Mzee wetu Mohamed Said ndio anafikia umri wa miaka sitini mwaka huu. Angekuwa mtumishi wa mfumokristo angestaafu mwaka huu. Hivyo sio mzee sana wa kuwa "senile". Ametusoma sana humu kwa threads hizi tatu. Kwa kuwa mzee huyu ni muelewa sana, arekebishe "historia" yake hii ili ikae kitaifa zaidi. Akubali tu kwamba katika wazee wake wote hakuna aliyetumwa na DINI yake ya KIISLAM kudai uhuru wa Tanganyika.
Akubali pia kwamba Mwalimu hakupata kuuhujumu UISLAM na WAISLAM ingawa angetaka kufanya hivo angeweza sana. Kwake yeye Mwalimu suala la DINI ya mtu lilikuwa ni suala la kibinafsi sana tu. Ndio maana hata alipojiuzulu uwaziri mkuu wakati ule alimwachia Rashid Mfaume Kawawa, MuIslam safi kwa kuzaliwa. Hata Rais wa awamu ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alikuwa awe Salim Ahmed Salim na sio Ben Mkapa.
Akubali pia kwamba Mwalimu hakupata kuuhujumu UISLAM na WAISLAM ingawa angetaka kufanya hivo angeweza sana. Kwake yeye Mwalimu suala la DINI ya mtu lilikuwa ni suala la kibinafsi sana tu. Ndio maana hata alipojiuzulu uwaziri mkuu wakati ule alimwachia Rashid Mfaume Kawawa, MuIslam safi kwa kuzaliwa. Hata Rais wa awamu ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alikuwa awe Salim Ahmed Salim na sio Ben Mkapa.
Last edited by a moderator: