Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Yericko.

Zisikutishe hizo lugha kwani inategemea mtu ametokea wapi.
Mathalan watu kutoka pwani. sokoni wanaita marikiti, Shule tunaita Skuli, Darasa tunaita Darsa, Elimu tunaita Ilmu.etc.

Ni sawa kabisa na watu kutoka kanda ya Ziwa, Ndama anaitwa kimori, Shule wanaita Shure, Kulala wanasema Kurara, safari wanasema safali etc.

Sasa usibague watu kwa mujibu wa lugha zao wewe angalia nini wamekusudia nini katika maandiko yao. Kwani Lugha ni mfumo wa sauti za nasibu, zenyekubeba maana na zilizokubalika na jamii zitumike ili kuwasiliana.

Pole sana


Acha kudanganya watu mchana kweupe ndugu!

Lugha ya kiswahili ni moja tu,

Kamusi ya kiswahili ni moja tu,

Hapa tunatumia kiswahili sio Kizaramo au kimakua,

Acha kuharibu lugha yetu adhimu ya kiswahili!

Katika kamusi stahiki ya kiswahili hakuna neno "Ilmu" au "Darsa"

Elimu itatajwa kuwa ni Elimu hivyohivyo na Darasa litatajwa kuwa ni Darasa hivyohivyo!!
 
In a way huwa nashangaa. Uliniuliza kuhusu moslem demographies ya nchi hizo mbili, nimekupa. Sasa fursa ni kusema Wickama you have LIED, then onyesha your source. Huonyeshi if I have lied, badala yake unanitangaza kuwa nahamisha magoli. Gombesugu, this is a very dishonest way to debate. You could just as well have kept quite. It is not mandatory to reply every posting.

Wickama,

Woow!...Mr Wickama seems very hurt and angry,a lot of Paranoid going on over there!
How unfortunate...
 
Mohamed Said,

Logical ya historia ya UHURU wa Nchini huwa ni mitaa waliyoishi wapigania uhuru ama huwa ni WAPIGANIA uhuru hao?

Mitaa kwa historia ya nchi sio chaguo la kwanza, yaweza kuwa hitimisho tu au kunogesha/kuremba/kupamba NGANO lakini sio HISTORI ya NCHI

Mzee wewe wenzio wanakuita ni bingwa wa historia, lakini unawaangusha kwa hilo, Au hiyo ndio historia?
 
Yericko,
Umetaja mitaa miwili Kipata (sasa ni Mtaa wa Kleist Street) na Mkunguni.

Haya nitakayokueleza yatakuwa na "mafaa" kwako kama upendavyo kusema.
Yako mengi lakini nitanyambua kiduchu.

Tuanze na Kipata.

Kipata na Msimbazi nyumba ya kwanza ilikuwa ya Abdallah Matimbwa.
Huyu ni mmoja wa wanachama wa mwanzo TANU.

Abdallah Matimbwa ni mmoja wa waliochangia ujenzi wa kujenga Chuo Kikuu
Cha Dar es Salaam.

Baada ya uhuru alitoa gari yake kuanzisha ushirika wa CORETCO.

Bado tupo Kipata.
Kipata na Congo.

Nyumba ya kona kwa Abdallah Hamisi mmoja wa waasisi wa African Association
1929.

Kipata na Nyamwezi.
Nyumba ya Mama Nambaya na mama yake Shabaka.

Nyumba ya mbele no. 32.
Hapa ndipo alipozaliwa Mohamed Said.

Kipata na Sikukukuu nyumba ya Mohamed Clement Mtamila katibu wa TAA wakati
wa Vita Vya Pili ni katika nyumba hii Nyerere aliwasilisha barua kutoka kwa Father
Walsh akishauriwa asomeshe au aache siasa.

Halmashauri Kuu ya TANU Mzee Mtamila akiwa mwenyekiti mmoja wa wajumbe
akiwa Bi Tatu Biti Mzee walikutana ndani ya nyumba hii na uamuzi ukapita Nyerere
ajiuzulu aje Dar es Salaam atakaa kwa Abdu Sykes hadi TANU itakapomtafutia nyumba.

Kipata huku Livingstone huko New Street.
Nyumbani kwa Kleist Sykes na wanae.

Hapa ndipo ulipokuwa umefichwa mtambo wa kuchapa makaratasi ya "uchochezi" na
mchapaji alikuwa Ally Sykes na mkewe Bi. Zainab.

Hapa yapo mengi na Nyerere alikuwa hapungui nyumba hii.
Mkabala na nyumba hii akiishi babu yangu.

Mkunguni na New Street.
Hapo unamkuta Hawa Biti Maftah unaijua nyimbo "Hongera Mwanangu?"

Huyo mwana anaepongezwa ni baba yako Julius Kambarage Nyerere na aliyekuwa akiimbisha
nyimbo hii mikutanoni ni Bi Hawa Biti Maftah.

Hapo hapo mbele ni nyumba ya Idd Tosiri.
Tosiri ndiye aliyempeleka Nyerere Bagamoyo kwenda kumjulisha kwa Sheikh Mohamed Ramia.

Yericko,
Usitudharau wala kujaribu kuwadhalilisha wazee wetu.
Hawa wameacha alama katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Unataka kuidhalilisha mitaa hii alokuwa akikanyaga Baba wa Taifa mitaa ambayo akiitembea
na wazee wetu?

Unataka kuifanya kichekesho Mtaa wa Kipata na Mkunguni ilhali mitaa hii ndiyo iliyomfikisha
Nyerere juu kileleni?

Jitulize na fikiri kabla hujaandika.
Ujuvi haukufai kijana.

Una miaka mingi ya kuishi Allah akipenda.

Napata raha sana kupata vitu adimu kama hivi, shukrani kwako gwiji la historia ya tanganyika/tanzania
 
Yericko,
Umetaja mitaa miwili Kipata (sasa ni Mtaa wa Kleist Street) na Mkunguni.

Haya nitakayokueleza yatakuwa na "mafaa" kwako kama upendavyo kusema.
Yako mengi lakini nitanyambua kiduchu.

Tuanze na Kipata.

Kipata na Msimbazi nyumba ya kwanza ilikuwa ya Abdallah Matimbwa.
Huyu ni mmoja wa wanachama wa mwanzo TANU.

Abdallah Matimbwa ni mmoja wa waliochangia ujenzi wa kujenga Chuo Kikuu
Cha Dar es Salaam.

Baada ya uhuru alitoa gari yake kuanzisha ushirika wa CORETCO.

Bado tupo Kipata.
Kipata na Congo.

Nyumba ya kona kwa Abdallah Hamisi mmoja wa waasisi wa African Association
1929.

Kipata na Nyamwezi.
Nyumba ya Mama Nambaya na mama yake Shabaka.

Nyumba ya mbele no. 32.
Hapa ndipo alipozaliwa Mohamed Said.

Kipata na Sikukukuu nyumba ya Mohamed Clement Mtamila katibu wa TAA wakati
wa Vita Vya Pili ni katika nyumba hii Nyerere aliwasilisha barua kutoka kwa Father
Walsh akishauriwa asomeshe au aache siasa.

