Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
-
- #14,881
Hii shule tunayopata kwenye huu mjadala ni kali,kumbe Field Marshall OKELLO ndio baba wa taifa wa zanzibar-asanteni wachangiaji
Karibu sana dada jackline1,
Huo ndio ukweli mchungu kwa baadhi ya wahafidhina wa Zanzibar!
Wanalijua hilo lakini kwao wanaona ni aibu,
Wacuba leo hii baba wa taifa lao ni mgeni kabisa Ernest Che Guevara,
Imewalazimu kwa heshima ya kutambua mchango wake wamesafiri mpaka Argentina kufukua kaburi la Che-Guevara nakuja kulizika kitaifa nchini Cuba!
Sasa leo wazalendo hawa wa Zanzibar wakiamua kumuenzi mkombozi wao dhidi ya minyororo ya utumwa kuna ubaya gani kwao?
Field Marshal John Okello, the forgotten heroAs Uganda celebrates independence, let me bring into perspective the sacrifices made by Field Marshal John Okello in the liberation of the present day Zanzibar.
The writer is MP for Ajure County
On January 12, 1964, with popular support from the Islands oppressed native African majority, Okello and his men fought their way to the capital of Zanzibar, Stone Town, where the Sultan lived. Even though they were poorly armed, Okello and his men surprised the police force of Zanzibar and they took over power.
A Ugandan peasant turned revolutionary, Okello does not deserve to be forgotten by both his home country Uganda and the country he freed; current day Zanzibar.
My recent visit to Zanzibar reawakened my historical recollection and memory about the patriotic role played and legacy left by a Ugandan born revolutionary Field Marshal John Okello in the 1964 Zanzibar Revolution.
In major historical sites in Zanzibar, the name of Field Marshal John Okello is inscripted amongst the 31 members of the Revolutionary Committee/Council that staged the successful, historical and remarkable revolution of Zanzibar. In African history, Zanzibar is viewed as the fountain of civilization in East and Central Africa with her great mercantile past and a literate and Islamic Swahili culture that existed for centuries.
According to Zanzibari historical sources, during a speech on radio after the takeover, Okello dubbed himself the Field Marshal of Zanzibar and Pemba. In fact, some political analysts consider/considered him as the first President of the new Revolutionary Government of Zanzibar.
The self proclaimed Field Marshal there after created the Revolutionary Council and named the leader of the Afro-Shirazi Party, Abeid Karume as President. Karume was residing in Tanganyika, but returned to Zanzibar, where he was welcomed by Okello.
Afterwards, Okello appeared to be too unstable to play any role in government of the new country and was quietly sidelined from the political scene by President Karume, who only allowed him to retain his title of Field Marshal.
But after two months, he was captured and declared a prohibited immigrant while he was in Tanganyika, then later sent to Kenya. He was incarcerated multiple times and was allegedly last seen with the Ugandan President Idi Amin in 1971 and vanished afterwards.
In the book Revolution of Zanzibar, written by Don Petterson, it is more or less assumed and believed that Idi Amin saw him as a threat. It is further alleged in that book that after President Amin promoted himself, Okello reportedly joked that now Uganda has two Field Marshals, and had arranged his assassination. This remains speculative, however.
In April 1964, three months after the Revolution, the then Tanganyika and Zanzibar decided to make a hasty Constitutional merger of their two countries. The new state was named Tanzania, Nyerere as the Union President, Karume and Rashid Kawawa became the two Vice Presidents of Tanzania.
Okello is a born of Iyama village, Alebtong Parish, Aloi Sub-county, Moroto county, Alebtong District (Formerly part of Lira District), Lango Sub-region. He is survived by two wives and children. According to family sources, he left his home village at 15 and set out on his own and found work in several places within East Africa. Okello left for Pemba and Zanzibar in 1959 and 1963 respectively where he lived and worked as a clerk, manservant, gardener and later on a police officer.
More importantly, the dependants of the late Field Marshal Okello live in chronic and abject poverty. I therefore appeal to the Government of Uganda in conjunction with the Revolutionary Government of Zanzibar to honestly come in and extend a hand of help aimed at salvaging the plight of Field Marshal John Okellos dependants.
Hahaa mkuu, wanajamvi wanakusoma wazi!Alichoeleza Ahmad Rajab ni sahihi kabisa kwani ndio kwani yeye mwenyewe ni mmoja walioshuhudia mapinduzi hayo akiwa na Rafiki yake Salem Saleh mitaa ya shanghani.
