Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

MS,Asanta na shukurani kubwa kwako kutupasha khabari kubwa za Shujaa wetu marehemu Ally Sykes! Allah akulipe kila la kheri duniani na akhera! Mzee Ally Sykes Alla amsamehe madhambi yake na kumpa pepo yake inshaallah kazi aliyoifanya si ndogo!na kaswali kadogo Sheik MS, hapo juu umetaja jina la Chif Makwaia, jee. kuna uhusiano wowote kati yake na Mwandishi Makwaia wa Kuhenga wa channel 10?

Kadogoo,
Sijui kama wana uhusiano.
 
Y. Nyerere,Chuma kinachowaka na kuchoma mamilioni ya fedha za Wa Tz huku kikieneza magonjwa ya zinaa na hatari unathubutu kuja hapa na kuusifia Mwenge? unaweza kunitajia hata angalau faida moja ya mwenge? mpaka leo najiuliza ninani aliyeleta wazo la kuwasha mwenge na kuuzungusha nchi nzima huku watu wazima wenyeakili zao wanaukimbiza na kunyanganyana!

Kadogoo
Huyu Bwana mdogo @Yericko ni mtu wa ajabu sana,
Tena ni kama vile hajielewi,nashangaa tukiwa sote kule kwenye ukamanda wa chadema na pro-chadema wenzetu tunaupinga mwenge na kuimba nyimbo za ufisadi za kuibeza ccm,tukiwa hapa kwenye kuelezea historia za wazee wetu anageuka na kuanza kuutukuza mwenge huo wa uhuru..!
You know yericko anayafanya haya kwa hapa kwa kuwa amejivika chuki za wazi wazi na yupo vitani kweli kweli,
Ameshageuza hapa kama ni uwanja wa crusade vs jihadi,thats why atatumia kila aina ya makombora ili mradi ajihakikishie ushindi,lakin anasahau ya kwamba historia ya kweli haifichiki,na chuki ni ngumu pia kuificha,ni wazi tumeiona chuki yake binafsi na rangi yake halisi...
 
Last edited by a moderator:
Kadogoo
Huyu Bwana mdogo @Yericko ni mtu wa ajabu sana,
Tena ni kama vile hajielewi,nashangaa tukiwa sote kule kwenye ukamanda wa chadema na pro-chadema wenzetu tunaupinga mwenge na kuimba nyimbo za ufisadi za kuibeza ccm,tukiwa hapa kwenye kuelezea historia za wazee wetu anageuka na kuanza kuutukuza mwenge huo wa uhuru..!
You know yericko anayafanya haya kwa hapa kwa kuwa amejivika chuki za wazi wazi na yupo vitani kweli kweli,
Ameshageuza hapa kama ni uwanja wa crusade vs jihadi,thats why atatumia kila aina ya makombora ili mradi ajihakikishie ushindi,lakin anasahau ya kwamba historia ya kweli haifichiki,na chuki ni ngumu pia kuificha,ni wazi tumeiona chuki yake binafsi na rangi yake halisi...

Kuwepo kwa faida au kutokuwepo faida ya Mwenge wa Uhuru leo hii ni jambo jingine,

Hapa tunazungumza historia na historia ni katili sana, hata kama kitu utakikana leo lakini historia itabaki huru kwacho!
 
Last edited by a moderator:
Yericko,

Unadhani mie na muda na wewe ninachofanya ni kuwafahamisha wanajamvi upuuzi wako.

Mimi ndiyo nimekufanya ufanye editing kwenye mabandiko yako. ha haa ha.

Nakuacha na haya maneno mazito yatakusaidia.

"Uongo, kama vile nyasi juu ya maji huelea, Atafutae lulu hana budi kupiga mbizi." John Dryden


Cc.. gombesugu,

Nilipo Underline.

Hakika nimeupenda sana huo usemi kwani nasi tunapata darsa zuri sana la Historia sahihi ya Tanganyika iliyosahaulika kwa nia maalum.
Ahsantum nasi ndio tunakwenda mbio sana kupata darsa.

Ahsantum.

