohammed Said


Ps; Sheikh Mohammed Said
Nisamehe usinione nimeingilia darsa yako kwa kishindo nilikua najaribu kuwarekebisha baadhi ya Jamaa hapa kiduchu na kwa uchechefu nilojaaliwa,na sasa hutonisikia tena maana nahitaji fursa ya kukusikiliza tena kwa utuvu.

Mag3: Lile nilomhusisha Bwana Mwanakijiji na ile mihadhara yake ya malumbano ya kidini na kina Mwaipopo pale Jangwani ulidai ati ulikuwa hulijui hilo,sasa mwenyewe Mwanakijiji amenijibu na amekiri japo kama dasturi yake kiujanja ujanja! Sasa wewe kwenye hilo unawaambia nini hapa Wanajamvi wenzetu,maana mwanzo ulidai huna jibu kamili japo ulijaribu mno kudadavua kwa niaba yake!?

Ndie wewe ulosema unakula muhogo kwa ndezi!? Nakukumbusha si kibanda meno ni kiganda meno! ahahaha!!! Vipi umeutolea Kirare nini!?ahahaha!!
 
Back
Top Bottom