Ndugu inaonekana hili suala limewaumiza sana,
Lengo sio kuwaumiza bali nikutoa darasa juu ya athari za uchochezi wa Mohamed Said ambazo huzaa ugaidi huu tunaouongelea hapa!
Hebu funguka kidogo kwa ngano hizi nilizoziandika tangu miaka 14 iliyopita!
TUNAINGIA VITANI.
Powell na watu wengine miongoni mwa washiriki wake walikuwa wametumia masaa mengi na waandishi wa jarida la Times wakijaribu bila mafanikio kuwajulisha kwamba habari waliyoandika haikuwa ya kweli. Lakini Powell na Armitage walifahamu nguvu iliyokuwepo Washington ambako kuibuka na kuanguka kwa umaafuru wa mtu ni jambo jepesi.
Tatizo lilikuwa kwamba msimamo huo wa habari hiyo ungeonekana kuwa ndiyo ukweli hata kama haikuwa hivyo. Tatizo kubwa zaidi lilikuwa kwamba habari hiyo kwa sehemu fulani ilikuwa ni kweli. Powell alikuwa haanzishi sera mpya ya nchi za nje alikuwa akipangiwa majukumu ya kufanya na alikuwa akikabili migogoro midogo mmoja bada ya mwingine. Lakini kama alivyowahi kusema mara moja katika faragha, "ili kuweza kuendelea bila matatizo katika ngazi za juu lazima uwe mjanja katika mchezo wako."
Alipokuwa mwenyekiti wa jopo la Wakuu katika jeshi aliwahi kuandika baadhi ya misemo aliyokuwa anaipenda zaidi na kuipenyeza chini ya kioo kilichokuwa juu ya deski lake katika makao makuu ya Wizara ya Ulinzi. Moja ya misemo hiyo ilikuwa "kamwe usiwaruhusu wakwambie kwamba unatapa tapa".Rais Bush alikuwa akiwahutubia wanafunzi katika shule ya Emma E. Booker Elementary School huko Sarasota Florida wakati Rove alipomjulisha kwamba ndege moja ilikuwa imeubamiza Mnara wa Kaskazini wa kituo cha biashara cha kimataifa mwanzoni ilionekana kuwa tukio hilo lilikuwa ajali au labda kosa la rubani ambaye huenda alikuwa na mshitulo wa moyo, Bush alifikiri.
Alikuwa amekaa kwenye stulu darasani akiwa amevaa suti yenye rangi nyeusi shati la bluu na tai nyekundu, Ubao mdogo wa ukutani uliokuwa nyuma yake ulikuwa na maandishi yasemayo " Kusoma kunaifanya nchi istawi". Andrew H. Card Jr mnadhimu wa Bush na msaidizi wa zamani wa Reagan na Bush mkubwa aliingia na kumnong'oneza rais huyo moja kwa moja sikioni mwake "ndege ya pili imeubamiza mnara wa pili, Marekani inashambuliwa".
Picha ya hali iliyotokea wakati huo imebakia katika historia, mikono ya rais huyo ilikuwa imekunjwa juu ya miguu yake wakati anageuka kusikiliza maneno ya Card. Uso wake ukawa na sura tulivu kwa mbali japokuwa kulikuwa na mshituko pamoja na kuchanganyikiwa. Bush anakumbuka vizuri kabisa alivyokuwa, ‘nafikiri watu hawa wametangaza vita dhidi yetu, na nimeamua wakati huu kwamba tunaingia vitani." Alisema Bush. Bush aliamua kwamba alihitaji kuwaeleza wananchi wake mambo kadhaa.