Halmashauri Kuu ya TANU Mzee Mtamila akiwa mwenyekiti mmoja wa wajumbe
akiwa Bi Tatu Biti Mzee walikutana ndani ya nyumba hii na uamuzi ukapita Nyerere
ajiuzulu aje Dar es Salaam atakaa kwa Abdu Sykes hadi TANU itakapomtafutia nyumba.

Kipata huku Livingstone huko New Street.
Nyumbani kwa Kleist Sykes na wanae.

Hapa ndipo ulipokuwa umefichwa mtambo wa kuchapa makaratasi ya "uchochezi" na
mchapaji alikuwa Ally Sykes na mkewe Bi. Zainab.

Hapa yapo mengi na Nyerere alikuwa hapungui nyumba hii.
Mkabala na nyumba hii akiishi babu yangu.

Mkunguni na New Street.
Hapo unamkuta Hawa Biti Maftah unaijua nyimbo "Hongera Mwanangu?"

Huyo mwana anaepongezwa ni baba yako Julius Kambarage Nyerere na aliyekuwa akiimbisha
nyimbo hii mikutanoni ni Bi Hawa Biti Maftah.

Hapo hapo mbele ni nyumba ya Idd Tosiri.
Tosiri ndiye aliyempeleka Nyerere Bagamoyo kwenda kumjulisha kwa Sheikh Mohamed Ramia.

Yericko,
Usitudharau wala kujaribu kuwadhalilisha wazee wetu.
Hawa wameacha alama katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Unataka kuidhalilisha mitaa hii alokuwa akikanyaga Baba wa Taifa mitaa ambayo akiitembea
na wazee wetu?

Unataka kuifanya kichekesho Mtaa wa Kipata na Mkunguni ilhali mitaa hii ndiyo iliyomfikisha
Nyerere juu kileleni?

Jitulize na fikiri kabla hujaandika.
Ujuvi haukufai kijana.

Una miaka mingi ya kuishi Allah akipenda.

Ahsantum Mohamed Said,

Hizo bayana zako zinathibitisha kuwa Wazee wa Mzizima ndiyo walikuwa waanzilishi wa harakati zote za uhuru hilo hata Nyerere mwenyewe amekiri.

Hebu ngoja nijaribu kiduchu kukumbuka mitaa ambayo Wazee walikuwa wanaendesha harakati zao.

Msimbazi, Congo, Narung'ombe, Raha, Nyati, Lumumba, Kipata, Lindi, Agrrey, Mchikichi, Maiwa, Muhonda, Magila, Tandamti, Chura, Muheza, Pemba, Livingstone, Manyema, Mafia, Swahili, Nyamwezi, Kariakoo, Uhuru, Likoma, Udowe, Mkunguni...ha ha haa kote huku kwa wazee wa madrassa.

Namalizia kwa haya maneno kutoka kwa Henry Ward Beecher 1813-1887 "Walo hatari kuliko wote ni wale wajinga"
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said,

Logical ya historia ya UHURU wa Nchini huwa ni mitaa waliyoishi wapigania uhuru ama huwa ni WAPIGANIA uhuru hao?

Mitaa kwa historia ya nchi sio chaguo la kwanza, yaweza kuwa hitimisho tu au kunogesha/kuremba/kupamba NGANO lakini sio HISTORI ya NCHI

Mzee wewe wenzio wanakuita ni bingwa wa historia, lakini unawaangusha kwa hilo, Au hiyo ndio historia?
Kijana uko desperate sana. Nani kakudanganya kuwa mipaka ya somo la historia ni kujadili watu tu? Wapi unayaokota haya? Kijana una safari ndefu ya kujifunza na kwa mwendo huu ni wazi safari yako hata kuanza haijaanza.
 
Barubaru,
Kila ninapopita humu jamvini ndivyo ninavyozidi kumshukuru Allah.

Maryland Washington...
Nimekaa hapo.

Alhamdulilah.

Thanks na mimi nimetua hapa toka Ijumaa mosi na panapo majaaliwa naondoka Kesho kurudi Muscat, Oman.

Hapa wapo watoto zangu wanaosoma University.
 
Mag3 mbona povu linakutoka naona umeamuwa kuwaorodhesha makamanda hapo juu lakini jinsi ulivyo kuwa na chuki na uislamu mbona kuna kamanda umemsahau THE BIG SHOW au kwasababu hakubaliani na hoja zako? Unaposema mzee MS ni mchochezi hivi unaweza kunionyesha mzee MS wapi aliwaambia watu wakafanye vurugu,hivi dr Slaa alivyo waambia watu mwenyekiti wenu amewekwa ndani hivi makamanda mnakubali watu wakasema hatukubaliiiiiiii!akawaambia watu waende kituo cha polisi ndio yakatokea mauaji nani mchochezi kati ya mzee Mohamed said na Dr Slaa? hilo hulioni wewe na wenzako wanaokupa likes bila hata kutafakari umeandika nini au unataka kuniambia hawa kina NGURUVI3,JOKAKUU,GWALIHENZI,JASUSI,WICKAMA,NGONGO,ZUMBEMKUU,REMOTE,YERICKO na makamanda wengine kama munavyoitana akili zao ni sawa na za "kasuku" kwasababu kasuku kila analolisikia analisema bila ya kulifanyia utafiti na akili ya kasuku iko masikioni!ahsanta tuendelee na mnakasha.
Boko haram, mbona unarudia matusi yaliyokusababishia ban muda si mrefu! kwanini unaamini kuwa sisi tupo kama kasuku? Tumeshakuonesha udhaifu wa maandishi ya huyo nabii wako Mohamed Said yeye anayaita Historia! tumeshakuonesha uongo wa dhahiri aliouandika Mohamedi hii ni pamoja na uwongo wa hivi karibuni kwamba balozi wa Marekani alihutubia bunge la Tanzania! tumekuonesha kwamba Mohamed ameandika uchochezi na chuki na wala sio historia. Jukumu lako hapa ilikuwa sio kumushutumu Mag3 kwa kututaja sisi wala sio wewe kututukana sisi kuwa ni kasuku. Ulitakiwa ulete hoja kututhibitishia sisi kwamba kilichoandikwa na mchochezi Mohamed Said sio HISTOHISIA!! huwezi kutushinda kwa kututukana, utashinda kwa hoja ambazo naamini huna.
 
Boko haram, mbona unarudia matusi yaliyokusababishia ban muda si mrefu! kwanini unaamini kuwa sisi tupo kama kasuku? Tumeshakuonesha udhaifu wa maandishi ya huyo nabii wako Mohamed Said yeye anayaita Historia! tumeshakuonesha uongo wa dhahiri aliouandika Mohamedi hii ni pamoja na uwongo wa hivi karibuni kwamba balozi wa Marekani alihutubia bunge la Tanzania! tumekuonesha kwamba Mohamed ameandika uchochezi na chuki na wala sio historia. Jukumu lako hapa ilikuwa sio kumushutumu Mag3 kwa kututaja sisi wala sio wewe kututukana sisi kuwa ni kasuku. Ulitakiwa ulete hoja kututhibitishia sisi kwamba kilichoandikwa na mchochezi Mohamed Said sio HISTOHISIA!! huwezi kutushinda kwa kututukana, utashinda kwa hoja ambazo naamini huna.