Kwani mambo haya yanataka umakini sana katika mapokeo yake lakin utapata machungu sana kama utaingiza ushabiki.
Kumbuka kuwa Brig Yusuf Himid ndie aliyakuwa Mkuu wa kwanza wa majeshi upand ewa Znz na akina Seif Bakari ( nilizowea kumwita mndengereko wa jang'ombe) alikuwa msaidizi wake.
Ahsantum Ritz kumwekea historia toka kwa mtafiti ambaye alishuhudia tukio hilo.
Field Marshal John Okello yawezekana wapo watu wakajidanganya kuwa wanaweza kufuta historia yake lakini dunia itaendelea kumkumbuka kama huyu mbunge wa Uganda alivyoandika Jumapili Octoba 7, 2012 wakati wa kusherehekea siku ya uhuru wa Uganda.
Sayyid Jamshid bin Abdullah Al Said hawezi kumsahau Field Marshal John Okello, Dunia haiwezi kumsahau Field Marshal John Okello, Afrika Mashariki haiwezi kumsahau Field Marshal John Okello na Zanzibar ndiyo kabisa haitaweza kumsahau Field Marshal John Okello. Kama si hekima na juhudi za Mwalimu Nyerere ya kumshawishi Okello aje Dar es Salaam na kumpa nafasi Karume apumue, mambo yangekuwa mengine kabisaaa.Hahaa mkuu, wanajamvi wanakusoma wazi!
Kumbuka maelezo yako ya mwanzo ulisema hutaki kabisa kuzungumzia mapinduzi yale chini ya Okello ukisema wazi yalipoteza watu wengi sana wakiwemo ndugu zako wa damu,
Lakini baada yakumsoma mpotoshaji mwingine Ahamed Rajab umegeuka na kuwa upande wake,
Unanishangaza kwa hilo mkuu, kumbuka wewe uliyashuhudia mapinduzi yale
Sayyid Jamshid bin Abdullah Al Said hawezi kumsahau Field Marshal John Okello, Dunia haiwezi kumsahau Field Marshal John Okello, Afrika Mashariki haiwezi kumsahau Field Marshal John Okello na Zanzibar ndiyo kabisa haitaweza kumsahau Field Marshal John Okello. Kama si hekima na juhudi za Mwalimu Nyerere ya kumshawishi Okello aje Dar es Salaam na kumpa nafasi Karume apumue, mambo yangekuwa mengine kabisaaa.
Hii shule tunayopata kwenye huu mjadala ni kali,kumbe Field Marshall OKELLO ndio baba wa taifa wa zanzibar-asanteni wachangiaji
Hili darasa linanizidi kimo- kwa hiyo wa kulaumiwa ni nyerere????? kwa kumuondoa okello katika historia kama inavyodaiwa alivyowaondoa wazee wa gerezani?????????
jackline, kwanza mpe heshima kidogo Baba wa Taifa...ni Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Pili tarehe 9/12/1961 Tanganyika ikijikomboa kutoka mikononi mwa mkoloni mwingereza, aliyeongoza mapambano alikuwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Tatu, tarehe 12/1/1964 Zanzibar ikijikomboa kutoka mikononi mwa mkoloni mwarabu, aliyeongoza mapambano alikuwa Field Marshal John Okello.Hili darasa linanizidi kimo- kwa hiyo wa kulaumiwa ni nyerere????? kwa kumuondoa okello katika historia kama inavyodaiwa alivyowaondoa wazee wa gerezani?????????
kwa hiyo kiuhalisia rais wa kwanza wa zanzibar ni Okello???
"According to Zanzibari historical sources, during a speech on radio after the takeover, Okello dubbed himself the Field Marshal of Zanzibar and Pemba. In fact, some political analysts consider/considered him as the first President of the new Revolutionary Government of Zanzibar"
Wanaukumbi nafurahi kiasi naoa mjadala unaelekea ukingoni hoja mbali mbali zimejibiwa kiustaharabu na kwa ufundi wa hali ya juu sana.Nimefurahi kuona jambo moja likijitokeza wazi pasipo na shaka yoyote kwamba sumu iliyokuwa ikimwagwa kwa muda mrefu hatimaye imepata majibu stahiki.Ni wajibu wetu sote kuhakikisha masuala ya mazito kama haya yanapojitokeza yasiachwe yakisambaa kwa muda mrefu yakaharibu jamii yetu.
