Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
-
- #12,661
Gombesugu,
Is either you are clever and smart au naive na hujui kitu.(you cannot be both)
Ila one thing am certain, wewe ni mvivu kusoma. Umekuja hapa na kuanza kuchangia hata hujasoma huko nyuma kuelewa mnakasha huu umahusu nini.
Sidhani kama hata umesoma kitabu cha Mohamed Said au hata umesoma moja ya kitabu kinachotumiwa humu kamaa reference..
Serikali ya Tanzania inawajibika kwa maaskofu peke yao tu? waislam hawana haki ya kupeleka malalamiko yao serikalini au unataka kutufahamisha kuwa serikali ya tanzania inawafanyia tu hisani waislam wa tanzania. Waislam ni watanzania kama wengine wana haki kama wakiristu wanalipa kodi serikalini tatizo lenu nyie wakiristu chuki zimewajaa dhidi ya waislam lakini endeleeni kuwaona waislam wapuuzi kwenye malalamiko yao tutafika tu huko mnapotaka twende.
Kazi kweli kweli. Lakin hata sisi tuliobahatika kufanya kazi Bara wakti huo ilikuwa ni aibu kubwa sana kumuonaMwislam aliyesoma na kupata cheo anakwenda msikitini iwe ijumaa au katika Swala za adhuhur au al asr.
Nakumbuka mimi mwenye nilipokuwa wizara ya Fedha ilikuwa nipo pekee miongoni mwa waislam nilikuwa nakwenda kuswali Adhuhur au al asr tena huku msikiti Ngazija (karibu na Hindu mandal ) zaidi zaidi nilikuwa na baadhwi ya madareva tu. Ingawa wengi walisema huyo mwarabu wengine mpemba huyo lakin kwa wale wa bara ilikuwa hakuna kabisa.
na hata nilipopelekwa mwanza nilikuwa kituko kwa wengi kwani ni kiongozi pekee amaye nilikuwa sionekani katika ma bar jioni bali nilikuwa nakaa barza yangu mtaa wa makoroboi karibu na msiki napata kahwa. Kweli wenzetu wa TZ Bara uislam ilikuwa ni aibu na fedhweha kwa msomi na kiongozi. Sikushangaa Kaka Yangu na maalim wangu Al Marhum Kighoma Malima kusemwa kuwa aliunda Msikiti kazini au Kaka Zangu al marhum Burhan Mtengwa na Said Mdidi kupigwa vita kwa sababu walikuwa wanasimamisha swala wakti wote na kila kipindi.
Kweli MS mnafanya kazi za ziada kuwazindua waaislam na uislam ili wajue kuwa Uislam sio tu kuwa muungwana bali ni ustaharabu uliokazania watu kusoma na kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa.
Hakika Mola atakulipa Kwalo.
HAWATAKI KUSKIA SISI TUKISEMA HAYA,ILA WACHA TU TUSEME..
The first President,Julius Nyerere,using dictatorial powers,disbandled Muslims Organisations and confiscated their property.He later supervised the formation of Bakwata by using top goverment leaders,the first vice president,Abeid Amani Karume,and the second vice President Rashid Mfaume Kawawa.The property confiscated from muslims organisations was thereafter handled to the newly formed puppet body.Nyerere had no right to do what he did;,he violated the country's constitution;he used dictatorial powers to deny Muslims their rights.
The trend of commiting injustices against Muslims continued and increased under the goverment of president Ali Hassan Mwinyi.In 1993 saga of pork butcheries,Mwinyi ordered all the machinery of state power to descend upon Muslims in total disregard of complaints which Muslims had earlier on submitted to the goverment.The goverment of Mwinyi allowed and promoted the spread of piggeries in residential areas and the building of bar-rooms in front of mosques.In implementing the church's policy of barring Muslims from propagating their religion through public lectures,for the first time (in TANZANIA HISTORY),the goverment of president mwinyi ordered policemen to storm into mosque and to bomb Muslims.That took place at UWANJA WA NDEG MOSQUE,Morogoro 1994..!,,wengi si mmesahau??tutawakumbusha tuh..
