Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
-
- #16,181
Nguruvi vipi mbona hili swali hujalijibu mpaka leo pasha basi hiki kiporo moto !
Hata mimi nilikuwa sielewi kuwa wamakonde wa kipumbwi walipelekwa na Nyerere kule znz kumuondoa Sultan.
Ninapochanganyikiwa ni kuwa, hivi kati ya TANU na ASP nani aliomba msaada wa wamakonde wa Kipumbwi?
Halafu hawa akina Thabiti Kombo Jecha, Nassor Moyo, Natepe, Jumbe na Mwinyi na wengineo wamefanya kazi na huyu ''kafir'' Leo wanaitwa wana mapinduzi, je ni wanamapinduzi kwa heshima au ni wasaliti.
Ninapochanganyikiwa zaidi na 200K wanaomsikiliza mzee ni kuona wazanzibar wanasherehekea Mapinduzi.
Sasa ni halal au ni haramu?
Na pia nataka nielewe kutoka kwa Mohamed kama haya mapinduzi ya kuumaliza Uislam visiwani ni halali au haramu.
Hapo ndipo namwalika mzee aongee na 200K maana miongoni mwao wamekwama!
Anapokaa kimya ndio uchochezi wenyewe unaosemwana sitaki kuamini kama ni uchochezi labda akiendelea kukaa kimya.
Vipande vya vijitabu havieleweki, tuwafanyie tahfifu hawa 200K wanotaabika na vijihoja vidogo.
Ima akiendelea kukimbia basi uchochezi utakua mubashara aje hapa aweke bayana.
Spike lee naona tutulie tumsikilize Mohamed Said, hiyo ndiyo tarbiya al islam.
cc Twalib, Swahba, Al-akhyi, al watan na wanajamvi.
Mohamed Said,Dkt Ghassany ameacha maswali mengi katika andiko lake ambayo kimsingi yanahitaji majibu yake/yako,1) Mapinduzi ya Zanzibar ni HALALI au HARAMU?2) Kwanini wazanzibar WOTE wanaadhimisha mapinduzi ya Zanzibar kila mwaka?3) ASP iliomba msaada wa Mapindizi kwa TANU?Nk.........!Hoja zetu zinasimama kama zilivyo!
Yericko , Nguruvi3 , Wickama na Mag3.Naona maswali haya yameonekana kuwavutia sana na kila mmoja akiyatoa mnapeana vibwagizo vya ''like''. Dhana inayojaribiwa kujengwa hapa nikuwa ASP ndio walioomba msaada kwa TANU (Nyerere)..hivyo basi Nyerere (TANU) asilaumiwe.Kwa hakika kwa weledi wenu nyie viongozi wangu sikutaraji kuona kama hii nayo pia itakuwa ni hoja. Ni wazi kama mnakubaliana na ukweli kuwa Mapinduzi yale yalikuwa na gharama kubwa na mpaka Serikali ya Tanganyika kuweza kutoa kiasi kile cha fedha kwenda kwa Serikali ya Algeria kwa ajili ya silaha zile (maana sijapata kuona mkikanusha). Kama hivi ndivyo na tujenge dhana kama ASP ndio waliiomba TANU....hivi ilikuwa ni kwa faida ipi ambayo Serikali ya Tamganyika chini ya Mwalimu Nyerere wangeipata kwa kuingia gharama zile kama wao hawakuwa na maslahi kwenye mapinduzi yale?. Kwemwale.
Yericko , Nguruvi3 , Wickama na Mag3.Naona maswali haya yameonekana kuwavutia sana na kila mmoja akiyatoa mnapeana vibwagizo vya ''like''. Dhana inayojaribiwa kujengwa hapa nikuwa ASP ndio walioomba msaada kwa TANU (Nyerere)..hivyo basi Nyerere (TANU) asilaumiwe.Kwa hakika kwa weledi wenu nyie viongozi wangu sikutaraji kuona kama hii nayo pia itakuwa ni hoja. Ni wazi kama mnakubaliana na ukweli kuwa Mapinduzi yale yalikuwa na gharama kubwa na mpaka Serikali ya Tanganyika kuweza kutoa kiasi kile cha fedha kwenda kwa Serikali ya Algeria kwa ajili ya silaha zile (maana sijapata kuona mkikanusha). Kama hivi ndivyo na tujenge dhana kama ASP ndio waliiomba TANU....hivi ilikuwa ni kwa faida ipi ambayo Serikali ya Tamganyika chini ya Mwalimu Nyerere wangeipata kwa kuingia gharama zile kama wao hawakuwa na maslahi kwenye mapinduzi yale?. Kwemwale.
