Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

... koh koh koh.... ukweli haubadiliki kuwa uongo kwa sababu huupendi. Ndugu yangu na wewe hujui tofauti ya "kuhutubia Bunge" na kuzungumza na Wabunge na implication ya yote mawili?
Kweli ukweli hauwi uongo!.
Nyerere hawezi kuwa muasisi wa TANU ilhali waasisi wanajulikana.Ukweli mwengine ni kuwa alionesha dharau kwa waasisi wa harakati za kudai uhuru.
Mimi yawezekana sijui tofauti hiyo lakini nionavyo tofauti haibadili ukweli kuwa Balozi Royal ndiye aliyeathiri wabunge mpaka wakapitisha sheria inayoendelea kulifarakanisha taifa.
 
Anachokanusha ni kipi?.Hebu angalia hii sentensi:
Addressing Members of Parliament in Dodoma on the subject of «Blood Money and Financing Terrorism», the US ambassador to Tanzania, Robert Royall said: «We are proud to be your partners in this effort and I am deeply grateful that you have given me this opportunity to advance some of my thoughts on the topic of financial crimes, and especially in the matter of money-laundering».

Ikisemwa addressing members of parliment wapi inaonesha kuwa kitendo hicho kilifanyika kwenye ukumbi anapokuwepo spika?.Hata wakiwa kwenye kamati bado ni members of parliment.Sasa ni wapi alipokosea Mohammed?.
Kivi cha akina Mwanakijiji hakijaweza kuwaficha na aibu iliyowakumba.
 
Kwani kushika nyadhifa ndio hoja unamjua mtu anayeitwa ABDU JUMBE chunguza mambo yaliyo mkuta ndio utajua baba yako wa taifa alichokifanya kasome kitabu kinachoitwa THE PARTNERSHIP.

Ujinga ni sawa na ugonjwa wa akili, Boko Haram umetekwa na udini unashindwa kujua siasa na dini. Utawala na Imani najua malengo na nguvu zinazowekezwa kwenye udini wenu. LAKINI UJUE ATOBOAYE MASHUA bila kujua na yeye ni msafiri huyo Babu yako anakuzamisha nawewe pia. Kazana lkn ujue wewe unaumwa akili
 
Kuna tofauti kubwa kiprotokali. Kuhutubia bunge ni heshima ya kipekee. Kukutana na wabunge ni kitu cha kawaida sana. Anaweza kuja Kikwete hapa Marekani atakutana na wabunge kadhaa. Lakini anaweza kutunukiwa heshima ya kipekee kwa kukaribishwa kuhutubia bunge. Kwenye protocal hizo ni tofauti kubwa sana. Na kwa nchi nyingi itakuwa kiroja kwa balozi wa nchi moja kuhutubia bunge la nchi nyingine.
 

Platozoom.

Hili ni moja la ndugu zetu nyie MNAPENDA KUUFICHA UKWELI NA KUKUBALI KWA MOYO KABISA KUSAMBAZA UONGO. Ni vizuri mjue kuwa huwezi kuuficha ukweli kamwe na siku zote kwa Mola ukweli unasimama na uongo unajitenga.

Chuki za kidini huko Tanganyika zimepandikizwa toka enzi za wakoloni katika sera yao ya Divide and Rule. Kenya na Uganda walitumia ukabila jambo ambalo mpaka leo wanapambana nalo. na Tanganyika kwa kuwa kulikuwa na makabila mengi sana walitumia UDINI. na mkajaribu kuuficha na sasa ndio ukadhwihiri.

Mtu ataswifiwa kwa matendo yake. Kama ulifanya mabaya nasi tutaendelea kusema yale uliyotenda kama mnavyofanya kumsema Savimbi kuwa aliua wengi . Na Nyerere atasemwa kwa matendo yake na hata swifa alizoongezewa kama hakutenda nazo tutazisema.

nimewauliza mnasema kuwa NYERERE kaleta AMANI Tanganyika na hata Tanzania. Nimeuliza je ni amani gani aliyoileta huko ambayo haikuwepo wakati yeye anaingia madarakani? je kulikuwa na vurugu baina ya nani na nani mpaka yeye kawapatanisha na kujenga amani ambayo ipo mpaka sasa.

nasubiri jibu lenu. Kwani swifa hizo za kuongezewa pasi na kuzitenda zina madhwara makubwa sana kwa vizazi vijavyo na kuharibu historia yenu.

