Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Unayejidanganya ni wewe na the likes of you. Kikwete anapokuwa Magu au Kirumba ni rais wa Tanganyika. Ndivyo sisi Watanganyika tunavyomuona. Tukishambuliwa na Idi Amin ni rais wa Tanganyika anayeamrisha majeshi yetu kujibu. Siyo rais wa Zanzibar. Kwa hiyo jiulize ni nani anayejidanganya? Kwa nini Wazanzibari wanalalamika?Acha kujidanganya.
Tanzania ni muungano wa tanganyika na Zanzibar. Nje ya Muungano wenu hakuna Tanzania bali kuna Zanzibar na Tanganyika.
Mkuu JokaKuu nakubalina nawe kabisa kuhusu dhana ya mapinduzi.
Mkuu Wickama, nakubaliana nawe kuwa historia ya Znz inaandikwa na makundi masilahi ndiyo maana kuna upotoshaji.
Ukisoma kitabu cha Kwaheri uhuru, ni wazi kuwa mapinduzi yalipangwa na kuratibiwa na Nyerere.
Sababu kubwa ilikuwa kueneza Ukristo ndio maana Okello alipelekwa kule.
Walioandika hayo wanatetea kabisa kuwa Sultan alikuwa mwema na ZNZ ilikuwa shwari kabla ya Mapinduzi.
Utetezi huo unafumbia macho migogoro mingi iliyokuwepo kabla ya Tanganyika haijapata uhuru.
Wanasahau kuwa ZNZ ilikuwa ya kwanza kufanya chaguzi katika ukanda huu wa A.Mashariki na kati kwa matatizo.
Kwa upande mwingine kuna kundi ambalo linaonekana kukerwa sana na ukoloni wa Sultan. Hili ndilo umelieleza vema katika suala la ASP.
Sasa ukitaka kufahamu kuhusu ''confusion'' ya mapinduzi ya znz, nimewahi kuuliza hapa.
Kama Mapinduzi yaliratibiwa na Nyerere na kumtuma Okolle na askari wa Kipumbwi
A) Kwanini basi wznz waliokuwa salama wakati wa Sultan wanasherehekea mapinduzi hayo kila siku.
Na hapa uzingatie kuwa mapinduzi yalilenga kuua Uislam kama ilivyosemwa.
B)Ni kwanini kuwepo na wznz wanaosema mapinduzi daima(ambayo yalilenga kuua Uislam) nawengine waseme ni haramu?
c)Je, tukimuuliza Ghessany na Mohamed swali moja, mapinduzi ni halali au ni haram tutapata jibu?
Nakuhakikishia kuwa hakuna aliyewahi kutoa jibu. Hii ni kwasababu historia imeundwa na hivyo uundwaji wake uliolenga watu na matukio unakwama kuwa na connections za maana.
Nijaribu tena kuuliza maswali hayo labda kuna atakayenisadia.
Jasusi, nakusihi uwe na moyo wa chuma ukisome. Tuhuma zote zimetupwa kwa mtu mmoja.Nguruvi3,
Asante kwa taarifa hii. Mimi kitabu cha Ghassany kilinishinda kusoma baada ya ukurasa wa kwanza kwa sababu theme yake ni kwamba mapinduzi yalivunja uhuru wa Wazanzibari, hence the headline "kwa heri uhuru."
Yericko,
Siko hapa kufanya ubishi kuhusu Kipumbwi.
Nimeeleza habari zile kama mtafiti msaidizi wa Dk. Ghassany.
Ukipenda kuamini kuwa Sakura haikuwapo hapana shida.
Ila naamini watazamaji wengi wamenufaika na taarifa hii ambayo
wengi walikuwa hawaijui.
Muongo uliyekubuhu kama wewe huongozeki!Yericko,
Huko tulishatoka karne nyingi sana.
Mimi nimesema nimemsikia Nyerere mubashara.
Tukakubaliana wanajamvi takriban wote kuwa hapa
iwekwe clip tusikize sauti.
Iweje tena unaturudisha tulikotoka?
Kuna usemi, "Muongo muongoze."
Haya mungeyapeleka kwenye jamvi la dini au misiktini kwenu, hapa mnatuchosha bure wewe na hilo zee lako, eboo!Shukrani kwa hii khabari njema kwangu Sheikh Muhammad.
Kweli nilikuwa nikimtakia kheri ya kusilimu Costa, nilikuwa sijui kama amesilimu wala amefariki niliondoka kwenda kupiga box akiwa bado katika Ukristo! Alhamdulillah.
Napata shida sana kuamini kama kweli wewe ni msomi wa kiwango cha PhD!Jibu ni fupi sana hapa . LET TANGANYIKA COME TO FREE ZNZ.
je mnaogopa nini kuunda Serikali ya tanganyika katika mvungano wenu?
Yericko,
Kisa cha Okello ni kifupi sana.
Kama una mahaba na "ubaba wa taifa" katika mapinduzi
ya Zanzibar hebu kwanza kubali kuwa wewe ni "novice"
katika historia.
Ukishakubali ufuate taratibu za kusomeshwa.