Kwamba hoja yako nikuwa Serikali ya Tanganyika ingefaidika na nini kwakudhamini mapinduzi ya Zanzibar?
Naomba swali hilo lijibiwe kwa swali hili hapa chini,
Tanzania ilinufaika nini kwa kufadhiri vita vya ukombozi kusini mwa Afrika?
Ukipata jibu, hilo ndio jibu la hoja/swali lako mkuu!
Afanaleki..!
Ndiyo jibu hilo??
Hapo umemaliza kila kitu??
Kwa kufadhiri vita vya ukombozi mwa kusini mwa Afrika Tanzania Imenufaika na umaskini huu ulionao sasa,hata wa kufikiri...
So,hilo ndio hasa lilikuwa lengo??
Mnakimbilia hoja za ajabu ajabu zinazojijibu zenyewe huku mkitaraji kuonekana waerevu na wajuvi wa mambo hali ya kuwa ni makanjanja??
Maji ya Moh Said ni Marefu sana,kuyaogelea hamtayaweza...
Muongo mkubwa, huna cha kufyonza ilm bali upo kuhamasisha uzushi na uzandiki wa zee lenu lililokubuhu kwa fitna na uzushi.Teh teh teh!! Baada ya kushindwa kuonyesha uchochezi wa Mohamedi Said sasa mmekimbilia tuvijiswali, naona sasa umejipa majukumu mapya umekuwa msemaji wa watu 200'000,teh! teh! teh! Kitabu cha Dr.Harith kichungu kwako vumilia kaka, watu 200'000 hawajakisoma.
Nafyoza Ilim kumbe Nyerere aliipokea meli ya silaha, duu!
Kweli kabisa Al akhy The Big Show huyu jamaa hana hoja hata kidogo ni mshabiki tuu ngoja nikupe mfano wa huyu jamaa, umeshawahi kuona mtu anapiga ukuta kichwa :frusty: halafu anasikitikia ukuta badala ya kusikitikia kichwa chake waarabu wana msemo unao sema "ASHFIKUU ALAA RAASI LA TUSHFIKUU ALAL JABAAL" onea huruma kichwa chako usionee huruma jabali upo hapo bwana mkubwa.
Mkuu Mag3, Mohamed Said alishayaona haya maswali, hana ubavu wa kuyakabili kwani yamemuacha mtupu! huyo Spike Lee kaletwa na ukeleketwa wa imani ya dini yake na kwahiyo hana hoja yoyote ya kisomi zaidi ya hayo makelele yake ya kijinga ya kufyonza ilm na sumu kali ya huyo nabii wao Mohamed Said!Mkuu Nguruvi3 achana na huyo, yupo hapa kunyonya...sorry nilitaka kusema yuko humu kufyonza. Yaani yeye ni kufyonza tuu hadi zile ngano za Mohamed Said na sasa Dr. Harith! Huyo ndiye Spike Lee! Wanajamvi, mtu ambaye haoni haya kudai ndani ya jukwaa hili la Great Thinkers kwamba yuko humu kufyonza tu, sasa kwa nini kajiunga JF? Si angebaki tu anachungulia kama guest?
Spike Lee angalau tusaidie kufikisha ujumbe kwa mwalimu wako...watu 200,000 wanasubiri majibu kwa maswali kuhusu kuhusu mapinduzi ya Zanzibar Januari 1964.
Utakufa kwa ujinga wako!Nafyonza sumu!
Kaa pembeni mzushi wewe, tunataka majibu na sio kufyonza ilm yenye sumu. Kama wewe umezoea kufyonza matakataka ya hao maustaadh wako hiyo ni juu yako!Kaka hao watu 200,000 wamekutuma wewe kuwa msemaji wao teh! teh! teh!
Yericko , Nguruvi3 , Wickama na Mag3.Naona maswali haya yameonekana kuwavutia sana na kila mmoja akiyatoa mnapeana vibwagizo vya ''like''. Dhana inayojaribiwa kujengwa hapa nikuwa ASP ndio walioomba msaada kwa TANU (Nyerere)..hivyo basi Nyerere (TANU) asilaumiwe.Kwa hakika kwa weledi wenu nyie viongozi wangu sikutaraji kuona kama hii nayo pia itakuwa ni hoja. Ni wazi kama mnakubaliana na ukweli kuwa Mapinduzi yale yalikuwa na gharama kubwa na mpaka Serikali ya Tanganyika kuweza kutoa kiasi kile cha fedha kwenda kwa Serikali ya Algeria kwa ajili ya silaha zile (maana sijapata kuona mkikanusha). Kama hivi ndivyo na tujenge dhana kama ASP ndio waliiomba TANU....hivi ilikuwa ni kwa faida ipi ambayo Serikali ya Tamganyika chini ya Mwalimu Nyerere wangeipata kwa kuingia gharama zile kama wao hawakuwa na maslahi kwenye mapinduzi yale?. Kwemwale.