Samahani kama umeona ni matusi sisi watoto wa madrasa huwa tunanena kwa mifano kwahiyo kusema neno kasuku kwangu nimeona ni la kawaida na kama ni tusi basi tuanze na kitabu chetu QURAN KWA MFANO HUU HAPA;QURAN 62;5 The example of those who were entrusted with the Torah and then did not take it on is like that of a donkey who carries volumes [of books]. Wretched is the example of the people who deny the signs of Allah . And Allah does not guide the wrongdoing people.
 
Yericko,
Hapana ugomvi vile uonavyo wewe hakuna wa kukuzuia.

Hapa jamvini tunakimbilia sasa watazamaji 200,000 na
hawa ndiyo wanaonishughulisha mie.

Jumatano ilopita nimefanya kipindi live Radio Kheri kuhusu
Maisha ya Ally Sykes.

Ijumaa nimealikwa Radio Al Nur Zanzibar nikafanye kipindi
cha Maisha ya Ally Sykes na nimekifanya nacho kilikuwa live.

Watu wanapenda kusikia historia hii hakuna haja ya kutoleana
ufedhuli kwa jambo linalopendeza.
 
Yericko,
Hapana ugomvi vile uonavyo wewe hakuna wa kukuzuia.

Hapa jamvini tunakimbilia sasa watazamaji 200,000 na
hawa ndiyo wanaonishughulisha mie.

Jumatano ilopita nimefanya kipindi live Radio Kheri kuhusu
Maisha ya Ally Sykes.

Ijumaa nimealikwa Radio Al Nur Zanzibar nikafanye kipindi
cha Maisha ya Ally Sykes na nimekifanya nacho kilikuwa live.

Watu wanapenda kusikia historia hii hakuna haja ya kutoleana
ufedhuli kwa jambo linalopendeza.

Kwangu hilo halina uzito mkuu,

Lakini nikujuze kuwa hivyo vyombo vya habari vyote unavyodai kuhadhiri pamoja navyo havina tofauti na WEWE kimlengo!

Ni sawa na mimi ningeibuka na kukutangazia wewe kuwa nimehadhiri Tv Tumaini au Redio Tumaini,

Bila shaka ungepaza sana sauti kudhihaki!

Mimi nakuambia kuwa kundi lako lote la Radical Muslims msomi ni wewe tu japo hujapevuka na hutapevuka!

Akina Ilunga,Ponda,Basale na wengine wote wanakutegemea wewe!

Wewe umekuwa mratibu wa vipindi na mwanamikakati wa mda mrefu wa redio ya kichochezi iliyofungwa pale Morogoro (redio heri).

Unadhani vituo vingine vyenye misimamo ya kichochezi kama yako hawatakualika?
 
Boko haram, mbona unarudia matusi yaliyokusababishia ban muda si mrefu! kwanini unaamini kuwa sisi tupo kama kasuku? Tumeshakuonesha udhaifu wa maandishi ya huyo nabii wako Mohamed Said yeye anayaita Historia! tumeshakuonesha uongo wa dhahiri aliouandika Mohamedi hii ni pamoja na uwongo wa hivi karibuni kwamba balozi wa Marekani alihutubia bunge la Tanzania! tumekuonesha kwamba Mohamed ameandika uchochezi na chuki na wala sio historia. Jukumu lako hapa ilikuwa sio kumushutumu Mag3 kwa kututaja sisi wala sio wewe kututukana sisi kuwa ni kasuku. Ulitakiwa ulete hoja kututhibitishia sisi kwamba kilichoandikwa na mchochezi Mohamed Said sio HISTOHISIA!! huwezi kutushinda kwa kututukana, utashinda kwa hoja ambazo naamini huna.

Gwalihenzi,
Nabii wa Mwisho kwa mujibu wa Uislamu ni Nabii Muhammad(SAW) sasa kumnasibisha Mohamed Said na unabii ni kuidhihaki dini ya Kiislamu! naomba tujadiliane kuhusu uchochezi wa MS na dhihaka kwa wapigania uhuru kama alivyosema Yericko Nyerere tuache kashfa za kidini!
 
Samahani kama umeona ni matusi sisi watoto wa madrasa huwa tunanena kwa mifano kwahiyo kusema neno kasuku kwangu nimeona ni la kawaida na kama ni tusi basi tuanze na kitabu chetu QURAN KWA MFANO HUU HAPA;QURAN 62;5 The example of those who were entrusted with the Torah and then did not take it on is like that of a donkey who carries volumes [of books]. Wretched is the example of the people who deny the signs of Allah . And Allah does not guide the wrongdoing people.
Hivi ni nani kakuambia kila anayeshiriki mnakasha huu ni muumini wa QURANI?
 
Gwalihenzi,
Nabii wa Mwisho kwa mujibu wa Uislamu ni Nabii Muhammad(SAW) sasa kumnasibisha Mohamed Said na unabii ni kuidhihaki dini ya Kiislamu! naomba tujadiliane kuhusu uchochezi wa MS na dhihaka kwa wapigania uhuru kama alivyosema Yericko Nyerere tuache kashfa za kidini!
Mbona humkemei ndugu yako Boko haram aliyetuita Kasuku sisi tusiekubaliana na huyo mzee wenu Mohamed? na kwanini unataka kunihusisha na imani yako? Kama wewe unaamini nguruwe ni haramu kwangu mimi ni kitoweo safi kabisa!
 
Mbona humkemei ndugu yako Boko haram aliyetuita Kasuku sisi tusiekubaliana na huyo mzee wenu Mohamed? na kwanini unataka kunihusisha na imani yako? Kama wewe unaamini nguruwe ni haramu kwangu mimi ni kitoweo safi kabisa!

Sijakuhusisha na Imani yangu! kila mtu ana Dini yake! lakini usimhusishe MS na unabii hilo tu! yeye sio nabii! nakama BH kakuita Kasuku ni vipi tena MS anaingia ktk Unabii?
 
Sijakuhusisha na Imani yangu! kila mtu ana Dini yake! lakini usimhusishe MS na unabii hilo tu! yeye sio nabii! nakama BH kakuita Kasuku ni vipi tena MS anaingia ktk Unabii?
Tabu yako unatoka mapovu bila kutumia busara, rudi kasome huyo jama yako Boko haram aliandika nini kunihusu mimi. Mohamed Said mwenyewe anasoma maoni yangu, ndie ajibu kama anasitahili au hastahili heshima hiyo. Mbona mnaitana mawalii n.k. hapa JF, nani kawakataza?
 
Kwangu hilo halina uzito mkuu,

Lakini nikujuze kuwa hivyo vyombo vya habari vyote unavyodai kuhadhiri pamoja navyo havina tofauti na WEWE kimlengo!

