Nimetoa hoja za kuthibitisha kwamba ama Nyerere ni MNAFIKI au ni CHIZI. Sasa wewe chagua moja kati ya sifa anayostahili ama MNAFIKI au CHIZI. Kama una hoja ya kumnusuru kutoka kwenye sifa mojawapo kati ya hizo alizojijengea mwenyewe kutokana na hotuba yake kama ilivyowewekwa na muanzisha thread hii, basi mnusuru kwa hoja.
Sasa wakati unatafakari unamwaga matusi si ndio?
Majibu yako rahisi sana. Kenya kuna makabila yalikuwa na machifu. Wanandi ni mojawapo ya makabila hayo.. Lakini kwa sababu Kenya ilikuwa ni koloni machifu hawakuwa na mamlaka makubwa kama waliyokuwa nayo machifu wa Tanganyika na Uganda. Uganda uchifu uliwatesa mpaka Obote alipopambana na Kabaka mwaka 1966 na kumlazimisha kabaka kukimbilia Uingereza. Museveni alirudisha uchifu lakini wamebaki kuwa ceremonial heads kwani mamlaka yote yamo kwenye serikali yake. Kwa sababu katika Tanganyika utawala wa Waingereza ulikuwa indirect rule machifu walijikuta wakiwa very powerful. Na kuhusu lugha ya taifa, Uganda ni Kiingereza na Kiganda wakati Kenya walipitisha Kiswahili kuwa lugha ya taifa licha ya upinzani wa akina Charles Njonjo. Hata Museveni alipendekeza Kiswahili kiwe lugha ya taifa lakini kuna upinzani mkubwa kutoka kundi la Baganda. Umesema nikutajie makabila 20 ya Uganda? Haya: Acholi, Alur, Baamba, Babukusu, Bagisu, Bakiga, Banyankole, Banyoro, Banyole, Baruli (hawa wako Musoma pia) Basoga, Bateso, Batoro, Karamoja, Langi, Lugbara, Nubi, Pokot (hawa wako Kenya pia) Banyabindi, Banyaruguru, Banyabutumbi, Barundi. Sijui ni wangapi hao, lakini inakupa picha kuwa kuna makabila 64. Na kwa nini Kiswahili ni lugha ya taifa Tanzania hilo na wewe nina hakika unalo jibu lake. Capice?Je kenya na Uganda hakukuwa na machifu?
Je unaweza nitajia makabila 20 tu ya kenya na 20 ya Uganda?
Je unaweza niambia Lugha ya taifa (local language)ya kenya na Uganda ni ipi?
Na kwanini lugha ya Taifa ya Tz ni kiswahili?
Wickama,
Nifafanulie sielewi "kubana" umekusudia nini.
Wala sijafahamu mie nitafute kitu kipi.
Mwanzoni nilikukasirikia lakini sasa imebidi nicheke! Japo si kicheko cha furaha.
Naona mnakasha umeshageuka kutoka wazee wa Gerezani hadi mapinduzi ya Zanzibar.
Hatrage! Hate aginst Nyerere, kila mtu analeta sehemu aliyokwazwa na Nyerere na kupitia hizo chuki wanaungana kuwa kitu kimoja.
Hatrage! Hate aginst Nyerere, kila mtu analeta sehemu aliyokwazwa na Nyerere na kupitia hizo chuki wanaungana kuwa kitu kimoja.
Kwani wewe umegeuka kuwa prefect wa jukwaa hili? Ebo!Quotations zisizohusiana na hoja husika zinalenga kuwapotosha watu. Badala ya kujibu hoja unakimbilia kuunganisha vipande ambavyo havihusiani ili angalau uonekane unachangia kwenye hoja nilizoweka. Hapa hatupo kwenye mchezo wa kuigiza. Ama unajibu hoja au unakaa kimya kama huna ubavu wa kujibu kama wenzako wengi niliowauliza wameamua kukaa kimya. Wewe unapokuja bila hoja humu halafu unaanza kujichekesha unamchekea nani?
