Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

unapenda sana kanisa lihusishwe na harakati za uhuru wa tanganyika.Umejaribu kutoa historia ya kanisa na kushirikiana na sheikh uliyemwita issa bin ameir.Dah nilikuwa na jamaa zangu tulicheka sana.Tunakisubiri kitabu chako nawe
Nashukuru ndugu yangu, nikweli kabisa umeeleza historia iliyokuwa haifahamiki,

Naomba nikuulize swali moja tu:

Umeamini ushiriki wa kanisa katika harakati za ukombozi Tanganyika kama nilivyoeleza hapo juu?
 
umeshindwa hoja unaanza kejeli na kashfa.Kinachofurahisha mpaka sasa hamjatoa historia mbadala iliyosahihi.Nyinyi mnapinga yaliyoelezwa na Mohamed Said.Haya basi leteni hiyo historia iliyo sahihi hamna.Mjadala mmeuanzisha wenyewe sasa unawatoa jasho.
Mimi hutaniona natoa tena kitu hapa. Mawe yote yameshafunuliwa na ukweli umejulikana. Wajerumani wa ZMO wanasemagaje!? Viel Spass noch...
 
Last edited by a moderator:
Labda tumuulize Bw. Said swali jingine la moja kwa moja: Je Dossa Aziz aliwahi kukutana na Nyerere au kushiriki na Nyerere mkutano wowote wa TAA kabla ya 1953? Wapi na Nyerere alishiriki kama nani?
 
udini ulianzishwa na waislam kumbe. Na waislam wenyewe enzi hizo wakiwa hawajui ni jinsi gani ya kumtoa mkoloni hadi walipoazima nguvu toka kwa wasomi wakristo wachache. Nakumbuka kitambo kile kabla hii mikanda ya x haijaingia kulikuwa na majarida ya x. Sasa jamaa akaniazima kisha akaniambia, 'usije ukachana kurasa...' Nikasema moyoni kumbe inawezekana kuchana? Kweli nilichana peji moja. Asingeniambia wala nisingechana. Ni enzi hizoo.

Sasa huyu Takadir alipoleta hoja ya udini, wenzake walikuwa hawana habari na hayo. Walikuwa na lengo moja tu-kuongoza mapambano dhidi ya mkoloni kwa ajili ya mtanganyika! Bwana Said unadhani chozi la Nyerere lilitoka bure? Kwa nini kumshutumu mtu kwa jambo ambalo hakuwa na wazo nalo? Naye akajua kumbe inawezekana? Lakini Nyerere hakutaka kutumia elimu na ukatoliki wake kuwaburuza waislam ambao wengi walikuwa hawajasoma. Dhambi waliyofanya waislam ni kujishuku! Hadi leo hili tatizo lipo. Utasikia mfumo kristo. Utasikia hatutaki sensa. Utasikia wizara ya elimu ina hujuma. Utasikia MOU, na mengine mengi. Inawezekanaje mfumo kristo wakati cream ya uongozi Tanzania ni Islam Islam? Kujishuku. Waislam mnapojenga mazingira ya kujishuku mjue mnawatahadharisha wasio waislam kuwa wenzetu sio wenzetu. Kwa kuwa udini ulianzishwa na uislam, uislam uwe wa kwanza kukemea udini. Na uislam uwe wa mwisho kutekeleza udini!
 
Tunasubiri ile ahadi ya kutuwekea hapa ukumbini yale majina ya viongozi wa uasi waliochiwa huru.Leo ni siku ya tatu kimya.Hayo meneno ya red yatafakari vizuri na ahadi yako
cc @Rirtz Barubaru kichwakigumu
Nahisi mzee sasa hajui hata cha kudanganya, kila uongo wake unagonga ukuta!

Ataendelea kuwaburuza wenye akili mgano tun nao wakielevuka wanakana na kumchukia kupita kiwango.
 
Last edited by a moderator:
kasome athari za watu waangaliao picha za x,halafu angalia nafasi yako ktk mjadala huu
 
teh teh teh,kidogo kidogo mtakubali huyu Mohamed Said ni mwalimu wa historia ya tanganyika.Endeleeni tu kuuliza.Anafundisha historia na adabu pia.Tena bure
Labda tumuulize Bw. Said swali jingine la moja kwa moja: Je Dossa Aziz aliwahi kukutana na Nyerere au kushiriki na Nyerere mkutano wowote wa TAA kabla ya 1953? Wapi na Nyerere alishiriki kama nani?
 