Saa 3.30 asubuhi alitokea mbele ya kamera za televisheni katika kituo cha habari cha shule hiyo ya Booker ili kutoa taarifa yenyewe. "kwa nini niliyarudia maneno hayo hayo
labda huo ulikuwa ni mwangwi wa matukio ya nyuma" rais huyu alisema baadaye. "Sifahamu ni kwa nini nitakueleza ukweli kwamba hatukukaa kuyapanga maneno haya. Nilisimama na kujikuta nikiyasema. "Mlichokiona ndiyo hasa mimi mwenyewe nimeonyesha hulka yangu." Msururu wa magari ya rais huyo kwa kasi ulielekea kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Sarasota Bradenton. Alichepuka haraka akipanda ngazi na kuingia katika chumba cha ofisi yake ya faragha ya ndege yake ya serikali ya Air Force
One. "hakikisheni mke wangu na mabinti zangu wanalindwa" hiyo ndiyo ilikuwa amri yake ya kwanza kwa maofisa wa vyombo vya upelelezi. "Bwana Rais alisema mmoja wa maofisa hao kwa unyonge, "tunataka ukae haraka iwezekanavyo." Bush alikaa kitini na kujifunga mikanda na ndege ikaanza kuondoka taratibu na muda si mrefu ikapaa angani kwa kasi.
Mke wa Rais huyo Laura Bush akiwa amevaa suti nyekundu na mikufu miwili ya mapambo ya lulu shingoni mwake alikuwa katika chumba cha Caucus katika jengo la Ofisi ya Seneti la Russe mjini Washingtoni akiwa tayari kutoa hoja kuhusu watoto kuanza elimu mapema mbele ya kamati ya Seneta Robert M. Kennedy mara wakapata habari kuhusu ajali hiyo na bibi Bush, Seneta Kennedy na watu wengine wakaondoka kupitia mlango wa pembeni. Baada ya maelekezo ya tukio hilo Bibi Bush alifanya juu chini kujituliza. Uso wake ulipauka mara moja machozi yakimlenga na midomo yake ikitetemeka kwa woga.
Kisha makao makuu ya jeshi la Marekani yakashambuliwa, na wapelelezi na polisi wa kamzingira. Walimweleza nia ya kumpeleka katika eneo lenye usalama. Kundi hilo mara moja likaondoka haraka. Saa 3.50 Bibi Bush alikuwa akisubiri watu wa kumsindikiza katika msongamano wa magari kutoka jengo la bunge la Seneti (Capito), ilichukua dadika 45 kumfikisha kwenye makao makuu yake na alipelekwa katika chumba cha mikutano cha Wood.
Saa 4.51 ndipo vyombo vya usalama vilipoamua Kend kumficha katika Ofisi ya New Havana mtu mmoja aliyejuliakana kwa jina la Turquoise ambalo lilikuwa jina la siri la Barbar Bush Bint wa rais huyo aliyekuwa na umri wa miaka 19 akisoma huko . Twinkle jina jingine la siri la binti mwingine pacha wa Rais Bush. Akiwa anasoma Chuo kikuu cha Texas huko Austtin alipelekwa kufichwa katika Hotel ya Driskill dakika sita baadaye.
Ilikuwa saa 3.39 asubuhi ambapo ndege ya America Air lines Safari namba 77 aina ya Boeing 757 ilipobamizwa katika jengo la makao makuu ya jeshi la Marekani. Dakika tano baadaye aliweza kuwasiliana kwa simu na makamu wake wa rais Dick Cheney ambaye alikuwa amekimbizwa kutoka katika ofisi yake ya upande wa magharibi na maofisa wa usalama na kupelekwa katika kituo cha shughuli za Dharura cha Rais (Presidential Operations Center - POC) ambacho ni handaki maalum la dharura lililo chini ya viwanja vya Ikulu.
Na Yericko Nyerere
Kutoka "Vita dhidi ya Ugaidi"
Yericko Nyerere,
Umeishajiuliza kwa nini wenzako wamekutosa kwenye kitabu chako cha ugaidi? wewe kwenye anga za ugaidi huna lolote bo
Ndugu inaonekana hili suala limewaumiza sana,
Lengo sio kuwaumiza bali nikutoa darasa juu ya athari za uchochezi wa Mohamed Said ambazo huzaa ugaidi huu tunaouongelea hapa!
Hebu funguka kidogo kwa ngano hizi nilizoziandika tangu miaka 14 iliyopita!
