Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Mzee Saidi hoja yangu hapo kama utakumbuka umeshawahi kuambiwa mara nyingi kuhusu ujuzi wa masuala ya hapo kwetu kuwa tunayafahamu zaidi kuliko wageni wa nchi hiyo. Hilo wewe ulikuwa hulikubali sasa naona sasa hivi umekiri mwenyewe!!!!!
Kwanza tuwekane sawa.
Chadema tawi la Marekani lina viongozi wake. Na mimi si mmoja wao. Pili, Mohamed ametuarifu kuwa Nyerere alifahamiana na Sykes mwaka 1953. Wewe unambishia?
Wickama,
Ni tabu labda wewe kuniamini lakini kuhusu
BAKWATA niamini mimi ni "authority" katika
somo hilo.
Waislam kwa miaka mingi sasa hawashughulishwi
na BAKWATA.
Waislam wanahangaishwa na ustawi wao na katika
hili zipo taasidi nyingi nchi nzima zinajiendesha kwa
juhudi za Waislam.
Kwa hiyo si kweli kuwa Waislam wanaihitaji BAKWATA.
Wanalia na BAKWATA wakati sheria za NCHI hii haziwazuii kuanzisha taasisi nyingine huru ya Kiislam hata kama ni kuirudisha EAMWS! Badala yake wanamtumia Sheikh Ponda kuvamia viwanja vya watu na kujenga msikiti wa mahema na kuuita wa Sheikh Amir!Mzee Mohamed anajua sana "brainwashing"
wewe ritz nawe unaubongo gani wa kumpa mtu mtego.. Hapo nachoona hujajibu hata hoja moja ya wickama
Wickama,
Ni tabu labda wewe kuniamini lakini kuhusu
BAKWATA niamini mimi ni "authority" katika
somo hilo.
Waislam kwa miaka mingi sasa hawashughulishwi
na BAKWATA.
Waislam wanahangaishwa na ustawi wao na katika
hili zipo taasidi nyingi nchi nzima zinajiendesha kwa
juhudi za Waislam.
Kwa hiyo si kweli kuwa Waislam wanaihitaji BAKWATA.
Wickama,
Ni tabu labda wewe kuniamini lakini kuhusu
BAKWATA niamini mimi ni "authority" katika
somo hilo.
Waislam kwa miaka mingi sasa hawashughulishwi
na BAKWATA.
Waislam wanahangaishwa na ustawi wao na katika
hili zipo taasidi nyingi nchi nzima zinajiendesha kwa
juhudi za Waislam.
Kwa hiyo si kweli kuwa Waislam wanaihitaji BAKWATA.
Naona unajichanganya mie nakueleza habari za polisi kuvamia Msikiti wewe unaniletea habari za Chadema kwa hiyo Chadema ni chama cha Wakirsto.
Nataka unipe orodha ya Makanisa mangapi yamevamiwa na polisi na kupigwa mabomu.
Nipe na orodha ya Maaskofu wangapi wamekamatwa na polisi na kufungwa.
YA VIPI TENA? hazina msaada?. Mimi situnzi kumbukumbu ya makanisa ya makanisa yaliyochomwa moto, kuvamiwa, au kufungwa. Taarifa zitafute Vituo vya haki za kibinadamu au Polisi au CCT. Idadi ya mapadri waliofungwa au kukamatwa na polisi takwimu zake zinakaa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi na Magereza.
Kama mimi ni Mkiristo na wewe ni mwislamu Poa. Ritz; Hujaumba hata paka wewe. Aliyetuumba SISI tusiosafi kama wewe ndiye atajua atatupeleka wapi. Hapa ni hoja na ushahidi na majibu. Hakuna vuvuzela.
Vipi tena kuhusu nini? Kama utunzi takwimu za polisi kwa nini sasa unatetea polisi kwenye mauaji ya Mwembechai, nimecheka sana sasa wewe una hoja gani zaidi ya kuwa mateka wa Nyerere.
Hapa kuna makundi mawili nyie na sisi bahati mbaya sisi tunajuana wenye akili za Madrassa wauza kahawa na washinda vijiweni.
Sijui wewe unataka hoja gani tumsifie Nyerere?
Jasusi,
Abdu Sykes alikutana na Nyerere 1952.
Kama ulivyo wewe mdini wa kudumu na jina lako la kikaragosi. Toa hoja achana na personal attack :focus:mohamed said ni mdini endelevu
Jasusi, yaani mimi nacheka tu...wakati mwingine natamani hata kukaa kimya. Nimeuliza Abdulwahid Sykes alikuwa nani ndani ya TAA ilipoanzishwa mwaka 1948 baada ya Zanzibar kujitoa AA? Abdulwahid Sykes alikuwa nani ndani ya AA/TAA wakati Mwalimu tayari ni kiongozi wa AA Tabora mwaka 1945? Nimeuliza Abdulwahid Sykes alikuwa nani ndani ya TAA mwaka 1953 alipogombea uongozi wa juu wa TAA kwa kupambana na Mwalimu Nyerere?Mohamed,
Asante. Sasa Ritz alitaka Nyerere amfahamu Sykes kabla ya hapo. Kuna uwezekano hata pale alipojiunga na TAA hakufahamu kwa yakini viongozi wa ngazi za juu wa taasisi hiyo. Kumbuka aliarifiwa juu ya kuwepo kwa TAA pale walipokuwa wanajiandaa kuanzisha chama chao pale Makerere. Sasa sijui Ritz anashangaa kitu gani. Ndiyo maana nikamfahamisha kuwa enzi hizo hakukuwepo mtandao wa internet ambapo unaweza kupata instant information. Halafu ananitega mimi na Chadema. Hata ukiniuliza waanzilishi wake nje ya Mzee Mtei wengine siwakumbuki.
