Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
Sawa sawa kabisa. Kwahiyo wanafunzi hao wangesema chochote wewe ungeweka katika kitabu unachosema umefanyaia research.Huwa sijibu swali kama anavyotaka muulizaji.
Najibu swali kwa ufahamu wangu.
Hilo swali nimelijibu.
Nimesema wanafunzi wa Masters wakija kwangu kwa msaada huwa
sioni kitabu changu kwenye literature review yao.
Nikiwauliza kulikoni?
Wanasema kitabu chako kinatisha walimu wetu.
Hawataki hata kitiwe katika bibliography.
Kama hukuridhika na jibu hili langu basi sina la kufanya.
Lakini hebu na wewe jishughulishe kidogo.
Pitia ''dissertations'' za miaka 10 nyuma zilizofanya utafiti unaohusu historia
ya Tanganyika uangalie kama kitabu changu kipo katika bibliography.
Fika hapa Idara ya Historia uangalie na Insha Allah utujuvye.
Majina ya walimu Idara ya Historia si siri.
Lakini tujaalie nimesema fulani na fulani.
Ndiyo iwe nini.
Na wao wakasema nimewasingizia.
Ndiyo itakuwa nini.
Hakuna tija.
Sana sana nitakuwa nimewafedhehesha na watu ''source'' zote zitaniogopa.
Sijui kuweka siri.
Lakini hujaeleza kama wanasema ni wahadhiri wakristo.
Hapa ni wazi umechomeka neno wahadhiri wakristo kwa hisia tu ulizokuwa nazo lakini huna ushahidi wa hilo kutokea.
Bado unaamnisha umma kuwa wewe hukutunga na kwamba umefanya research.
Sioni kwanini uogpe kutaja majina endapo umeweza kutaja jina la B.W. Mkapa wakati huo akiwa mhariri wa gazeti na jinsi alivyoshiriki kuua EAMWS.
Kwa wale mnaoamini kuwa kitabu kikiwa published basi kimejaa ukweli, huu ni ushihidi usio na shaka kuwa ndani ya kitabu hicho kuna mengi sana ambayo si ya kweli na hayana utetezi achilia mbali ushahidi.
Ushahidi kuwa reserach ina walakini kama si duara, na ushahidi kuwa hii ni script ya ngano iliyotumia majina,nyakati na matukio katika mpangilio maridhawa ili kufikia kilichokusudiwa.
Jitihada kubwa katika suala la UDSM ilikuwa ni kuonyesha jinsi gani mfumokristo unavyoonea waislam hadi vitabu vyao haviruhusiwi kufanyiwa reference. Jinsi gani historia ya ''kweli'' ya Tanganyika inavyofichwa na wakristo.
The bottom line is simply to associate christianity with the mission to ignite fury, angst and misunderstand in our society.
Mzee Said, upo tayari kwa jingine la pili !
Hili halikuwa na split decision, lilikuwa clean and well executed upper cut