Kwani wewe umegeuka kuwa prefect wa jukwaa hili? Ebo!
Majibu yako rahisi sana. Kenya kuna makabila yalikuwa na machifu. Wanandi ni mojawapo ya makabila hayo.. Lakini kwa sababu Kenya ilikuwa ni koloni machifu hawakuwa na mamlaka makubwa kama waliyokuwa nayo machifu wa Tanganyika na Uganda. Uganda uchifu uliwatesa mpaka Obote alipopambana na Kabaka mwaka 1966 na kumlazimisha kabaka kukimbilia Uingereza. Museveni alirudisha uchifu lakini wamebaki kuwa ceremonial heads kwani mamlaka yote yamo kwenye serikali yake. Kwa sababu katika Tanganyika utawala wa Waingereza ulikuwa indirect rule machifu walijikuta wakiwa very powerful. Na kuhusu lugha ya taifa, Uganda ni Kiingereza na Kiganda wakati Kenya walipitisha Kiswahili kuwa lugha ya taifa licha ya upinzani wa akina Charles Njonjo. Hata Museveni alipendekeza Kiswahili kiwe lugha ya taifa lakini kuna upinzani mkubwa kutoka kundi la Baganda. Umesema nikutajie makabila 20 ya Uganda? Haya: Acholi, Alur, Baamba, Babukusu, Bagisu, Bakiga, Banyankole, Banyoro, Banyole, Baruli (hawa wako Musoma pia) Basoga, Bateso, Batoro, Karamoja, Langi, Lugbara, Nubi, Pokot (hawa wako Kenya pia) Banyabindi, Banyaruguru, Banyabutumbi, Barundi. Sijui ni wangapi hao, lakini inakupa picha kuwa kuna makabila 64. Na kwa nini Kiswahili ni lugha ya taifa Tanzania hilo na wewe nina hakika unalo jibu lake. Capice?
Naona unazidi kujikoroga mwenyewe.
Mimi nimekupambanulia vizuri kabisa katika utawala wa mkoloni na syile yake ya gawa na utawale kwa kenya na Uganda alitumia ukabila kwa sababu kenya na uganda hawakuwa na makabila mengi. (kenya hawakuwa na makabila zaidi 11 na uganda makabila 13 nchi nzima.
Upande wa tanganyika ambao kwa wakti huo kulikuwa na makabila zaidi ya 85 alitumia UDINI yaani dini moja kuwa superior kuliko nyingine na hata kutumia resource za taifa kunufaisha dini moja kwa kujenga maskuli na mahospital ili aweze kutawala.
hebu nikuulize je uliwahi kusikia imeitishwa harambee kujenga hospital kama KCMC au Bugando au skuli kama Ilboru au Umbwe au Pugu sasa jiulize pesa hizo waliyoa wapi.
sasa sumu hiyo iliyopandwa wakti huo na kufukiwa na JKN kwa kipindi kirefu sana ndio sasa inawaka kwa kishindo.
nakushauri soma kitabu cha Dr Silvalon kinachoitwa Kanisa katoliki na siasa za Tz bara 1953 - 1985 utagundua mengi sana humo.
Mohamed,
Nimeisoma sana. Nimemsoma Judith Listowell na sasa nabukua John Illife. Kuna mahali baada ya Takadir kuvuliwa uongozi wa wazee wa TANU Listowell anasema Nyerere alionekana kuchukua uamuzi wa kidikteta. Nimeipata nukuu, ngoja nikumegee kidogo:\
"The Elders' Section indicated the great respect shown age in African society. A place had been created fore the wazee so that their traditional authority could be used within the party. Their first leader was Sheik Suleman Takadi; it was he who, nine months later, criticised at an elders' meeting the absence of Muslim candidates from the Tanu election list. It is revealing of both Nyerere's resentment of religious (and racial) partisanship, and of one of his rare dictatorial flashes that he promptly expelled the Sheik from the party. To this day (1965) Takadir complains, rightly, that this action was unconstitutional as only the elders could have dismissed him."