 
Duh, naona mambo yanazidi kunoga, JF ni zaidi ya tuijuavyo na kweli duniani kuna mambo.. gombesugu hata wewe una uthubutu wa kutamka maneno kama hayo hapo juu! Kama ingekuwa ni swala la kuzikana kwa uongo, mbona mwalimu wako wa darsa Mohamed Said keshazikwa zamani na kusahaulika siku nyingi tu! Unakumbuka listi ya uongo wake uliodumu miaka 15 hadi ilipovinjari kwenye anga za JF! Lakini hayo tuyaache, nina maswali manne tu kwako wewe, ma Shariff na ma AL Akhiy wote katika mnakasha huu;

  1. Kuna watu humu ndani wamekataa kata kata kumeza ilmu inayodaiwa kutolewa na Mohamed Said bila kuhoji uhalali na ukweli wa madai yake, mengi yakiwa yamejikita katika uchochezi ambao hauna msingi wowote zaidi ya simulizi za chuki na fitna kutoka kwa baadhi ya wazee wake. Hapa nitataja baadhi tu ya watu wanaopinga uopotoshwaji wa Mohamed Said; sweke34, Ngongo, Wickama, zumbemkuu, Remote, Son of Alaska, Nguruvi3, JokaKuu, Mkandara, Fundi Mchundo, platozoom, chama, Gwalihenzi, Nanren, WildCard, Ogah, Wimana, Geeky, Jasusi, Mag3 na wengine wengi tu.. gombesugu, je kati ya hawa unadhani yupo Muislaam hata moja? Je unadhani yupo mwana CCM hata moja? je unadhani yupo mwana Chadema hata moja?
  2. Kuna sehemu nimetaja kwamba, pamoja na utumwa kuwepo duniani ndani ya jamii mbalimbali, ni Waarabu ndio jamii ya kwanza duniani kuutumia utumwa kibiashara. Mathalani jamii ya kiarabu ndio jamii ya kwanza kuwawinda waafrika, kuwateka na kuwasafirisha na kuwauza kama bidhaa nje ya bara hili. Hii ilifanyika miaka mingi tu kabla ya Wazungu kufika Afrika kwenye karne ya tisa (miaka ya 800) Swali, kwa nini tunapowataja Waarabu na kuwalaumu kwa udhalimu huu, nyie watetezi mnakimbilia kuutetea Uislaam kama dini inayojali utu, je Uislaam ni Uarabu?
  3. Toka tupate uhuru mwaka 1961 tumekuwa chini ya utawala wa chama kimoja TANU ambacho mwaka 1977 kiliungana na ASP na kuzaliwa CCM. Katika muda wote huo Waislaam, kulingana na mahubiri ya kichochezi ya Mohamed Said, wamebaguliwa, kupuuzwa, kunyimwa haki na kuonekana kama raia daraja la nne nchini. Kwa nini mfumo wa vyama vingi uliporuhusiwa mwaka 1992 chini ya uongozi wa Raisi Ali Hasan Mwinyi, kiongozi Muislaam, Waislaam hawakuutumia wingi wao (kumbuka idadi ya Waislaam nchini kulingana na ngano za Mohamed Said, ni theluthi tatu ya Watanzania!) kuhakikisha wanakiunga chama kitakachowatetea na kuwapa haki?
  4. Mathalani, baada ya awamu ya kwanza ya utawala wa Raisi Jakaya Kikwete, Muislaam, kwa nini ilipoonekana wazi mwaka 2010 kwamba mfumo Kristo unazidi kushamiri chini ya CCM, Waislaam, kulingana na kauli ya Profesa Ibrahim Lipumba, mwenyekiti wa chama cha CUF na Raisi mtarajiwa, walihakikisha CCM hiyo hiyo inarudishwa madarakani. Pamoja na kufanikiwa katika mpango huo, kwa nini bado wanatokea akina Mohamed Said, Sheikh Ilunga, Sheikh Ponda, wanahubiri chuki dhidi ya watu ambao kulingana na walivyojipanga, walihakikisha hawakamati uongozi nchini?
gombesugu, hilo la jina langu kuwekwa kwenye "shit list" ya Mohamed Said hata isikupe taabu, I feel honoured kuwa katika hiyo list kwa sababu ni hiyo listi ndiyo imemfanya ahamishie kabisa malazi hapa JF! Angesema ameniweka kwenye "ignore list" mmh, maybe...lakini alimradi yuko dirishani anapokea vidonge, hamna taabu, ingawa yawezekana ni ngumu kwake kuvimeza. Naambiwa Barubaru kaikana nchi yake kakimbilia Oman lakini familia hiyooo, Maryland Marekani huku roho yake ikiendelea kusononeka nchini si Unguja, Dar, Mwanza au Kigoma, oops, hiyo inaitwa home sickness... na wewe je ndugu yangu Al Akhiy!

