Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Wild Card,
Lakini tayari sasa zipo historia mbili.

Unaona hapa kuna yenu mnayoitetea na mimi naeleza historia ya TANU kama
nilivyopokea kutoka kwa waasisi wake ambao wengine ni wazee wangu.

Tuvumiliane kwa hapa tulipofika.
Unajua kutokana na historia hii yangu imepatikana " Sheikh Hassan bin Amir Award?"

Tuzo hii inatolewa kila mwaka sasa yapata miaka zaidi ya 15.
Mzee Mohamed,
Hizi "Awards" nchi hii ziko nyingi siku hizi. Ambacho kiko wazi juu ya kitabu chako hiki kimeanza kutugawa KIDINI Watanzania. Wapo Watanzania umewasafisha kweli ubongo kiasi kwamba kuna mabomu yanatupwa makanisani sasa.
 
Kitabu chako kimesahihisha jambo lipi kwenye kitabu cha Kivukoni? Tarehe iliyozaliwa TANU imebadilika ikawa ile ya Burma? Rais wa KWANZA wa TANU sio Mwalimu tena?

Kuna anayemfahamu Abdu?

Wild Card,
Abdu Sykes anafahamika hii leo pamoja na wenzake wengi.

Labda nami nikuulize, "Kuna anayemfahamu Mshume Kiyate?"
 
Mzee Mohamed,
Hizi "Awards" nchi hii ziko nyingi siku hizi. Ambacho kiko wazi juu ya kitabu chako hiki kimeanza kutugawa KIDINI Watanzania. Wapo Watanzania umewasafisha kweli ubongo kiasi kwamba kuna mabomu yanatupwa makanisani sasa.

Wild Card,
Hata kama kulikuwa na award lukuki ya Sheikh Hassan bin Amir haikuwapo.

Ama hayo ya mabomu sina ujuzi kwa hiyo uniwie radhi.
 
Tatizo hapa kuna watu wanataka kututeka dhanira zetu tuamini kua baadhi ya watu wao tena kwa kigezo cha UDINI walistahili tukuzo zaidi ya Mwl. Nyerere eti tu kwa mchango wao kwenye kumkaribisha nyerere ubwabwa na mambo mengineyo ya kirafiki sasa hatukatai kama walikua nae karibu inshallah wataongelewa kw nafas yao (historia binafsi) lakini katika historia ya Tanganyika things will remain the same! hakuna habari ya UDINI wala URAFIKI na ninamshukuru Mwalimu kw kuwafutilia mbali wale wote waliowekeza minajili ya UDINI toka zama hizo jambo ambalo kwa mtawala wa leo limeonekana kumshinda na nchi inachafuka! Nyerere aliyaona haya na angewaendekeza hao wanaotajwa kusahaulika hakika tusengefika hapa bila historia ya ukanda wa KIDINI.
 
Wild Card,
Abdu Sykes anafahamika hii leo pamoja na wenzake wengi.

Labda nami nikuulize, "Kuna anayemfahamu Mshume Kiyate?"

Hakuna isipokuwa sisi tunaochezea keyboard humu na ndugu na jamaa aloozaa au kuzaliwa naye. Maharage na mchicha wake kwa Mwalimu yatasababisha afahamike kweli?
 
Hakuna isipokuwa sisi tunaochezea keyboard humu na ndugu na jamaa aloozaa au kuzaliwa naye. Maharage na mchicha wake kwa Mwalimu yatasababisha afahamike kweli?

Wild Card,
Hapana ugomvi.

Binadamu lazima tughitilafiane kwa mengi.
Ingekuwa mie nisingejibu kwa ujuvi wa
lugha ya kijeuri ya "maharage na mchicha."
 
Kila mtu ana mtazamo wake lakin mimi naamini kwa wasomi wote hatuwezi hukumu Kitabu kwa jalada lake. Kwani wasomi tunajikita katika maudhui aliyomo na sio kichwa cha habari.