Judith Listowell, "The Making of Tanganyika," pages 303-304.
Mohamed, bado unashikilia kuwa sijui historia ya TANU?
Uliniambia ulibanwa ndio maana ya kuandika masuala ya mboga na kupishwa chumba JKN, sasa ndio maana nikasema basi nawe jitahidi umbane mtu!!!! Hakuna zaidi ya hapo
Mohamed,Jasusi,
Wewe umepokea kwa Judith Listowel.
Mimi nimekaa na Sheikh Haidar Mwinyimvua.
Sheikh Haidar Mwinyimvua ni mmoja wa wajumbe wa Baraza la Wazee.
Halikadhalika alikuwa rafiki wa Sheikh Suleiman Takadir kisha wote ni
wa TANU Mvita Branch moja ya matawi yaliyokuwa na nguvu Tanganyika
nzima.
Wazungu waijue historia ya TANU kunishinda mie mjukuu wa mashujaa hawa?
Huo ni muhali.
Sheikh Haidar Mwinyimvua ni katika watu wa mwanzo kufahamiana na Nyerere.
Na ndiye alikuwa fundi wake wa kushona suti kwani Sheikh Haidar alikuwa fundi
cherehani mzuri wa wakati wake.
Sheikh Haidar alikuwapo siku ile Sheikh Takadir alipomtuhumu Nyerere kuwa hatowajali
Waislam.
Si Listowel wala Iliffe anaweza kuwajua watu hawa kunishinda.
Mie nimeishi na wazee hawa toka udogo wangu hadi hawa wazee walipoondoka duniani.
Walinipa mengi kuhusu TANU na Nyerere.
Sahihisho kwa Lady Listowel.
Mwaka 1965 Sheikh Takadir alikuwa hayupo duniani.
Wazungu waijue historia ya TANU kunishinda mie mjukuu wa mashujaa hawa?
Huo ni muhali.
Sheikh Haidar Mwinyimvua ni katika watu wa mwanzo kufahamiana na Nyerere.
Na ndiye alikuwa fundi wake wa kushona suti kwani Sheikh Haidar alikuwa fundi
cherehani mzuri wa wakati wake.
Sheikh Haidar alikuwapo siku ile Sheikh Takadir alipomtuhumu Nyerere kuwa hatowajali
Waislam.
Si Listowel wala Iliffe anaweza kuwajua watu hawa kunishinda.
Mie nimeishi na wazee hawa toka udogo wangu hadi hawa wazee walipoondoka duniani.
Sikujua kama mada ni kumpinga Nyerere na hiyo kwenye "bold" utakuwa umeongezea kutokana na darasa alilotoa Wickama kuhusu EAMWS ila mimi nakuhakikishia wanaopinga uchochezi wa Mohamed Said, wanatoka dini zote, makabila yote na kanda zote bila kubaguana kwa namna yoyote ile...turudi kwenye mada.Nyie mbona mmeungana kumshambulia Mohamed Said kutoka na dini yake. Umeishajiuliza kwa nini mmeungana Wakiristo wote na watu wa Musoma kumtetea Nyerere.
Je kenya na Uganda hakukuwa na machifu?
Je unaweza nitajia makabila 20 tu ya kenya na 20 ya Uganda?
Je unaweza niambia Lugha ya taifa (local language)ya kenya na Uganda ni ipi?
Na kwanini lugha ya Taifa ya Tz ni kiswahili?
Jasusi, una roho ngumu!...yaani unahangaika kujibu hayo maswali ya kipuuzi!Majibu yako rahisi sana...
Zali la Mentali,naona jamaa wameamua kukuvesha u-kiranja kabisa..Ama utakua unaota au umechanganyikiwa. Kitu gani kinachokufanya uone nina hadhi ya kuwa prefect?