TUNAINGIA VITANI.
Powell na watu wengine miongoni mwa washiriki wake walikuwa wametumia masaa mengi na waandishi wa jarida la Times wakijaribu bila mafanikio kuwajulisha kwamba habari waliyoandika haikuwa ya kweli. Lakini Powell na Armitage walifahamu nguvu iliyokuwepo Washington ambako kuibuka na kuanguka kwa umaafuru wa mtu ni jambo jepesi.
Tatizo lilikuwa kwamba msimamo huo wa habari hiyo ungeonekana kuwa ndiyo ukweli hata kama haikuwa hivyo. Tatizo kubwa zaidi lilikuwa kwamba habari hiyo kwa sehemu fulani ilikuwa ni kweli. Powell alikuwa haanzishi sera mpya ya nchi za nje alikuwa akipangiwa majukumu ya kufanya na alikuwa akikabili migogoro midogo mmoja bada ya mwingine. Lakini kama alivyowahi kusema mara moja katika faragha, "ili kuweza kuendelea bila matatizo katika ngazi za juu lazima uwe mjanja katika mchezo wako."
Alipokuwa mwenyekiti wa jopo la Wakuu katika jeshi aliwahi kuandika baadhi ya misemo aliyokuwa anaipenda zaidi na kuipenyeza chini ya kioo kilichokuwa juu ya deski lake katika makao makuu ya Wizara ya Ulinzi. Moja ya misemo hiyo ilikuwa "kamwe usiwaruhusu wakwambie kwamba unatapa tapa".Rais Bush alikuwa akiwahutubia wanafunzi katika shule ya Emma E. Booker Elementary School huko Sarasota Florida wakati Rove alipomjulisha kwamba ndege moja ilikuwa imeubamiza Mnara wa Kaskazini wa kituo cha biashara cha kimataifa mwanzoni ilionekana kuwa tukio hilo lilikuwa ajali au labda kosa la rubani ambaye huenda alikuwa na mshitulo wa moyo, Bush alifikiri.
ra ungekaa kimya unazidi kujidhalilisha tu.
Hebu wasome Wamarekani wenyewew hapa chini...
Colin Powell on the Bush Administration's Iraq War Mistakes
On the evening of Aug. 5, 2002, President Bush and I met in his residence at the White House to discuss the pros and cons of the Iraq crisis. Momentum within the administration was building toward military action, and the president was increasingly inclined in that direction.
I had no doubt that our military would easily crush a smaller Iraqi army, much weakened by Desert Storm and the sanctions and other actions that came afterward. But I was concerned about the unpredictable consequences of war. According to plans being confidently put forward, Iraq was expected to somehow transform itself into a stable country with democratic leaders 90 days after we took Baghdad. I believed such hopes were unrealistic. I was sure we would be in for a longer struggle.
I had come up with a simple expression that summarized this idea for the president: "If you break it, you own it." It was shorthand for the profound reality that if we take out another country's government by force, we instantly become the new government, responsible for governing the country and for the security of its people until we can turn all that over to a new, stable, and functioning government. We are now in charge. We have to be prepared to take charge.
"Taking Charge" is one of the first things a young Army recruit learns. The new soldier is taught how to pull guard duty-a mundane but essential task. Every recruit memorizes a set of rules describing how a guard performs his duty to standards. These rules are collectively known as the "General Orders."
One of those guard-duty General Orders has stuck deeply in my head all these years and become a basic principle of my leadership style: a guard's responsibility is "to take charge of this post and all government property in view."
In the days, weeks, and months after the fall of Baghdad, we refused to react to what was happening before our eyes. We focused on expanding oil production, increasing electricity output, setting up a stock market, forming a new Iraqi government. These were all worth doing, but they had little meaning and were not achievable until we and the Iraqis took charge of this post and secured all property in view.