Jamani ni muda tu unakosekana...humu ndani kuna ilmu na elimu zinatolewa, darsa na darasa ziko nje nje na wapo akina Spike Lee kazi kufyonza tu bila hata kuchungulia ndani ya chombo, je mrija uko salama? Naambiwa watu wananyimwa fursa katika uongozi wakati wenyewe ndio viongozi, wananyimwa fursa katika uchumi wakati ndio wafanya biashara wakubwa, wanaonewa na vyombo vya dola wakati wao ndio wameshika dola, hawapewi haki mahakamani wakati mahakama wanaisimamia wao na sasa ma Al Akhiy nao kesho watalalamika kwa kutopata fursa ya kuwa wasomi hadi wanawaweka akina Mag3 kwenye "shit list"! Chezea Tanzania!

Mag3 mbona povu linakutoka naona umeamuwa kuwaorodhesha makamanda hapo juu lakini jinsi ulivyo kuwa na chuki na uislamu mbona kuna kamanda umemsahau THE BIG SHOW au kwasababu hakubaliani na hoja zako? Unaposema mzee MS ni mchochezi hivi unaweza kunionyesha mzee MS wapi aliwaambia watu wakafanye vurugu,hivi dr Slaa alivyo waambia watu mwenyekiti wenu amewekwa ndani hivi makamanda mnakubali watu wakasema hatukubaliiiiiiii!akawaambia watu waende kituo cha polisi ndio yakatokea mauaji nani mchochezi kati ya mzee Mohamed said na Dr Slaa? hilo hulioni wewe na wenzako wanaokupa likes bila hata kutafakari umeandika nini au unataka kuniambia hawa kina NGURUVI3,JOKAKUU,GWALIHENZI,JASUSI,WICKAMA,NGONGO,ZUMBEMKUU,REMOTE,YERICKO na makamanda wengine kama munavyoitana akili zao ni sawa na za "kasuku" kwasababu kasuku kila analolisikia analisema bila ya kulifanyia utafiti na akili ya kasuku iko masikioni!ahsanta tuendelee na mnakasha.
 
Nilipo Underline.

Hakika nimeupenda sana huo usemi kwani nasi tunapata darsa zuri sana la Historia sahihi ya Tanganyika iliyosahaulika kwa nia maalum.
Ahsantum nasi ndio tunakwenda mbio sana kupata darsa.

Ahsantum.


Nikweli kabisa,

Hapa katika uzi huu kuna DARSA na DARASA,

Pia kuna Ilm na Elimu,

Kwahiyo tofautisha hao watu wawili wapatao hivyo vitu,

Kwangu mimi anaefyonza ELIMU katika DARASA hili ni mtu mhimu zaidi!

Lakini anaefyonza Ilm katika Darsa kwangu hana mafaa!
 
Duh, naona mambo yanazidi kunoga, JF ni zaidi ya tuijuavyo na kweli duniani kuna mambo.. gombesugu hata wewe una uthubutu wa kutamka maneno kama hayo hapo juu! Kama ingekuwa ni swala la kuzikana kwa uongo, mbona mwalimu wako wa darsa Mohamed Said keshazikwa zamani na kusahaulika siku nyingi tu! Unakumbuka listi ya uongo wake uliodumu miaka 15 hadi ilipovinjari kwenye anga za JF! Lakini hayo tuyaache, nina maswali manne tu kwako wewe, ma Shariff na ma AL Akhiy wote katika mnakasha huu;
gombesugu, hilo la jina langu kuwekwa kwenye "shit list" ya Mohamed Said hata isikupe taabu, I feel honoured kuwa katika hiyo list kwa sababu ni hiyo listi ndiyo imemfanya ahamishie kabisa malazi hapa JF! Angesema ameniweka kwenye "ignore list" mmh, maybe...lakini alimradi yuko dirishani anapokea vidonge, hamna taabu, ingawa yawezekana ni ngumu kwake kuvimeza. Naambiwa Barubaru kaikana nchi yake kakimbilia Oman lakini familia hiyooo, Maryland Marekani huku roho yake ikiendelea kusononeka nchini si Unguja, Dar, Mwanza au Kigoma, oops, hiyo inaitwa home sickness... na wewe je ndugu yangu Al Akhiy!