Pole sana

Utaishia kutoa pole tu, lakini nakuhakikishia NONDO za Nguruvi3 huziwezi na hutakaa uzijibu kisomi kwa sababu wewe haupo hapa kutetea ukweli bali upo kumtetea Mohamed Said ustaadh kwa maslahi ya imani yenu! jaribu kusoma tena nondo za msomi Nguruvi3 hapa chini na ulinganishe na majibu yako fyongo uliyoyatoa
As much as you people want to prove me wrong kwa kejeli na dhihaka, I will bring this to the light.

Lazima uelewe kuwa Mohamed ameonyeshwa kuwa mzigo aliobeba umeandikwa na mtu mwingine.
Hicho ndicho chanzo cha yeye kushindwa kuelewa tofauti ya ''Addresing na addressed''.
Mwanakijiji ameeleza vizuri sana.Mohamed amekiri kuwa kwa ''taarifa' alizokuwa nazo habari ndivyo kama alivyosema.

Pili, kwa kutambua maudhui ya alichokisema tulimwambia Mohamed asiseme ''kahutubia'' bunge bali semina au kinginecho.
Mohamed akaja na tarehe 15 May 2003. Tena akisema kama tungefanya tafiti tusingeuliza swali la namna hiyo.
Hakuishia hapo akazidi kutoa kashfa na kejeli kwa kutambua kuwa alikuwa sahihi.
Sasa ninyi mnaosema kuhusu maudhui, mnasema kitu gani wakati mhusika ametoa tarehe?

Tatu, katika mada yake kuna tukio na wahusika. Tukio ni kuhutubia bunge, wahusika ni wabunge na balozi.
Kwa mtu mwenye weledi lazima atajiuliza wanaofanya tukio hilo liwe katika mizania iliyopo ni akina nani?

Jibu ni wabunge na balozi. Mohamed kumtaja balozi na bunge haikuwa bahati mbaya ilikuwa ni makusudi kuonyesha sheria hiyo kandimizi kwa waislam ilivyoshiinikizwa.

Nne, kwavile bunge halikukaa siku hiyo na kwavile balozi hakuhutubia bunge, maudhui yote yanakuwa hayana maana.
Hayana maana kwasababu tukio limekosa viunganisho viwili muhimu, bunge na balozi.
Kwamba hakuna uhusiano wa dhahiri kati ya sehemu hizo mbili katika tarehe 15 May 2003.

Tano, tumeona mada halisi iliyoandikwa ambayo Mohamed ameinukuu. Technically hata kama ametaja aliponukuu, hapa jamvini amekuja na hoja kuwa ni paper yake na wala hakusema sehemu ya paper yake alinukuu kutoka kwa bwana fulani.
Hilo halina tatizo, tatizo linatokea pale ambapo anabeba dhamana ya maneno yale ambayo ni Tarehe 15 May 2003.

Mwisho, bila yeye kufanya utafiti kuhusu taratibu za bunge na itifaki za kibalozi, Mohamed akabeba mkoba hadi Ibadan akakalisha watu kitako na kueleza kisicho cha kweli. Kisicho cha kweli kwasababu leo watu wa Ibadan wanajua kuwa balozi anaweza kuhutubia bunge la Tanzania kitu ambacho hakijawahi kutokea.

Kwa mfano rahisi sana wa mitaani, mbunge X alimtukana mwenzake Z wakiwa katika baa wanakunywa.
Hilo ni tukio litakaloandikwa katika vijarida vya udaku. Lakini Mbunge X aliposema 'F' ndani ya bunge basi bunge zima lilizizima na nchi nzima kulaani. Kwanini? Jibu ni kuwa ametumia tukio(mkutano wa bunge) na wahusika(wabunge) ndani ya bunge(eneo) kusema neno baya.No one is talking about his/her topic any more.

Huu ni mwendelezo wa exaggerations za Mohamed (rejeeni post 13112 ya Mag3 ).
Sijui kwanini hamuoni mantiki iliyopo.