Nawashukuru wote waliojitolea muda wao mwingi na kushughulisha akili kwa faida ya VIZAZI VYA SASA NA VIJAVYO hapa pia napenda angalizo na Wickama lizingatiwe sana hii mitandao ina nafasi kubwa na pana kuliko hata vitabu ambavyo kwa sehemu kubwa havisomwi na vijana wengi ukilinganisha na mitandao.
Mzee Mwanakijiji, Abdulwahid Sykes alipata nafasi tatu za kuonesha alivyo maarufu kisiasa, mahiri kiuongozi na mashuhuri kijamii.Hivi kuna swali limenijia;
Abdulwahid Sykes alikuwa upande gani ilipoundwa AMNUT?
Abdulwahid Sykes alikuwa upande gani ilipovunjika EAMWS?
(Alisema nini kuhusiana na yote haya mawili?)
Shariff Barubaru,
Kuna vitu vingine inabidi ujifunze kutoka kwa wahusika haiwekani mtu anatoka Mwitongo au Magu au Kemendo, anataka kuelezea historia ya mapinduzi ya Zanzibar.
Mimi binafsi kuhusu mapinduzi ya Zanzibar nimejifuza kutoka kwa wahusika wenyewe waliokuwepo.
Baubau, Sikajiji ameuliza swali rahisi sana. ''Je wewe unadhani Nyerere aliinjinia Mapinduzi''Nyerere alikuwa na nia kubwa ya kupambana na Uislam wa Tanganyika.
Kumbuka kuwa wazungu walitumia devide and Rule katika utawala wao na kwa kuangalia mazingira ya nchu husika.
Tukianzia na Kenya na Uganda huko kulikuwa na makabila machache sana huko waliyumia UKABILA katika kuwatawala na hilo mpaka leo linawasibu kama kovu la ukoloni.
Kwa upande wa Tanganyika ambako kulikuwa na makabila mengi sana alishindwa kutumia mbinu hiyo na hapo walitumia UDINI yaani dini moja kuifanya superior zaidi ya nyingine, wasomi zaidi ya nyingine na walifanikiwa kwalo.
Kwa kuwa Nyerere alikuwa na nia ya kuliendeleza hilo alipenda kuungana na waZnz ili kuwalagha waislam kutoka Bara. na hata alipogawa madaraka hakukuwa na waislam kutoka bara bali walichukua watu kutka Znz.
ndio maana nasema ni vizuri tuweke uzi maalum tusasambue kwani wengine tumeyaona hayo bila kusimuliwa.
Mzee Mwanakijiji, Abdulwahid Sykes alipata nafasi tatu za kuonesha alivyo maarufu kisiasa, mahiri kiuongozi na mashuhuri kijamii.
Baada ya hapo? Your guess is as good as mine...a boxful of disappointment. Je kitu gani kilifuatia baada ya hapo? Hizi simulizi za Mohamed Said nadhani zinatupa kwa mbali taswira ya yaliyomsononesha Abdulwahid Sykes. Je kama kungetokea chama pinzani na TANU, angekiunga mkono hata kama si kwa waziwazi? Ni nini chanzo cha machungu yaliyomo ndani ya simulizi alizokuwa akipewa Mohamed Said utotoni? Ni kitu gani kiko nyuma ya malalamiko yale? Mathalani mwaka 1958 tunawaona waliokosa uvumilivu kama Chamwenyewe wakiaasisi AMNUT kwa imani kwamba kitaungwa mkono na waumini wenzake halafu kinakataliwa na hao hao waumini...disappointment on top of disappointment! As I said before, your guess is as good as mine.
- Nafasi ya kwanza ilijitokeza mwaka 1950 alipogombea nafasi ya uongozi wa juu wa TAA katika uchaguzi uliofanyika kumpata kiongozi mwenye sifa zote hizo.
- Nafasi ya pili aliipata mwaka 1953 uchaguzi wa TAA ulipofanyika kumpata kiongozi mwenye "vision" ambaye angeweza kuiwezesha TAA kukabiliana na changamoto mpya zilizoikabili
- Nafasi ya tatu ilijitokeza mwaka 1954 chama cha TANU kilipozaliwa na kutakiwa kiongozi ambaye angeweza kusimamia imara harakati za kisiasa katika kudai uhuru.