Kwemwale na ndugu yako mfyonza sumu, mnashindwa nini kuelewa jambo dogo kama hili? Ukombozi wa Afrika ilikuwa ni ajenda ya Tanganyika mara tu baada ya kujipatia uhuru wake. Ilishawahi kuwekwa bayana kwamba uhuru wa Tanganyika usingekuwa na maana kama nchi nyingine za kiafrika zingeendelea kuwa mikononi mwa wakoloni. Baada ya hapa Tanganyika na baadae Tanzania ilizisaidia nchi zote zilizohitaji msaada wa ukombozi... nchi zilizonufaika ni pamoja na Namibia, Zimbabwe, Msumbiji...Maneno mazito.
Badala ya kuquote kitabu cha Dr. Ghassany, unaweza kutoa majibu juu ya maswali yaliyoulizwa na Wickama, Nguruvi3 na Yerricko kuhusu mapinduzi? Samahani kama nitakuwa nimekukwaza kwa swali hili.
Nibora nife nikiwa mjinga(mtoto wa madrasa) kuliko kufyonza hii uranium mnayoimwaga humu jamviniUtakufa kwa ujinga wako!
Yukowapi gombesugu
cc suleiman takadir
Hasanalis,Salaam Al Akhiy.Nina neno langu takakwambia,si kwa Kizungu bali Kiswahilia. Msiba walinidhamiria wala sijeumia,azma yao ni dhuluma,katu Mola hatakubalia.Wewe Al Akhiy ndie wa kukutaka radhi wala si mwingine asilan,maana najua madhila yalokusibu kusikia nduguyo janiona.Wallahi,nipo vyema ni kibarua na safari kiduchu menibana.Nakuacha na nasaha mbili;mojawapo ni ya kizungu na nyingine ni ya Mzee wetu alokua mashuhuri kwa upande wake.No one is your friend who demands your silence,or denies your right to speak - A. WalkerSigida Mpingo hading'oka - Kondo Kipwata.Nimefurahika kwa kunisikiza.Tuendelee na hili zogo/"Mnakasha".Ahsanta.Cc;Ritz,Barubaru,The Big Show,Boko Haram,JokaKuu
Yericko , Nguruvi3 , Wickama na Mag3.Naona maswali haya yameonekana kuwavutia sana na kila mmoja akiyatoa mnapeana vibwagizo vya ''like''. Dhana inayojaribiwa kujengwa hapa nikuwa ASP ndio walioomba msaada kwa TANU (Nyerere)..hivyo basi Nyerere (TANU) asilaumiwe.Kwa hakika kwa weledi wenu nyie viongozi wangu sikutaraji kuona kama hii nayo pia itakuwa ni hoja. Ni wazi kama mnakubaliana na ukweli kuwa Mapinduzi yale yalikuwa na gharama kubwa na mpaka Serikali ya Tanganyika kuweza kutoa kiasi kile cha fedha kwenda kwa Serikali ya Algeria kwa ajili ya silaha zile (maana sijapata kuona mkikanusha). Kama hivi ndivyo na tujenge dhana kama ASP ndio waliiomba TANU....hivi ilikuwa ni kwa faida ipi ambayo Serikali ya Tamganyika chini ya Mwalimu Nyerere wangeipata kwa kuingia gharama zile kama wao hawakuwa na maslahi kwenye mapinduzi yale?. Kwemwale.
Hasanalis,
Salaam Al Akhiy.
Nina neno langu takakwambia,si kwa Kizungu bali Kiswahilia. Msiba walinidhamiria wala sijeumia,azma yao ni dhuluma,katu Mola hatakubalia.
Wewe Al Akhiy ndie wa kukutaka radhi wala si mwingine asilan,maana najua madhila yalokusibu kusikia nduguyo janiona.
Wallahi,nipo vyema ni kibarua na safari kiduchu menibana.
Nakuacha na nasaha mbili;mojawapo ni ya kizungu na nyingine ni ya Mzee wetu alokua mashuhuri kwa upande wake.
No one is your friend who demands your silence,or denies your right to speak - A. Walker
Sigida Mpingo hading'oka - Kondo Kipwata.
Nimefurahika kwa kunisikiza.
Tuendelee na hili zogo/"Mnakasha".
Ahsanta.
Cc;Ritz,Barubaru,The Big Show,Boko Haram,JokaKuu