Jamani ni muda tu unakosekana...humu ndani kuna ilmu na elimu zinatolewa, darsa na darasa ziko nje nje na wapo akina Spike Lee kazi kufyonza tu bila hata kuchungulia ndani ya chombo, je mrija uko salama? Naambiwa watu wananyimwa fursa katika uongozi wakati wenyewe ndio viongozi, wananyimwa fursa katika uchumi wakati ndio wafanya biashara wakubwa, wanaonewa na vyombo vya dola wakati wao ndio wameshika dola, hawapewi haki mahakamani wakati mahakama wanaisimamia wao na sasa ma Al Akhiy nao kesho watalalamika kwa kutopata fursa ya kuwa wasomi hadi wanawaweka akina Mag3 kwenye "shit list"! Chezea Tanzania!

Mag3.

Nafikiri una mtazamo finyu katika mada hii. Kama umetazama kiundani sana utaona kuna mashindano makubwa sana ya UDINI na hili wewe angalia LIKES zinazotolewa.

Lakin kwa wasomi siku zote huwa tunaheshimu sana UTAFITI na kama mtu amefanya Utafiti lazim a tukubaliane naye na KAMA TUNATAKA KUPINGA BASI UTAFITI UNAPINGWA NA UTAFITI na sio Bla bla.

Mimi binafsi nimejifunza mengi sana katika huu mnakasha ambazo nilikuwa sijapata kuyasikia na nilipoulizia kwa wazee wakakubali kuwa kweli ni sahihi napenda sana Kumshukuru Al Alkhiy Mohamed Said kutufumbua macho na kuona kile kilichofichwa tena kwa usiri mkubwa. Allah akubarik Sana.

masikitiko angu ni kuwa kuna watu hawatetei ukweli bali wamejawa na USHABIKI wa KIDINI. jambo ambalo ni baa sana kwa mustakabali wa Taifa lenu.

Mag3.
Tanzania mimi ni kwangu kwani ndiko nilikozaliwa na kitovu changu kimezikwa Mwera Znz japo asili yangu ni Oman. Hiyo isikupe khofu. Nimewekeza na nina ndugu wengi huko na ndio maana mara kwa mara nakuja huko na siwezi kuacha kuja huko kwani niliondoka kwa baraka zote za wenyeji wangu na ndio maana natetea haki za wale wanaodhulumiwa huko.



 
Nilipo Underline.

Hakika nimeupenda sana huo usemi kwani nasi tunapata darsa zuri sana la Historia sahihi ya Tanganyika iliyosahaulika kwa nia maalum.
Ahsantum nasi ndio tunakwenda mbio sana kupata darsa.

Ahsantum.


"Najikinga kwa Mwenyezi Mungu nisiwe miongoni wa wajinga" Musa (Mtume wa wana wa Israeli)


Qur'an 2:67
 
Nikweli kabisa,

Hapa katika uzi huu kuna DARSA na DARASA,

Pia kuna Ilm na Elimu,

Kwahiyo tofautisha hao watu wawili wapatao hivyo vitu,

Kwangu mimi anaefyonza ELIMU katika DARASA hili ni mtu mhimu zaidi!

Lakini anaefyonza Ilm katika Darsa kwangu hana mafaa
!

Yericko.

Zisikutishe hizo lugha kwani inategemea mtu ametokea wapi.
Mathalan watu kutoka pwani. sokoni wanaita marikiti, Shule tunaita Skuli, Darasa tunaita Darsa, Elimu tunaita Ilmu.etc.

Ni sawa kabisa na watu kutoka kanda ya Ziwa, Ndama anaitwa kimori, Shule wanaita Shure, Kulala wanasema Kurara, safari wanasema safali etc.

Sasa usibague watu kwa mujibu wa lugha zao wewe angalia nini wamekusudia nini katika maandiko yao. Kwani Lugha ni mfumo wa sauti za nasibu, zenyekubeba maana na zilizokubalika na jamii zitumike ili kuwasiliana.

Pole sana

 
Gombesugu,
Hayo maneno aloweka Shariff Ritz yanatoka katika shairi
la John Drydern.

Hayo ndiyo maneno nilofungulia kitabu changu.
Hakika lulu huipati sharti upige mbizi.
 
Barubaru,
Kila ninapopita humu jamvini ndivyo ninavyozidi kumshukuru Allah.

Maryland Washington...
Nimekaa hapo.

Alhamdulilah.
 
Yericko,
Umetaja mitaa miwili Kipata (sasa ni Mtaa wa Kleist Street) na Mkunguni.

Haya nitakayokueleza yatakuwa na "mafaa" kwako kama upendavyo kusema.
Yako mengi lakini nitanyambua kiduchu.

Tuanze na Kipata.