Pole sana
 

Kuna jamaa wawili wafuasi wa Nyerere na ni mtume wao wanasema hiyo tarehe kulikuwa hakuna kikao chochote cha bunge.

Tena wanasema ni uongo hawa jamaa uwa wanakubaliana kila kitu hata kama ni pumba.

Nilicheka walikubaliana kuwa Nyerere alikuwa anafanya mikutano ya TANU nyumbani kwake Pugu.

Ukimsoma Nyerere mwenyewe anasema kila jumamosi alikuwa anakuja mji kufanya mkutano mpaka wazee wa gahawa na kashata wakamnunulia baiskeli...

Halafu anatokea kauzu mmoja anasema TANU imeundwa Pugu.
 
Kwaiyo kama Issa Simba kakubali kuwa kibaraka kwa njaa zake basi unataka kuwaaminisha waislam wamfuate kwa kuwa tuh yeye anaongoza BAKWATA chombo chenu??
Hoja hapo sio Mufti wenu Simba,Hoja hapa ni hiyo BAKWATA yenu..

Mzee wagesi,

Tatizo lenu(wadini, wabaguzi wa kidini, wafuasi wa Mzee Said) mnahusiha uislamu na waislamu.

Mufti Issa bin Simba ni muislamu, yeye pamoja na waislamu wengine ambao wanashirikiana na Bakwata na wapo Bakwata ni waislamu kama Mzee Said na Waislamu wengine.

Hakuna grades za Uislamu.

Sasa kama nyie mnasema Bakwata ni chombo chetu, Je

1. Hawa waislamu wa Bakwata na washiriki wake ni Traitors?

2. umekubali kuwa Mifti Simba na pro Bakwata ni waislamu, je Mzee Said na nyie wafuasi wake mnaposema "waislamu" wamefanya hili na lile.. Huwa mnamaanisha waislamu gani? Kwasababu nyie na Bakwata hampo pamoja.. Sasa inakuwaje mnageneralize waislamu? Mfano mnaposema Nyerere hama respect among waislamu...

Waislamu gani? Pro bakwata au nyie...

Its about time mnaposema kuhusu waislamu muwe mnabainisha waislamu wapi, kwasababu hamuwezi kuwasemea watu ambao mnapingana nao na hamuelewani..
 

Ami.

Unajuwa tena wanatafuta pa kutokea hawapaoni. Tuzidi kuwasaidia kwani sisi tunapambanua ukweli na usahihi wa mambo wao wapo lutaka kuficha baadhwi ya mambo na kujiongezea swifa za ziada.

Nimewauliza hapo awali wanaeleze JKN alileta amani gani hapo Tanganyika ambayo ilikuwa haipo wakati wa mkoloni. Naona kimya. ok navuta subra kuwasubiri watafakur.

 
Let me give you a piece of an advice,,
Boko,mpumbavu mpuuze tuh,mjadala huu unaheshima sana..
Tuilinde heshima yetu Boko..
THE BIG SHOW, mbona unamdanganya mwenzio? hivi unaheshima gani hapa jamvini? wewe ni mjinga na mpuuzi uliyekubuhu, bahati mbaya sana hujijui kabisa kwamba wewe ni jinga la kutupwa unayefugwa kwenye gunia la wajinga wa Mohamed Said! shame on you embicile boy!
 

Jasusi.

Je unaweza tafsiri maneno paragraph hii ili unipe taswira halisi mwandishi alikusudia kutupa ujumbe gani?


Addressing Members of Parliament in Dodoma on the subject of «Blood Money and Financing Terrorism», the US ambassador to Tanzania, Robert Royall said: «We are proud to be your partners in this effort and I am deeply grateful that you have given me this opportunity to advance some of my thoughts on the topic of financial crimes, and especially in the matter of money-laundering».
 