Ukitaka kumtafuta mpishi wa mapinduzi anza utafiti wako na
Abdallah Kassim Hanga.
Hanga atakufikisha kwa Oscar Kambona.
Baada ya hapo mambo mteremko.
Zanzibar utabisha hodi nyumbani kwa Wayahudi wawili.
Tanganyika utachungulia sehemu mbili....
Dar es Salaam na Tanga.
Tanga ndipo utamkuta Victor Mkello na Mkwawa ambae kwa uhodari
wake Karume alimpa jina la utani "Tindo."
Namaliza.
Baada ya mapinduzi siku Mkello alipokwenda Zanzibar Hanga akamtambulisha
Mkello kwa Karume.
Karume alisimama na kumkumbatia Mkello.
Je ungependa kujua Karume alisema maneno gani ya kumshukuru Mkello?
Wickama,
Wakujibu maswali si mie.
Mimi nimeeleza kile kilichokuwa hakifahamiki
kwa wengi.
Jasusi, nakusihi uwe na moyo wa chuma ukisome. Tuhuma zote zimetupwa kwa mtu mmoja.
Utakapokisoma utakutana na maswali mengi yasiyo na majibu kama tulivyoona katika mnakasha.
Ukimsoma Mohamed Said ambaye ni ''co-author' wa kwaheri uhuru ya Ghessany sehemu kubwa ya maudhui yake ni haya haya tunayosoma. Linachoshangaza ni kuwa sehemu kubwa ya wzn wanaona kama ni matusi kwa wanamapinduzi.
Ukiangalia washiriki wa baraza la kwanza la mapinduzi wengi wao walifanya kazi na Mwalim Nyerere.
Hata waliofuata kwa nyakati tofuati bado walifanya naye kazi.
Akina Natepe, A.H. Mwinyi, A.Jumbe, Nassor Moyo, Thabiti Kombo Jecha n.k.
Swali linalofuata ni kuwa je hawa wanakuwa katika kundi gani kwa kuangalia historia ya akina Ghessany!
Ni wanamapinduzi au ni mamluki na vibaraka wa Nyerere walioshirikiana naye katika kuueneza ukristo kwa minajili ya kuuua Uislam?
Sasa ukiangalia mambo yote hayo na jinsi yalivyowekwa utabaki na swali moja muhimu sana.
Hivi Jan 12 kila mwaka ni haki na sahihi kwa wznz kusherehekea mapinduzi yaliyosababishwa na dhana ya kuua Uislam tena kwa kuchukua roho za watu kwa maelfu.
Haya mungeyapeleka kwenye jamvi la dini au misiktini kwenu, hapa mnatuchosha bure wewe na hilo zee lako, eboo!
Mkuu JokaKuu nakubalina nawe kabisa kuhusu dhana ya mapinduzi.
Mkuu Wickama, nakubaliana nawe kuwa historia ya Znz inaandikwa na makundi masilahi ndiyo maana kuna upotoshaji.
Ukisoma kitabu cha Kwaheri uhuru, ni wazi kuwa mapinduzi yalipangwa na kuratibiwa na Nyerere.
Sababu kubwa ilikuwa kueneza Ukristo ndio maana Okello alipelekwa kule.
Walioandika hayo wanatetea kabisa kuwa Sultan alikuwa mwema na ZNZ ilikuwa shwari kabla ya Mapinduzi.
Utetezi huo unafumbia macho migogoro mingi iliyokuwepo kabla ya Tanganyika haijapata uhuru.
Wanasahau kuwa ZNZ ilikuwa ya kwanza kufanya chaguzi katika ukanda huu wa A.Mashariki na kati kwa matatizo.
Kwa upande mwingine kuna kundi ambalo linaonekana kukerwa sana na ukoloni wa Sultan. Hili ndilo umelieleza vema katika suala la ASP.
Sasa ukitaka kufahamu kuhusu ''confusion'' ya mapinduzi ya znz, nimewahi kuuliza hapa.
Kama Mapinduzi yaliratibiwa na Nyerere na kumtuma Okolle na askari wa Kipumbwi
A) Kwanini basi wznz waliokuwa salama wakati wa Sultan wanasherehekea mapinduzi hayo kila siku.
Na hapa uzingatie kuwa mapinduzi yalilenga kuua Uislam kama ilivyosemwa.
B)Ni kwanini kuwepo na wznz wanaosema mapinduzi daima(ambayo yalilenga kuua Uislam) nawengine waseme ni haramu?
c)Je, tukimuuliza Ghessany na Mohamed swali moja, mapinduzi ni halali au ni haram tutapata jibu?
Nakuhakikishia kuwa hakuna aliyewahi kutoa jibu. Hii ni kwasababu historia imeundwa na hivyo uundwaji wake uliolenga watu na matukio unakwama kuwa na connections za maana.
Nijaribu tena kuuliza maswali hayo labda kuna atakayenisadia.
Nashukuru sana ndugu yangu Mohamed Said,Yericko,
Soma kitabu "Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru."
Kimeandikwa na Harith Ghassany.