Kipata na Msimbazi nyumba ya kwanza ilikuwa ya Abdallah Matimbwa.
Huyu ni mmoja wa wanachama wa mwanzo TANU.

Abdallah Matimbwa ni mmoja wa waliochangia ujenzi wa kujenga Chuo Kikuu
Cha Dar es Salaam.

Baada ya uhuru alitoa gari yake kuanzisha ushirika wa CORETCO.

Bado tupo Kipata.
Kipata na Congo.

Nyumba ya kona kwa Abdallah Hamisi mmoja wa waasisi wa African Association
1929.

Kipata na Nyamwezi.
Nyumba ya Mama Nambaya na mama yake Shabaka.

Nyumba ya mbele no. 32.
Hapa ndipo alipozaliwa Mohamed Said.

Kipata na Sikukukuu nyumba ya Mohamed Clement Mtamila katibu wa TAA wakati
wa Vita Vya Pili ni katika nyumba hii Nyerere aliwasilisha barua kutoka kwa Father
Walsh akishauriwa asomeshe au aache siasa.

Halmashauri Kuu ya TANU Mzee Mtamila akiwa mwenyekiti mmoja wa wajumbe
akiwa Bi Tatu Biti Mzee walikutana ndani ya nyumba hii na uamuzi ukapita Nyerere
ajiuzulu aje Dar es Salaam atakaa kwa Abdu Sykes hadi TANU itakapomtafutia nyumba.

Kipata huku Livingstone huko New Street.
Nyumbani kwa Kleist Sykes na wanae.

Hapa ndipo ulipokuwa umefichwa mtambo wa kuchapa makaratasi ya "uchochezi" na
mchapaji alikuwa Ally Sykes na mkewe Bi. Zainab.

Hapa yapo mengi na Nyerere alikuwa hapungui nyumba hii.
Mkabala na nyumba hii akiishi babu yangu.

Mkunguni na New Street.
Hapo unamkuta Hawa Biti Maftah unaijua nyimbo "Hongera Mwanangu?"

Huyo mwana anaepongezwa ni baba yako Julius Kambarage Nyerere na aliyekuwa akiimbisha
nyimbo hii mikutanoni ni Bi Hawa Biti Maftah.

Hapo hapo mbele ni nyumba ya Idd Tosiri.
Tosiri ndiye aliyempeleka Nyerere Bagamoyo kwenda kumjulisha kwa Sheikh Mohamed Ramia.

Yericko,
Usitudharau wala kujaribu kuwadhalilisha wazee wetu.
Hawa wameacha alama katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Unataka kuidhalilisha mitaa hii alokuwa akikanyaga Baba wa Taifa mitaa ambayo akiitembea
na wazee wetu?

Unataka kuifanya kichekesho Mtaa wa Kipata na Mkunguni ilhali mitaa hii ndiyo iliyomfikisha
Nyerere juu kileleni?

Jitulize na fikiri kabla hujaandika.
Ujuvi haukufai kijana.

Una miaka mingi ya kuishi Allah akipenda.
 
Wickama,
Jiulize kiwango cha "intelligence" yangu kwanza kabla hujaandika.

Sheikh Mohammed Said,

It takes academically enlightened and blessed individual like you Al Akhiy,to fully comprehend what remains blind to the rest of Tanganyikans/Tanzanians.

Thank you again for enlightening our mind,now the main question is what do we do with this knowledge together as Tanzanians.

Now we know why our History,the History of Wazee wetu was kept from us.

When I read these facts,I'm instantly instilled with inspiration,courage and pride in what Wazee wetu accomplished.

Ain't no time like the present. We have had people fighting for truths and our equal rights as citizens of Tanganyika/Tanzania for years,unfortunately,we have had sellouts too!

I think during Nyerere's regime people were bit scared for many valid reasons/atrocities,now they can meet the new Muslim generation.

Insha Allah,you will always remain blessed and truthfully to your Country.

Ahsanta.

Cc;Ritz
 
Al Akhiy gembesugu,

Niwie radhi ndugu siku mbili hizi hatujapata kuamkuana nilitingwa na vijikazi kidogo naomba kiduchu na mie nijazie huu mpini nauweka hapa chini wanaukumbi nao wapate kupakuwa na kuchota kidogo.
Britain's colonial shame: Slave-owners given huge payouts after abolition

David Cameron's ancestors were among the wealthy families who received generous reparation payments that would be worth millions of pounds in today's money
Sanchez Manning

Sunday 24 February 2013
The true scale of Britain's involvement in the slave trade has been laid bare in documents revealing how the country's wealthiest families received the modern equivalent of billions of pounds in compensation after slavery was abolished.