Lane (1999: 16) writing in The New Republic stated that the "formerKama ulivyo wewe mdini wa kudumu na jina lako la kikaragosi. Toa hoja achana na personal attack :focus:
Mzee MS; Haya bwana ngoja niondoe suspicion yangu kwa vile umenihakikishia kuwa wewe ni authority kwenye masuala haya (hahahahahaha). Bwana, tupo tunaoihitaji Bakwata, kwa hiyo punguza kampeni MS. Mimi, given the opportunity, i will opt to support Bakwata and not you guys (with due respect) kwa sababu, Bakwata is most probably your return point. Time will tell. Usiku mwema.
Mohamed jibu hoja hiiBAKWATA imeundwa na Nyerere na Kanisa Katoliki kwa
nia ya kuvunja nguvu za Waislam.Katika kitabu changu sehemu ya tatu inaitwa "Njama Dhidi
ya Uislam."Hapo nimeeleza mkasa mzima wa ugomvi baina ya Nyerere,Sheikh Hassan bin Amir, EAMWS nk. nk.Hofu kuuilikuwa Waislam wanataka kujenga Chuo Kikuu hapoMarkaz na Kanisa likapata uoga kuwa Waislam wakielimika Ukristo
utakuwa matatani.
Kanisa liliona nguvu na umoja wa Waislam katika kupigania uhuru na
historia hii iliwatisha.Ndiyo hivi tuko hapa JF huu mwezi wa nne historia ya TANU ya akina
Abdu Sykes na Sheikh Hassan bin Amir inakataliwa wanadai ati haina
uhusiano na TANU ya Nyerere.
Jasusi, yaani mimi nacheka tu...wakati mwingine natamani hata kukaa kimya. Nimeuliza Abdulwahid Sykes alikuwa nani ndani ya TAA ilipoanzishwa mwaka 1948 baada ya Zanzibar kujitoa AA? Abdulwahid Sykes alikuwa nani ndani ya AA/TAA wakati Mwalimu tayari ni kiongozi wa AA Tabora mwaka 1945? Nimeuliza Abdulwahid Sykes alikuwa nani ndani ya TAA mwaka 1953 alipogombea uongozi wa juu wa TAA kwa kupambana na Mwalimu Nyerere?
Kwa hili swali la mwisho, waongo watadai Abdulwahid ndiye alikuwa Raisi! Hapana, Abdulwahid Sykes hakuwahi kuchaguliwa kuwa Raisi wa TAA toka iundwe mwaka 1948 hadi TANU inaasisiwa mwaka 1954...yeye alikuwa ni katibu tu, period. Ndiyo maana mimi nasema TAA ilizorota sana kwa kukosa uongozi baada ya uhamisho wa Raisi wake Dr. Vedasto Kyaruzi hadi inampata kiongozi mpya, Mwalimu Nyerere mwaka 1953.
Mohamed, kifo ni ahadi ya mwanadamu na Mola wake.Wickama,
Ikiwa umeridhia na BAKWATA hilo hakuna wa kukuzuia.Binadamu lazima tughitilafiane hatuwezi kukubaliana kwa
kila jambo.Ila ngoja nikupe kitu huenda hukijui.Wale wote walioleta fitna ya kuvunja umoja wa Waislamwote wamekufa dhalili chini ya unyayo.Kuna waliotubia hadharani.Kuna waliosafiri hadi Zanzibar kumshika miguu SheikhHassan bin Amir na kutaka radhi.
Wapo wengine miili yao ilitahayar muda tu baada ya
kukata roho.Wapo waliosalitiwa na hao waliowasaidia kuivunja EAMWS.Lakini kubwa kuna aliyeomba dua Allah amuweke hai ashuhudiewote waliotia fitna wakidhalilika na Allah alimkubalia dua yake.Katika kundi lile la fitna alipokufa wa mwisho haukupita muda yeye akafa.Huyu ni Shariff Adnan mmoja wa wanafunzi wa Sheikh Hassan bin
Amir.
Mohamed, kifo ni ahadi ya mwanadamu na Mola wake.
Hakuna anayejua kifo kitamkuta wapi na mazingira gani.
Mwenye uwezo wa kupanga hatima ya mwanadamu duniani na akhera ni mwenyezi mungu peke yake.
Mola ndiye anayejua atamchukua mja wake kwa namna ipi, lini na wakati gani.
Mohamed, acha kufur! wewe ni mwanadamu. Hao waliotangulia mbele ya haki wamekwenda kwa mola wao.
Hukumu ya mema na mabay yao yapo kwa mwenyezi mungu. Wewe hupaswi kusema hayo usemayo.
Mohamed, wewe ni mwanadam narudia! siku mola akipenda hujui utakuwa katika hali gani ya kicheko au kutahayari.
Hii ndio saikoloji unayotumia kuwatisha watu huko mitaani na vijijini. Kwamba atakayekataa maandiko yako ambayo umefikia mahali pa kuyapa hadhi ya dini, huyo atakufa katika dhalili au akitahayari.
Mohamed, Uislam ni dini wala si siasa au liwalo.
Dini inasimama yenyewe kwa miongozo yake, haihitaji uongo au uzushi na wala afanyaye hayo hana thawabu.
Ndio maana nasema matisho kama haya yanawatisha waislam wenye weledi na elimu kusimama na kuongoza matokeo yake ndio kama hivi.
Inasikitisha sana.