Colin Powell (Jake Chessum for Newsweek)
The Iraqis were glad to see Saddam Hussein gone. But they also had lives to live and families to take care of. The end of a monstrous regime didn't feed their kids; it didn't make it safe to cross town to get to a job. More than anything, Iraqis needed a sense of security and the knowledge that someone was in charge-someone in charge of keeping ministries from being burned down, museums from being looted, infrastructure from being destroyed, crime from exploding, and well-known sectarian differences from turning violent.
When we went in, we had a plan, which the president approved. We would not break up and disband the Iraqi Army. We would use the reconstituted Army with purged leadership to help us secure and maintain order throughout the country. We would dissolve the Baath Party, the ruling political party, but we would not throw every party member out on the street. In Hussein's day, if you wanted to be a government official, a teacher, cop, or postal worker, you had to belong to the party. We were planning to eliminate top party leaders from positions of authority. But lower-level officials and workers had the education, skills, and training needed to run the country.
The plan the president had approved was not implemented. Instead, Secretary Donald Rumsfeld and Ambassador L. Paul Bremer, our man in charge in Iraq, disbanded the Army and fired Baath Party members down to teachers. We eliminated the very officials and institutions we should have been building on, and left thousands of the most highly skilled people in the country jobless and angry-prime recruits for insurgency. These actions surprised the president, National Security Adviser Condi Rice, and me, but once they had been set in motion, the president felt he had to support Secretary Rumsfeld and Ambassador Bremer.
We broke it, we owned it, but we didn't take charge-at least until 2006, when President Bush ordered his now famous surge, and our troops, working with new Iraqi military and police forces, reversed the slide toward chaos.
Unreliable Sources
You can't make good decisions unless you have good information and can separate facts from opinion and speculation. Facts are verified information, which is then presented as objective reality. The rub here is the verified. How do you verify verified? Facts are slippery, and so is verification. Today's verification may not be tomorrow's. It turns out that facts may not really be facts; they can change as the verification changes; they may only tell part of the story, not the whole story; or they may be so qualified by verifiers that they're empty of information.
Mke wa Rais huyo Laura Bush akiwa amevaa suti nyekundu na mikufu miwili ya mapambo ya lulu shingoni mwake alikuwa katika chumba cha Caucus katika jengo la Ofisi ya Seneti la Russe mjini Washingtoni
Huu kama siyo upuuzi ni nini hujui chochote kuhusu ugaidi ngoja nikupe darsa hili ujue GAIDI wa kwanza duniani ni Marekani ambayo unajitapa hapa walikualika...Wanajamvi wataamua wenyewe nani gaidi.
Over the years America has waged war with countries, forcibly occupied territories and murdered millions of men, women and children. Dropped nuclear bombs on Japan, destroyed Vietnam's ecosystem with Agent Orange, and has created such an atmosphere in Iraq that radiation levels have been compared to twenty five thousand bombs used in Nagasaki.
As I take you on this journey through pain and suffering, we shall see an insight into American wars, why is there war and what are the benefits of war? More importantly we will run through the effects of war on the common citizens of the country.
I am letting you know now that this article may not be something that you may want to know as it can cause a deep state of sorrow. I started doing research for this post, more than two weeks ago. I did not want to proceed writing the article then, as I did not want my outrage to mess with the facts.
Agent Orange in VietnamThe first case I shall start with is the case of
Agent Orange in Vietnam, Agent Orange is the code name for a powerful herbicide and defoliant used by the U.S. military in an attempt to deny an enemy cover and concealment in dense terrain where they could hide. America dumped more than twenty million gallons of this chemical in the south of Vietnam, no one knows what is the total amount of chemicals dumped in the whole of Vietnam.
The chemicals used in
agent orange produces dioxins that are harmful to not only the environment, but causes diseases like cancer and genetically transfer from one generation to the next causing massive deformation in babies. In 1984, chemical companies that manufactured the Agent paid $180m to the United States veterans who are suffering due to their contact with Agent Orange.
What about the Vietnamese, who have not received any aid, and their lawsuits filed against the companies have been dismissed in US courts. Lets
take a look at Vietnam where so much of the defoliant has absorbed into the earth and the water supply that it continues to have an effect on peoples' lives.