The previously unseen records show exactly who received what in payouts from the Government when slave ownership was abolished by Britain – much to the potential embarrassment of their descendants. Dr Nick Draper from University College London, who has studied the compensation papers, says as many as one-fifth of wealthy Victorian Britons derived all or part of their fortunes from the slave economy.

As a result, there are now wealthy families all around the UK still indirectly enjoying the proceeds of slavery where it has been passed on to them. Dr Draper said: "There was a feeding frenzy around the compensation." A John Austin, for instance, owned 415 slaves, and got compensation of £20,511, a sum worth nearly £17m today. And there were many who received far more.

Academics from UCL, led by Dr Draper, spent three years drawing together 46,000 records of compensation given to British slave-owners into an internet database to be launched for public use on Wednesday. But he emphasised that the claims set to be unveiled were not just from rich families but included many "very ordinary men and women" and covered the entire spectrum of society.

Dr Draper added that the database's findings may have implications for the "reparations debate". Barbados is currently leading the way in calling for reparations from former colonial powers for the injustices suffered by slaves and their families.

Among those revealed to have benefited from slavery are ancestors of the Prime Minister, David Cameron, former minister Douglas Hogg, authors Graham Greene and George Orwell, poet Elizabeth Barrett Browning, and the new chairman of the Arts Council, Peter Bazalgette. Other prominent names which feature in the records include scions of one of the nation's oldest banking families, the Barings, and the second Earl of Harewood, Henry Lascelles, an ancestor of the Queen's cousin. Some families used the money to invest in the railways and other aspects of the industrial revolution; others bought or maintained their country houses, and some used the money for philanthropy. George Orwell's great-grandfather, Charles Blair, received £4,442, equal to £3m today, for the 218 slaves he owned.

The British government paid out £20m to compensate some 3,000 families that owned slaves for the loss of their "property" when slave-ownership was abolished in Britain's colonies in 1833. This figure represented a staggering 40 per cent of the Treasury's annual spending budget and, in today's terms, calculated as wage values, equates to around £16.5bn.

A total of £10m went to slave-owning families in the Caribbean and Africa, while the other half went to absentee owners living in Britain. The biggest single payout went to James Blair (no relation to Orwell), an MP who had homes in Marylebone, central London, and Scotland. He was awarded £83,530, the equivalent of £65m today, for 1,598 slaves he owned on the plantation he had inherited in British Guyana.

But this amount was dwarfed by the amount paid to John Gladstone, the father of 19th-century prime minister William Gladstone. He received £106,769 (modern equivalent £83m) for the 2,508 slaves he owned across nine plantations. His son, who served as prime minister four times during his 60-year career, was heavily involved in his father's claim.

Mr Cameron, too, is revealed to have slave owners in his family background on his father's side. The compensation records show that General Sir James Duff, an army officer and MP for Banffshire in Scotland during the late 1700s, was Mr Cameron's first cousin six times removed. Sir James, who was the son of one of Mr Cameron's great-grand-uncle's, the second Earl of Fife, was awarded £4,101, equal to more than £3m today, to compensate him for the 202 slaves he forfeited on the Grange Sugar Estate in Jamaica.

Another illustrious political family that it appears still carries the name of a major slave owner is the Hogg dynasty, which includes the former cabinet minister Douglas Hogg. They are the descendants of Charles McGarel, a merchant who made a fortune from slave ownership. Between 1835 and 1837 he received £129,464, about £101m in today's terms, for the 2,489 slaves he owned. McGarel later went on to bring his younger brother-in-law Quintin Hogg into his hugely successful sugar firm, which still used indentured labour on plantations in British Guyana established under slavery. And it was Quintin's descendants that continued to keep the family name in the limelight, with both his son, Douglas McGarel Hogg, and his grandson, Quintin McGarel Hogg, becoming Lord Chancellor.

Dr Draper said: "Seeing the names of the slave-owners repeated in 20th‑century family naming practices is a very stark reminder about where those families saw their origins being from. In this case I'm thinking about the Hogg family. To have two Lord Chancellors in Britain in the 20th century bearing the name of a slave-owner from British Guiana, who went penniless to British Guyana, came back a very wealthy man and contributed to the formation of this political dynasty, which incorporated his name into their children in recognition – it seems to me to be an illuminating story and a potent example."