Ni sawa na mimi ningeibuka na kukutangazia wewe kuwa nimehadhiri Tv Tumaini au Redio Tumaini,

Bila shaka ungepaza sana sauti kudhihaki!

Mimi nakuambia kuwa kundi lako lote la Radical Muslims msomi ni wewe tu japo hujapevuka na hutapevuka!

Akina Ilunga,Ponda,Basale na wengine wote wanakutegemea wewe!

Wewe umekuwa mratibu wa vipindi na mwanamikakati wa mda mrefu wa redio ya kichochezi iliyofungwa pale Morogoro (redio heri).

Unadhani vituo vingine vyenye misimamo ya kichochezi kama yako hawatakualika?

Yericko,
Iko siku watu watataka uandike maisha ya baba yako.

Hudhani haya ninayokueleza hayatakusaidia kujenga haiba na hali ilivyokuwa wakati mzee
anafika Dar es Salaam na kujiunga na TAA?

Hebu pitia tena yale niliyoandika:

Tuanze na Kipata.

Kipata na Msimbazi nyumba ya kwanza ilikuwa ya Abdallah Matimbwa.
Huyu ni mmoja wa wanachama wa mwanzo TANU.

Abdallah Matimbwa
ni mmoja wa waliochangia ujenzi wa kujenga Chuo Kikuu
Cha Dar es Salaam.

Baada ya uhuru alitoa gari yake kuanzisha ushirika wa CORETCO.

Bado tupo Kipata.
Kipata na Congo.

Nyumba ya kona kwa Ibrahim Hamisi mmoja wa waasisi wa African Association
1929.

Kipata na Nyamwezi.
Nyumba ya Mama Nambaya na mama yake Shabaka.

Nyumba ya mbele no. 32.
Hapa ndipo alipozaliwa Mohamed Said.

Kipata na Sikukukuu nyumba ya Mohamed Clement Mtamila katibu wa TAA wakati
wa Vita Vya Pili ni katika nyumba hii Nyerere aliwasilisha barua kutoka kwa Father
Walsh
akishauriwa asomeshe au aache siasa.

Halmashauri Kuu ya TANU Mzee Mtamila akiwa mwenyekiti mmoja wa wajumbe
akiwa Bi Tatu Biti Mzee walikutana ndani ya nyumba hii na uamuzi ukapita Nyerere
ajiuzulu aje Dar es Salaam atakaa kwa Abdu Sykes hadi TANU itakapomtafutia nyumba.

Kipata huku Livingstone huko New Street.
Nyumbani kwa Kleist Sykes na wanae.

Hapa ndipo ulipokuwa umefichwa mtambo wa kuchapa makaratasi ya "uchochezi" na
mchapaji alikuwa Ally Sykes na mkewe Bi. Zainab.

Hapa yapo mengi na Nyerere alikuwa hapungui nyumba hii.
Mkabala na nyumba hii akiishi babu yangu.

Mkunguni na New Street.
Hapo unamkuta Hawa Biti Maftah unaijua nyimbo "Hongera Mwanangu?"

Huyo mwana anaepongezwa ni baba yako Julius Kambarage Nyerere na aliyekuwa akiimbisha
nyimbo hii mikutanoni ni Bi Hawa Biti Maftah.

Hapo hapo mbele ni nyumba ya Idd Tosiri.
Tosiri ndiye aliyempeleka Nyerere Bagamoyo kwenda kumjulisha kwa Sheikh Mohamed Ramia.

Yericko,
Usitudharau wala kujaribu kuwadhalilisha wazee wetu.
Hawa wameacha alama katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Unataka kuidhalilisha mitaa hii alokuwa akikanyaga Baba wa Taifa mitaa ambayo akiitembea
na wazee wetu?

Unataka kuifanya kichekesho Mtaa wa Kipata na Mkunguni ilhali mitaa hii ndiyo iliyomfikisha
Nyerere juu kileleni?

Jitulize na fikiri kabla hujaandika.
Ujuvi haukufai kijana.

Una miaka mingi ya kuishi Allah akipenda.

Yericko,

Katika haya yote huna la kudadisi wala kutaka kujua historia hii?
Historia hii ndiyo inawavuta watu hapa jamvini hawapungui...

Mimi ninapata mialiko kote kwa ajili ya historia hii wewe unasema kuwa wenye kunialika ni mfano
wa mie...

Je, nao Northwestern University, Marekani ni kama mimi?
Vipi Chuo Kikuu cha Johannesburg, Kenyatta wote hawa ni mfano wangu?

Nimefanya mahojiano ya zaidi ya saa moja mara mbili na Al Jazeera hawa nao ni mfano wa mie?
Vipi vipindi kadha nilivyopata kufanya na VOA, DW, BBC...

Nao ni kama mimi?
Narejea tena jitulize na fikiri kabla ya kuandika.

Kumbuka hapa tunasomwa sasa na watu wanakimbilia 200,000.
Naambiwa na wenyeji wa JF kuwa hii haijapata kutokea.
 
Kwangu hilo halina uzito mkuu,

Lakini nikujuze kuwa hivyo vyombo vya habari vyote unavyodai kuhadhiri pamoja navyo havina tofauti na WEWE kimlengo!

Ni sawa na mimi ningeibuka na kukutangazia wewe kuwa nimehadhiri Tv Tumaini au Redio Tumaini,

Bila shaka ungepaza sana sauti kudhihaki!

Mimi nakuambia kuwa kundi lako lote la Radical Muslims msomi ni wewe tu japo hujapevuka na hutapevuka!

Akina Ilunga,Ponda,Basale na wengine wote wanakutegemea wewe!

Wewe umekuwa mratibu wa vipindi na mwanamikakati wa mda mrefu wa redio ya kichochezi iliyofungwa pale Morogoro (redio heri).

Unadhani vituo vingine vyenye misimamo ya kichochezi kama yako hawatakualika?
Yericko Nyerere,

Wakati mwingine ukikaa kimya ni bora zaidi kuliko kuropoka.

Lakini nikujuze kuwa hivyo vyombo vya habari vyote unavyodai kuhadhiri pamoja navyo havina tofauti na WEWE kimlengo!
Wanajamvi haya magazeti hapa chini nayo yanaandika habari za Mohamed Said, nayo yana mlengo kama wake Mwananchi ndiyo gazeti linalo ongoza kwa kutoa nakala nyingi.
 
Yericko Nyerere,

Wakati mwingine ukikaa kimya ni bora zaidi kuliko kuropoka.


Wanajamvi haya magazeti hapa chini nayo yanaandika habari za Mohamed Said, nayo yana mlengo kama wake.

Shariff Ritz,
Ahsante sana.

Nakuongezea na magazeti mengine - The East African (Nairobi), New African (London), Africa Analysis (London), Daily News (Dar es Salaam), Rai (Dar es Salaam), Raia Mwema (Dar es Salaam)...

Nimeandika vitabu vitatu na Oxford University Press (Nairobi), Abantu Publications (Nairobi na Dar es Salaam), Phoenix Publishers (Nairobi), Minerva Press (London)...