Mohamed amekashfu sana sisi wengine kuwa mahakimu kiruka, hatukafanya tafiti japo kidogo, atatuweka kwenye kundi alisoloweza kulisema n.k. Mbona hamjamtaka aombe radhi kuhusu hayo baada ya ukweli kujulikana mnajitahidi kushambulia walioweka ukweli wazi.

Mkoba wa Ibadan una tarehe Baru baru acha utetezi wa mitaani, mwenye mada hakuja na utetezi alikuja na tarehe tena akiwa ame-bold kuonyesha msisitizo na uhakika.

Nafikiria Mtu aseme Rais Mandela wa Nigeria amehutubia UN mjini Carcas venezuela kuhusu Malaria, ati tukubali tu kwasababu kuna neno malaria! Hell no!
 
Wild Card,
Hata kama kulikuwa na award lukuki ya Sheikh Hassan bin Amir haikuwapo.

Ama hayo ya mabomu sina ujuzi kwa hiyo uniwie radhi.
Mzee Mohamed,
Hivi ulitarajia nini kutoka kwa vijana wa sasa wa Kiislam unapowahubiria na kuwaandikia kuwa "dhulma" imefanywa na Mwalimu kwa wazee wao, kwa sababu ya DINI yao? Unasisitiza kabisa kuwa Mwalimu alifanya dhulma hii kwa sababu ya Ukatoliki wake na kanisa hilo halitaki kuona Uislam unakua, watoto waKiislamu hawakupewa fursa sawa za ELIMU, AJIRA.

Lazima makanisa yachomwe moto, maPadre wauwawe, mabomu yatumike kuuangamiza ukristo. Wewe mtaalam wa Ugaidi leo unasema huna ujuzi na mabomu! Umeisahau ile Paper yako ya Ibadan?
 
Mzee Mohamed,
Hizi "Awards" nchi hii ziko nyingi siku hizi. Ambacho kiko wazi juu ya kitabu chako hiki kimeanza kutugawa KIDINI Watanzania. Wapo Watanzania umewasafisha kweli ubongo kiasi kwamba kuna mabomu yanatupwa makanisani sasa.

Makanisa mangapi yameshatupiwa mabomu? Una ushahidi wowote wa kumuunganisha Mzee Mohamed na matukio hayo? Kama ndiyo, kwa nini usiende kuisaidia polisi ili haki ipatikane?

Inaonekana wewe ni mtaalamu wa kugundua wahusika kwenye matukio kama hayo. Sasa tusaidie hapa, msikiti uliposhambuliwa Mbeya nani alihusika kwenye tukio hilo?
 
Mzee Mohamed,
Hivi ulitarajia nini kutoka kwa vijana wa sasa wa Kiislam unapowahubiria na kuwaandikia kuwa "dhulma" imefanywa na Mwalimu kwa wazee wao, kwa sababu ya DINI yao? Unasisitiza kabisa kuwa Mwalimu alifanya dhulma hii kwa sababu ya Ukatoliki wake na kanisa hilo halitaki kuona Uislam unakua, watoto waKiislamu hawakupewa fursa sawa za ELIMU, AJIRA.

Lazima makanisa yachomwe moto, maPadre wauwawe, mabomu yatumike kuuangamiza ukristo. Wewe mtaalam wa Ugaidi leo unasema huna ujuzi na mabomu! Umeisahau ile Paper yako ya Ibadan?

Mtaalamu wa Ugaid ni Yericko. Aulizwe yeye.
 
Mzee Mohamed,
Hivi ulitarajia nini kutoka kwa vijana wa sasa wa Kiislam unapowahubiria na kuwaandikia kuwa "dhulma" imefanywa na Mwalimu kwa wazee wao, kwa sababu ya DINI yao? Unasisitiza kabisa kuwa Mwalimu alifanya dhulma hii kwa sababu ya Ukatoliki wake na kanisa hilo halitaki kuona Uislam unakua, watoto waKiislamu hawakupewa fursa sawa za ELIMU, AJIRA.