Mr Hogg refused to comment yesterday, saying he "didn't know anything about it". Mr Cameron declined to comment after a request was made to the No 10 press office.

Another demonstration of the extent to which slavery links stretch into modern Britain is Evelyn Bazalgette, the uncle of one of the giants of Victorian engineering, Sir Joseph Bazalgette and ancestor of Arts Council boss Sir Peter Bazalgette. He was paid £7,352 (£5.7m in today's money) for 420 slaves from two estates in Jamaica. Sir Peter said yesterday: "It had always been rumoured that his father had some interests in the Caribbean and I suspect Evelyn inherited that. So I heard rumours but this confirms it, and guess it's the sort of thing wealthy people on the make did in the 1800s. He could have put his money elsewhere but regrettably he put it in the Caribbean."

The TV chef Ainsley Harriott, who had slave-owners in his family on his grandfather's side, said yesterday he was shocked by the amount paid out by the government to the slave-owners. "You would think the government would have given at least some money to the freed slaves who need to find homes and start new lives," he said. "It seems a bit barbaric. It's like the rich protecting the rich."

The database is available from Wednesday at: ucl.ac.uk/lbs.

Cruel trade

Slavery on an industrial scale was a major source of the wealth of the British empire, being the exploitation upon which the West Indies sugar trade and cotton crop in North America was based. Those who made money from it were not only the slave-owners, but also the investors in those who transported Africans to enslavement. In the century to 1810, British ships carried about three million to a life of forced labour.

Campaigning against slavery began in the late 18th century as revulsion against the trade spread. This led, first, to the abolition of the trade in slaves, which came into law in 1808, and then, some 26 years later, to the Act of Parliament that would emancipate slaves. This legislation made provision for the staggering levels of compensation for slave-owners, but gave the former slaves not a penny in reparation.

More than that, it said that only children under six would be immediately free; the rest being regarded as "apprentices" who would, in exchange for free board and lodging, have to work for their "owners" 40 and a half hours for nothing until 1840. Several large disturbances meant that the deadline was brought forward and so, in 1838, 700,000 slaves in the West Indies, 40,000 in South Africa and 20,000 in Mauritius were finally liberated.

David Randall
Dr Nick Draper

Sunday 24 February 2013

We must be honest about our role in slavery


Britain's view of its involvement in slavery is that we abolished the slave trade and we abolished slavery, and that we were the first nation to do either of these things.

If you ask almost anybody for free association around the words Britain and slavery, they'll tell you: "Wilberforce", "abolition" and then perhaps something about the Caribbean or Africa, and it will be in that order because that's what we've been brought up to think about. So what our work is doing is trying to re-inscribe slavery into Britain's history, rather than leaving the only connection between the two as abolition.

We're not saying that Britain as a whole was created by slavery – that is not tenable as an argument. But we are saying that slavery had a material part to play in the formation of modern Britain.

We are arguing that a significant minority of the aristocracy and business drew its wealth reasonably directly from slavery and slave ownership, but the objective of this work is not to point fingers at families or firms. It is instead to establish an empirical basis of knowledge common to all. Public perceptions will change only if pieces of work such as ours are done and then injected into the public domain.


We're not going to transform people's view of British history, but we might contribute to a transformation that could take place over 10 or 15 years. It would be to move to a new consensus, which is that Britain was a major slave-trading and slave-owning power for more than 200 years and that that period significantly contributed, through industrialisation driven in part by the transfer of wealth from expropriation of enslaved people's labour, to the emergence of modern Britain.

Dr Nick Draper is research associate on the 'Legacies of British Slavery Ownership Project' at University College London

Ahsantum.

Shariff Ritz,

Ahsanta sana kwa bayana yako hii adimu iloambatana na huu mpini wa nguvu usobebeka asilan asilin!ahaha!!

Wallahi,mimi ninapoona makhanatha kama haya walotufanzia hao maluuni wa Kizungu(na mpaka leo wanaendelea kutufanzia!),halafu unakuta ati tunashinda hapa jamvini kutwa kucha, kulumbana na kukashifiana baina yetu/Watanzania...ni fedheha na simanzi nyingi mno khasa kwa wale tu wenye kujua undani wa majambo ya dunia!?

Haina neno tuendelee na mnakasha.

Nipenyezea kijisalaamu changu kwa ndugu yangu mpenzi Mag3;mwambie yakuwa leo nimezongwa kiduchu na vijishughuli vya kibaruani, lakini bayana yake naliipata na nimeipenda na kuifurahia mno. Insha Allah tamjibu kwa utuvu japo jioni ya leo au kesho.

