JokaKuu,
Nashukuru ndugu yangu.
Pana mambo na vitu vingi mno,kuthibitisha sio tu Wazungu bali
Kanisa khasa
Vatican lilivyoshiriki kikamilifu katika
Biashara ya Utumwa. Na Wazungu walivyokua wakitumia na kunukuu vipengele vya kwenye
Bible kuendeleza udhalimu wao kwa
Watu weusi.
Pale
Unguja mpaka kesho ndani ya
Kanisa la Mkunazini pana ushahidi wa vigingi walokua wakifungiwa Watumwa ili wasitoroke,na huku Makasisi wakishiriki kikamilifu.
Nilkua zamani kwenye team ya Table Tennis ya pale Kanisani,chini ya Uangalizi wa
Mzee Mazuguni wa Ndahani,huyu pia ni family friend wetu na ananijua vizuri na tukihishimiana mno. Ni
Kiongozi Mkubwa mno wa Kanisa hapo
Tanzania khasa ule ulokua nafikiri
Usharika wa Tanga na Zanzibar. Japo huyu Mzee kwao ni
Dodoma. Sijui kama bado yupo hai au la..maana nimepoteza nao mawasiliano kitambo!?
Haya masuala kwakuwa yana
elements za
malumbano ya kidini,mimi binafsi nisingependa asilan kuendelea nayo.
Point niliyokua najaribu kukuonyesha ni yakuwa
Uislam wenyewe,yaani
Qur'aan na Mtume Muhammad hawakushiriki na walipiga marufuku na kukemea kwa ukali na juhudi ziziso kifani.
Lakini ndugu zetu wa
Kizungu au
Kanisa khasa
Vatican,imefanza ushiriki mkubwa mno katika
biashara hiyo ya Utumwa. Yaani hapa nina maana mpaka wale Makasisi na Makanisa kubariki na kuzifanzia
maombolezo makubwa na Ibada zile Manuari za kina
Vasco Da Gama na
C. Columbus kwenye Makanisa kabla ya kwenda kufanza ule
udhalimu/"uvumbuzi"...na huku hayo
Makanisa na Viongozi wake woote wakijua kiundani na kujihusisha!?
Ukija kwenye upande wa
Waarabu,ni kweli walifanza madhila mengi mno, ukatili uso kifani na walifanza Biashara ya Utumwa. Lakini kumbuka hao Waarabu hayo mambo walikua wakifanza kabla hata
Mtume Muhammad hajazaliwa!
Hakuna ushahidi yakuwa
Mtume Muhammad,Masheikh,Maulamaa au Qur'aan ilitumika kuhalalisha au kubariki Biashara ya Utumwa...kwa kifupi hakuna kabisa! Asilan abadan!
Kama ungekuwepo,ungeshauona kutwa kucha unanyambuliwa khasa kwenye
Western mainstream Medias/empires na wale so called
Specialists/Orientalists.
Tafadhali tuyaache haya majambo,si mazuri khasa kwangu mimi.
Kumbuka nilishasema tangia siku chache za mwanzoni kujiunga hapa
jamvini;yakuwa sipendi na wala sijawahi maishani mwangu kujihusisha na
malumbano ya kidini.
Ndo maana nilikua namdodosa mno na kumsumbua
Mwanakijiji,maana yeye hii ndiyo
Hobby yake kubwa kama alivyowahi kutuambia awali hapa
jamvini.
Shukran.
Cc;Ritz
Shariff
gombesugu,
Humu watu wana mahaba na mahaabuba mabaya kwa wazungu hebu hapa chini wasome wazungu wenyewe wanavyosema...ha hah haa.
Church apologises for benefiting from slave tradeThe year 1807 saw the abolition of the trade in slaves in the British empire and not, as we said in error in the article below, the abolition of the institution itself. To clarify, slavery in Britain was made illegal in 1772; the colonial slave trade was ended in 1807; slavery in the colonies was abolished in 1833.
The Church of England last night said sorry for the role it played in the 18th century in benefiting from slave labour in the Caribbean.
The church's general synod in London began its deliberations yesterday by commemorating its role behind the abolition of slavery in 1807, pledging members to continue campaigning against modern slavery. But the debate was transformed at the request of the Archbishop of Canterbury, with an apology being issued for the church's complicity in sustaining - and profiting hugely - from the trade.
Although the motion was passed unanimously, the synod stopped short of endorsing a specific call for financial or other reparations.
When parliament voted compensation in 1833 - to former slave owners rather than the slaves themselves - the church received £8,823 8s 9d, about £500,000 in today's money, for the loss of slave labour on its Codrington plantation in Barbados. The contemporary Bishop of Exeter and his business associates received even more, nearly £13,000.
Rowan Williams, the archbishop, told the synod that the church ought to acknowledge its corporate and ancestral guilt: "The Body of Christ is not just a body that exists at any one time; it exists across history and we therefore share the shame and the sinfulness of our predecessors, and part of what we can do, with them and for them in the Body of Christ, is prayerful acknowledgment of the failure that is part of us, not just of some distant 'them'.
"To speak here of repentance and apology is not words alone; it is part of our witness to the Gospel, to a world that needs to hear that the past must be faced and healed and cannot be ignored ... by doing so we are actually discharging our responsibility to preach good news, not simply to look backwards in awkwardness and embarrassment, but to speak of the freedom we are given to face ourselves, including the unacceptable regions of ... our history."
The church's admission follows similar apologies by the late Pope John Paul II for the historic transgressions of the Roman Catholic church, its anti-semitism and the Inquisition.
Speakers in the synod debate acknowledged that the church had played its part in justifying slavery during the long campaign by William Wilberforce and others such as the former slave ship captain turned minister John Newton, composer of the hymn Amazing Grace, to secure its abolition. Wilberforce brought bills before parliament for 20 successive years until legislation to abolish the trade was passed.
The Rt Rev Tom Butler, Bishop of Southwark, told the synod: "The profits from the slave trade were part of the bedrock of our country's industrial development. No one who was involved in running the business, financing it or benefiting from its products can say they had clean hands.
"We know that bishops in the House of Lords with biblical authority voted against the abolition of the slave trade. We know that the church owned sugar plantations on the Codrington estates."
A recent book, Bury the Chains, by the American author Adam Hochschild, clearly influenced the debate. It says the church's missionary organisation, the Society for the Propagation of the Gospel in Foreign Parts, branded its slaves on the chest with the word SOCIETY to show who they belonged to
gombesugu, ebu wasome tena hapa chini hawa jamaa ambao wanasifiwa kuwa hakufanya biashara ya utumwa wao ndiyo walipiga marufuku.