Nimepewa reviews mbili kwenye Cambridge Journal of African History, na nyingine Marekani na Ulaya.
Nimezungumza Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

Ndiyo humwambia mdogo wangu Yericko, kabla hajaandika afikiri kwanza.
Haya yote tungeyaepuka.

Ahsante tena Shariff.
 
Duh, naona mambo yanazidi kunoga, JF ni zaidi ya tuijuavyo na kweli duniani kuna mambo.. gombesugu hata wewe una uthubutu wa kutamka maneno kama hayo hapo juu! Kama ingekuwa ni swala la kuzikana kwa uongo, mbona mwalimu wako wa darsa Mohamed Said keshazikwa zamani na kusahaulika siku nyingi tu! Unakumbuka listi ya uongo wake uliodumu miaka 15 hadi ilipovinjari kwenye anga za JF! Lakini hayo tuyaache, nina maswali manne tu kwako wewe, ma Shariff na ma AL Akhiy wote katika mnakasha huu;

  1. Kuna watu humu ndani wamekataa kata kata kumeza ilmu inayodaiwa kutolewa na Mohamed Said bila kuhoji uhalali na ukweli wa madai yake, mengi yakiwa yamejikita katika uchochezi ambao hauna msingi wowote zaidi ya simulizi za chuki na fitna kutoka kwa baadhi ya wazee wake. Hapa nitataja baadhi tu ya watu wanaopinga uopotoshwaji wa Mohamed Said; sweke34, Ngongo, Wickama, zumbemkuu, Remote, Son of Alaska, Nguruvi3, JokaKuu, Mkandara, Fundi Mchundo, platozoom, chama, Gwalihenzi, Nanren, WildCard, Ogah, Wimana, Geeky, Jasusi, Mag3 na wengine wengi tu.. gombesugu, je kati ya hawa unadhani yupo Muislaam hata moja? Je unadhani yupo mwana CCM hata moja? je unadhani yupo mwana Chadema hata moja?
  2. Kuna sehemu nimetaja kwamba, pamoja na utumwa kuwepo duniani ndani ya jamii mbalimbali, ni Waarabu ndio jamii ya kwanza duniani kuutumia utumwa kibiashara. Mathalani jamii ya kiarabu ndio jamii ya kwanza kuwawinda waafrika, kuwateka na kuwasafirisha na kuwauza kama bidhaa nje ya bara hili. Hii ilifanyika miaka mingi tu kabla ya Wazungu kufika Afrika kwenye karne ya tisa (miaka ya 800) Swali, kwa nini tunapowataja Waarabu na kuwalaumu kwa udhalimu huu, nyie watetezi mnakimbilia kuutetea Uislaam kama dini inayojali utu, je Uislaam ni Uarabu?
  3. Toka tupate uhuru mwaka 1961 tumekuwa chini ya utawala wa chama kimoja TANU ambacho mwaka 1977 kiliungana na ASP na kuzaliwa CCM. Katika muda wote huo Waislaam, kulingana na mahubiri ya kichochezi ya Mohamed Said, wamebaguliwa, kupuuzwa, kunyimwa haki na kuonekana kama raia daraja la nne nchini. Kwa nini mfumo wa vyama vingi uliporuhusiwa mwaka 1992 chini ya uongozi wa Raisi Ali Hasan Mwinyi, kiongozi Muislaam, Waislaam hawakuutumia wingi wao (kumbuka idadi ya Waislaam nchini kulingana na ngano za Mohamed Said, ni theluthi tatu ya Watanzania!) kuhakikisha wanakiunga chama kitakachowatetea na kuwapa haki?
  4. Mathalani, baada ya awamu ya kwanza ya utawala wa Raisi Jakaya Kikwete, Muislaam, kwa nini ilipoonekana wazi mwaka 2010 kwamba mfumo Kristo unazidi kushamiri chini ya CCM, Waislaam, kulingana na kauli ya Profesa Ibrahim Lipumba, mwenyekiti wa chama cha CUF na Raisi mtarajiwa, walihakikisha CCM hiyo hiyo inarudishwa madarakani. Pamoja na kufanikiwa katika mpango huo, kwa nini bado wanatokea akina Mohamed Said, Sheikh Ilunga, Sheikh Ponda, wanahubiri chuki dhidi ya watu ambao kulingana na walivyojipanga, walihakikisha hawakamati uongozi nchini?
gombesugu, hilo la jina langu kuwekwa kwenye "shit list" ya Mohamed Said hata isikupe taabu, I feel honoured kuwa katika hiyo list kwa sababu ni hiyo listi ndiyo imemfanya ahamishie kabisa malazi hapa JF! Angesema ameniweka kwenye "ignore list" mmh, maybe...lakini alimradi yuko dirishani anapokea vidonge, hamna taabu, ingawa yawezekana ni ngumu kwake kuvimeza. Naambiwa Barubaru kaikana nchi yake kakimbilia Oman lakini familia hiyooo, Maryland Marekani huku roho yake ikiendelea kusononeka nchini si Unguja, Dar, Mwanza au Kigoma, oops, hiyo inaitwa home sickness... na wewe je ndugu yangu Al Akhiy!

Jamani ni muda tu unakosekana...humu ndani kuna ilmu na elimu zinatolewa, darsa na darasa ziko nje nje na wapo akina Spike Lee kazi kufyonza tu bila hata kuchungulia ndani ya chombo, je mrija uko salama? Naambiwa watu wananyimwa fursa katika uongozi wakati wenyewe ndio viongozi, wananyimwa fursa katika uchumi wakati ndio wafanya biashara wakubwa, wanaonewa na vyombo vya dola wakati wao ndio wameshika dola, hawapewi haki mahakamani wakati mahakama wanaisimamia wao na sasa ma Al Akhiy nao kesho watalalamika kwa kutopata fursa ya kuwa wasomi hadi wanawaweka akina Mag3 kwenye "shit list"! Chezea Tanzania!
Mag3,
Umeandika maneno mingi sana lakini mimi tadadavua kiduchu hizo bayana zako.
Kuna watu humu ndani wamekataa kata kata kumeza ilmu inayodaiwa kutolewa na Mohamed Said bila kuhoji uhalali na ukweli wa madai yake, mengi yakiwa yamejikita katika uchochezi ambao hauna msingi wowote zaidi ya simulizi za chuki na fitna kutoka kwa baadhi ya wazee wake. Hapa nitataja baadhi tu ya watu wanaopinga uopotoshwaji wa Mohamed Said; sweke34, Ngongo, Wickama, zumbemkuu, Remote, Son of Alaska, Nguruvi3, JokaKuu, Mkandara, Fundi Mchundo, platozoom, chama, Gwalihenzi, Nanren, WildCard, Ogah, Wimana, Geeky, Jasusi, Mag3 na wengine wengi tu.. gombesugu, je kati ya hawa unadhani yupo Muislaam hata moja? Je unadhani yupo mwana CCM hata moja? je unadhani yupo mwana Chadema hata moja?
Hapa CCM ni mmoja tu chama, hao wengine wote ni wafuasi wa Chadema halafu ni Wakirsto, isipokuwa Mkandara, tu kwenye hii orodha yako Waislam ni wawili tu chama, na Mkandara, hawa wawili toka mwezi wa kwanza ameachana na huu mnakasha baada ya kuona kumbe ni vita vya kidini kati ya Waislam na Wakirsto.
Kuna sehemu nimetaja kwamba, pamoja na utumwa kuwepo duniani ndani ya jamii mbalimbali, ni Waarabu ndio jamii ya kwanza duniani kuutumia utumwa kibiashara. Mathalani jamii ya kiarabu ndio jamii ya kwanza kuwawinda waafrika, kuwateka na kuwasafirisha na kuwauza kama bidhaa nje ya bara hili. Hii ilifanyika miaka mingi tu kabla ya Wazungu kufika Afrika kwenye karne ya tisa (miaka ya 800) Swali, kwa nini tunapowataja Waarabu na kuwalaumu kwa udhalimu huu, nyie watetezi mnakimbilia kuutetea Uislaam kama dini inayojali utu, je Uislaam ni Uarabu?
Kwanza tambua Uislam na Uarabu ni vitu viwili tofauti hapa hakuna mtu anayetetea ushenzi wa waarabu, hebu Wanajamvi tusome hapo chini kuhusu habari za utumwa Mag3, anatuambia utumwa wa mwanzo ulikuwa karne ya tisa.