Lazima makanisa yachomwe moto, maPadre wauwawe, mabomu yatumike kuuangamiza ukristo. Wewe mtaalam wa Ugaidi leo unasema huna ujuzi na mabomu! Umeisahau ile Paper yako ya Ibadan?
Wilcard, huyu jamaa nishawahi kusema huko nyuma kuwa ni mjanja sana. Mambo yakinuka anaruka kama hakimu kiruka.
Leo amesahau Mkoba wa Ibadan! tena alikoalikwa na tambo kibao.

Maandamano yanaratibiwa na watu nyuma ya pazia na mengine tunayoyaona tu.
Waislam wa Ponda wapo Segerea wengine wanaandika na kuuza vitabu!!
Matukio kama ya Zanzibar na Arusha watu wanaandaa paper n.k. Huwezi kuwaona front line, they operate behind the curtain. Leo watu wanaruka sina ujuzi nalo. Huna ujuzi wakati 15 yrs umekuwa unachagiza uhalifu wa namna hiyo!
Kesha waruka wenzake anasubiri mwaliko kwenda kuthibitisha aliyoandika kama kwamba ni mtabiri wakati anajua fika kuwa 15yrs amehubiri uhalifu.
 
Wilcard, huyu jamaa nishawahi kusema huko nyuma kuwa ni mjanja sana. Mambo yakinuka anaruka kama hakimu kiruka.
Leo amesahau Mkoba wa Ibadan! tena alikoalikwa na tambo kibao.

Maandamano yanaratibiwa na watu nyuma ya pazia na mengine tunayoyaona tu.
Waislam wa Ponda wapo Segerea wengine wanaandika na kuuza vitabu!!
Matukio kama ya Zanzibar na Arusha watu wanaandaa paper n.k. Huwezi kuwaona front line, they operate behind the curtain. Leo watu wanaruka sina ujuzi nalo. Huna ujuzi wakati 15 yrs umekuwa unachagiza uhalifu wa namna hiyo!
Kesha waruka wenzake anasubiri mwaliko kwenda kuthibitisha aliyoandika kama kwamba ni mtabiri wakati anajua fika kuwa 15yrs amehubiri uhalifu.

Maandamano ya Mbeya yaliyosababisha Msikiti kuharibiwa aliyaratibu nani?
 
Mtaalamu wa Ugaid ni Yericko. Aulizwe yeye.

Ugaidi ninaouelezea ni ule wenye chuki dhidi ya maslahi ya Marekani,

Sio huu wa Mohamed Said wa kuchoma makanisa na kulipua mabomu kanisani!

Hili Mohamed analijua vema, amelihubiri miaka 15 akipanda mbegu ya chuki,

Na sasa haya ndiyo matokeo yake halisi,

Lakini kwamshangao anasema hana ujuzi nalo
 
Ugaidi ninaouelezea ni ule wenye chuki dhidi ya maslahi ya Marekani,

Sio huu wa Mohamed Said wa kuchoma makanisa na kulipua mabomu kanisani!

Hili Mohamed analijua vema, amelihubiri miaka 15 akipanda mbegu ya chuki,

Na sasa haya ndiyo matokeo yake halisi,

Lakini kwamshangao anasema hana ujuzi nalo

Najua mna njaa sana ya damu yake kwa sababu Kanisa lenu bila kunywa damu za watu mnaowaona kama kikwazo cha kuendeleza dini yenu bila hoja bali mabavu ndiyo mnaowaweka target kwa mauaji. Sasa na ule wa chuki dhidi ya Uislamu kwa kuharibu msikiti kule Mbeya unaona ni haki yenu kufanya ugaidi huo?
 
Ugaidi ninaouelezea ni ule wenye chuki dhidi ya maslahi ya Marekani,

Sio huu wa Mohamed Said wa kuchoma makanisa na kulipua mabomu kanisani!