Following the same trend,we have witnesssed under President Mkapa the goverment ordering the killings of Muslims at Mwembechai,in his response,in which he dismised the need to probe the Mwembechai killing,President Mkapa Said;
"... we all know that those disturabances which eventually necessitated the use of great state force to quell had no relation at all with religious matters...",,eeeh mkapa..!,,huogopi muumba??najua wengi pia tumesahau..
Hegave that response knowing full well that the law of the land which demands the carrying out of an inquest on any death in the hands of state organs does not say that,the said death should be in connection with religious matters..
It is quite clear therefore that this decision by President Mkapa,a decision which violates the country's constitution,has been taken out hatred against Muslims..
Bakwata yao wao,na wameiunda wao kutufunga sisi,lakin hawawez kuwafunga ambao akili zao zimefunguka,hilo halitawezekana..
uislam hauchafuliwi na mtu kama unavyojidanganya uislam unajisimamia wenyewe kama dini ya haki ina mwongozo wake wa Qur'an na sunna, huwezi kuchukuwa makosa ya muislam ukayaingiza kwenye Uislam halafu unasema uislam unachafuliwa Ebo! Vipi kuhusu maaskofu na wachungaji mashoga wanawawakililisha nyie wakiristu. Unawasemea waislam kuwa wanamchukia kumsoma Mzee Mohamed Said unachekesha sana.
Hilo ni moja ya tatizo kuu la wachangiaji wengi ktk mnakasha huu.
Ndio sababu mara nyingi mimi nasoma tu na kupita mkuu Yericko Nyerere!
Weka takwimu Mohamed.
Noticeable ni general term ambayo mtu yoyote anaweza kuitumia. Wasababto wanaweza kusema there is noticeable increase of Wasabato.
Hapo hawana maana kuwa ongezeko ni zaidi, noticeable inaweza kuwa relative term.
Mfano kama mwaka 1960 wakristo waliosilimu ni 100 na mwaka 2013 ni 5000 unaweza kusema noticeable.
Hii haina maana kuna ongezeko kwasababu hujaangalia ongezeko la population Mohamed Sadi! Noticeabla ni general term na ni relative term. Ukitaka ueleweke weka namba. Mtaani watasema hivyo katika academic arena that's fumbling big time
[
Parallel with this was the mass conversions of Christians to Islam particularly in Tanzania. In Sumbawanga a predominant Catholic area at one time 2000 Christians converted to Islam and in Kagera 3000. In Kagera Yusuf Makaka a pastor from the Lutheran Church reverted to Islam, was able single handed, to convert 3000 Christians in rural Lake Region and built a mosque.
99
Kazi kweli kweli. Lakin hata sisi tuliobahatika kufanya kazi Bara wakti huo ilikuwa ni aibu kubwa sana kumuonaMwislam aliyesoma na kupata cheo anakwenda msikitini iwe ijumaa au katika Swala za adhuhur au al asr.
Nakumbuka mimi mwenye nilipokuwa wizara ya Fedha ilikuwa nipo pekee miongoni mwa waislam nilikuwa nakwenda kuswali Adhuhur au al asr tena huku msikiti Ngazija (karibu na Hindu mandal ) zaidi zaidi nilikuwa na baadhwi ya madareva tu. Ingawa wengi walisema huyo mwarabu wengine mpemba huyo lakin kwa wale wa bara ilikuwa hakuna kabisa.
na hata nilipopelekwa mwanza nilikuwa kituko kwa wengi kwani ni kiongozi pekee amaye nilikuwa sionekani katika ma bar jioni bali nilikuwa nakaa barza yangu mtaa wa makoroboi karibu na msiki napata kahwa. Kweli wenzetu wa TZ Bara uislam ilikuwa ni aibu na fedhweha kwa msomi na kiongozi. Sikushangaa Kaka Yangu na maalim wangu Al Marhum Kighoma Malima kusemwa kuwa aliunda Msikiti kazini au Kaka Zangu al marhum Burhan Mtengwa na Said Mdidi kupigwa vita kwa sababu walikuwa wanasimamisha swala wakti wote na kila kipindi.
