gombesugu, mpaka dakika hii nashindwa kuamini ni wewe umeandika hayo maneno...ingawaje hayakulengwa kwangu lakini!...Anyway, hayo tuyaache.
gombesugu, kumbuka humu kuna watu aina mbili; wanaofyonza ilmu kutoka kwa mtoa darsa
Mohamed Said bila kuhoji na wale wanaozipokea kwa tahadhari huku wakihoji ukweli wake na zipo nyakati mtoa darsa amekuta kumbe ni yeye anapewa darsa!
Hapo nyuma nimewahi kuelezea kuhusu chaguzi mbili zilizofanyika Zanzibar mwaka
1961 na mwaka
1963 na kuambatanisha matokeo. Ajabu ni kwamba hata wewe
gombesugu umeungana na wameza ngano kudai ushahidi lakini hapo hapo humu ndani hata mara moja sijakushuhudia ukihoji simulizi za maAl Akhiy @ Mohamed Said au
Ritz, kulikoni A Akhiy
gombesugu?
Sasa ngoja nikupe somo kidogo kuhusu visiwani; uchaguzi wa kwanza kabisa Afrika Mashariki na Kati ulifanyika Zanzibar mwaka
1957. Vyama vikuu vilivyoshiriki vilikuwa viwili,
ZNP na
ASP pamoja na chama kidogo cha
MA.
ZNP Zanzibar Nationalist Party kilikuwa cha wakoloni wa Kiarabu,
ASP AfroShirazi Party kama jina lake kiliwakilisha Waafrika na Washirazi na
MA, Muslim Association kiliwawakilisha Waislaam wa Kiasia. Huu ulikuwa ni uchaguzi wa kuwapata wajumbe sita wa LEGCO visiwani na haya ndio yalikuwa matokeo;
[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 0"]
[TR]
[TD="width: 408"]
[/TD]
[TD="width: 106"]
[/TD]
[TD="width: 106"]
[/TD]
[TD="width: 106"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Afro-Shirazi Party (ASP)
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Zanzibar Nationalist Party (ZNP)
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Matokeo ya Uchaguzi huu ndio yalioutia hofu utawala wa Sultani kwani hawakuambulia kiti hata kimoja. Mbinu zikatumika za kukipunguzia nguvu chama cha
ASP na sheria zikatungwa kuhusu chaguzi zitakazofuatia. Matokeo ni kwamba chama cha
ASP ikameguka na
ZPPP, Zanzibar and Pemba Peoples Party ikazaliwa mwaka
1959! Katika uchaguzi wa
LEGCO uliofuatia terehe
17 January 1961 matokeo yakawa haya;
[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 0"]
[TR]
[TD="width: 408"]
[/TD]
[TD="width: 106"]
[/TD]
[TD="width: 106"]
[/TD]
[TD="width: 106"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Afro-Shirazi Party (ASP)
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Zanzibar Nationalist Party (ZNP)
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Zanzibar and Pemba People's Party (ZPPP)
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Pamoja na
ASP kushinda,
ZNP na
ZPPP zikaunganisha nguvu kuipokonya ushindi kwa kupata jumla ya viti
12 dhidi ya
10 za
ASP! Katika uchaguzi wa
LEGCO wa tarehe
1 June 1961...matokeo ya uchaguzi huu yalikuwa kama ifuatavyo;
[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 0"]
[TR]
[TD="width: 408, colspan: 2"]
[/TD]
[TD="width: 106"]
[/TD]
[TD="width: 106"]
[/TD]
[TD="width: 106, colspan: 2"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]
Zanzibar Nationalist Party-Zanzibar and Pemba People's Party
[ZNP-ZPPP]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD="colspan: 2"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]
Zanzibar Nationalist Party (ZNP)
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Zanzibar and Pemba People's Party (ZNPP)
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]
Afro-Shirazi Party (ASP)
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD="colspan: 2"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Haya matokeo yalipokewa kwa mshangao mkubwa kwani
ZNP iliyopata kura
31,681 ikapata viti sawa na
ASP iliyopata kura
45,172! Hali hii ilisababisha tafrani na kusababisha
ZNP nayo kumeguka na chama kipya cha
UMMA Party kikazaliwa. Katika Uchaguzi Mkuu wa Bunge uliofanyika tarehe
8-11 July 1963, UMMA party iliamua kuiunga mkono
ASP huku
ZNP nayo ikiendelea kushirikiana na
ZPPP. Matokeo ya huo uchaguzi ulikuwa kama ifuatavyo;
[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 0"]
[TR]
[TD="width: 408, colspan: 2"]
[/TD]
[TD="width: 106"]
[/TD]
[TD="width: 106"]
[/TD]
[TD="width: 106, colspan: 2"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]
Zanzibar Nationalist Party-Zanzibar and Pemba People's Party
[ZNP-ZPPP]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD="colspan: 2"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]
Zanzibar Nationalist Party (ZNP)
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Zanzibar and Pemba People's Party (ZNPP)
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]
Afro-Shirazi Party (ASP)
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD="colspan: 2"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Astaghfirullah! Kura
87,075 za
ASP sawa na asilimia
54.21% viti
13 lakini kura
73, 559 za
ZNP&ZPPP sawa na asilimia
45.79% viti
18! Wananchi gani wangevumilia kutapeliwa hivi na wakoloni wa Kiarabu eti mradi wamemtafuta msaliti moja wakampa Uwaziri Mkuu! Lilikuwa ni swali tu la lini atokee jasiri moja wa kumkabili Sultani na kumfungasha virago…kwa bahati nzuri mtu huyo hakuwa mbali na hakuwa mwingine bali
Field Marshal John Okello!
Je, chaguzi hizi zilifanyika? Je matokeo yalikuwa kama nilivyoorodhesha? Je Sultani Sayyid Sir Jamshid bin Abdullah Al Said hakutimuliwa Zanzibar?