Last edited by a moderator:
Muuliza maswali kuwa na msimamo katika kuuliza ili tujue muongo nani na zaidi ya yoote tufaidike kwani wengine kwanza ndo 2napata habari hizi na inaonekana nyeti. Ebu uliza swali mojamoja alitolee maelezo halafu tupime cc, nani mkweli nani mdini.
 
Sasa tunasubilia kitabu cha historia iliyo sahihi na sio hii ya uchonganishi na uchochez wa mohammed said. Kumbe watu wanajua historia halafu wanazielezea kwenye kahawa tu bwana ebu tiriiiiiiiriiiiiken tujue ukweli.
 
Yerico umekili historia imepotoshwa irekebishe sasa tupime na hii ya mohammed said usitake umaarufu kwa kubisha na kutaka ufafanuzi wa somalia wakati mzee anaeleza historia ya tanganyika. Hiyo ya somalia afghan n.k ni maada ya kesho leo tanganyika.
 
Yerico umekili historia imepotoshwa irekebishe sasa tupime na hii ya mohammed said usitake umaarufu kwa kubisha na kutaka ufafanuzi wa somalia wakati mzee anaeleza historia ya tanganyika. Hiyo ya somalia afghan n.k ni maada ya kesho leo tanganyika.

Nsame.
Nakushauri usome posts zote kwenye uzi huu, kuanzia ukurasa wa kwanza.
 
Tena kaweka wazi kabisa. Ndio maana nilisema lile bandiko lake la ukurasa fulani hapo nyuma sijui aliliweka kwa makusudi au bahati mbaya.

Limeonyesha hata Nyerere alivyokaa na akina Sykes kutafuta mstakabali wa Tanganyika siyo Waislam.
 

Mtu yeyote anayetafuta msaada wa matusi na name-calling katika intellectual discourse, ananipa wasi wasi na veracity ya anayoyasema!
 
Mtu yeyote anayetafuta msaada wa matusi na name-calling katika intellectual discourse, ananipa wasi wasi na veracity ya anayoyasema!
Unfortunately this is JF! Hapa nyani giledi anakomwa bila kumwangalia uso...here a spade is called a spade and that is whether one likes it or not. Intellectual discourse? Nafikiri umedandia mada, rudi uanzie mwanzo or get back into your shell.
 

Tatizo kuwa wapo watu kabisa - na wana akili timamu - wanaamini kuwa Nyerere aliingia siasa alipokuja Dar na ni wazee wa Dar walimfundisha kuvaa suruali. Kama kuna watu wanaamini Nyerere alifunga safari toka Pugu kwenda sokoni Kariakoo akiombea kuokoa hela njiani hadi alipokutana na rafiki yake kwa bahati mbaya aliyempatia fedha za kununua vitu sokoni wapo wanaoweza kuamini lolote.

Kama watu hawajifunzi kuuliza maswali na badala yake wanaamini chochote wanachoambiwa kama vifaranga vya ndege tunduni nani ataweza kuwasaidia?
 
Hoja za kipuuzi huletwa na watu wapuuzi kama wewe. hivi kuna mjinga gani waleo utakaemdanganya na utumbo wako huu? nani asiyejua wapigania uhuru wa nchi hii ni waislam tangu ukoloni wa kijerumani, soma akina Abshiri, Hasan Omar Bin Makunganya na wengineo walionyongwa (mungu awarehemu) walivyopinga utawala wa wakoloni. narudia tena, hivi huoni hata aibu kuleta mada ya uongo kama hii? mchana kweupe na uongo weupe? Mirembe panakufaa sana wewe.
 

Pole sana kwakughadhibika ndugu,

Tulia soma andiko hilo na zama katika tafakuri ya nera kisha njoo uchangie hapa,

Tatizo lenu lilelile mkilishwa hamhoji "chakula hiki kitamu kimetoka wapi?" Nyie mwabugia tu.

Tangu sasa nimewapeni mwangaza halisi wakubadili medula oblongata zenu
 
Sasa tunasubilia kitabu cha historia iliyo sahihi na sio hii ya uchonganishi na uchochez wa mohammed said. Kumbe watu wanajua historia halafu wanazielezea kwenye kahawa tu bwana ebu tiriiiiiiiriiiiiken tujue ukweli.

Nsame hawawezi kuandika chochote watu hawa.
Hiyo historia hawana.

Huko nyuma nilisema unaweza kuwaambia Wachina waandike
historia yao ya ''holocaust?''

Jibu ni kuwa hapana.
Kwa nini?

Kwa sababu hiyo si historia yao.

Ndiyo maana unaona wanalazimisha kila kitu kianze na Nyerere.

Sasa ukiwaeleza ukweli ulivyokuwa cha kwanza ni kuhamaki cha
pili kejeli na matusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…