Kweli MS mnafanya kazi za ziada kuwazindua waaislam na uislam ili wajue kuwa Uislam sio tu kuwa muungwana bali ni ustaharabu uliokazania watu kusoma na kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa.
Hakika Mola atakulipa Kwalo.
Mohamed Said said:While under JomoKenyatta and Daniel Arap Moi Kenya has experienced torture and executions,
Mohamed Said said:Uganda experienced mass executions during the reign of Idi Amin Dada. In other words Africans have experienced terror even before the word terror became fashionable.
Wickama,
Nilikuwa nimeingia na KLM kutoka Dar na tiketi wamenunua
wenyewe Waamerika.
Amsterdam naunganisha na Delta kwenda US.
Kuhusu paper.
Katika duru hizo msimamo wangu wanaujua.
Nilikamatwa mwaka unaofuatia yaani 2007
nikitoka Tehran kuhudhuria hawli ya Imam
Khomeni.
Mwaliko huo wengi kutoka Tanzania walialikwa
na tulipanda ndege moja Emirates.
Nadhani sasa umeipata picha.
Wanajamvi, naomba niwekane sawa na Mohamed Said, hasa juu ya dhihaka na hamaki yake niliposema kuwa nimeandika kitabu na kinafadhiriwa na ubalozi wa USA nchini,
Ndugu Mohamed, umeonyesha hamaki na dharau ya ajabu sana nilipokujuza kuwa mimi nimeandika kitabu kiitwacho Vita dhidi ya Ugaid,
Hilo naamini na nilitegemea iwe hivyo kwako, limekustua kwakuwa siku zote uliamini wewe ni alfa na omega,
Sasa na kazia kukujuza kuwa kwenye uwanda wa vita vya ugaidi na siasa za amerika kamwe wewe si wa HADHI yangu, nasema hivyo kwakuwa wewe si mbobevu wa siasa za Magharibi, bali siasa zako ni za Mzizima na viunga vyake tu, nje ya hapo ni dini na udini.
Hebu jisomee andiko hilo hapo chini kutoka kwenye kitabu changu kiitwacho "VITA DHIDI YA UGAIDI"
Wanajamvi, naomba niwekane sawa na Mohamed Said, hasa juu ya dhihaka na hamaki yake niliposema kuwa nimeandika kitabu na kinafadhiriwa na ubalozi wa USA nchini,
Ndugu Mohamed, umeonyesha hamaki na dharau ya ajabu sana nilipokujuza kuwa mimi nimeandika kitabu kiitwacho Vita dhidi ya Ugaid,
Hilo naamini na nilitegemea iwe hivyo kwako, limekustua kwakuwa siku zote uliamini wewe ni alfa na omega,
Sasa na kazia kukujuza kuwa kwenye uwanda wa vita vya ugaidi na siasa za amerika kamwe wewe si wa HADHI yangu, nasema hivyo kwakuwa wewe si mbobevu wa siasa za Magharibi, bali siasa zako ni za Mzizima na viunga vyake tu, nje ya hapo ni dini na udini.
Hebu jisomee andiko hilo hapo chini kutoka kwenye kitabu changu kiitwacho "VITA DHIDI YA UGAIDI"
Yericko Nyerere, hivi hiko kitabu chako kitapata wateja tanzania kweli, mbona kimekaa kama hadithi za sinema za kina Rambo na Jack Chain. Nimesoma huo ukurasa wako naona unazunguka tu na Osama mwanzo mwisho huelezi ugaidi ni nini.
Gombesugu, mimi uliposema WML lipumzike kwasababu Mohamed hana majibu mazuri juu yake nililiacha.
Naona unalirudisha kwa mlango wa tuhuma. Siku zote wewe hunikabli kama mimi unazunguka zunguka.
Ndugu yangu sema Nguruvi3 amesema abcd.