Take a look at this video that has been recorded in Vietnam that will show you the long term effects of Agent Orange in the lives of the citizens who were sprayed.
Hiroshima and Nagasaki, Japan
Lets move on to Japan where the atomic bombings of Hiroshima and Nagasaki killed about 2,53,008 and 1,43,124 humans respectively, the American occupation forces imposed strict censorship on Japan, prohibiting anything "that might, directly or by inference, disturb public tranquility" and prohibited all
pictures of the bombed cities.
On August 6, 1945, 8.15 am, the uranium atom bomb exploded 580 metres above the city of Hiroshima with a blinding flash, creating a giant fireball and sending surface temperatures to 4,000C. Housewives and children were incinerated instantly, their internal organs boiled and their bones charred into brittle charcoal.
Beneath the center of the explosion, temperatures were hot enough to melt concrete and steel. Within seconds, 75,000 people had been killed or fatally injured with 65% of the casualties nine years of age and younger.
Radiation deaths were still occurring in large numbers in the following days. "For no apparent reason their health began to fail. They lost appetite, their hair fell out, and bluish spots appeared on their bodies. And then bleeding began from the ears, nose and mouth".
Hibakusha is the term widely used in Japan referring to victims of the atomic bombings of Hiroshima and Nagasaki.
The Japanese word translates literally to "explosion-affected people", the sad part is that they and their children were (and still are) victims of severe discrimination due to lack of knowledge on the consequences of radiation sickness, where people believed it to be hereditary or even contagious.
Many of them were fired from their jobs, Hibakusha women never got married, as many feared they would give birth to deformed children and men suffered discrimination too as nobody wanted to marry someone who might die in a couple of years.
To date the Hibakusha receive a compensation from the Japanese government, as they and their children are virtually ostracized from society. When they die their names are added to the list of the dead due to the atomic bomb blasts.
Gulf War and Iraq
Depleted uranium that has been used in the ammunition of modern weaponry by the Americans, during the Gulf War and even the carpet bombing that took place in Iraq and is sill being used has tragic consequences. The amount of
radiation now present in Iraq due to the weapons used by Americans is equal to a
massive quantity of Weapons of Mass Destruction (WMD) exploding there.
Doctors in Iraq have estimated that
birth defects have increased by 2-6 times, and 3-12 times as many children have developed cancer and leukemia since 1991. Moreover, a report published in The Lancet in 1998 said that as many as 500 children a day are dying from these sequels to war and sanctions and that the death rate for Iraqi children under 5 years of age increased from 23 per 1000 in 1989 to 166 per thousand in 1993.
Overall, cases of lymphoblastic leukemia more than quadrupled with other cancers also increasing ‘at an alarming rate'
due to American bombs. Veterans of the Gulf War and of the fighting in the Balkans share common illnesses with children in southern Iraq.
Their own citizens like Doug Rokke, the U.S. Army contractor who
headed a clean-up of depleted uranium after the first Gulf War stated, "Depleted uranium is a crime against God and humanity."
Rokke's own crew, a hundred employees, was devastated by exposure to the fine dust."When we went to the Gulf, we were all really healthy," he said. After performing clean-up operations in the desert without protective gear, 30 members of his staff died, and most others including Rokke developed serious health problems. Rokke now has reactive airway disease, neurological damage, cataracts, and kidney problems, "We warned the Department of Defense in 1991 after the Gulf War. Their arrogance is beyond comprehension."
Now that we have taken a look at the effects of war, why would America wage wars like these? Wars are the only way weapons are used on mass scales, which country produces the most weapons? America! Which
country sells the most weapons, America? Which country spends the most on their military to wage wars? Yet once again America, half of the total world's spending on military is done by America.
America has sold weapons to India and Pakistan, then sold better weapons to Pakistan and then more weapons to India. America sold chemical and biological weapons to Iraq just before the gulf war, to help them fight against Iran and countries around the world in the same manner. Watch the movie, the Lord of War, it should give you a broader perspective on this issue.
Heres an ebook that you may like to read online about
atomic bomb exposures and pregnancies.