[TD="colspan: 3"] Slaves in Greece: from the 7th century BC
[/TD]

[TD="class: mdblk"] Both the leading states of Greece - Sparta and Athens - depend entirely upon forced labour, though the system in Sparta is more properly described as serfdom rather than slavery. The distinction is that the helots of Sparta are a conquered people, living on their own hereditary land but forced to work it for their Spartan masters. Their existence is a traditional rural one to which certain rights remain attached.

The slaves of Athens , by contrast, have no conventional rights. But their condition varies greatly according to the work they do. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]




[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] The most unfortunate Athenian slaves are the miners, who are driven often to the point of death by their owners (the mines are state-owned but are leased to private managers). By contrast other categories of slaves - particularly those owned directly by the state, such as the 300 Scythian archers who provide the police force of Athens - can acquire a certain prestige.

The majority of Athenian slaves are domestic servants. Their fortune depends entirely on the relationship they develop with their owners. Often it is close, with female slaves looking after the children or acting as concubines, or a male slave running the household as a steward. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] No free Athenian works in a domestic capacity, for it is considered shameful to be another man's servant. This inhibition applies equally to a subsidiary position in any form of business.

As a result male slaves in Athens do all work of a secretarial or managerial nature, for in these contexts they are unmistakably somebody else's personal assistant. Such jobs include positions of influence in fields such as banking and commerce. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="colspan: 3"][/TD]

[TD="colspan: 3"] Slaves in Rome: from the second century BC
[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] The same loophole, offered by the self-esteem of free citizens, provides even greater opportunities to slaves in imperial Rome. The most privileged slaves are the secretarial staff of the emperor.

But these are the exception. In the two centuries before the beginning of the empire (the last two centuries BC) slaves are employed by Romans more widely than ever before and probably with greater brutality. In the mines they are whipped into continuing effort by overseers; in the fields they work in chain gangs; in the public arenas they are forced to engage in terrifying combat as gladiators. There are several slave uprisings in these two centuries, the most famous of them led by Spartacus . [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]




[/TD]

[TD="colspan: 3"][/TD]

[TD="colspan: 3"] Slaves in the Middle Ages: 6th - 15th century AD
[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] In the period after the collapse of the Roman empire in the west, slavery continues in the countries around the Mediterranean. But the slaves are employed almost exclusively in households, offices and armies. The gang slavery characteristic of large Roman estates does not reappear until the tobacco and cotton plantations of colonial America (one notable exception is the salt mines of the Sahara ).

Nevertheless the slave trade thrives, and the Mediterranean is a natural focal point. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]




[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] More than anywhere else, the Mediterranean provides the geographical and economic environment to encourage a slave trade. Civilized regions surround the central sea. To the north and south stretch vast areas populated by relatively unsophisticated tribes. Border warfare results in tribal captives being enslaved. In addition to this, market forces encourage the tribes to seize prisoners of their own to service a developing slave trade.

During the eastward expansion of the Germans in the 10th century so many Slavs are captured that their racial name becomes the generic term for a 'slave'. At the same period the delivery of slaves to the Black Sea region is an important part of the early economy of Russia . [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] South of the Mediterranean, the dynasties of Arabs along the coast stimulate an African slave trade. The town of Zawila develops in the Sahara in about AD 700 specifically as a trading station for slaves. Captured in the region around Lake Chad , they are sold to Arab households in a Muslim world which by the 8th century stretches from Spain to Persia.

Slavery is an accepted part of life in Arabia during the time of Muhammad , in the 7th century, and the Qur'an offers no arguments against the practice. It merely states, particularly in relation to female slaves, that they must be well treated. In general that has been the case, compared with the barbaric treatment of slaves in some Christian communities. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] The Christian Gospels make no specific mention of slavery, though slaves may be expected to benefit from the general bias in favour of the poor and the oppressed. During the early Middle Ages the missionaries and bishops of the Roman Catholic church argue against the ownership of slaves in the emerging dynasties of northern Europe. At first they make little headway. But gradually slavery disappears in western European countries - largely replaced by the serfdom of the feudal manor.

But a new and disastrous chapter in the story of slavery begins with the arrival of the Portuguese in west Africa in the 15th century. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] Meanwhile the Muslim habit of using slaves in the army has led to one unusual result - in itself an indication of the trust accorded to slaves in Middle Eastern communities.

In 1250 the slave leaders of the Egyptian army, known as Mamelukes , depose the sultan and seize power. A succession of rulers from their own ranks control much of the Middle East, as the Mameluke dynasty, for nearly three centuries. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="colspan: 3"][/TD]

[TD="colspan: 3"] The Portuguese slave trade: 15th - 17th century AD
[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] The Portuguese expeditions of the 15th century bring European ships for the first time into regular contact with sub-Saharan Africa. This region has long been the source of slaves for the route through the Sahara to the Mediterranean. The arrival of the Portuguese opens up another channel.

Nature even provides a new collection point for this human cargo. The volcanic Cape Verde Islands, with their rocky and forbidding coastlines, are uninhabited. But they contain lush tropical valleys. And they are well placed on the sea routes between West Africa, Europe and America. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]




[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] Portuguese settlers move into the Cape Verde islands in about 1460. In 1466 they are given an economic advantage which guarantees their prosperity. They are granted a monopoly of a new slave trade. On the coast of Guinea the Portuguese are now setting up trading stations to buy captive Negroes.