Ahsanta.
 
Yericko,
Umetaja mitaa miwili Kipata (sasa ni Mtaa wa Kleist Street) na Mkunguni.

Haya nitakayokueleza yatakuwa na "mafaa" kwako kama upendavyo kusema.
Yako mengi lakini nitanyambua kiduchu.

Tuanze na Kipata.

Kipata na Msimbazi nyumba ya kwanza ilikuwa ya Abdallah Matimbwa.
Huyu ni mmoja wa wanachama wa mwanzo TANU.

Abdallah Matimbwa ni mmoja wa waliochangia ujenzi wa kujenga Chuo Kikuu
Cha Dar es Salaam.

Baada ya uhuru alitoa gari yake kuanzisha ushirika wa CORETCO.

Bado tupo Kipata.
Kipata na Congo.

Nyumba ya kona kwa Abdallah Hamisi mmoja wa waasisi wa African Association
1929.

Kipata na Nyamwezi.
Nyumba ya Mama Nambaya na mama yake Shabaka.

Nyumba ya mbele no. 32.
Hapa ndipo alipozaliwa Mohamed Said.

Kipata na Sikukukuu nyumba ya Mohamed Clement Mtamila katibu wa TAA wakati
wa Vita Vya Pili ni katika nyumba hii Nyerere aliwasilisha barua kutoka kwa Father
Walsh akishauriwa asomeshe au aache siasa.

Halmashauri Kuu ya TANU Mzee Mtamila akiwa mwenyekiti mmoja wa wajumbe
akiwa Bi Tatu Biti Mzee walikutana ndani ya nyumba hii na uamuzi ukapita Nyerere
ajiuzulu aje Dar es Salaam atakaa kwa Abdu Sykes hadi TANU itakapomtafutia nyumba.

Kipata huku Livingstone huko New Street.
Nyumbani kwa Kleist Sykes na wanae.

Hapa ndipo ulipokuwa umefichwa mtambo wa kuchapa makaratasi ya "uchochezi" na
mchapaji alikuwa Ally Sykes na mkewe Bi. Zainab.

Hapa yapo mengi na Nyerere alikuwa hapungui nyumba hii.
Mkabala na nyumba hii akiishi babu yangu.

Mkunguni na New Street.
Hapo unamkuta Hawa Biti Maftah unaijua nyimbo "Hongera Mwanangu?"

Huyo mwana anaepongezwa ni baba yako Julius Kambarage Nyerere na aliyekuwa akiimbisha
nyimbo hii mikutanoni ni Bi Hawa Biti Maftah.

Hapo hapo mbele ni nyumba ya Idd Tosiri.
Tosiri ndiye aliyempeleka Nyerere Bagamoyo kwenda kumjulisha kwa Sheikh Mohamed Ramia.

Yericko,
Usitudharau wala kujaribu kuwadhalilisha wazee wetu.
Hawa wameacha alama katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Unataka kuidhalilisha mitaa hii alokuwa akikanyaga Baba wa Taifa mitaa ambayo akiitembea
na wazee wetu?

Unataka kuifanya kichekesho Mtaa wa Kipata na Mkunguni ilhali mitaa hii ndiyo iliyomfikisha
Nyerere juu kileleni?

Jitulize na fikiri kabla hujaandika.
Ujuvi haukufai kijana.

Una miaka mingi ya kuishi Allah akipenda.

Sheikh Mohammed,

Wallahi,inanilazim nitoe siri yangu...yaani nimeangua kicheko cha nguvu pita kiasi baada ya kusoma hii bayana yako adimu kwa nduguyo Yericko!ahaha!!

Nafikiri vitu au majambo kama haya ndo huwapa taabu nyingi za nyonyo hawa jamaa zetu.

Lakini,kwa mwenye maarifa ni kujiuliza kwani huyo Nyerere alipofika hapo Mzizima,alilala wapi!? Si hiyohiyo Kipata wanayoikashifu leo ndo ilomstiri!?

Au alikwenda kulala nyumbani kwa Governor Twinning!?

Niwie radhi Maalim wangu,leo nina vijishughuli kiduchu vimenitinga...lakini umbea tu umenishika,sishi kuchungulia hapa jamvini!ahaha!!

Ahsanta.

Cc;Al Khalifa The Big Show,Shariff Ritz,Ustadh Boko Ibn Haram
 
Back
Top Bottom