Hili Mohamed analijua vema, amelihubiri miaka 15 akipanda mbegu ya chuki,

Na sasa haya ndiyo matokeo yake halisi,

Lakini kwamshangao anasema hana ujuzi nalo

Hivi wewe nchi yako maskini kiasi hiki unapata wapi muda wa kusemea ugaidi wa Marekani? Kwanza tueleze Ugaidi maana yake nini?
 
Mzee Mohamed,
Hatutakuwa na historia mbili za TANU au nchi hii. Ulichokiandika wewe sio historia ya TANU. Ni maoni yako tu. Historia ya Taasisi kubwa kama TANU haiwezi kuandikwa na mtu mmoja kwa kutumia vikabrasha flani, akaingiza na DINI yake humo, kisha akajiita ana "authority" ya Watanzania wote!

Uzuri mmoja wa TANU haikupata kuongozwa na kiongozi mwingine yeyote zaidi ya Mwalimu. Ngonjera nyingine zote za AA, TAA unaweza kuzinyumbulisha unavyotaka. Ukifika tarehe 7.7.1954 utaanza na Mwalimu hadi tarehe 5.2.1977 ilipotoweka rasmi duniani.

Historia isiyoambatana na tarehe hiyo itakuwa ni hadithi au msahafu.

WILDCARD;

Hivi unajua maana ya msahafu? kamwe huwezi kulinganisha historia anazoandika binaadamu halafu uje linganisha na msahafu! itabidi tukupeleke madrasa ukafundishwe maana ya msahafu na vipi tuienzi na kuiheshimu sababu ni maneno ya Mwenyeezi Mungu!
Kama wewe ni muungwana huna budi kuomba radhi kwa Waislamu ambao kwao Msahafu ni matukufu yao! umeivunjia heshima Msahafu kuulinganisha na historia wanazoandika wanaadamu! au labda ulitaka kutueleza hekaya?
 
Wilcard, huyu jamaa nishawahi kusema huko nyuma kuwa ni mjanja sana. Mambo yakinuka anaruka kama hakimu kiruka.
Leo amesahau Mkoba wa Ibadan! tena alikoalikwa na tambo kibao.

Maandamano yanaratibiwa na watu nyuma ya pazia na mengine tunayoyaona tu.
Waislam wa Ponda wapo Segerea wengine wanaandika na kuuza vitabu!!
Matukio kama ya Zanzibar na Arusha watu wanaandaa paper n.k. Huwezi kuwaona front line, they operate behind the curtain. Leo watu wanaruka sina ujuzi nalo. Huna ujuzi wakati 15 yrs umekuwa unachagiza uhalifu wa namna hiyo!
Kesha waruka wenzake anasubiri mwaliko kwenda kuthibitisha aliyoandika kama kwamba ni mtabiri wakati anajua fika kuwa 15yrs amehubiri uhalifu.

Ungefanya la maana sana kama ungeisaidia polisi kuwa Waislam ndiyo wanahusika na mabomu Arusha.

Halafu uisaidie polisi kuhusu watu waliochuma Msikiti Tunduma.

FBI wanaangaika kutafuta watuhumiwa kumbe nyie wataalam wa mabomu mpo.
 
Ugaidi ninaouelezea ni ule wenye chuki dhidi ya maslahi ya Marekani,

Sio huu wa Mohamed Said wa kuchoma makanisa na kulipua mabomu kanisani!

Hili Mohamed analijua vema, amelihubiri miaka 15 akipanda mbegu ya chuki,

Na sasa haya ndiyo matokeo yake halisi,

Lakini kwamshangao anasema hana ujuzi nalo

Mbona unapingana na kiongozi wako wa Chadema, Lema mbunge wa Arusha.

Lema anasema CCM ndiyo wanahusika wewe Chadema-Kata unasema Waislam.

Tumfuate nani sasa au tutumie maneno ya Juma Mkamia.
 
Back
Top Bottom