Kuhusu sheikh Rukara nimweka wazi kuwa alikuwa anafanya harakati katika misikiti na Mohamed anajua hili ndio maana hataki kabisa kulijadili. Harakati zao ni za kisiasa zikihusisha dini.
Huyu alipewa passport na alikuwa karibu sana na serikali ya wakati huo ambayo ilijua kuwa ni Mrundi, anaendesha siasa misikitini na anaendesha siasa za vikundi vya Warundi.
Kuondoka kwa World Muslim League ni matokeo ya ufisadi mkubwa wa fedha uliofanywa na huyu sheikh.
Utanzania na uwakilishi kama Mtanzania aliupata kutokana na kuwa na mahusiano na viongozi wa juu wa serikali.
Kutokana na hilo yeye aliishi nchini si kama mfanyakazi wa WML bali Mtanzania. Kibali chake cha ukazi kiligeuzwa kuwa cha Uraia katika maingira ambayo hayaeleweki na yenye utata kwa kutumia mfumo ambao si kristo.
WML ni shirika la Kimataifa ambalo liliruhusiwa kufanya kazi hapa kama mashirika mengine.
Mohamed amedai katika maandiko yake kuwa mashirika ya waislam hayaruhusiwi kuwa na uhusiano na Tanzani.
Hili ni mfano mzuri wa uongo, uzushi na jinsi anavyofinyanga akili za watu ambao ni disadvantaged au wamegoma kabisa kutumia akili zao au basi tu wanachuki na Nguruvi kana wewe ndugu yangu.
Mohamed hataki kuzungumzia WML kwasababu anajua uchafu ndani yake.
Hakuna mwenye interest ya kujadili WML kwa kuzingatia kile kilichofanyika ikiwemo matumizi mabaya ya fedha za elimu, afya na misaada zilizotumika kujenga nyumba na si kuwaendeleza waislam.
Lakini basi kama mfumokristo upo na unafanya kazi ilikuwaje mtu huyu ambaye si raia akaachiwa kupata uraia, kukiuka taratibu za uhamiaji na ukazi bila kuchukuliwa hatua? Nguvu gani ilimlinda wakati huo!
Sasa kama unataka tuendelee kumchambua Rukara basi tutaishia kumwita jina la mtaani na si sheikh.
Mohamed anajua hili ndio maana hataki kabisa WML kujadili.
Gombesugu, kama kuna mkristo au yoyote aliyeishi maisha kama Rukara naye ni mhuni tu, hakuna mhuni mzuri au mbaya, mhuni ni mhuni tu.
Tatizo la watu wanaojenga hoja kwa ulinganifu kama wewe huishia kubomoa hoja zao hata kama zinamatiki.
Mfano waislam wanasema wanataka mahakama ya kadhi kama sehemu ya ibada jambo ambalo ni kweli kabisa.
Wanaonyesha mahakama hizo zisivyo na athari kama ilivyo kwa nchi zingine, jambo la kweli.
Wanabomoa hoja wanaposema tupewe pesa kama wakristo! maana yake si kwasababu ya ibada bali ulinganifu wa ''sisi na nyie''. Hoja inakufa kirahisi sana
Baadhi ya waislam wanahoji kwanini waislam wengi wapo magereza kuliko wakristo. Hapa wanaacha kutafuta tatizo na chanzo wanatafuta ulinganifu! kana kwamba kwenda magereza ni selection. Hoja inakufa kirahisi
Wanasema kwanini shule za wakristo zinafaulisha sana, hawajiulizi kwanini za kiislam zinafelisha. Hoja inakufa
Na wewe unasema Rukara '' ana haki'' kwasababu yupo mkristo alifanya abacd. Hoja inakufa.
Jaribu kujenga hoja isimame bila kuegemea mahali.
Sasa turudishe hili la WML kama una hoja zaidi.
Yericko hiko kitabu chako nikikitia mikononi nakitia moto..!
Umeandika nini sasa.?ndio kitabu hiko?
Huna adabu kabisa,liombe radhi jukwaa hili..