Some of these slaves are used to work the settlers' estates in the Cape Verde islands. Others are sent north for sale in Madeira, or in Portugal and Spain - where Seville now becomes an important market. Negroes have been imported by this sea route into Europe since at least 1444, when one of Henry the Navigator's expeditions returns with slaves exchanged for Moorish prisoners. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] The labour of the slaves in the Cape Verde Islands primes a profitable trade with the African region which becomes known as Portuguese Guinea or the Slave Coast. The slaves work in the Cape Verde plantations, growing cotton and indigo in the fertile valleys. They are also employed in weaving and dying factories, where these commodities are transformed into cloth.

The cloth is exchanged in Guinea for slaves. And the slaves are sold for cash to the slaving ships which pay regular visits to the Cape Verde Islands. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] This African trade, together with the prosperity of the Cape Verde Islands, expands greatly with the development of labour-intensive plantations growing sugar, cotton and tobacco in the Caribbean and America. The Portuguese enforce a monopoly of the transport of African slaves to their own colony of Brazil . But other nations with transatlantic interests soon become the main visitors to the Slave Coast.

By the 18th century the majority of the ships carrying out this appalling commerce are British. They waste no part of their journey, having evolved the procedure known as the triangular trade . [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="colspan: 3"][/TD]

[TD="colspan: 3"] Triangular trade: 18th century AD
[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] The triangular trade has an economic elegance most attractive to the owners of the slave ships. Each of the three separate journeys making up an expedition is profitable in its own right, with only the 'middle voyage' across the Atlantic involving slaves as cargo.

Ships depart from Liverpool or Bristol with items in demand in west Africa - these include firearms, alcohol (particularly rum), cotton goods, metal trinkets and beads. The goods are eagerly awaited by traders in ports around the Gulf of Guinea. These traders have slaves on offer, captured in the African interior and now awaiting transport to America. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]




[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] With the first exchange of merchandise completed, the slaves are packed into the vessels in appalling conditions for the Atlantic crossing. They are crammed below decks, shackled, badly fed and terrified. It is estimated that as many as twelve million Africans are embarked on this journey during the course of the Atlantic slave trade, and that one in six dies before reaching the West Indies - where the main slave markets on the American side of the ocean are located.

The most valuable product of the West Indies , molasses extracted from sugar cane, is purchased for the last leg of the triangle. Back in England the molasses can be transformed into rum. And so it goes on. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="colspan: 3"][/TD]

[TD="colspan: 3"] The abolitionist movement: AD 1688-1808
[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] The horrors of the slave trade do not go unnoticed in England, however hard the traders try to justify their activities (even, preposterously, proclaiming the care and consideration which they show to their precious cargo).

The first sharp prick to the public's conscience comes in 1688 with the publication of Aphra Behn's novel Oroonoko (about the sufferings of an African prince and his loved one, transported by the English to slavery in Surinam). By this time the Quakers are already prominent in their condemnation of this inhuman trade, with the society's founder, George Fox , speaking strongly against it. In 1772 there is a landmark case when Lord Mansfield frees James Somerset , belonging to an American master, on the grounds that he has set foot in England. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]




[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] Shortly afterwards, at the time of the American colonies' fight for independence, the Quakers again give a lead. The clamour for freedom, expressed so powerfully in the Declaration of Independence , can be seen as inconsistent in a population with a large Negro minority which is not in any sense free. The issue is starkly shown when the British troops fire on patriots in the Boston massacre of 1770; the first man to fall in this demonstration for freedom is a slave, Crispus Attucks.

In 1774 Quakers in Britain decide to expel any member involved in the slave trade. In the same year Quakers in Pennsylvania sets up the first abolitionist society, and in 1776 the Pennsylvania Quakers free their own slaves. The first state to abolish slavery is Massachussetts, in its new constitution of 1780. Other northern states follow suit during the next few years. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] But the southern states are determined to retain slavery, which is claimed to be an economic necessity (this rift becomes evident in the constitutional convention in Philadelphia). As a result the abolitionists concentrate their efforts on abolishing the trade in slaves, assuming that this will have the gradual effect of ending slavery itself.

A book of 1786 by Thomas Clarkson ( Essay on the Slavery and Commerce of the Human Species ) is followed by the foundation in London in 1787 of the Society for the Abolition of the Slave Trade, with Quakers again predominant. William Wilberforce emerges as the champion of the cause in parliament. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] By a coincidence the slave trade is declared illegal on both sides of the Atlantic in 1807. In America the constitutional congress has agreed in 1787, under pressure from the southern states, that no law on slavery will be passed for twenty years. As soon as the agreed time is up, legislation is enacted - outlawing the slave trade from 1 January 1808. Meanwhile in London in 1807 parliament prohibits the carrying of slaves in any British ship and the import of slaves into any British colony.

These prove hollow victories. Enough children are now being born into slavery to work the plantations, even in the rapidly expanding cotton economy of the southern states. The new cause must be the abolition of slavery itself. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="colspan: 3"][/TD]

[TD="colspan: 3"] The political issue of slavery: AD 1819-1850
[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] Slavery has been a major area of disagreement between the northern and southern states ever since the first compromise is achieved on the issue at the constitutional convention of 1787 . It becomes a particularly hot political issue in 1819 during congressional debates on the application of Missouri for statehood.

Settled largely from neighbouring Kentucky, Missouri contains many slaves on the plantations. In 1819 a New York congressman, James Tallmadge, proposes an amendment to the Missouri bill to the effect that no further slaves shall be brought into the state and that children of existing slaves shall be freed at the age of twenty-five. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]




[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] The house of representatives, with a preponderance of congressmen from the more populous north, passes the Tallmadge amendment. In the senate, where eleven southern and eleven northern states have two senators each, the amendment fails to win a majority. It is an issue of great importance since the two new senators of a 'free' or a 'slave' state will tip the existing balance one way or the other.

The impasse is broken by another in the series of practical compromises on this contentious issue. It is agreed in 1820 that the district of Maine will be separated from Massachusetts to become an independent free state, the 23rd in the union. Missouri, with its slaves, follows in 1821 as the 24th. The balance is kept in the senate. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] The Missouri Compromise, as the measures of 1820 become known, includes one other clause passed separately by congress. This legislates in advance for the territory beyond Missouri, stating that no more slave states shall be admitted to the union north of latitude 36.30 (the continuation of the southern boundary of Missouri).

The compromise holds good for the next thirty years, during which an equal number of new slave and free states enter the union (Arkansas, Florida and Texas in the south, Michigan, Iowa and Wisconsin in the north). But in 1849 the issue returns. California applies to join the union as a free state. For the first time since 1820 the southern states are in danger of being outvoted in the senate. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] This time the compromise patched together is more complex, consisting of five separate agreements passed during 1850. Concessions to the north include the key issue of Californian admission to the union as a free state; and the banning of the slave trade (but not slavery itself) in the nation's capital city, Washington, and the surrounding district of Columbia.

Concessions to the south are the promise that when New Mexico and Utah are ready for statehood, they may enter the union either with or without slavery; the federal payment of $10 million dollars of Texan debt; and new and more stringent Fugitive Slave Laws. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] The Fugitive Slave Laws, passed in 1793, have been a continuing cause of local friction. They allow southern slave owners to reclaim escaped slaves found in northern states. Northern magistrates have often made a policy of deliberately frustrating the slave owners' legal rights in this respect. The Fugitive Slave Laws of 1850 attempt to prevent this (though in practice they have the opposite effect, prompting northern states to pass new laws safeguarding liberty).