Naanza kuwa na mashaka na uwezo wako wa kuelewa ndugu yangu; hatujazungumzia suala la substance ya kile kilichozungumzwa. Au na wewe Kiingereza kinakutupa mkono? Is "address to the Parliament" the same as "addressing members of Parliament"? When one says "address to the Parliament doesn't the propose the idea that the Parliament was in session and this 'somebody' appeared before it and was given an opportunity "to address" the honorable members? Kumbukumbu zangu zinanikumbusha kuwa kiongozi wa nje wa mwisho kuhutubia Bunge (to address the Parliament) alikuwa ni Rais wa Komoro alipoenda kutoa shukrani baada ya Tanzania kusaidia kumuondoa Bakar na kurudisha nchi nzima chini ya Anjouan.

Kuna ubaya sana kusahihisha lugha ili kuelezea kitu kwa usahihi?
 

Ritz.
Hii ni kutaka tu kumpa swifa ambazo hazikuwa zake kama hizi za kuwa Nyerere kaleta amani Tanganyika na hata Tanzania.

tuzidi tu wapa darsa ipo siku watatambua ukweli.
 

Sasa ukiwa na mashaka wewe ni nani? Unataka kulazimisha vitu. Barubaru usiyamwagie maji ----- wazee wanaoga.
 

Labda nimuulize Barubaru, Unaelewa nini mtu anapokwambia "Kiongozi fulani amehutubia Bunge"?

Hivi mpaka sasa hili kuna watu hawajalielewa, serious?!!
 
Last edited by a moderator:
Ritz.
Hii ni kutaka tu kumpa swifa ambazo hazikuwa zake kama hizi za kuwa Nyerere kaleta amani Tanganyika na hata Tanzania.

tuzidi tu wapa darsa ipo siku watatambua ukweli.

Kaleta amani gani wakati Nyerere kaja Dar es Salaam miaka ya 1950 kakuta wazee wanaishi kwa upendo msome Nyerere hapo juu kwenye maandishi ya blue kama kakuta Mzizima kuna vita.
 
Asante sana gombesugu kwa somo...kumbe ni heri kuwa muongo kuliko kuwa mlevi! Kumbe ndiyo maana Al Akhiy Mohamed Said anapewa "pass!" Ningekuomba usipate taabu kuniweka kwenye "shit list", hapa ni JF, koleo linaitwa kwa jina lake na tendo hilo sidhani kama litanipunguzia chochote humu. On a serious note, kweli hata wewe unanyamazia uongo kama huo unapohubiriwa hadi nchi za watu kama Nigeria! Come on gombesugu, jipe angalau ujasiri japo wa kutoa ushauri kama wa kukemea umeshindikana...I thought you were better than that!

FYI, uongo umewahi kusababisha mitafaruku isiyo kifani kati ya mtu na mtu, jamii na jamii na nchi na nchi...bahati nzuri bado tunao watu wasiowafumbia macho waongo, wasengenyaji, wachonganishi na wachochezi, hizi ni tabia za hatari kweli kweli!
The truth may hurt for a little while but a lie hurts for ever!
 
Last edited by a moderator:

Naona bado umepatwa na mshutuko hebu kunywa juice ya ndimu japo class moja.
 
 
Kunradhi kwa kukita Gombe badala ya Gombesugu.
Pili, usijisikie mnyonge ndio mnakasha! mbona mimi najisikia bukheri kuwa katika ''list ya shit'' tena nipo top nikinywa juisi ya baridi sasa naambiwa ya ndimu.
Ukishaamini unachosimamia halafu ukafanya matumizi kidogo ya medulla hutapata unyonge aslani ustadh.
 

Barubaru,
Kosa alilofanya mwandishi ni kutoa sweeping statement bila clarification. Alipaswa kutaja kama alihutubia wabunge wote kwenye ukumbi, jambo ambalo halikutokea. Kwa sentenso hiyo ameacha taswira kama balozi alihutubia wabunge wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…