It is believed by many that the Compromise of 1850 will resolve the thorny issue. It does nothing of the kind. Within four years the question of Kansas escalates the crisis. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="colspan: 3"][/TD]

[TD="colspan: 3"] Emancipation Proclamation: AD 1862-1863
[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] President Lincoln has undertaken the Civil War intending only to preserve the Union. His purpose, and that of the Republican party, has never been to end slavery in the southern states. But two costly and inconclusive years of war begin to alter his opinion.

There are several reasons. The abolitionist lobby in the north is passionate and vocal. Increasing resentment at the southern states, begetters of this painful conflict, lessens any inclination to protect their supposed rights as slave-owners. And a new moral dimension added to the Union war aims is likely to bring its own diplomatic and political benefits. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]




[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] Liberal opinion in Britain, where the government often seems inclined to support the south, will be impressed by an anti-slavery crusade. And flagging domestic acceptance of the war will be refreshed by an injection of idealism, particularly in the cause with which Americans identify most powerfully - that of liberty.

Lincoln decides, in the summer of 1862, to make the emancipation of the slaves a central plank of his policy. But this summer, bringing successive defeats in Virginia of Union armies, seems not the right moment. It is important that such an important announcement shall not seem to be made in desperation. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] The president is given his opportunity when the engagement at Antietam , in September 1862, can be presented as a Union success on the battlefield. Five days later he issues a preliminary proclamation. It states that if the Confederate states have not laid down their arms by the end of the year, he will declare their slaves to be free.

Naturally the states fail to respond, so on 1 January 1863 Lincoln issues his Emancipation Proclamation. It declares that all people held in slavery in the rebel states are now free; it urges them to refrain from violence; and it announces that freed slaves will be welcome to serve in the US army and navy. [/TD]
[TD="width: 1"][/TD]
[TD="width: 14"]


[/TD]

[TD="class: mdblk, width: 450"] Most of this is as yet only of symbolic relevance. No slaves are formally freed anywhere, since the proclamation does not apply to slave states fighting on the Union side (where Lincoln cannot as yet afford to offend their owners). Nevertheless many southern slaves take the opportunity to flee to the north. By the end of the war about 180,000 Negroes have joined the armed forces, greatly boosting Union military strength.

And the symbolic effect is enormous. The struggle now has a high moral purpose. The attitude of the slaves is transformed, whether in Union or Confederate states, by the knowledge that a Union victory will be followed by freedom.[/TD]

Read more: HISTORY OF SLAVERY
Nadhani wanajamvi mmejionea wenyewe habari za utumwa, ngoja kiduchu tuendelee kudadavua bayana za kaka yetu.
  1. Toka tupate uhuru mwaka 1961 tumekuwa chini ya utawala wa chama kimoja TANU ambacho mwaka 1977 kiliungana na ASP na kuzaliwa CCM. Katika muda wote huo Waislaam, kulingana na mahubiri ya kichochezi ya Mohamed Said, wamebaguliwa, kupuuzwa, kunyimwa haki na kuonekana kama raia daraja la nne nchini. Kwa nini mfumo wa vyama vingi uliporuhusiwa mwaka 1992 chini ya uongozi wa Raisi Ali Hasan Mwinyi, kiongozi Muislaam, Waislaam hawakuutumia wingi wao (kumbuka idadi ya Waislaam nchini kulingana na ngano za Mohamed Said, ni theluthi tatu ya Watanzania!) kuhakikisha wanakiunga chama kitakachowatetea na kuwapa haki?
  1. Naona hapa unatuaminisha kuwa Waislam wapo CCM halafu nyie Wakirsto mpo Chadema.
  2. Mathalani, baada ya awamu ya kwanza ya utawala wa Raisi Jakaya Kikwete, Muislaam, kwa nini ilipoonekana wazi mwaka 2010 kwamba mfumo Kristo unazidi kushamiri chini ya CCM, Waislaam, kulingana na kauli ya Profesa Ibrahim Lipumba, mwenyekiti wa chama cha CUF na Raisi mtarajiwa, walihakikisha CCM hiyo hiyo inarudishwa madarakani. Pamoja na kufanikiwa katika mpango huo, kwa nini bado wanatokea akina Mohamed Said, Sheikh Ilunga, Sheikh Ponda, wanahubiri chuki dhidi ya watu ambao kulingana na walivyojipanga, walihakikisha hawakamati uongozi nchini
  3. Mfumo Kristo umeanza baada ya uhuru wa Tanganyika soma hapa chini kazi ya Nyerere.
  4. Kilichofuata baada ya kupatikana uhuru ilikuwa ni kukamatwa, kuwekwa kizuizini na kuhamishwa kwa masheikh na Waislamu wengine waliodhaniwa kuwa wanapinga utawala wa Nyerere.
    Mashuhuri miongoni mwao walikuwa: Abdillah Schneider Plantan, Sheikh Abdulkarim Abdulwahid, Maalim Popo Saleh, Suleiman Masudi Mnonji, Ali Migeyo, Mufti Sheikh Hassan bin Amir, Sharff Hussein Badawiy, Shariff Mwinyibaba na Shariff Adnan
    Wengine ni Bilali Rehani Waikela, Sheikh Jumanne Bias, Maalim Matar, Abdalah Mwamba, Sheikh Hashim Haji Abdallah, Sheikh Nurdin Hussein, Salum Abdallah Popo, Sheikh Mzee Ali Comoriam, Sheikh Al Amin Maftah, Rajab Kiguu cha Mbuzi na wengine wengi.

    Lakini ukweli ulikuwa kwamba si wote katika wale waliokamatwa na kuwekwa kizuizini walijihusisha na siasa. Baadhi yao walikamatwa kwa sababu tu walikuwa wakishirikiana na wale waliodhaniwa ni wapinzani wa Nyerere.
    Maalim Matar na Shariff Adnan walifungwa jela kwa sababu tu walihusika na msikiti wa Badawiy mjini Dar es Salaam ambako Sheikh Hassan bin Amir, wakati huo akichukuliwa kuwa ndiyo roho ya waumini wa Tanganyika, alikuwa ikiendesha madrasa yake kila magharibi pale msikitini.
    Shariff Hussein na nduguye Mwinyibaba walihamishiwa Kenya, walikotoka si kwa sababu walikuwa wamejishughulisha katika harakati za kuipinga serikali, ila lakini kwa sababu walikuwa waangalizi wa msikiti wa Badawiy.
  5. @Mag3, kila siku mnawatukana Waislam lakini hao hao wanawasaidia katika chama chenu, hebu angalia hapa Mzee Sabodo anayowapa hundi kwa dharau anatia sahihi kwa mkono wa kushoto lakini kutokana na njaa yenu amna jinsi.
  6. dsc093961.jpg
 
Back
Top Bottom